Baraka Allahu. Tumsaidiye sheikkh Ramadan na mzee Daudi na family yake wafanye insha Allah kujenge Msikiti ya udongo pamoja na mawe na tuta pata Baraka siku kumi ya Dhulhijja hapa Duniyani na kesho Akhira. Amin. Amin. Amin.
Assalam alleykum. ALLAH amjaalie Kivuli siku ya kiama. ALLAH amharamishie Moto siku ya kiama. ALLAH amteremshe moja kwa moja hadi peponi. ALLAH amjaalie akaribishe na makhurulain. ALLAH awajaalie wapokewe na AL-HABIB MUSTAFA SAW
Ya Allah bring your Shifaa and your infinite Mercy on this child Yusuf! YaAllah bless the Kaguo family with a lot of Sabr, and make thingd easy for the family. Ya Allah shower your mercy on this family. Ameeeen!
Mashaallah Tabarakallah Rahman Wala si ya kumcheka huyo kijana kwa kupiga plaster kwa matope ila tujilaumu wengi wetu tuliwo na uwezo hatujachangia chochote
Masha Allah, Allahu Akbar. Allah ajalie msikiti huu ambayo ni nyumba yake Allah aijalie iwe ni yenye kukamilika ili waumini wa maeneo haya waweze kupata mahali kwa kuabudu Allah Ummah Amiin
Ya Allah tunakuomba kwa cku kumi hizi tukufu umfanyie sahali kiumbe wko Yusuf na umuafu maradhi yke na uwape subra na imani wazee wake. Uwape kila la khery
Maashallahu lakuwwata illabillah, mzee wetu na mtoto wake wana imani kubwa kama za Abubakar sidiq, na ndo imewapelekea mzee kama huyu na kijana wake kujenga mzikiti qa udongi kama vile msikiti uloqachqa na mtume, innalilahi wainnailayhi rajioon, nilikua sijuo huyu mzee baada ya kuona mazishi yake, ndo nimeona hii ,Allah amjalie pepo yenye lulu, naamini Anafurahi katika kabuki lake amiin
Allah humchagua amtakae na kumpandisha darja amtakae mashallah mzee daudi allah tabarak amemchagua mashallah... kapewa nusra na golden opportunity ya kujenga nyumba ya Allah...
MashaAllah. Foundation ya upande wa Mlima ina taka iwe deep na chuma, otherwise Mskiti uta tiririka wakati wa Mvua! May Allah bless Ramadhan and the Kaguo family with your mercy, and bless the sick with your Shifaa! Ameen!
Maa shaa Allah Laquwwata illa billah they need support with this mosque project and daawa . most important in this building its lack of water they need water in shaa Allah. may Allah s.w.t grant ease upon all shaikh Ramadhan and grant him complete shifaa.
Masha ALLAH Tabarakallah..ALLAH awalipe kheri nyote baba Daudi na familia yako pia na sheikh wetu kipenz Ramadhan ALLAH ampe subra kwa kila mithiani na amjaalie mtoto Yussuph uzima tele..
Waalaikum salam warahmatullah wabarakaatuh Alihamdulillah Mm pia nakupenda sana mzee pamoja na mkeo mwenye jina la mke wangu Mariam nawapenda sana pamoja na Ali Ustadh Ramadan bin kaguo nakupenda sana kwaajili ya Allah
Sheikh Ramadhan Allah akupe mema na aku ongoze kwa mambo unayo fanya kwa kuendeleza DINI yake ALLAH, mzee Daudi pia Allah amuongoze na ampe maisha marefu ili atimize maono yake
Ma sha Allah shukran kwa ujumbe mzuri kutoka kwa Mzee Daudi na wanae na pongezi sana kwa Sheikh na team yote ya Straight Path Daawa, kwa mipango mizuri
MashaAllah baba Daud na familia yako mwenyeezi mungu awajalie umri mrefu baba Daud ili uswali kwenye huo msikiti uliouanzisha na mtoto mwenyeezi mungu akupe afya njema
Ya Allah bring your Mercy and Shifaa to our child Yusuf, and make things easy for our brother Ramadhan. Ya Allah bless the Kaguo family with a lot Sabr, and shower your mercy on them! Ameeen!
InshaAllah ikisha Jengwa ikae maridadi musianze fitina na kutaka kuwa,Comitee, Comitee in kila muislamu haimaanishi lazima ukuwe comitee wakupangwa ndo upate faida, tuache tabia ya kujipigia kura ati lazima mtu awe comitee ya masjid, Lamwisho waislamu chungeni sana na mkisema wazi hii ni nyumba ya Allah?? basi ,Atahuwe nani usijaribu Ku fkuza MTU kwa Jumba LA Allah,
Islam is good bt arabs make people hurts Islamic yani u ashidwa wanaomba 24/7 bt vituko wanafanya halafu wanasema wataenda junat bt huwezi pata mwislamu akisema warabu ni wabaya
Upumbavu wa waafrica Badala ya kujenga makampuni sipitali na mashule wao nikujenga makanisa na Miskiti wakidhania shida zao zitaisha na maombi , Bure kabisa, waizraeli na waarabu wanajenga mitambo na zana za kivita kujieka sawa nyinyi ni upuzi tu.
Martine, kutusiana si vizuri, kila mtu ana maoni yake na anajua anafanya nini, wewe shukhulika na dunia, dunia sisi ni wapitaji, mambo haya yana fanyuwa na mzee Daudi ni kazi kubwa sana
Baraka Allahu. Tumsaidiye sheikkh Ramadan na mzee Daudi na family yake wafanye insha Allah kujenge Msikiti ya udongo pamoja na mawe na tuta pata Baraka siku kumi ya Dhulhijja hapa Duniyani na kesho Akhira. Amin. Amin. Amin.
MASHAALLAH, Allah awafanyie wepesi katika kuendeleza Dini ya uislam. Bega kwa bega mpaka Firdaus
Mungu akupe umri mreefu umalize msikiti na uswali ndani yake muda mreeeefu na fahamu pia na afiya na jaza yako kwa allah 🤲🤲
Assalam alleykum. ALLAH amjaalie Kivuli siku ya kiama.
ALLAH amharamishie Moto siku ya kiama.
ALLAH amteremshe moja kwa moja hadi peponi.
ALLAH amjaalie akaribishe na makhurulain.
ALLAH awajaalie wapokewe na AL-HABIB MUSTAFA SAW
MashaAllah baba yetu Allah hampe afya njema na umuli mrefu lnshaallah
اللهم اغفر له وارحمه وعافه واعف عنه وأكرم نزله ووسع مدخله واجعل قبره روضة من رياض الجنة وأسكنه الفردوس الأعلى
اللهم امين يارب العالمين
Waaleikum salam warhmatu llahi wabarakatuh nyote amma hakika huyu mzee ana mambo ya busara sanaaaa roho saffiiii🌹🌹
Ya Allah, mfanyie wepesi kijana yussuf,muondolee maradhi aliyonayo kwa uwezo na rehema zako, mjaalie afya njema kijana yussuf
Ya Allah bring your Shifaa and your infinite Mercy on this child Yusuf! YaAllah bless the Kaguo family with a lot of Sabr, and make thingd easy for the family.
Ya Allah shower your mercy on this family. Ameeeen!
Ameen suma Ameen, ya Fatira as Samawati wal Ardhi!
Ameen
Ameen
Allahumah Amiin 🤲
I Remember story of nabii ibrahim na nabii ismail how they build kaaba mashaalh itajaa vile ibrahim aliomba mungu hii msikiti ijae
Walahi very true SubxanAllah ☝🏾
Mashaallah Tabarakallah Rahman
Wala si ya kumcheka huyo kijana kwa kupiga plaster kwa matope ila tujilaumu wengi wetu tuliwo na uwezo hatujachangia chochote
Masha Allah sheikh Ramadan Allah awazidishie waliotoa hizo blocks
Masha Allah, Allahu Akbar. Allah ajalie msikiti huu ambayo ni nyumba yake Allah aijalie iwe ni yenye kukamilika ili waumini wa maeneo haya waweze kupata mahali kwa kuabudu Allah Ummah Amiin
Nakuombea mungu mzee daud watokezee wahisni wakufikishe mkkah wewe na mama watoto🤲🤲amiin
Ya Allah tunakuomba kwa cku kumi hizi tukufu umfanyie sahali kiumbe wko Yusuf na umuafu maradhi yke na uwape subra na imani wazee wake. Uwape kila la khery
Allahuma ameen
Ma-Sha-Allah, May Allah make it easy for him in his grave and grant him Janatul Firdaus
Ma shaa Allah bro nice
Alhamdulillah Marhum Mzee Daud amekalia kuwa mtu Mwema Sura yake ilikuwa ina Nuru MashaaAllah M.Mungu amueke pamoja na waja wema Peponi Amin
Sheikh Ramadhan Allah ampe shifaa na afya njema mtoto wako Yusuf Kaguo Amiin Thumma Amiin
Allah Amlaze mahala pema peponi amin
اللهم ارحمه واغفر له واجعل قبره روضة من رياض الجنة
Mzee daud una Nuru Kwa kipaji Yako ALLAH ataku stiri dunya na akhera
MashaAllah shelkh Ramadhani Allah hakupe umuli mrefu na pepo ya fildas
Asc ustadh ramadhan mashaallah kazi kwako
Masha'Allah Masha'Allah Masha'Allah!! Allah awape moyo huo huo in sha'Allah
Maashallahu lakuwwata illabillah, mzee wetu na mtoto wake wana imani kubwa kama za Abubakar sidiq, na ndo imewapelekea mzee kama huyu na kijana wake kujenga mzikiti qa udongi kama vile msikiti uloqachqa na mtume, innalilahi wainnailayhi rajioon, nilikua sijuo huyu mzee baada ya kuona mazishi yake, ndo nimeona hii ,Allah amjalie pepo yenye lulu, naamini Anafurahi katika kabuki lake amiin
My brother keep on doing your Allah will pay you
Allah humchagua amtakae na kumpandisha darja amtakae mashallah mzee daudi allah tabarak amemchagua mashallah... kapewa nusra na golden opportunity ya kujenga nyumba ya Allah...
Allahuma arhamuh hii video likua cjayiangalia Allah amjalie awe Karibu Na rasulu llah
ALLAH AKUWEKE PEMA PENYE WEMA MZEE WETU HYO NI SADAKATUL JARIA MASHAALLALLAH ...AKUANGAZIE NURU KATIKA KABURI LAKO
Ya Rabb🤲 mpe shifaah mtoto yusuf na uwazidishie subra wazazi wake In Sha Allah🤲🤲
Allah ampe shifaa na afya njema mtoto Yusuf kaguo 🤲🤲🤲
Allahuma ameen 🤲
MashaAllah.
Foundation ya upande wa Mlima ina taka iwe deep na chuma, otherwise Mskiti uta tiririka wakati wa Mvua!
May Allah bless Ramadhan and the Kaguo family with your mercy, and bless the sick with your Shifaa! Ameen!
Allah akupe subra kwa ajili ya Yusuf na amjaalie shifa na afya.
Maashaallah allah awajaalie yalio mazuri maishani mwenu
ماشاء الله كان ومالم يشأ لم يكون.ولا حولا ولا قوة إلا باالله
Maa shaa Allah Laquwwata illa billah
they need support with this mosque project and daawa .
most important in this building its lack of water they need water
in shaa Allah.
may Allah s.w.t grant ease upon all shaikh Ramadhan and grant him complete shifaa.
Allah haongoze hii family awape husnul hatima
Mashallah
Asalam Alaykum warahama tulilah wabarakatuh ! Masha Allah kila mwenye kuchangia Allah amzidishie Amin Amin
Amiin Thumah Amiin
Allah Akbar
MashaAllah Abubakar Mungu hakupe afya njema na umuli mrefu lnshaallah
Alhamdulillah karaqllah fikum,,,
Masha ALLAH Tabarakallah..ALLAH awalipe kheri nyote baba Daudi na familia yako pia na sheikh wetu kipenz Ramadhan ALLAH ampe subra kwa kila mithiani na amjaalie mtoto Yussuph uzima tele..
Mashaallah mashaallah shekhe Ramadhan ukitaka kunikosha ukituletea mzee daud natamani njie niwaonee wazee wetu allah akiniwezesha
ALLAHÚ AKBAAR.
Asalam alykum www mze daudi mungu akuripe jana ishallah
Bismillahi mashallah
Jamani wasaidiwe haraka mashallah allah awazidishie imani yarab ameen
Mashallah Allah 💕
Waalaikum salam warahmatullah wabarakaatuh Alihamdulillah Mm pia nakupenda sana mzee pamoja na mkeo mwenye jina la mke wangu Mariam nawapenda sana pamoja na Ali Ustadh Ramadan bin kaguo nakupenda sana kwaajili ya Allah
MashaAllah TabarakahAllah
Mashallah Allah mungu ataisimamia kazi hiyo na kuifanikisha insha'Allah na amjaalie pepo kila aloshiriki katika mambo ya kheir
Innaliliahi wa ina lirejiun mzee wetu Allah akurehemu ❤
❤❤❤Inshallah Inshallah
Jamani 🥰 nimeishiwa na maneno kwa furaha niliyo nayo. Allah awabariki wote Amiin.
Mashaallah mashaallah
Sheikh Ramadhan Allah akupe mema na aku ongoze kwa mambo unayo fanya kwa kuendeleza DINI yake ALLAH, mzee Daudi pia Allah amuongoze na ampe maisha marefu ili atimize maono yake
Insha Allah
MASHAALLAH
Mashaaالله Mashaa الله Mashaa الله. الله awalipe janna firdaus.😢😢😢 الله anamuongoza amtakae.
Masha Allah tupo tayari kujenga huo msikiti aliouwanza babu isha Allah
Ma sha Allah shukran kwa ujumbe mzuri kutoka kwa Mzee Daudi na wanae na pongezi sana kwa Sheikh na team yote ya Straight Path Daawa, kwa mipango mizuri
Mashaa Allah
Masha Allah 🥰
Allah Akulipen Jan sina lakusem
ninafurahi san
Assalem aleykum.Allah atampa shifaa Yusuph ktk mwezi huu mtukufu wa dhul hija
Niulize kwani uyo mtoto alikua mzima ? Mitihani duniani hapa ila Isha Allah mungu atampa shifaa tunamuombea dua
maashallah Allah awalipe .Abu bakar kaza buti kakangu Allah atakulipa pamoja waisllam wote
MashaAllah
MashaAllah baba Daud na familia yako mwenyeezi mungu awajalie umri mrefu baba Daud ili uswali kwenye huo msikiti uliouanzisha na mtoto mwenyeezi mungu akupe afya njema
Mashaalla mashaalla alhamdulilah
Masha Allah Ustaz Sheikh Ramadhan.
HUU MSIKITI WA UDONGO UVUNJWE , UJENGWE WA MATOFALI.CEMENT.
Toamchango
Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar
MASHALLAH
Masha’Allah Allah amfungulie milango na amfanye mambo yake yawe nyepesi pamoja na familia yake
Alhamdulahi I'm number 1
Mashallah tabarak Allah keep sharing
Ya Allah bring your Mercy and Shifaa to our child Yusuf, and make things easy for our brother Ramadhan. Ya Allah bless the Kaguo family with a lot Sabr, and shower your mercy on them! Ameeen!
InshaAllah ikisha Jengwa ikae maridadi musianze fitina na kutaka kuwa,Comitee,
Comitee in kila muislamu haimaanishi lazima ukuwe comitee wakupangwa ndo upate faida, tuache tabia ya kujipigia kura ati lazima mtu awe comitee ya masjid,
Lamwisho waislamu chungeni sana na mkisema wazi hii ni nyumba ya Allah?? basi ,Atahuwe nani usijaribu Ku fkuza MTU kwa Jumba LA Allah,
ALLAHUMMA AAMIN
MashaAllah ❤️
Wsc sisi pia tunakupenda baba
Kila mwenye Nia ya huu msikitin kumalizwa na uwe wa kisasa ipo siku utamaliza
th-cam.com/video/V5ALW4tokzM/w-d-xo.html JOHO ANAKUBALI WALIUZA PORT.
Islam is good bt arabs make people hurts Islamic yani u ashidwa wanaomba 24/7 bt vituko wanafanya halafu wanasema wataenda junat bt huwezi pata mwislamu akisema warabu ni wabaya
Namba ya mpesa tuchangie chochote kwa akili ya Allah
Hawa watu ni wa nchi gani jamani please munambiye
Straight path Daawa is a kenyan channel.
@@missfuyuza5573 shukran jazak allahu kher
Assalam aleykum dadangu, ni wa machakos
@@sitnafaraj2813 shukran
Upumbavu wa waafrica Badala ya kujenga makampuni sipitali na mashule wao nikujenga makanisa na Miskiti wakidhania shida zao zitaisha na maombi , Bure kabisa, waizraeli na waarabu wanajenga mitambo na zana za kivita kujieka sawa nyinyi ni upuzi tu.
We ni mjinnga sana kampuni zitakupeleka mbinguni.kafiri wewe.
@@lovemwantiti8130 kifaa unachotumia kuandika huo upuzi hakikutoka msikitini Wala kanisani
Martine usikejeli watu kila mtu anamsimamo wake heshimu maamuz ya mtu
Tutusi watu ni vibaya
Martine, kutusiana si vizuri, kila mtu ana maoni yake na anajua anafanya nini, wewe shukhulika na dunia, dunia sisi ni wapitaji, mambo haya yana fanyuwa na mzee Daudi ni kazi kubwa sana
I want to donate for the Daud mosque Can u send me the proper contact Am in Abu Dhabi
Mungu akupe umri mreefu umalize msikiti na uswali ndani yake muda mreeeefu na fahamu pia na afiya na jaza yako kwa allah 🤲🤲
Mashallah inshallah
Masha ALLAH
MashaAllah
Mashaalah
Masha Allah