🇹🇿

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 9

  • @Teacher_Hassan_Lemunje
    @Teacher_Hassan_Lemunje 10 วันที่ผ่านมา +8

    Kama umekuja baada ya kuona uraia wa wachezaji Gonga like apa

    • @pascaladloph4719
      @pascaladloph4719 10 วันที่ผ่านมา

      Yaani ni huzuni kubwa sana

  • @derickfrance6287
    @derickfrance6287 10 วันที่ผ่านมา +3

    .mmmmh miaka Kumi hao wachezaji wamekaa hapa miaka kumi😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @karolymbena4207
    @karolymbena4207 9 วันที่ผ่านมา +2

    Hapo kwenye kigezo cha kwanza kabisa ulichosema cha kuishi kwa miaka isiyopungua 10, na miaka 7 mfululizo. Hao wachezaji hawana kigezo icho, wamepataje uraia ?

  • @krispinkisanga3261
    @krispinkisanga3261 10 วันที่ผ่านมา +4

    Nimekuja hapa baada ya kuskia habari za wachezaji wa singida

  • @ericknjegere7215
    @ericknjegere7215 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ndugu mbona fetha ninyingi Sana Dora erfu 50000

  • @joshuamfizi4816
    @joshuamfizi4816 ปีที่แล้ว +2

    Kwa ufahamu wangu naelewa Tanganyika imepitia katika katika vipindi vitatu:
    1.Tanganyika ya kijerumani kwa maana ya Deutch Afrrca.
    2.Tanganyika koloni la Uingereza.
    3.Tanganyika iliyo huru chini ya TANU.
    BAADAYE TANZANIA iliyoungana na Visiwani.
    Kati ya Tanganyika hizo nani hana haki ya kuwa mtanzania wakati wazazi wake wamezaliwa kati ya hizo Tanganyika.

  • @KaleboIgnasYakila-k3j
    @KaleboIgnasYakila-k3j 7 วันที่ผ่านมา

    Aisee Tanzanian banaa Ina drama nyingii mnaenda kusumbua raia mikoanii kwetu afu uku watu mnawapa uraia kienyeji enyeji2