MALAYA WA KICHEZA UCHI | KIGOMA CHA USWAZI ,KIGODORO : TARUMBETA/ BAIKOKO UCHI | CHURA KAMA WOTE 900
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- TARUMBETA NDANI YA /BAIKOKO Usiku Wa KIGODORO CHURA KAMA WOTE
KIGOMA CHA USWAZI
MALAYA WA KICHEZA UCHI | WACHEZA UCHI | KISWASWADUOG BAND WAKIFANYA YAO | BAIKOKO UCHI.
Hii nchi Haina dini Wala desturi ya kimila .mungu awaonyeshe haki. Wanawake wengine hawana haya.
Mbele ya watoto jamani ,hii nchi Ina viongozi kweli ,kitunzeni kizazi kijacho ,Toka Kenya ni machukizo ,muogopeni mungu
SubhanaAllah 😢
mnajivujia.heshima.
Innalilay wainnalillay rajuun
Kwani mukivaa vizuri na ukajistiri ukucheza hutoonekana rudini kwa Allah wacheni kuipenda dunia kifo hakiagi
Molla awageuzie
Mimi nikiona hivi ndiyo mana sina hivyo vijora sijui tu navionaje kama nipo uchi
Nina umri wa miaka 65now.ujana tuliupitia saaana tu.madisco Rugwe oceani ,Mbowe club,music white House nk.lkn hii ya kujilahisisha hivi NO.ya kutimua hadi makwapa yananuka No ushajitia HuG0 purfume saa ngapi ukajifunue funue ovyo hivyo.polen saana vijana wa sasa.starehe hakuna kuna karaha tu.
Hamumuogopi.allwah.kesho.mtapambana.nae.huko.
Allah ni mkubwa Andika Allah kwa herufi kubwa Shukran
Innalillah wainna ilaiyh rajiuun 😭
Tanzania ni nchi NZURI na Ina maadilifu LKN ilikuwaje Leo imefikia HAPO JE uongozi na ubinadamu umekwisha kiasi hicho
🇬🇧😮
They will still strike
mna.watoto.mna.familia.hiyo.ni.laana.
Hivi waokwa wao hawashauriani, kwamba unapocheza mbele ya mtoto wa mwenzako una mharibu.
Hawajui kwa nini video wanaandika umri fulani ndiye aangalie.
Hayasemeki, mungu atawaondolea,na awaongoze kwa njia ya haki,tuzidi kuwaombea,the devil is at work
Hata sijui wanafikiriaga nini,nashukuru mungu sijapitia hayo na tuendelee kuwaombea familia zetu mungu awaepushe na hilo uwa naumia mimi bs tu,tunawafundisha nini watoto na familia kwa ujumla?tuna zambi ila zingine mmmmmh
Mkuu WAkoa wawajibishe viongozi WA huo mtaa Ili iwe fundisho
Wanaume wanapita wima hata kuwaangalia hawataki wanawaona wapuuuzi tu.
Hadi huruma.stareh zilikuwa zamani. 1980's ukitaka kwenda Ochestra Moquies Ubungo maji ,ukitaka kwenda Safari Resort kimara, ukitaka sikinde DDC kariKoo.mambo safi ya kunukia tuuu.
WATOTO wetu jamani jamani jamani wanamikikishwa au kurishishwa nini serikali kila SIKU inasema maadili kwa KWA WATOTO maadili KWA WATOTO haya yanayofanyika mbele ya WATOTO tutapona? Ukioa msichana WA miaka 17 au 16 UNAKAMATWA SASA HAYA YANAYOFANYIKA KWA HAWA WADADA TUTARAJIE NINI SIKU ZA USONI!!!?
Hii sodom na gomorrah itawaka mwoto
Mbele ya watoto yaani
Viongozi wetu sijui hawalioni hili wakalikemea?
We jamaa mbishi sana
Mbele ya watoto yaani
Yesu peke yake ndiye awexaye kuwashindania na laana na ghadhabu ya Mungu
Rudini kwa Allah hakuna mkamilifu isipokua ye muumba ukitubia atakusamehe
Muogopeni Allah na adhabu alizotuandalia Allah ameshachoka na vitimbi munavyofanya ndio maana alionyesha uwepo wake kwakuleta mafuriko na mtetemesho wa ardhi
Innalilahi wainna ilaihi rajiuon akina dada ukumbusho wa bure Kila kitu unachokifanya na kurekodiwa km ni chakheri basi hata ukiaga dunia kina faida kwako na km ni uchafu huu munaoufanya BC vile vile utaadhibiwa hadi kisimame kiama