@@mzingtingofficial7401Huogopi???Mnaishi maisha magumu sana Nairobi…Most of y’all mnaishi kwa nyumba za mabati…Mkipanga apartment basi ni studio aprtmnt choo hapa kitchen hapa…
@@mzingtingofficial7401Sawa lakini tuoneshe hiyo single room yako au huyu domo pana. Lakin pia kama una macho hebu tazama hayo mazingira yanayomzunguka huyo mtu wenu hapo kwenye interview. Kuna nyumba kama ya Mwijaku hapo? Au si Kenya hapo?😊
Kenya ufahali ni kuwa na wake wengi, mko nyuma sana aisee
Dr.kspl.namukubali
Cash pull ❤ 🇺🇬
Ndevu ilikuwa seasonal
Tuonesheunapo lala wacha kelele nyingi
Wako kwenye mageleza . Kiswahili gani hicho
Huyo nichoko kiswahili chenyewe hajue
Ulivojua shehe basi unahisi kiswauili umejua. Kiswahili ukweli hujuhi basi tu .
Wapi mandevu Dr.? 😂
Huu ni ushemeduuu
kiburi ya mduruma
huyu anajua kweli kiswahili chakitaa...nafikiri Mombasa au sio ndugu zetu waKenya? nauliza tuu
Huyu jamaa anaongea km wa huku TZ, au kaishi huku?
🎉ni kiswahili cha Mombasa hicho
anajua kweli jamaaa..huenda ni pwani Kenya
Utu jamaa anaongeaga ufala2
Acha mdomo…Tuonyeshe unapolala wewe kibonge
hio nyumba ya mwijaku huku kenya ni single room
@@mzingtingofficial7401Huogopi???Mnaishi maisha magumu sana Nairobi…Most of y’all mnaishi kwa nyumba za mabati…Mkipanga apartment basi ni studio aprtmnt choo hapa kitchen hapa…
Achakusifia ujinga
kalale hauna lolote
@@mzingtingofficial7401Sawa lakini tuoneshe hiyo single room yako au huyu domo pana. Lakin pia kama una macho hebu tazama hayo mazingira yanayomzunguka huyo mtu wenu hapo kwenye interview. Kuna nyumba kama ya Mwijaku hapo? Au si Kenya hapo?😊