tanzania eti.nnchi.ya.amani.hii.amani.iko.wapi.ipo.siku.mungu.atasikia.kilio.chetu.tunaumia.sana.mama nnchi.imemshinda.wangekuwani.ndugu.zake.yeye.angejisikiaje?
Bahati mbaya sheria nyingi ha sheria za ugaidi zilitungwa wakati bunge lilisheheni wabunge wa upinzani hasa kwa sababu zililenga waislam watu hawakujali bila kufiria Athari zake hasa wakati wa utekelezajik utekelezaji
Haya matukio yamezidi. Watanzania hali tete, polisi wala hawaonyeshi joto la kuchukua hatua kali, serikali ina maneno ya mzaha, bunge linapiga porojo, duh! Ni hatari
Hakuna kujiuliza ni ccm na selikali ninyi mnaotelekeleza mauaji haya kumbukeni kuwa mnaweza kutuchezea cc lakini mungu hachezewi Mungu anawaona na nasikitika kuwa kwamba mtawabambikiza watu wasio na atia ila mungu wa majeshi atawakamata Mungu atawakamata tu
Mbona akiuwawa mtu wakawaida polis uwasaka nakuwakamata waharifu kwanini wanaotekwa na kuuwawa ususa ni vyama vya upinzan wausika hawakamatwi Kuna kitu nyuma
Hii tz ni nchi ya ajabu kuwahi kuwepo katika ulimwengu huu, Kwa matukio haya ya utekaji wa watu na mauwaji hakutazuia Nia ya watanzania kuhitaji mabadiliko , ni aibu kusema taifa Lina amani wakati damu ya vijana inamwagika bila sababu: damu ya vijana Hawa ikae juu yenu na familia zenu vizazi hata vizazi
Hakuna damu itaenda bureee nyie jifanyeni mnachunguza ila damu damu damu haita waacha salama mtakufa vifo vya ghafla iwe ajali au presha Mungu sio mwanadam hata muhonge subirini time will tell
Huu ni ujinga si siku zote mnsema hiyo ni kazi ya kiweledi?,inasikitisha sana maana mlipewa taarifa za kutekwa mapema hamkufanya kitu sasa mnakuja na hoja dhaifu
Nchi gani hii watu wanatekwa mchana kweupe na kupatikana wameuwawa mbona hakuna w CCM ALIYEPOTEA AU KUTEKWA NA KUUWAWA SERIKALI INJIIAIBISHA NA KUJIPAKA MATOPE AIBU KUBWA ETI AMANI NA UTLIVU MHE RAIS USITWEET HUTUBIA TAIFA TUKUSIKIE WEWE UMEBEBA DHAMANA YA NCHI HII
Hili swala la kutekwa serikali inajuwa acheni kutuletea Malocha picha mnajuwa kila kitu Mungu atatenda damu hizo mnazo mwaga kisa ccm ubaki madarakani Huwo sio utawala halali polisi mnastahilib lawama pingu bunduki mpaka kwenye basi eti mnachunguza spika ulikataa kujadili haya sasa hilo limetokea tuambie kinacho hili nalo unasikia wala kuona raisi wako katatowa tamko wewe je
Siasa bwana kama ni kweli polis mnafanya haya mungu awaangamiz,kama mna siasa za marekan umsakizie mbwa huy ni mwiz kumb unataka kumwondoa ili uibe we naw mungu akuangamiz, jamaa hakutaka ukamanda kwa gadaf
Hivi wanaofanya haya ni akina nani? Na Kwa nini ni kwa viongozi wa chadema tu? Mbñ hatusikii mtu wa ccm akipotea?
Samia samia samia dam hiz zinakulilia utaishi milele wewe tumalize wote ubak wewe na wat wako
Uko sahihi ndugu!!!
Pia mhe.raisi tunaomba umfute kazi waziri wa mambo ya ndani na wambura wafute kazi mara moja
Kabisa.hawana maana yeyote kwa wananchi wa Tanzania. Haijawahi kutokea
Mimi naungana niwatanzania wengine kumtaka waziri wa mambo ya ndani na mkuu wa jeshi la polisi wajiuzulu mara moja
Serikali ifuatilie mauwaji tz ni kikundi kikubwa sana lakini mungu ataleta maajabu wauwaji watapatikana
Hilo faili litapelekwa halafu litawekwa uvunguni, halafu maisha mengine yanaendelea, imeisha hiyo
Mi naomba serikal ituuzie siraha kwa ajiri ya kujilinda yaan Tanzania yetu sasa ishakuwa Tanzia
Je jambazi angia kwenye basi na kututeka tutajuaje jambazi na polisi kwa Hali hii
tanzania eti.nnchi.ya.amani.hii.amani.iko.wapi.ipo.siku.mungu.atasikia.kilio.chetu.tunaumia.sana.mama nnchi.imemshinda.wangekuwani.ndugu.zake.yeye.angejisikiaje?
Kiukwel inaumiza sana kama vitendo hivi vikiendelea wananch tutaingilia kati sasa
Mbona ni wengi wamekwishapotea ,uchunguzi wa hao wengine unaanza lini ?Mungu atawalipa wote wenye hizo njama mchana kweupe
Halafu utasikua mijitu mingine bado utakuta inasema mnaichafua serikali ya mama
Wangap wamepotea na uchunguz Gani mlotujuza wananch wenye mantiki kwa Watanzania.
Kwa nini chadema tu😱 mbona ccm hata mmoja habuguziwi!? Basi wafuteni chadema kwa nini mnapata tabu
Bado mtatuuwa sana hatunyamazi msitunyamazishe kwa kutuuwa nyie mtaishi milele
Mimi pekee yangu naona kama hyu rais naye hawezi kuwaangalia watanzania 😢kwasababu hajachaguliwa ndio maana hawawezi kuingoza nchi 😢😢😢
Haya matukio hatuta yafumbia macho raisi atwereze
Hao ni wale walio kwenda kusomea upelelezi nchini Israeli
Bahati mbaya sheria nyingi ha sheria za ugaidi zilitungwa wakati bunge lilisheheni wabunge wa upinzani hasa kwa sababu zililenga waislam watu hawakujali bila kufiria Athari zake hasa wakati wa utekelezajik utekelezaji
mhuuu!!
Masauni jiuzulu hufai nenda kwenu Vikokotoni zanzibar unwe
UJI WA TAAPU
Polisi wanasema mwenye habari kama ni wao au TISS wanaenda kuripoti bungeni?
Police wetu wanachekesha sana kwakweli,
So sad 😢😢
Ingieni barabarani kama kweli munaweza wakrnya wanaweza ndio maana south Afrika rais anafungu 😢😢😢😢 Tanzania damu za watu zitawalaani😢😢
Haya matukio yamezidi.
Watanzania hali tete, polisi wala hawaonyeshi joto la kuchukua hatua kali, serikali ina maneno ya mzaha, bunge linapiga porojo, duh! Ni hatari
Nan analiamini jeshi hili la Police la Tanzania?
Hakuna kujiuliza ni ccm na selikali ninyi mnaotelekeleza mauaji haya kumbukeni kuwa mnaweza kutuchezea cc lakini mungu hachezewi Mungu anawaona na nasikitika kuwa kwamba mtawabambikiza watu wasio na atia ila mungu wa majeshi atawakamata Mungu atawakamata tu
Tuseme wakija watu wenye silaha na pingu ambao hawana unifom tukabiliane nao? Police msitutanie haya mambo mnayajua
Nan anaweza kujipeleka kwa polisi ,yaan polis siwez waamini
Mbona akiuwawa mtu wakawaida polis uwasaka nakuwakamata waharifu kwanini wanaotekwa na kuuwawa ususa ni vyama vya upinzan wausika hawakamatwi Kuna kitu nyuma
What is going on in our nation our police are very weak
RIP smen
Hii
Hii tz ni nchi ya ajabu kuwahi kuwepo katika ulimwengu huu, Kwa matukio haya ya utekaji wa watu na mauwaji hakutazuia Nia ya watanzania kuhitaji mabadiliko , ni aibu kusema taifa Lina amani wakati damu ya vijana inamwagika bila sababu: damu ya vijana Hawa ikae juu yenu na familia zenu vizazi hata vizazi
Hakuna alie salama inaskitisha
Nan anawalipa hao watekaji?
Waziri wa mambo ya ndani na mkuu wa polisi wafutwe kazi halafu washitakiwe
Hakuna damu itaenda bureee nyie jifanyeni mnachunguza ila damu damu damu haita waacha salama mtakufa vifo vya ghafla iwe ajali au presha Mungu sio mwanadam hata muhonge subirini time will tell
Tola lini mwiz ajichunguze
Mtakufa hata kwa ajali tu tutapiga maombi yakila namna hadi mungu asikie kama mtaumaliza huu mwaka nyie ueni kwa upanga
wambula hafai wala masaun
Subirini kidogo wataenda kukamata walevi na vijiweni ili kuwasingizia
Huu ni ujinga si siku zote mnsema hiyo ni kazi ya kiweledi?,inasikitisha sana maana mlipewa taarifa za kutekwa mapema hamkufanya kitu sasa mnakuja na hoja dhaifu
Wapuuz nyie. Kwa Lisu Nini uchunguz wenu na pale kulikuwa na ulinz na kamera. Nani along,oa kamera. Yaaan mnawatia hasra tu wananch
Upelelezi si wenu nani aje naye mmteke? Police ipo siku mtayakumbuka yakiwafika shingoni hata Kenya ilikua hivyo
Nchi gani hii watu wanatekwa mchana kweupe na kupatikana wameuwawa mbona hakuna w CCM ALIYEPOTEA AU KUTEKWA NA KUUWAWA SERIKALI INJIIAIBISHA NA KUJIPAKA MATOPE AIBU KUBWA ETI AMANI NA UTLIVU MHE RAIS USITWEET HUTUBIA TAIFA TUKUSIKIE WEWE UMEBEBA DHAMANA YA NCHI HII
Samiya ni muhuwaja kwataifa yetu
Majibu ya watu wajinga wanao tupia police na waziri wa mambo ya ndani huwezi kutupia mtu kabla ya kusubiri matokeo ya uchunguzi
Waraka was polisi sijauelewa rais samia toa kauli usisubiri waTZ waseme tumechoka
WAUAJI NI MAPOLISI NA USALAMA WATAIFA, NA HAO HAO NDIO WACHUNGUZI? SAMIA NA SEREKALI YAKE MLAANIWEEE
Hapo sio uchunguzi upatikani kinachotakiwa masauni ajiuzuru na mkuu wa jeshi la polisi wajiuzuri ili wote wameshindwa kazi
Nchi imekuwa kama hakuna serikali mwingine anaamka tu anafuta Tarafa ya ngorongoro wale wenyeji waende wapi wapi?
😮
Hivi shida ni ninimvona ccmhawapotei wasiojulikana vipi wakati wamemshushà kwenye basi live watu wanaoa sawa munguyupo
Hili swala la kutekwa serikali inajuwa acheni kutuletea Malocha picha mnajuwa kila kitu Mungu atatenda damu hizo mnazo mwaga kisa ccm ubaki madarakani Huwo sio utawala halali polisi mnastahilib lawama pingu bunduki mpaka kwenye basi eti mnachunguza spika ulikataa kujadili haya sasa hilo limetokea tuambie kinacho hili nalo unasikia wala kuona raisi wako katatowa tamko wewe je
Nyie polisi iposiku yenu
Mayoooo alisema nchi ipo salama
Inategemea maana yao ya nchi ni nini na nani.
Wale walio sema mbowe me mfanya nini
Polis hamnachochote
IGP na mkurugenzi wa usalama achieving ngazi haraka na mkamatwe kunyongwa
Achieni ngazi
𝔐𝔲𝔫𝔥𝔲 𝔞𝔱𝔞𝔴𝔞𝔩𝔞𝔞𝔫𝔦
Yaweza kuwa polisi hawahusiki na hawajui chochote but kuna watu nyuma yao wanachafua sifa ya jeshi la polisi
Una maana gani? Au wewe unaweza kumteka na kumwangamiza mwanao au nguduyo na ukawa hujafanya kosa la jinai kwa kuwa uliyemfanyia ni halali yako?!? 😮😮
Siasa bwana kama ni kweli polis mnafanya haya mungu awaangamiz,kama mna siasa za marekan umsakizie mbwa huy ni mwiz kumb unataka kumwondoa ili uibe we naw mungu akuangamiz, jamaa hakutaka ukamanda kwa gadaf
ALI HASSAN MWINYI
ALIOMBA
KUJIUZULU UWAZIRI
Kabla ya kuwa Rais Waziri Ali Hassan alijiuzulu kwa Mauwaji ya Shinyanga.