UKIACHANA NA MTU LAZIMA UMUOMBEE YAMKUTE MABAYA| KUACHANA NA MTU KWETU NI VITA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2023
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Baba levo unaogea point sana broo ni kweli kbsa npo south Africa mkoa wa north west province klesdorp
Hao wamesoma wanazidiwa uwezo wa kufikiri na uyo mjinga Babbaevo duh. Nikitaka kuajiri sitaki vyeti nataka talent
Baba levo wewe nishida hua unaongea point sana japo kua watu wasio kufaatria hua hawajui madini uliyo nayo
Vipo sana point ya Oscar ni mfano alisia kabisa kwa family ya Mama mdogo ila point ya manyanyaso ya Baba Levo pia nailewa hipo sana point sana
Oscar umeongea ukweli kabisa... Nyumba zetu zina siri saana... Watu wameshaachana lakini wanaishi nyumba moja na kila mmoja wao ana mtu wake...
Oscar hiyo point,Mimi nikaka yangu kabisa wanaishi nyumba moja na kila mtu na chumba chake.
Hiyo kweli kabisa
vita lazimaa😮
Baba levo yuko sahihi mwanaume hamuwez mka share nyumba eti mnalea watoto aone unazagamuliwa na mtu mungine
Kama mnapendana sana mkiachana chuki lazima iingie mtu uliyempenda moyo unauma sana
Baba Levo mnasema hajasoma? Mbona anaongea point sana
#B
Bora andazi😅
Promaxxxx ❤😂🎉🤣🤣🤣🙏
Wapo wengi sn mm mwenyewe nawafahamu baadhi yao ila anachokisema baba levo ni asilimia kuvwa
Oscar yupo sahihii vipo mmoo TZ
Baba levo kichwa san diamond amuongezee mshahar ao wengine ni mpira2 hamna k2
Sio mabaya tu,,, lolote limkute 😅😅😅
Huwezi kuchambua vizuri kama utaweka ushabiki wako Mjengoni
Da.! fund manyumb nakukubar kinyam..