Ahsante kwa video. Kwa upande wangu mimi huwa nafanya meal plan kwanza halafu nafanya shopping list kutokana na ingredients zinazohitajika kwenye vyakula halafu sasa naangalia kitu gani ninacho nyumbani na vitugani nahitaji kununua
Asante mpnz..Ila mm kwasababu Niko pekeangu na mmewangu hashindi nyumbn so,nmeamua kuandaa ratiba ya BREAKFAST AND DINNER tuu sijaeka lunch coz nakuwa mvivu kula mchana nakula snacks and bites ❤😊😋😋I love yours nikiwa na familia 🥰🥰
Kupitia video zako za mapish najikuta na mim napenda sana kupika na nmejua kupika vitu vng sana. Thanks alot sister
Ahsante kwa video. Kwa upande wangu mimi huwa nafanya meal plan kwanza halafu nafanya shopping list kutokana na ingredients zinazohitajika kwenye vyakula halafu sasa naangalia kitu gani ninacho nyumbani na vitugani nahitaji kununua
Nakubaliana na wewe, inasaidia pia kuhakikisha u only buy what u need for the meals
I love the timetable routine...I love your videos...streaming from Nairobi Kenya 🇰🇪💞💞💞💯
Thank You & Karibu sana
Nakupenda
🥰🥰
Nataka niwe nakupgia naomba namba yako
naomba no yako ya wasap
Mimi naona rahisi ni kuandaa timetable ndio ije shoplist yan najua nataka nile nin kwa wik au mwez husika ndio itaniguide nikanunue mahitaji gan
Ukienda shopping ukavikosa ?
Personal timetable kwanza then grocery shopping😊jpili ni pilau always😅😅kama nilirogwa
Mimi nashindwa kuheshimu timetable ...nipo jumatatu natamani nile chakula cha jumapili ...inaweza kuwa uroho labda ...dah
Hahaha
Asante mpnz..Ila mm kwasababu Niko pekeangu na mmewangu hashindi nyumbn so,nmeamua kuandaa ratiba ya BREAKFAST AND DINNER tuu sijaeka lunch coz nakuwa mvivu kula mchana nakula snacks and bites ❤😊😋😋I love yours nikiwa na familia 🥰🥰
Sy wengn hatuna timetable 🤣🤣🤣
Safiri sana kwangu Milo ni miwili tu hivyo jion ni desh maisha budget hasa kulingana pua na kazi ninazofanya
Tafadhali nionyeshe kuandika ratiba itakayo waongoza wanafunzi kwenye tamasha za muziki🙏🙏🙏🙏
Nmependa shopping kwanza then timetable, thanks
Napenda ugali samaki tembele pia
Nakufatilia sana umefanya nimejua kupika ,, Nakupenda
Nimejifunza kitu kuandaa ratiba, siku ya Kula kwa mziwanda uniambie Mimi ni jirani yako 😍
Hahaha sawa ❤️
Hahaha sawa ❤️
Nataka machine
Nakupenda wewe dada jamani
Io list ya vyakula tunawezaje kuiona?
Jmn Ika kumbe unaishi tabora napendaga unavyovifanya
Nice
Namba yako ndo nataka jaman tafadhali 🙏
Asante
Upo tabora? Au moshi?
Nakuelewa sana ika
Asante na Karibu 🥰
Napata wapi machiy
Unajuaje hii ni mihogo mizuri? Kabla hujanunua?
Mhmm najua tuu…. Pia nina sehemu moja naenda kununua, aninchaguliaga mizuri tuu…
Samahani dada wey ni muislam ao mkristo?
Mkristo
Ila kuna video ya idi uliwahi ku post ,sinjo nimechanganikiw
Hueleweki bwana kigereza kingi Cha Nini unakela
Unakerekaje kwenye channel ya mwenzio MISS TOURISM na bando sijakuwekea mimi….
Sawa ika