Yani kweli mnashindwa kuweka smart card kama za benki, ccm wana kadi zina QR Code cha ajabu hata hazitumiki. Kama watu hawana elimu toeni tangazo la vijana wenye elimu ya IT waje kusaidia kuweka mifumo ya ticketing na ku control ...mkishindwa kabisa waambieni Power Computers wadesign system yakuwasaidia kufanya icho kinachowashiinda. Sio kesho aje CAG aseme TRC inahasara billion 2 ....its not fair
Kwani hao wanao nunua ticketi hawana number ya kiti? Hiyo ingekuwa rahisi kwani itaonyesha mnunuzi wa tiketi toka Dar mpaka Pugu ana kiti number gani na pia kiti hicho kinatakiwa kuwa tupu, akiteremka Pugu. hivyo inakuwa rahisi kama akipitiliza kwenda Morogoro watawezweza kumkamata. Mimi naishi Europe ndi hivyo wnafanya, na wakikikamata unalipa fine au wanakushusha na kukamwatwa.
The solution is simple Nchi nyingi kama china wameweka egates wakati wa kutoka kituoni baada ya safari Ambapo inatakiwa Ku scan ticket yako tena na kama iko Sawa na kituo ndipo mlango unafunguka
Jitahdi kuboresha Ulinzi Taifa hili limeharibiwa na CCM imefanya Wizi kuwa sehemu ya Maisha ya Watanzania so Kila palipo na Mradi wa Umma Watu wanashindana Kuhujumu Mradi Mana wanaona Kila inapotoka Ripoti ya CAG hakuna Hatua zinachukuliwa
Kwaiyo siruhusiwi kumkatia Mama yangu ticket ama ndugu yangu? Maana apo kwenye kitambulisho italeta shida kidogo mm nipo mbali na anayesafiri ni ndugu zangu ndo ninaowakatiaga tickets
Hongereni kwa kuchukua hatua kwa wahalifu wachache
Ni Ruvu dada siyo Luvu shida ni nini jamani. Na mchongoko unaanza lini ?
Napataga shida na watu wenye shida ya R na L....😃..shilika la leli😀😀
1:08 na 1:17 "Luvu" 😆😆😆
TAKUKURU (au niseme TAKUKULU) hebu chunguzeni na utaratibu wa ajira TRC. Huyu inaelekea kaajiriwa kwa rushwa.
Yani kweli mnashindwa kuweka smart card kama za benki, ccm wana kadi zina QR Code cha ajabu hata hazitumiki. Kama watu hawana elimu toeni tangazo la vijana wenye elimu ya IT waje kusaidia kuweka mifumo ya ticketing na ku control ...mkishindwa kabisa waambieni Power Computers wadesign system yakuwasaidia kufanya icho kinachowashiinda. Sio kesho aje CAG aseme TRC inahasara billion 2 ....its not fair
Huyu msemaji Bado hawezi kwenda straight, maneno mengi point hakuna. Vlevle elimu Yake npo na mashaka nayo. N msemaji wa mchongo
Acha kulemba maneno Hadi unakosea
Ila Tanzania😂😂😂😂😂
Kwani hao wanao nunua ticketi hawana number ya kiti? Hiyo ingekuwa rahisi kwani itaonyesha mnunuzi wa tiketi toka Dar mpaka Pugu ana kiti number gani na pia kiti hicho kinatakiwa kuwa tupu, akiteremka Pugu. hivyo inakuwa rahisi kama akipitiliza kwenda Morogoro watawezweza kumkamata. Mimi naishi Europe ndi hivyo wnafanya, na wakikikamata unalipa fine au wanakushusha na kukamwatwa.
Maneno meeengi hamna point yoyote
Aibu tumetumia pesa nyingi kwa mradi kama huu , halafu tunashindwa kudhibi mapato,Inaelekea hatukujiandaa kwa hilo.Tulijiandaa tu kununua mabehewa😢
WEWE HOVYO KWELI KUNA KITU KISICHO NA CHANGAMOTO
Wewe mbona ni mtu mzima.
Mtu nataka kwenda dodoma kwa 1,000/= wakati mradi umetumia tirioni 10 wafungeni ao watu na muwaweke block ya kutosafili maisha yao yote
Bado ujabuni ktk kazi yako
Masemaji wa kampuni, kusema hawezi. Msemaji hata kusema ""RRuvu "" hawezi
The solution is simple
Nchi nyingi kama china wameweka egates wakati wa kutoka kituoni baada ya safari
Ambapo inatakiwa Ku scan ticket yako tena na kama iko Sawa na kituo ndipo mlango unafunguka
Jitahdi kuboresha Ulinzi Taifa hili limeharibiwa na CCM imefanya Wizi kuwa sehemu ya Maisha ya Watanzania so Kila palipo na Mradi wa Umma Watu wanashindana Kuhujumu Mradi Mana wanaona Kila inapotoka Ripoti ya CAG hakuna Hatua zinachukuliwa
Poleni TRC hyuo jamaa wa takukuru hajui analolifanya
serekalii iiongezeeee ulinziii na ufatiajii mkubwaa hususani wafanyakazi wa treni wawee wazalendoo zaidii kuepuka uhalifuu wowoteee
Nyie ni wazembe tuu,sasa takukuru wasingesema mngejua lini
Weka nauli flat, kama mtu amepandia dar kuja Moro, iwe sawa sawa na aliyepandia katikati
Eti waliwakamata😂😂😂dada acha uongo😂😂😂
Kusafiri na sgr mpaka uwe na kitambulisho, mbona kama haija Kaa sawa!!
Kuzuia ulanguzi. Ukiacha free watu watanununua ticketi nyingi watakuuzia bei ya juu.
Kwaiyo siruhusiwi kumkatia Mama yangu ticket ama ndugu yangu? Maana apo kwenye kitambulisho italeta shida kidogo mm nipo mbali na anayesafiri ni ndugu zangu ndo ninaowakatiaga tickets
Weka details zao tu ambazo ziko kwenye IDs zao
Sasa siunaandika jina la anayesafiri
Kama unaona haiwezekani kata ticket ya mgr ile train ya zamani bado ipo.