Ukisha kuwa mtu mzima lazima ujitambue alikiba zamani alikua anavaa heleen ila alivyo jitambua akachana navyo msanii bila heleni inawezekana huyuu jamaa namuelewaga sana video zake naangaliaga na mama ,baba ,nawadogozangu pia hanaga yale mambo ya uchi uchi big up king kiba like that
I like him, is pure, mkweri , anajiheshimu na anaheshimu, anafanya kazi yake na hajishauwi kwa uongo mtupu, Kiki ili aonekane wa juu kuliko wote. Nice Person.*****
Ali kiba.. mtoto wa kiislam safi.. na watoto wake wote wapo kwenye dini.. ana tuzo ya kuwa mzazi bora kwenye chuo alichosomea yeye.. Mwanae alishawahi kuja nyumbani kwenye kisomo tulichoandaa pamoja maalim wake na team yao yote. Inshort yupo SIMPLE TU
Na hajawahi kufuga rasta kukata nywele kiajabu ajabu wala kupaka rangi kichwani acha nikukumbushe umesahau hilo mtangazaji!! Jibu langu mimi ANAJITAMBUA tena sana
Aishimu jina lake coz nijina la imamu Ali bin abu twalib sio hao waume wake wanao shobokea duni yy anajuwa duni na akhera endelea ivyo hivyo Ali na mungu atakuongoza kwa kazi zko ishaallah penda ww sana
King kibaaa we ni sta wapendwa nawatu wengi usije ukatuangusha tunaamini unajitambuwa saana na unajieshimu sana bila ca team wewe ndo ungekuwa Simba ya tz ile mbaya
Kwanza mnajua maana ya dini au mnalopoka tuu mnakufuru mana mtu anaimba muziki alafu kumbukeni uwo muziki anaoimba alama tosha ambayo aifutiki ata kama ataacha mana muziki wake bado utapigwa tuu hapo chakusema kwamba binadamu hatufanan kitabia mm napenda iki ww unapenda kile lkn wote hao innalillah wainalillah rajioun wataacha muziki lkn muziki auaachi.
Haijaandikwa mahali eti ni lazima ukiwa msanii utoboe,pia,masikio,uvae ushanga wa kila sina au upake nywele Tangu au pia kwa kushuka ndo eti uitwe msanii Bora..Wengi wamefanya hayo lakini ni Bora wasanii tu...Ali Kiba anajitambua ndo manake twampenda jinsi alivyo manake pia kazi zake Nzuri Sana..nadhani wale wakutoboa na kuweka tattoo mingi ndo washamba!!
Tatoo siyo kumaanisha kwamba ni mshamba au sio mshamba ... Na kujipamba sana siyo kujuwa kuhimba ama kupendeza sana ..... Kujitobowa puwa sizani kama inatakiwa kwa mwanaume😉kutobowa puwa ni ushoga...😄😄so anyways ali kiba ni mtu au msanii anaye jiheshimu na anajitambuwa.
Ally anajielewa sana yy ninani na anatakiwa afanye nini ktk Music ndio mana hafanyi hayo yupo Sawa na anafata maadili yetu namkubali sana na mungu amsuru asije akashawishika mbeleni
Ali Kiba yeye ni muislam. Anajitambua. Unaona hakutaka kuoa wenda uchi. Kujionesha kwenye mitamdao. Hata huyo zari hukaa uchi na huyo anaemuoneya wivu. M. Mungu akujalieni Ali Kiba msikilizane na mkeo mahasidi asiwasikilize. Wambea wasije kwako
Sio siri, sijawahi ku comment chochote katika mitandao ya kijamii kuhusiana maswala yoyote tangu nijiunge na mitandao hii, hii ndio Mara yangu ya kwanza kuandika comment yangu, huwa naangalia na kusoma tu na kuacha mambo kama yalivyo lkn kwa jambo hili LA Ally Kiba kwa kweli ni lazima tu niseme cha moyoni, Ally Kiba Sio unajitambua tu Bali pia unajielewa na unajua unachokifanya na kwanini unafanya na kwann mengine hufanyi, natambua katika hayo pia unapambana na changamoto kubwa sana za kiushindani lkn nikuombe usikate tamaa, simamia katika misimamo yako hiyo hiyo kwa sababu unasimama katika mambo mazuri.Big Up King Kiba ! And Keep it up! Kuwa star wa kiume sio lazima kujifananisha na mwanamke.
Kiba he's the legend much respect big bro from Australia here
anajitambua and he is handsome by nature....
much respect to him
#King kibaaaa
anajitambua
ali kiba ana heshima zake sio hao wapumbavu
Tatizo yake umaskini wake ajitambuwi bali ahana pesa tu.
Bushiri lombe we nawe umenijisahau kweli aya pole
+Bushiri lombe wacha ujinga kuvaa mahirini ni mwanzo w ushoga
He,s a legend, Avery wise disciplined musician , aguy of his respect, I owe you my respect Alikiba, much love from kenya
Anajitabua, King kiba your the best artist
Ally kiba anajitambua yeye mwanaume vipi avae eleni au apige tattoo au avae cheni za ajabu ajabu safi sana kiba
Ali kiba is a gentle man n pia anahofu ya Allah...n tena anaridhika alivyo coz anamvuto bila hata ya hivyo vyote.....big up king
Anajitambua napenda msimamo wake keep it up Ally Kiba
Ukisha kuwa mtu mzima lazima ujitambue alikiba zamani alikua anavaa heleen ila alivyo jitambua akachana navyo msanii bila heleni inawezekana huyuu jamaa namuelewaga sana video zake naangaliaga na mama ,baba ,nawadogozangu pia hanaga yale mambo ya uchi uchi big up king kiba like that
Paul Godwini
KWELI
Nikwasaababu musilamu hafai kufanya vitu hivo ndio ali kiba anataabua dini yake mashllh mungu amzidishie
Anajitambua na sio lazima msanii kuchora tatoo au kuvaa mihereni, nakukubali sana king kiba
anajitambua saaana zats y namkubal mno
achen kkalili
I like him, is pure, mkweri , anajiheshimu na anaheshimu, anafanya kazi yake na hajishauwi kwa uongo mtupu, Kiki ili aonekane wa juu kuliko wote. Nice Person.*****
Ali kiba.. mtoto wa kiislam safi.. na watoto wake wote wapo kwenye dini.. ana tuzo ya kuwa mzazi bora kwenye chuo alichosomea yeye.. Mwanae alishawahi kuja nyumbani kwenye kisomo tulichoandaa pamoja maalim wake na team yao yote. Inshort yupo SIMPLE TU
Na hajawahi kufuga rasta kukata nywele kiajabu ajabu wala kupaka rangi kichwani acha nikukumbushe umesahau hilo mtangazaji!!
Jibu langu mimi ANAJITAMBUA tena sana
Ahsante Asha ..
Asha Ally kwa sasa kapaka lakini
Huseni Nduya kalazimika kupaka rangi nyekundu kuendana na moto anayosifia kinywaji ili ifanane lakini hawezi kaa nayo muda utaona wewe mwenyewe
Asha Ally nikweli
Aishimu jina lake coz nijina la imamu Ali bin abu twalib sio hao waume wake wanao shobokea duni yy anajuwa duni na akhera endelea ivyo hivyo Ali na mungu atakuongoza kwa kazi zko ishaallah penda ww sana
Alikiba anajitambua Sana na ni muislam haifai kujichora tatu wala kutoboa pua wala rasta so alikiba big up
Anajielewa vyema 😍kwa sababu hivyo vitu baadae vinakujutia kweli
King 🤴 Kiba tunakupenda sana. U still remain our king on matter what!!!
Huyu ni msanii anae jitambua na namwombea kwa mwenyezi mungu azidi kuwa hivyo hivyo na jua Ally kiba anahofu na mungu anapenda sana dini
dah timu pasua kichwa nice Ally kiba
Laurent Boniphace
Ndio kabisa uko sawa sana
King kibaaa we ni sta wapendwa nawatu wengi usije ukatuangusha tunaamini unajitambuwa saana na unajieshimu sana bila ca team wewe ndo ungekuwa Simba ya tz ile mbaya
Anajiamini sn tn u r de best king big up MashaAllah
Huyu ndie mwanaume anajielewa ahsante king kiba uko sawa m2 mzima...
Anajielewa na anajuwa dini arusu ayo mambow
Ni muungwana
Allex lusumo: kwakimaadili ndosawa nainapendeza lakin lakin uckutendo mashalt kapewana freemason
Peter Joh hujitambui ww nae
Anajitambua sana, yuko vizuri
mashaallah Ali kiba anajitambua sana kwa mtazamo wangu
Yy ni muislam na anapenda dini yake yuwafanya yote lkn ajua kesho akhera atakutana mola wake
To have tattoo is nothing so Ali ako sawa vile alivo # love you sweetie Kiba 💝💝💝💝
Kwanza mnajua maana ya dini au mnalopoka tuu mnakufuru mana mtu anaimba muziki alafu kumbukeni uwo muziki anaoimba alama tosha ambayo aifutiki ata kama ataacha mana muziki wake bado utapigwa tuu hapo chakusema kwamba binadamu hatufanan kitabia mm napenda iki ww unapenda kile lkn wote hao innalillah wainalillah rajioun wataacha muziki lkn muziki auaachi.
wakenya twapenda Ali juu ya hio ukomavu wa akili.we lv him so mch he is real model of grown up men
The real Muslim Kama hamjui juweni.. nakupenda bure Ali kiba unajutambua Sana
huyu ndie rijar bwana ao wavaa helen na wapaka piko ni ma biarus tu wanashindana na wanawake kutafuta urembo
Anajiamini, anajitosheleza, hana hofu ya maisha.
Anajitambuwa sio ushamba washamba nawale wanao koa kujijuwa ali maoni yangu haya usijaribu kujiharibu maumbile yako allaah kakuumba vizuri atakae kupenda akupende kamaulivo halafu iyo ndo stayli nzuri walochorawote wameka kama jini kisirani hawajijuwi kama wanatisha nadini inakataza kuchora tatu ujumbe naomba umfiye ali kiba original
Ali kiba ni mcha Mungu.Mwislamu halisi
Ali anajitambua sana king kiba forever
Big up king kibaaa unajiamin unajikuba ndo maana vitu vya kishamba hunaga abari navyo
Kinacho wadanganya weng ni mtu kufanya mambo kama ayo ndo ujaja la asha! Alkaba anajitanbua
Nampenda. Kama. Alivyo. Usitombowe. Puaa. Wala. Usichore. Tatuu wala. Usije. Fikiria. Kutomboa. Puwaa. Fikiria. Kupanuwa mziki wako. Na. Mungu. Atakusaidia. Ufike. Mbali zaidi ya. Hapo ulipo. Na. Penda nyimbo. Zako. Nizuri. Dana. Kazi. Njema. Alikiba. One love. Alikiba. ❤🙏🙏. AMINA. From Kenya.
anajitambu kuwa yeye ni mwanaume , halis , wengine mashoga hasa wanao jipamba ivo
Is the best anajitambua
Anajitambua ndo haigi,na vitu vingine wanavaa wakiwa na sababu,so yuko tofauti na wengine na c ushamba
geofrey msemwa, alikuwa akivaa ndyo Ila alikuwa akibandika lakini hakuwahi kutoboa maskio rafiki angu
Ana akili timamu yule siyo wa kuiga kama wengine madaftar ndo yanachorwa siyo mwili
huko na hofu na mungu wake yuwajua anacho fanya na dunia nimapito tu bigup kkangu
Hahaha! Ni maamuzi tu ya mtu, ye' kaamua hivyo na si ushamba wala ujinga na hata waliochora tattoo pia nao wanajitambua!
Haijaandikwa mahali eti ni lazima ukiwa msanii utoboe,pia,masikio,uvae ushanga wa kila sina au upake nywele Tangu au pia kwa kushuka ndo eti uitwe msanii Bora..Wengi wamefanya hayo lakini ni Bora wasanii tu...Ali Kiba anajitambua ndo manake twampenda jinsi alivyo manake pia kazi zake Nzuri Sana..nadhani wale wakutoboa na kuweka tattoo mingi ndo washamba!!
Ni heshima pia haina maana ukiwa msanii lazma utoboe pua au uchore tattoo mwilini
Big up sana #king kiba and keep it
Huyo ndio king kiba: nampa hongera kwa kuwa anajitambua
Anajielewa sana Ali Kiba pia ni msanii mkubwa sana hapo Tanzania 🇹🇿 namkubali sana pia nami namuinga huyu kakangu..
Tatoo siyo kumaanisha kwamba ni mshamba au sio mshamba ... Na kujipamba sana siyo kujuwa kuhimba ama kupendeza sana ..... Kujitobowa puwa sizani kama inatakiwa kwa mwanaume😉kutobowa puwa ni ushoga...😄😄so anyways ali kiba ni mtu au msanii anaye jiheshimu na anajitambuwa.
Ally kiba anajitabua do mana napenda anaheshima sana acha akinadomo
Idaya Key ali kiba ni mtoto waki isilamu ajitambuwa nini ana fanya hapendi kuwa rembukeni kama maisha ya ki sasa mwenzake kava mpaka msaraba dimond
Mohd Rahbi jamani Shule nayo yamuhimu angalia vizuri umeandika nini?
Idaya Key aty akina domo umenichekesha sana
Kiba ni mtoto WA muslamu afai kuji chora wala kukata nywele vibaya
Anajitambua
Anijijuelewa hana tofaut na ben paul
haahahahaa aisee kweli habebeki
alima anajitabua sana kwani kujichora akuna mahana yoyote nibora hivio anapedeza atambere yamolawake
Anajitambua anajua anachokifanya huwa hakulupuki kwaKilea anachokiona wasanii wengine wamefanya na yeye akifanye nakubali sana king kiba
Ali ni kipenzi cha watu hawezi fanya ovyo ili ulimwengu uanze kumshangaaa.
Nisawa kuibadilisha samaki kuwa mujusi uwexi hata sikumoja
Yes nimtu poa hana makuu wala maujiko nimnyamwezi kivyake namuelewa sana nimtu fresh
Ndio maana alipo tupo tu namkubali na anjielewe kinoma na yupo vizuri#king kiba ubarikiwe na usibadilike.
Ana jitambua na kujiamini.. Safi sana kiba
Yeye mzuri kwanini ajilembe.tena anafahamu ukweli wa dini
Ally anajielewa sana yy ninani na anatakiwa afanye nini ktk Music ndio mana hafanyi hayo yupo Sawa na anafata maadili yetu namkubali sana na mungu amsuru asije akashawishika mbeleni
Kiba anijitambua !na wala sio ushamba! Washamba hao watoboa pua kama mabinti hawamwogopi hata mwenyezi MUNGU wao!😀😀😁
Anajitambuwa kiba big up
Yupo sawa king anajitambua na jielewa maana wengine awajieliwi
mwanaume halisi anaejitambua Kama mm namkubari Sana king kiba
He is a very respectful man that all big up bro
Brother namkubar sana na ANAJIELEWA sanaaa
Ali Kiba yeye ni muislam. Anajitambua. Unaona hakutaka kuoa wenda uchi. Kujionesha kwenye mitamdao. Hata huyo zari hukaa uchi na huyo anaemuoneya wivu. M. Mungu akujalieni Ali Kiba msikilizane na mkeo mahasidi asiwasikilize. Wambea wasije kwako
Muislam safi huyo,god bless u bro
Anajitambua kwa vile yee ni 👑
Yanialikiba achatu nimotomwingine wengine wana igatu jaribu kumuuliza mtu heleni kwamwana ume zina saidia nn au mana yake hajui anaigatu
Ali ni mzuri tu sana ,hana kiherehere
alikiba anajitambua en this guy God anambless kisiri king kiba go with that pase ao wengine ni moto ya karatasi tu watazimwa hivi karibu
Jamaa namuelewa sana mwanaume kutoboa masikio napua una unajishusha hadhi nakushawishi ushoga kama kwetu Tanzania hakuna wanashawishiuje
Sio siri, sijawahi ku comment chochote katika mitandao ya kijamii kuhusiana maswala yoyote tangu nijiunge na mitandao hii, hii ndio Mara yangu ya kwanza kuandika comment yangu, huwa naangalia na kusoma tu na kuacha mambo kama yalivyo lkn kwa jambo hili LA Ally Kiba kwa kweli ni lazima tu niseme cha moyoni, Ally Kiba Sio unajitambua tu Bali pia unajielewa na unajua unachokifanya na kwanini unafanya na kwann mengine hufanyi, natambua katika hayo pia unapambana na changamoto kubwa sana za kiushindani lkn nikuombe usikate tamaa, simamia katika misimamo yako hiyo hiyo kwa sababu unasimama katika mambo mazuri.Big Up King Kiba ! And Keep it up! Kuwa star wa kiume sio lazima kujifananisha na mwanamke.
Twalib S. Wahad ameacha bro kawa mkubwa sasa lakini hereni amevaa sana tu tena masikio yote mawili lakini big up kwa sasa ameacha
Love you alikiba
Alli kiba nimtu anaejitambua
Ni kule kujitambua tu na sio kila kitu uige mambo mengine huwa Ni njinga * alikiba for real yaaaaaah*
Hahahahah kibaaaaa mm nimeanza kukufatilia kitambo sana ushavaa sana tu heren kaka waambie wa siyo kujua au walioanza kukujua hiv karibuni
Bro anajielewa halafu xo kila msanii et ndo uvae helen or uchore tatoo nop
Anajielewa kiba
big up san kibaa
Ally kiba anajitambua...... kuvaa heleni me naona kama ni ushamba tu au wanaiga kwa watu wengine lakini me namuomba aendelee hivyohivyo
Ni mtu anajiamini aliy kiba hongeraa
king kiba anajitambua 👑👑👑👑
Si ushamba yuwajielewaa alfu a true Muslim haifnyi ujinga huo...
Ni mtu ambae anajiheshim na kujitambua love king kiba
Alikiba kalelewa kimaadili Bwana hawezi kuweka upuuzi huo ila tu misema atoe hiyorang yanywele kwani hivohivo nanywele zake tunampenda
Anajitambua kuvaa heleni sio ustaa.
Namkubali san kng kiba kwa7bu anajielewa
motto Wa kiume uwaga anaga mapambo mwilini mapambo wanaho mama zetu
Anajitambua sana tu... Huyo ndo msanii na pia mwanamme halisi
Alikiba nimnya anajitambua nampenda Mimi kama shabikiyake mwanaume unatoboaje pua namasikio niku saport ushoga uje nakwetu kwamana hayo nimambo yawazungu
Alikiba anaakili njingi ndo maana havay helen kwanza mimi siwapend wanaovaa helen
Alikiba ni mtu mwenye anajielewa, na kujitambuwa .
anaweza akawa #MSUYKA akifanya hayo jibu langu #TusiforceTufanane
Ni Kwamba anajua maksudio ya kuumbwa kwake
anajitambua
King Kiba anajielewa, anajitambua na anajua nn anafanya hakoseagi huyu m2.
Anajitambua sana tuu kwani yote ni haramu kuimba ataacha lakiini memgine laana kubwa kutoka kwa allah
Uyo ndie king
sio kwamba hapend kuvaa heren na chen chen,, ni ubahili tu mwenzie diamond ananunua chen za mpaka za mil15,
iyo kwa kiba bora akanunue mchele wa ndan
Ali n MTU na heshima zake..na kuheshimu dini
sio ushamba ila anajua anacho kifanya
Alikiba kipenzi cha watu anajielewa sikama hao wengine malibukeni 2
Anajitambua sana kaka yangu panda sana
asnte somo maana sisi majina ya A huwa shida sana
Ali kiba hana heshimu dini yake,, hinavyo sema hata kama hiko maarufu hawezi fanya hivyo .
ALEXIS RAMEY
Alikiba ni m2 anayejitambua