MWANAFUNZI WA MAGANYAKULO AWATANDIKA MA SHEIKH WA KISUFI MTUME ALIBASHIRI WALINGANIZI WA POTOFU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 17

  • @fadhilimatano3213
    @fadhilimatano3213 3 หลายเดือนก่อน +2

    Muogope Mungu acha kujitukuza na kujiona msafi wewe ni nani wakuingiza watu motoni na Maganyakulo sio kigezo cha kuingia pepo Muogope Allah

  • @OmarSalum-y9c
    @OmarSalum-y9c 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu anaupumbavu mimi ni salafi ila cna msmamo huu nawapenda sana hawa masheikh na nawaombea dua waingie peponi

  • @Kassim-li4mv
    @Kassim-li4mv 3 หลายเดือนก่อน

    Hauna kitu ya kusema nyamaza

  • @shaphishaphi6782
    @shaphishaphi6782 3 หลายเดือนก่อน

    Kwani hiyo pepo anagawa babaakoo

  • @OmarSalum-y9c
    @OmarSalum-y9c 3 หลายเดือนก่อน

    Katika watu wanao peleka watu motoni ni wasanii na wanamuziki hebu tuitizame nchi yetu watu wanavyokwenda uchi nyinyi hamulioni hili maana munaparurana nyinyi kwa nyinyi wakati nchi yetu iko taabani mimi namkumbuka nasoro bachu ana anza mawaiza yake ilikua kuzungumzia kujistiri kwa wanawake na alifanikiwa nyinyi muna anza kutukana masheikh mbona hivi

  • @KhamisBaruani-g9o
    @KhamisBaruani-g9o 3 หลายเดือนก่อน

    Mpumba saana wey mjinga wende ukalime

  • @AbdulkarimShosi
    @AbdulkarimShosi 3 หลายเดือนก่อน +1

    Inavyo onekanamwanafunzi huyu ilmu alokwenda kusoma ni ya kukufurisha watu maskini namuonea imani sana anapoteza mda wake hapo

  • @AllyHozza
    @AllyHozza 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani ?? Mbona mimi sijaona baya alozungumza kikubwa angalia linalokufaa ondoka nalo! kama hakuna mbona shekhe sio yeye peke yake kamsikilize yule unaemtaka kumsikiliza tumuogopeni allah jamaa kila tunachofanya allah anatuhifadhia tutakuja kufilisika siku ya kiama maisha yenyewe sasa watu twalala wazima twaamka tuko na majina mengine na hatukuumwa.

  • @AbdulkarimShosi
    @AbdulkarimShosi 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hili ndilo kundi la firqatu najia kundi la walokole wao peke yao ndio walosalimika mengine yote ni motoni huu ni uyahudi umepachikwa kwenye uislamu hii sio dini alokujanayo mtume s.a.w.

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 3 หลายเดือนก่อน

      na wewe kundi la katoliki jibwa wewe

  • @mafiatv5479
    @mafiatv5479 3 หลายเดือนก่อน

    jamani huyu ni khatari kwa sbb hakisoma, wote wanalingania kheri ila tofauti ya mash hab nenda kasome mbwa wee ngurue mshenzi wewe, wewe utaingia peponi wajijua km utaingia peponi

    • @TalibMuhsin
      @TalibMuhsin 3 หลายเดือนก่อน

      𝐖𝐚𝐣𝐢𝐣𝐮𝐚 𝐡𝐚𝐨 𝐰𝐚𝐧𝐚 𝐟𝐮𝐧𝐠𝐮𝐨 𝐳𝐚 𝐩𝐞𝐩𝐨 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐣𝐢𝐨𝐧𝐚 𝐡𝐚𝐰𝐚𝐤𝐨𝐬𝐞𝐢

  • @Asiaha-l7q
    @Asiaha-l7q 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nani uko kwetu

  • @aidarusalnadhir3139
    @aidarusalnadhir3139 3 หลายเดือนก่อน

    Ufunguo za pepo na moto uko nazo wewe kumbe

  • @Kassim-li4mv
    @Kassim-li4mv 3 หลายเดือนก่อน

    Mjinga wa kwanza ni wewe