Acha ubaguzi ndugu. Wako ndugu zetu WA kibongo wengi Tu wanaopata Kenya. Mr Nice mpka leo Maisha bomba kuptia Kenya, Fredrick Muller ndugu yko kbsa WA Morogoro yko anafanya mziki Safi Tu, hkohko Kenya.
@@Soundprobeats sijui nilisemalo vipi Sasa kwani S2kizzy Si kapokea mikoba kutoka Kwa T-touch na queck rock Sasa Kuna ubaya gani ye kumuachia mikoba ginnix66 au mikoba unaichukulia ni uchawi au
I’ve been watching this kid aisee ni super talent trust me utafika mbali sanaa proud of you
Geniusjin ×66
Mtu makiniii😅😅
Danzo Tabata boi, mtoto wa kanisani, kiongozi wa viwawa 😂, unatisha SANA Kaka, ithinking it's your time, keep up man
Huyu ni mbongo kwao kilimatinde wilaya ya MANYONI
Jamaa mkali sana
Watanzania tunahuruma sana hawa akina Genius si wakenya tunajua ila tumewapa ustar 😢 ila ingekuwa wakwetu kupata TU hii interview nikisanga
Acha ubaguzi ndugu. Wako ndugu zetu WA kibongo wengi Tu wanaopata Kenya. Mr Nice mpka leo Maisha bomba kuptia Kenya, Fredrick Muller ndugu yko kbsa WA Morogoro yko anafanya mziki Safi Tu, hkohko Kenya.
@@chuchufplatnumz4888syo ubaguz kaongea ukwel tz inaupendo wa pekee
Ebu imba wewe tukuone 😂😂😂😂ww si mtz?ebu imba huku tz tukuone 😂😂😂😂
Acha wivu bwana ,tatizo nyota
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Binadamu wote hawatakiwi kusema uongo sio swala la udini
Fundi
it's jin ex dabo six
Jaman kuliza siyo ujinga hivi huyu Jini wanaundugu na huseni machozi?🙏
Memi apa ndo ndugu yake
Acha ujinga😏
Hapana huyo nimkimbizi kutoka Kenya hana udugu na Huseni
So ndungu ni wanatoka mkoa mmja
Kuuluza ni ujinga acha kujitetea
Naona kabisa gin×66 anavochukua mikoba ya S2kizzy siku chache zijazo
Hujui ulisemalo
@@Soundprobeats sijui nilisemalo vipi Sasa kwani S2kizzy Si kapokea mikoba kutoka Kwa T-touch na queck rock Sasa Kuna ubaya gani ye kumuachia mikoba ginnix66 au mikoba unaichukulia ni uchawi au