Ali Kiba Ashangaza Watanzania Kila mtu kashangaa baada ya kujua

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2018

ความคิดเห็น • 383

  • @Bonnere
    @Bonnere 6 ปีที่แล้ว +4

    Kiba he's the legend much respect big bro from Australia here

  • @marianundwe2720
    @marianundwe2720 6 ปีที่แล้ว +23

    anajitambua and he is handsome by nature....
    much respect to him
    #King kibaaaa

    • @fatumaathuman1745
      @fatumaathuman1745 6 ปีที่แล้ว

      anajitambua

    • @nassraramadhans1074
      @nassraramadhans1074 6 ปีที่แล้ว

      ali kiba ana heshima zake sio hao wapumbavu

    • @bushiridems
      @bushiridems 6 ปีที่แล้ว

      Tatizo yake umaskini wake ajitambuwi bali ahana pesa tu.

    • @dullahmamu9604
      @dullahmamu9604 6 ปีที่แล้ว

      Bushiri lombe we nawe umenijisahau kweli aya pole

    • @mudricwhite1038
      @mudricwhite1038 6 ปีที่แล้ว

      +Bushiri lombe wacha ujinga kuvaa mahirini ni mwanzo w ushoga

  • @Bogohoney
    @Bogohoney 6 ปีที่แล้ว

    He,s a legend, Avery wise disciplined musician , aguy of his respect, I owe you my respect Alikiba, much love from kenya

  • @hannahnashipae3000
    @hannahnashipae3000 6 ปีที่แล้ว +7

    Anajitabua, King kiba your the best artist

  • @hamissmohamed3391
    @hamissmohamed3391 6 ปีที่แล้ว +5

    Ally kiba anajitambua yeye mwanaume vipi avae eleni au apige tattoo au avae cheni za ajabu ajabu safi sana kiba

  • @fathmajivanji5173
    @fathmajivanji5173 6 ปีที่แล้ว

    Ali kiba is a gentle man n pia anahofu ya Allah...n tena anaridhika alivyo coz anamvuto bila hata ya hivyo vyote.....big up king

  • @maximillianochampeke9380
    @maximillianochampeke9380 6 ปีที่แล้ว +1

    Anajitambua napenda msimamo wake keep it up Ally Kiba

  • @paulgodwini2910
    @paulgodwini2910 6 ปีที่แล้ว +25

    Ukisha kuwa mtu mzima lazima ujitambue alikiba zamani alikua anavaa heleen ila alivyo jitambua akachana navyo msanii bila heleni inawezekana huyuu jamaa namuelewaga sana video zake naangaliaga na mama ,baba ,nawadogozangu pia hanaga yale mambo ya uchi uchi big up king kiba like that

  • @khadijaally3929
    @khadijaally3929 6 ปีที่แล้ว +3

    Nikwasaababu musilamu hafai kufanya vitu hivo ndio ali kiba anataabua dini yake mashllh mungu amzidishie

  • @mwajumarashid4108
    @mwajumarashid4108 6 ปีที่แล้ว +10

    Anajitambua na sio lazima msanii kuchora tatoo au kuvaa mihereni, nakukubali sana king kiba

  • @RemmyWilliams
    @RemmyWilliams 6 ปีที่แล้ว

    I like him, is pure, mkweri , anajiheshimu na anaheshimu, anafanya kazi yake na hajishauwi kwa uongo mtupu, Kiki ili aonekane wa juu kuliko wote. Nice Person.*****

  • @faheemhashim2804
    @faheemhashim2804 6 ปีที่แล้ว

    Ali kiba.. mtoto wa kiislam safi.. na watoto wake wote wapo kwenye dini.. ana tuzo ya kuwa mzazi bora kwenye chuo alichosomea yeye.. Mwanae alishawahi kuja nyumbani kwenye kisomo tulichoandaa pamoja maalim wake na team yao yote. Inshort yupo SIMPLE TU

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 6 ปีที่แล้ว +29

    Na hajawahi kufuga rasta kukata nywele kiajabu ajabu wala kupaka rangi kichwani acha nikukumbushe umesahau hilo mtangazaji!!
    Jibu langu mimi ANAJITAMBUA tena sana

    • @hotchamber255
      @hotchamber255  6 ปีที่แล้ว +1

      Ahsante Asha ..

    • @huseninduya2557
      @huseninduya2557 6 ปีที่แล้ว

      Asha Ally kwa sasa kapaka lakini

    • @ashaally6993
      @ashaally6993 6 ปีที่แล้ว +1

      Huseni Nduya kalazimika kupaka rangi nyekundu kuendana na moto anayosifia kinywaji ili ifanane lakini hawezi kaa nayo muda utaona wewe mwenyewe

    • @georgebt9545
      @georgebt9545 6 ปีที่แล้ว +1

      Asha Ally nikweli

  • @mejumaabaraza8020
    @mejumaabaraza8020 6 ปีที่แล้ว +1

    Aishimu jina lake coz nijina la imamu Ali bin abu twalib sio hao waume wake wanao shobokea duni yy anajuwa duni na akhera endelea ivyo hivyo Ali na mungu atakuongoza kwa kazi zko ishaallah penda ww sana

  • @KhadijaKhadija-mk6jf
    @KhadijaKhadija-mk6jf 6 ปีที่แล้ว +2

    Alikiba anajitambua Sana na ni muislam haifai kujichora tatu wala kutoboa pua wala rasta so alikiba big up

  • @maryamammar1702
    @maryamammar1702 6 ปีที่แล้ว +6

    Anajielewa vyema 😍kwa sababu hivyo vitu baadae vinakujutia kweli

  • @Pamela_Anzoa
    @Pamela_Anzoa 6 ปีที่แล้ว

    King 🤴 Kiba tunakupenda sana. U still remain our king on matter what!!!

  • @laurentboniphace921
    @laurentboniphace921 6 ปีที่แล้ว +6

    Huyu ni msanii anae jitambua na namwombea kwa mwenyezi mungu azidi kuwa hivyo hivyo na jua Ally kiba anahofu na mungu anapenda sana dini

  • @ndayishimiyefarida9556
    @ndayishimiyefarida9556 6 ปีที่แล้ว +8

    King kibaaa we ni sta wapendwa nawatu wengi usije ukatuangusha tunaamini unajitambuwa saana na unajieshimu sana bila ca team wewe ndo ungekuwa Simba ya tz ile mbaya

  • @dullahmamu9604
    @dullahmamu9604 6 ปีที่แล้ว

    Anajiamini sn tn u r de best king big up MashaAllah

  • @hamishamis9905
    @hamishamis9905 6 ปีที่แล้ว +26

    Huyu ndie mwanaume anajielewa ahsante king kiba uko sawa m2 mzima...

    • @hamisihaji9640
      @hamisihaji9640 6 ปีที่แล้ว +1

      Anajielewa na anajuwa dini arusu ayo mambow

    • @yussufyussuf6591
      @yussufyussuf6591 6 ปีที่แล้ว +1

      Ni muungwana

    • @peterjohn5562
      @peterjohn5562 6 ปีที่แล้ว

      Allex lusumo: kwakimaadili ndosawa nainapendeza lakin lakin uckutendo mashalt kapewana freemason

    • @tingij2218
      @tingij2218 6 ปีที่แล้ว

      Peter Joh hujitambui ww nae

    • @selemanyusuph5790
      @selemanyusuph5790 6 ปีที่แล้ว

      Anajitambua sana, yuko vizuri

  • @khadijaabeid8012
    @khadijaabeid8012 6 ปีที่แล้ว

    mashaallah Ali kiba anajitambua sana kwa mtazamo wangu

  • @rahimalewe3518
    @rahimalewe3518 6 ปีที่แล้ว +4

    Yy ni muislam na anapenda dini yake yuwafanya yote lkn ajua kesho akhera atakutana mola wake

  • @reginaamoo6530
    @reginaamoo6530 6 ปีที่แล้ว

    To have tattoo is nothing so Ali ako sawa vile alivo # love you sweetie Kiba 💝💝💝💝

  • @hansboylipaga3286
    @hansboylipaga3286 6 ปีที่แล้ว +3

    Kwanza mnajua maana ya dini au mnalopoka tuu mnakufuru mana mtu anaimba muziki alafu kumbukeni uwo muziki anaoimba alama tosha ambayo aifutiki ata kama ataacha mana muziki wake bado utapigwa tuu hapo chakusema kwamba binadamu hatufanan kitabia mm napenda iki ww unapenda kile lkn wote hao innalillah wainalillah rajioun wataacha muziki lkn muziki auaachi.

  • @MonicaMonica-up1zr
    @MonicaMonica-up1zr 6 ปีที่แล้ว

    wakenya twapenda Ali juu ya hio ukomavu wa akili.we lv him so mch he is real model of grown up men

  • @sheimaaabdallahsheimaaabda8200
    @sheimaaabdallahsheimaaabda8200 6 ปีที่แล้ว

    The real Muslim Kama hamjui juweni.. nakupenda bure Ali kiba unajutambua Sana

  • @happinessmataluma1948
    @happinessmataluma1948 6 ปีที่แล้ว +3

    huyu ndie rijar bwana ao wavaa helen na wapaka piko ni ma biarus tu wanashindana na wanawake kutafuta urembo

  • @edwinsombi175
    @edwinsombi175 6 ปีที่แล้ว +4

    Anajiamini, anajitosheleza, hana hofu ya maisha.

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 6 ปีที่แล้ว

    Anajitambuwa sio ushamba washamba nawale wanao koa kujijuwa ali maoni yangu haya usijaribu kujiharibu maumbile yako allaah kakuumba vizuri atakae kupenda akupende kamaulivo halafu iyo ndo stayli nzuri walochorawote wameka kama jini kisirani hawajijuwi kama wanatisha nadini inakataza kuchora tatu ujumbe naomba umfiye ali kiba original

  • @Busia254
    @Busia254 6 ปีที่แล้ว +1

    Ali kiba ni mcha Mungu.Mwislamu halisi

  • @abdulrazakimwamino36
    @abdulrazakimwamino36 6 ปีที่แล้ว

    Ali anajitambua sana king kiba forever

  • @tumasaleh4236
    @tumasaleh4236 6 ปีที่แล้ว

    Big up king kibaaa unajiamin unajikuba ndo maana vitu vya kishamba hunaga abari navyo

  • @ditrickdickson907
    @ditrickdickson907 6 ปีที่แล้ว +2

    Kinacho wadanganya weng ni mtu kufanya mambo kama ayo ndo ujaja la asha! Alkaba anajitanbua

  • @user-cf4lt4sc2q
    @user-cf4lt4sc2q 6 ปีที่แล้ว

    Nampenda. Kama. Alivyo. Usitombowe. Puaa. Wala. Usichore. Tatuu wala. Usije. Fikiria. Kutomboa. Puwaa. Fikiria. Kupanuwa mziki wako. Na. Mungu. Atakusaidia. Ufike. Mbali zaidi ya. Hapo ulipo. Na. Penda nyimbo. Zako. Nizuri. Dana. Kazi. Njema. Alikiba. One love. Alikiba. ❤🙏🙏. AMINA. From Kenya.

  • @geofreymsemwa2760
    @geofreymsemwa2760 6 ปีที่แล้ว +12

    anajitambu kuwa yeye ni mwanaume , halis , wengine mashoga hasa wanao jipamba ivo

    • @venistehakizimana6450
      @venistehakizimana6450 6 ปีที่แล้ว

      Is the best anajitambua

    • @yohanamgengelemafwili3976
      @yohanamgengelemafwili3976 6 ปีที่แล้ว

      Anajitambua ndo haigi,na vitu vingine wanavaa wakiwa na sababu,so yuko tofauti na wengine na c ushamba

    • @florahsospeter8503
      @florahsospeter8503 6 ปีที่แล้ว

      geofrey msemwa, alikuwa akivaa ndyo Ila alikuwa akibandika lakini hakuwahi kutoboa maskio rafiki angu

  • @abdulrazaqayubu894
    @abdulrazaqayubu894 6 ปีที่แล้ว +3

    Ana akili timamu yule siyo wa kuiga kama wengine madaftar ndo yanachorwa siyo mwili

  • @mwanashazinga9538
    @mwanashazinga9538 6 ปีที่แล้ว

    huko na hofu na mungu wake yuwajua anacho fanya na dunia nimapito tu bigup kkangu

  • @sadygreener9240
    @sadygreener9240 6 ปีที่แล้ว +1

    Hahaha! Ni maamuzi tu ya mtu, ye' kaamua hivyo na si ushamba wala ujinga na hata waliochora tattoo pia nao wanajitambua!

  • @mvbahamas7866
    @mvbahamas7866 6 ปีที่แล้ว

    Haijaandikwa mahali eti ni lazima ukiwa msanii utoboe,pia,masikio,uvae ushanga wa kila sina au upake nywele Tangu au pia kwa kushuka ndo eti uitwe msanii Bora..Wengi wamefanya hayo lakini ni Bora wasanii tu...Ali Kiba anajitambua ndo manake twampenda jinsi alivyo manake pia kazi zake Nzuri Sana..nadhani wale wakutoboa na kuweka tattoo mingi ndo washamba!!

  • @ochuboyofficial205
    @ochuboyofficial205 6 ปีที่แล้ว

    Ni heshima pia haina maana ukiwa msanii lazma utoboe pua au uchore tattoo mwilini
    Big up sana #king kiba and keep it

  • @juliethtarimo3826
    @juliethtarimo3826 6 ปีที่แล้ว

    Huyo ndio king kiba: nampa hongera kwa kuwa anajitambua

  • @uwezopower7551
    @uwezopower7551 2 ปีที่แล้ว

    Anajielewa sana Ali Kiba pia ni msanii mkubwa sana hapo Tanzania 🇹🇿 namkubali sana pia nami namuinga huyu kakangu..

  • @georgebt9545
    @georgebt9545 6 ปีที่แล้ว +1

    Tatoo siyo kumaanisha kwamba ni mshamba au sio mshamba ... Na kujipamba sana siyo kujuwa kuhimba ama kupendeza sana ..... Kujitobowa puwa sizani kama inatakiwa kwa mwanaume😉kutobowa puwa ni ushoga...😄😄so anyways ali kiba ni mtu au msanii anaye jiheshimu na anajitambuwa.

  • @idayakey6886
    @idayakey6886 6 ปีที่แล้ว +21

    Ally kiba anajitabua do mana napenda anaheshima sana acha akinadomo

    • @mohdrahbi6953
      @mohdrahbi6953 6 ปีที่แล้ว

      Idaya Key ali kiba ni mtoto waki isilamu ajitambuwa nini ana fanya hapendi kuwa rembukeni kama maisha ya ki sasa mwenzake kava mpaka msaraba dimond

    • @gracesangaboloko5414
      @gracesangaboloko5414 6 ปีที่แล้ว

      Mohd Rahbi jamani Shule nayo yamuhimu angalia vizuri umeandika nini?

    • @mejumaabaraza8020
      @mejumaabaraza8020 6 ปีที่แล้ว

      Idaya Key aty akina domo umenichekesha sana

    • @muftimaley9948
      @muftimaley9948 6 ปีที่แล้ว

      Kiba ni mtoto WA muslamu afai kuji chora wala kukata nywele vibaya

    • @zabronkitta2670
      @zabronkitta2670 6 ปีที่แล้ว

      Anajitambua

  • @reginalaurent5175
    @reginalaurent5175 6 ปีที่แล้ว +7

    Anijijuelewa hana tofaut na ben paul

    • @litmasnicko4344
      @litmasnicko4344 6 ปีที่แล้ว

      haahahahaa aisee kweli habebeki

    • @mashallahoman6355
      @mashallahoman6355 6 ปีที่แล้ว

      alima anajitabua sana kwani kujichora akuna mahana yoyote nibora hivio anapedeza atambere yamolawake

  • @lacktheboy6688
    @lacktheboy6688 6 ปีที่แล้ว

    Anajitambua anajua anachokifanya huwa hakulupuki kwaKilea anachokiona wasanii wengine wamefanya na yeye akifanye nakubali sana king kiba

  • @christopherbona6407
    @christopherbona6407 6 ปีที่แล้ว +19

    Ali ni kipenzi cha watu hawezi fanya ovyo ili ulimwengu uanze kumshangaaa.

    • @k5molisi913
      @k5molisi913 6 ปีที่แล้ว

      Nisawa kuibadilisha samaki kuwa mujusi uwexi hata sikumoja

  • @amiriramadhan7753
    @amiriramadhan7753 6 ปีที่แล้ว

    Yes nimtu poa hana makuu wala maujiko nimnyamwezi kivyake namuelewa sana nimtu fresh

  • @wemakalam9415
    @wemakalam9415 6 ปีที่แล้ว

    Ndio maana alipo tupo tu namkubali na anjielewe kinoma na yupo vizuri#king kiba ubarikiwe na usibadilike.

  • @auntymother1507
    @auntymother1507 6 ปีที่แล้ว

    Ana jitambua na kujiamini.. Safi sana kiba

  • @rachellebahati6510
    @rachellebahati6510 6 ปีที่แล้ว +1

    Yeye mzuri kwanini ajilembe.tena anafahamu ukweli wa dini

  • @shuualgheithy4741
    @shuualgheithy4741 6 ปีที่แล้ว +1

    Ally anajielewa sana yy ninani na anatakiwa afanye nini ktk Music ndio mana hafanyi hayo yupo Sawa na anafata maadili yetu namkubali sana na mungu amsuru asije akashawishika mbeleni

  • @salmaobed2708
    @salmaobed2708 6 ปีที่แล้ว

    Kiba anijitambua !na wala sio ushamba! Washamba hao watoboa pua kama mabinti hawamwogopi hata mwenyezi MUNGU wao!😀😀😁

  • @zuuchidy4858
    @zuuchidy4858 6 ปีที่แล้ว

    Anajitambuwa kiba big up

  • @ramadhansembuche3457
    @ramadhansembuche3457 6 ปีที่แล้ว

    Yupo sawa king anajitambua na jielewa maana wengine awajieliwi

  • @augustinopius2802
    @augustinopius2802 6 ปีที่แล้ว

    mwanaume halisi anaejitambua Kama mm namkubari Sana king kiba

  • @mamougary3240
    @mamougary3240 6 ปีที่แล้ว

    He is a very respectful man that all big up bro

  • @davidkalinga7457
    @davidkalinga7457 6 ปีที่แล้ว

    Brother namkubar sana na ANAJIELEWA sanaaa

  • @aystv5998
    @aystv5998 6 ปีที่แล้ว

    Ali Kiba yeye ni muislam. Anajitambua. Unaona hakutaka kuoa wenda uchi. Kujionesha kwenye mitamdao. Hata huyo zari hukaa uchi na huyo anaemuoneya wivu. M. Mungu akujalieni Ali Kiba msikilizane na mkeo mahasidi asiwasikilize. Wambea wasije kwako

  • @yusufkaisi8291
    @yusufkaisi8291 6 ปีที่แล้ว

    Muislam safi huyo,god bless u bro

  • @yaksabdi5940
    @yaksabdi5940 6 ปีที่แล้ว

    Anajitambua kwa vile yee ni 👑

  • @mohamedrajabumohamed2855
    @mohamedrajabumohamed2855 6 ปีที่แล้ว +4

    Yanialikiba achatu nimotomwingine wengine wana igatu jaribu kumuuliza mtu heleni kwamwana ume zina saidia nn au mana yake hajui anaigatu

  • @TTG38
    @TTG38 6 ปีที่แล้ว

    Ali ni mzuri tu sana ,hana kiherehere

  • @jastobless870
    @jastobless870 6 ปีที่แล้ว

    alikiba anajitambua en this guy God anambless kisiri king kiba go with that pase ao wengine ni moto ya karatasi tu watazimwa hivi karibu

  • @mohamedrajabu524
    @mohamedrajabu524 6 ปีที่แล้ว

    Jamaa namuelewa sana mwanaume kutoboa masikio napua una unajishusha hadhi nakushawishi ushoga kama kwetu Tanzania hakuna wanashawishiuje

  • @TwalibSWahad
    @TwalibSWahad 6 ปีที่แล้ว

    Sio siri, sijawahi ku comment chochote katika mitandao ya kijamii kuhusiana maswala yoyote tangu nijiunge na mitandao hii, hii ndio Mara yangu ya kwanza kuandika comment yangu, huwa naangalia na kusoma tu na kuacha mambo kama yalivyo lkn kwa jambo hili LA Ally Kiba kwa kweli ni lazima tu niseme cha moyoni, Ally Kiba Sio unajitambua tu Bali pia unajielewa na unajua unachokifanya na kwanini unafanya na kwann mengine hufanyi, natambua katika hayo pia unapambana na changamoto kubwa sana za kiushindani lkn nikuombe usikate tamaa, simamia katika misimamo yako hiyo hiyo kwa sababu unasimama katika mambo mazuri.Big Up King Kiba ! And Keep it up! Kuwa star wa kiume sio lazima kujifananisha na mwanamke.

    • @mufasamufas6023
      @mufasamufas6023 6 ปีที่แล้ว

      Twalib S. Wahad ameacha bro kawa mkubwa sasa lakini hereni amevaa sana tu tena masikio yote mawili lakini big up kwa sasa ameacha

  • @vanessamuseu877
    @vanessamuseu877 6 ปีที่แล้ว

    Love you alikiba

  • @mochannel7876
    @mochannel7876 6 ปีที่แล้ว +1

    Alli kiba nimtu anaejitambua

  • @misalabafaida3168
    @misalabafaida3168 6 ปีที่แล้ว

    Ni kule kujitambua tu na sio kila kitu uige mambo mengine huwa Ni njinga * alikiba for real yaaaaaah*

  • @jchangetz1114
    @jchangetz1114 6 ปีที่แล้ว

    Hahahahah kibaaaaa mm nimeanza kukufatilia kitambo sana ushavaa sana tu heren kaka waambie wa siyo kujua au walioanza kukujua hiv karibuni

  • @malindoedwin2004
    @malindoedwin2004 6 ปีที่แล้ว +7

    Bro anajielewa halafu xo kila msanii et ndo uvae helen or uchore tatoo nop

  • @emeldajoseph9033
    @emeldajoseph9033 6 ปีที่แล้ว

    big up san kibaa

  • @officialirfantz8745
    @officialirfantz8745 6 ปีที่แล้ว

    Ally kiba anajitambua...... kuvaa heleni me naona kama ni ushamba tu au wanaiga kwa watu wengine lakini me namuomba aendelee hivyohivyo

  • @zawadiannar4801
    @zawadiannar4801 6 ปีที่แล้ว

    Ni mtu anajiamini aliy kiba hongeraa

  • @selinalucus8318
    @selinalucus8318 6 ปีที่แล้ว

    king kiba anajitambua 👑👑👑👑

  • @biusherrajab2055
    @biusherrajab2055 6 ปีที่แล้ว

    Si ushamba yuwajielewaa alfu a true Muslim haifnyi ujinga huo...

  • @annajoseph6892
    @annajoseph6892 6 ปีที่แล้ว

    Ni mtu ambae anajiheshim na kujitambua love king kiba

  • @dayanaally5385
    @dayanaally5385 6 ปีที่แล้ว

    Alikiba kalelewa kimaadili Bwana hawezi kuweka upuuzi huo ila tu misema atoe hiyorang yanywele kwani hivohivo nanywele zake tunampenda

  • @rashidymateka7706
    @rashidymateka7706 6 ปีที่แล้ว

    Anajitambua kuvaa heleni sio ustaa.

  • @jumannemfaume1166
    @jumannemfaume1166 6 ปีที่แล้ว

    Namkubali san kng kiba kwa7bu anajielewa

  • @omaryhammad8243
    @omaryhammad8243 6 ปีที่แล้ว

    motto Wa kiume uwaga anaga mapambo mwilini mapambo wanaho mama zetu

  • @ahmeddarus8492
    @ahmeddarus8492 6 ปีที่แล้ว

    Anajitambua sana tu... Huyo ndo msanii na pia mwanamme halisi

  • @mohamedrajabumohamed2855
    @mohamedrajabumohamed2855 6 ปีที่แล้ว

    Alikiba nimnya anajitambua nampenda Mimi kama shabikiyake mwanaume unatoboaje pua namasikio niku saport ushoga uje nakwetu kwamana hayo nimambo yawazungu

  • @deusikingsoffswax3293
    @deusikingsoffswax3293 6 ปีที่แล้ว

    Alikiba anaakili njingi ndo maana havay helen kwanza mimi siwapend wanaovaa helen

  • @assumanimlondani4182
    @assumanimlondani4182 6 ปีที่แล้ว

    Alikiba ni mtu mwenye anajielewa, na kujitambuwa .

  • @mwandiadam5490
    @mwandiadam5490 6 ปีที่แล้ว

    anaweza akawa #MSUYKA akifanya hayo jibu langu #TusiforceTufanane

  • @MUJWAUORIGINAL
    @MUJWAUORIGINAL 6 ปีที่แล้ว

    Ni Kwamba anajua maksudio ya kuumbwa kwake

  • @haikamosha7640
    @haikamosha7640 6 ปีที่แล้ว +5

    anajitambua

  • @christinamawanja6799
    @christinamawanja6799 6 ปีที่แล้ว

    King Kiba anajielewa, anajitambua na anajua nn anafanya hakoseagi huyu m2.

  • @yousriyaally3871
    @yousriyaally3871 6 ปีที่แล้ว

    Anajitambua sana tuu kwani yote ni haramu kuimba ataacha lakiini memgine laana kubwa kutoka kwa allah

  • @zamzamhamisi7332
    @zamzamhamisi7332 6 ปีที่แล้ว +2

    Uyo ndie king

  • @emanuelmhagama8193
    @emanuelmhagama8193 6 ปีที่แล้ว

    sio kwamba hapend kuvaa heren na chen chen,, ni ubahili tu mwenzie diamond ananunua chen za mpaka za mil15,
    iyo kwa kiba bora akanunue mchele wa ndan

  • @josephineconslater2198
    @josephineconslater2198 6 ปีที่แล้ว

    Ali n MTU na heshima zake..na kuheshimu dini

  • @chaukurusenior7070
    @chaukurusenior7070 6 ปีที่แล้ว +1

    sio ushamba ila anajua anacho kifanya

  • @marriammarango7532
    @marriammarango7532 6 ปีที่แล้ว

    Alikiba kipenzi cha watu anajielewa sikama hao wengine malibukeni 2

  • @mrmrs4762
    @mrmrs4762 6 ปีที่แล้ว

    Anajitambua sana kaka yangu panda sana

  • @ahmedamar1329
    @ahmedamar1329 6 ปีที่แล้ว

    asnte somo maana sisi majina ya A huwa shida sana

  • @babondo
    @babondo 6 ปีที่แล้ว

    Ali kiba hana heshimu dini yake,, hinavyo sema hata kama hiko maarufu hawezi fanya hivyo .
    ALEXIS RAMEY

  • @oscarkambona9298
    @oscarkambona9298 6 ปีที่แล้ว

    Alikiba ni m2 anayejitambua