Ulifanya makosa makubwa sana tofauti na unavyofikiria na huwezi kuishi na mzungu maana unaonekana huna msimamo unageuka geuka, maandalizi yalikuwa ya muda mrefu kisha ukataka kuharibu nakusihi kamwombe msamaha kili ulikosea mdogo wangu.
Alipewa opportunity na akanza kuitumia vibaya, kuingiza watu katika entourage ya Kiba bila yeye kujua it's not just unprofessional but very dangerous, Kiba should keep him at a distance
Bro...Inategemea na Aina ya protein.... Unachosema height weight, na kila kitu....not all supplements works the same...and ofcourse protein inaendana na meal plan na mazoezi as well...
Kwani hiki kipindi mna camera moja tu jamani😢.... Media kubwa hii, mjitahidi kufanya kazi kiprofessional ndugu zangu. Naona cameraman anapata tabu kugeuza geuza camera
Kama unamkubali alikiba na ukaja kumuangalia danzel gonga like 👍
Ulifanya makosa makubwa sana tofauti na unavyofikiria na huwezi kuishi na mzungu maana unaonekana huna msimamo unageuka geuka, maandalizi yalikuwa ya muda mrefu kisha ukataka kuharibu nakusihi kamwombe msamaha kili ulikosea mdogo wangu.
Kumsapoti mtu ni kuingia bure? Ila mademu wa mjini bana😂
Kwanini kajala alete mtu mwengine Kipindi yeye amepewa card ya bure ? Alafu juma lokole ahache ushoga
Huyo kajala nimshamba siku zote
Huyu ndio anamla kajala sasaivi 😂😂😂😂😂😂
Jamaa nakuelewa sana
Hii safi sana ….maana yake hapa Kajala alileta uswahili
Nikawaida sana hawa vijana wakipata pesa kidogo wanataka nakuabudiwa tena,kwaiyo Dogo Denzel songa mbele.
Kweli kajala hamnazo😂😂sasa yy juma anampeleka wapi🤷♀️🤷♀️😢😢
Ulijisahau broo wewe uko kwa team lakini ukamakinika n mtu tofauti
Ilo kosa kubwa kabisa ata mimi nawona kosa kubwa
JAMAA ALIMUINGIZA MTOTO WA KAJALA NDANI AKAONA AONDOKE NA MAMA MTOTO
Wabongo Wana mambo
Alipewa opportunity na akanza kuitumia vibaya, kuingiza watu katika entourage ya Kiba bila yeye kujua it's not just unprofessional but very dangerous, Kiba should keep him at a distance
Kwanini umpeleke chawa wa Mond kwa King kiukweli unastahili kumuomba msamaha.
Kenyan music naiskia chini ya maji 💥
Kosa kubwa sana hili. Natumaini umejifunza kitu kikubw
Huo ulikuwa uswahili wa juu very unprofessional
Bro...Inategemea na Aina ya protein.... Unachosema height weight, na kila kitu....not all supplements works the same...and ofcourse protein inaendana na meal plan na mazoezi as well...
🙄
Denzel ulikosey ila usiludiy bro
Unavyosema nikweli nlipewa protn nkanenepa bara
Mh, ushamba wa kiwango Cha lami. Kaka ulichosha sijapata kuona
Kuikweli ulikosea nihaki yako kuomba msamaha
kajals mswahili
Ulikosea kka
ww kweli ulizingua
Kwani hiki kipindi mna camera moja tu jamani😢.... Media kubwa hii, mjitahidi kufanya kazi kiprofessional ndugu zangu. Naona cameraman anapata tabu kugeuza geuza camera
uhuuuu
Kmb kwel ulizngua kwann ugawe crd yk pia lukole alikua wann mpaka aingie. Pia kwann uliondoka bra cloo yko . ulizngua kinyama yn
Kajala mbuzi kweli
Ulikosea
Mulitakiwa mumuache amalizie kuzungumzia kuhusu kumukisea alikiba bada ya show ilikuaje
Yan Hata hatukuelewa kisa mpaka hapo
Kunawakati nao wanazingua yani kama wanakuwa wanajitangazia wenyewe nakusikiliza wenyewe yani aise
🤔🤔
Piga kazi kaka
Qui est invité ne n'invite pas les Autres
Absolument 😊
Kuleni protini muwe maboga
Hiv vitu ndio vinatusumbua ngozi ya tako unahalika watatu wawanakuja wa wanne
Eti au wengine wanakuja na watoto huku card imeeleza watoto hawaruhusiwi
@@budhbd5208yani sijuwi watu tukoje😂