Vitu vingine ni ujinga tu,suala la madeni yanayohusiana na usajili hayapo Yanga tu,Yapo kwenye vilabu vingi Duniani,hivyo ni kitu cha kawaida tu ---- Kuhusu kujiendesha kihasara,mpaka baadhi ya vilabu vikubwa Duniani vinajiendesha kihasara --- Kuhusu Avick Town --- Timu iko likizo,kuwepo kwa deni,ni kitu cha kawaida,kwani wamewaambia hawawezi kulipa " acheni ushambenga "
Media za kwetu ni za kishamba sana. Yaani unamwona mtu mzima analio gelea jambo sio kwa faida bali kwa nia ya kuwakatisha tamaa watu wengine. Huwezi kuona wa hM uzi wetubwakitoa majibu ya tafiti bali wanavizia matukio na ndio mwisho wa kufikiri kwao. Jesho likibadilika na wao wanabadili kauli zao.
Uzuri wa viongozi wa Yanga hawakaribishi mtu kitu eti chai ya asubuhi, wao na msimamo tu, Yanga ni timu ya mpira, hamna kudekeza wapiga mawe miti yenye matunda.Mkitaka matunda na chai mtayqpata shambani.
acha uchonganishi Mzee wa friji bovu sai wako likizo na avic town wapo vijana wa safari champion sa mazoezi ya wapi na wapi bila yanga hamuendi mjini mnapendaga madhaifu tu mazuri amyaoni ndo bongooo na wachambuzi wetu wa sai
Vitu vingine ni ujinga tu,suala la madeni yanayohusiana na usajili hayapo Yanga tu,Yapo kwenye vilabu vingi Duniani,hivyo ni kitu cha kawaida tu ---- Kuhusu kujiendesha kihasara,mpaka baadhi ya vilabu vikubwa Duniani vinajiendesha kihasara --- Kuhusu Avick Town --- Timu iko likizo,kuwepo kwa deni,ni kitu cha kawaida,kwani wamewaambia hawawezi kulipa " acheni ushambenga "
Huyu friji bovu unapenda kuwaponda yanga ili maisha yako yaende
CHANNEL IPO KISIMBA SIMBA SANA
Media za kwetu ni za kishamba sana. Yaani unamwona mtu mzima analio gelea jambo sio kwa faida bali kwa nia ya kuwakatisha tamaa watu wengine. Huwezi kuona wa hM uzi wetubwakitoa majibu ya tafiti bali wanavizia matukio na ndio mwisho wa kufikiri kwao. Jesho likibadilika na wao wanabadili kauli zao.
Yanga wako likizo, ile ni timu ya safari larger.
Kwani Simba hwana madeni?
Uzuri wa viongozi wa Yanga hawakaribishi mtu kitu eti chai ya asubuhi, wao na msimamo tu, Yanga ni timu ya mpira, hamna kudekeza wapiga mawe miti yenye matunda.Mkitaka matunda na chai mtayqpata shambani.
Friji bovu ni mjinga tu na mchonganishi wa yanga. Ongelea litimu lako lililoshuka daraja. Pumbavuni.
acha uchonganishi Mzee wa friji bovu sai wako likizo na avic town wapo vijana wa safari champion sa mazoezi ya wapi na wapi bila yanga hamuendi mjini mnapendaga madhaifu tu mazuri amyaoni ndo bongooo na wachambuzi wetu wa sai
Mti wenye matunda mawe saizi yake. Hamna uchambuzi hapo.
Ww ni falaa hayakuhusu
HII NI CHANNEL YA SIMBA YAKE??
NANI ANAWEZA KUNIFUNDISHA NAMNA YA KU UNSUBCRIBE?????????????
Mmeishindwa yangu kwenye mpira mnahamia kwenye fitna, mafala nyie, chezeni mpira
HII NI CHANNEL YA SIMBA.... AMBAO HII CHANNEL HAITUHUSU...TUAGE MAPEMA
Mashabiki wa yanga timu yao ikisemwa wanakuja juu ingekuwa simba ingekuwa furaha
Ngoma ikivuma sana ndio karibu na kupasuka Tutayasikia mengi sana ya utoporo
Hamna aibu hata kidogo, mnajitahidi kuiponda Yanga lakini hamuwezi
Dar yote ina joto, cha ajabu nini? Dar wstu wanavaa suti mwaka mzima , unazungumzia joto? Yanga wakirudi avic mtasemaje?.
Huyu friji bovu unapenda kuwaponda yanga ili maisha yako yaende
Si muende mkawaulize wenyewe kama hamna uhakika wa mnayoongea chuki imekuandama mtangazaji itakuuwa
Huyo mwenye nyeusi ni mchambuzi bora sana ila huyo njano aendelee kujifunza kwake maana uchambuzi si chuki.
Unafikiria nini? Huna uhakika? Kama huna uhakika kwanini utuletee hayo?.
uyo mwenye kijisuti cha kuazima anaumwa mavi ya bata
Wewe njano uchambuzi ni chuki? Yanga ipooooo bora sana.