Dax Mtiwandege Ft Mwasa Mwasomola_Tenda(official video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- Artist:dax Mtiwandege Ft Mwasa Mwasomola
Song:Tenda
Produced by Musa
Dax Mtiwandege contacts
+255 627932648
Directed by Elly
@christophermwahangilaofficial @millardayoTZA @mgogosinger @joellwaga @upendonkone @UPENDO @upendomediatv394 @UltraBollywood @NeemaGospelChoir @agapegospelband
Hongereni kwa kazi nzuri ,hakika ni injiri tosha kutoka kwenye vinywa vya watumishi wa Mungu,Mungu azidi kutenda zaidi juu ya huduma yenu
Amen kaka Kennedy
Ewaaaa hongera kaka angu ❤❤😊
Upovzuli brother
Ndioooo lazima MUNGU wetu atuguse mwaka huuu ujumbe mzito Sana huuu
Amen my brother 🙏🙏
Hongera kwa kazi nzuri kamanda, Mungu azidi kukutia nguvu
Amen 🙏🙏
Huu ni mwaka wa kustawishwa, ujumbe mzito ubarikiwe sana mtumishi ❤
@@JustineChalula-j6z Amen mtumishi wa Mungu J 🙏
Mtumishi KAZI nzuri sana👏👏👏
Asante sana kaka 🙏
Hongera mtumishi wa Mungu kazi nzuri
Asante sana 🙏
Chorus imesmama aiseee🔥🔥🔥🔥
Asante master J Bless 🙏🙏
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
Amen my brother Green
Hongera mkuu
Asante sana mkuu
Mtumishii 💯
Naaam 🙏🙏
Ilikuwa kama utani wakati unasema unataka kumuimbia MUNGU na ulisema nitakuja kuwa mwimbaji utaniona Tu kweli MUNGU anafanya kile unachokitamani kazi nzuri daxmtiwandege
😂😂 kumbe unakumbuka hakika ndio ilikuwa haja ya moyo wangu kumwimbia Mungu aliyenitoa mbali kuleeeeeeee,hapa bado sana
@@daxmtiwandege5063 hakika nakumbuka Sana nilikuwa nakwambia auwezi wewe utaishia kushika nywele Tu hapa kwa mahenge unasema siwezi kuishia hapa Mimi Maria na kama uamini namshilikisha na Rebecca sasa tuimbe wote kweli bwana MUNGU aendelee kukutumia vizuri na kuongeza kalama nyingi Sana kwako sasa usisahau ahadi yako ya kumshilikisha Rebecca ♥️♥️
Tunataka upako wako mungu baba🙏🙏🙏🙏
Hakika upako original wa Yesu tunautaka
Amina dax Mungu akubariki
Amen dadaangu E
Kazi nzuri bro🔥🔥
Asante sana melody noir
Barikiwa Sana Kaka
Amen kakaangu 🙏🙏
Hongera sanaaaaaa
Asante sana bro Yusto 🙏🙏
Balikiwa sana
Amen 🙏🙏
Ubarikiwimbo mziri
Amen
AMEN
@@godsonmwaibingila8309 Asante sana dadaangu Liz boss wangu 🙏🙏
@@godsonmwaibingila8309 Amen my brother 🙏
Haleluyaaa
Amen dadaangu 🙏🙏