DR MWAKA ANATIA AIBU ,ONA MAMBO ANAYOFANYA NA MKEWE ILI KUMKOMOA QUEEN, ICU CHUMBA CHA UMBEA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- TUFUATILIE KWENYE MITANDAO YETU YA KIJAMII
Instagram @ ...
Facebook @
www.facebook.c...
Tiktok @
www.tiktok.com...
Habari za mastaaHabari,karibu sana kwenye ukurasa wetu huu,ili kupata habari za burudani za ndani na nje ya nchi,endelea kusubscribe na ubonyeza alama ya kengele
Majizo na hamisa waandamwa na Elizabeth Lulu, Mama dangote, wasafi Media, Habari mpya za moto,bunge,mange kimambi,umbea wa wasanii kongo, Habari za siasa, Exclusive interview za motoo, wasafi TV, mashamsham, lavidavi, jua kali jumatano, wizara, waziristan, bajeti, udaku mastaa bongo, umbea wa juma lokole, chawa, Exclusive interview na millard ayo, carrymastory TV, wa waswahili, Raisi, BBC, swahili, mziki, top ten za moto, top ten, chart za juu, umbea wa mastaa wa bongo, maneno ya kuambiwa, comedian, vichekesho, erick omondi, 8th naswa, wife material, pazia, jua kali, huba, dstv, series, wema na whozu, huba episode, bongo series, binadamu episode, salon mama kimbo, maua sama, zuchu, taarabu mpya, udaku tz, chumba cha umbea ICU, rayvanny, wasafi TV, mashamsham ya pwani,. divatheboss, mwijaku, babalevo, WASANII TANZANIA TOP TEN, Exclusive interview za leo, Habari mpya, udaku tz, umbea carrymastory TV, waswahili, mtoto wa lulu,mama dangote, umbea wa dida, divatheboss, mwijaku, babalevo, WASANII TANZANIA, top ten artists, divatheboss, Icu chumba cha umbea Clam vevo Costa, Costastich diamondplatinumz sherehe ya haji manara, 40 ya mtoto wa haji manara rubyna mtoto wa Haji manara
Dr mwaka na queen mke wa Dr mwaka talaka ya dr mwaka
mwijaku,babalevo, WASANII TANZANIA, udaku mpya leo, umbea wa ICU, chumba cha umbea, bona TV,wolper stylish, wolper, nandy,lulu majizo,mtoto wa fayma,umbea carrymastory, bongo flea,udaku mpya, Royal tour,serikaliwolper, nandy,lulu majizo,mtoto wa fayma,umbea carrymastory, bongo flea,udaku mpya, Royal tour,serikali siasa,ccm,chadema,millard ayo TV, Habari mpya za moto, bunge,mange video za hakika ruben na kinasa msukuma
hakika ruben shoga kimambi,umbea wa wasanii kongo, Habari za siasa, Exclusive interview za motoo,wasafi TV,mashamsham,lavidavi,jua kali jumatano, wizara,
habari, udaku, mastaa wa bongo, diamond plutnumz, kajala, harmonize, interview za wasanii, habari za mastaa, icu chumba cha umbea, UDAKU WA BONGO. HARUSI YA PAULA Habari za mastaa
Mshamba tu!!
Queen chuma bwana! Na Ana uhuru wake sasa. Big up Queen.
Huyu mke mwingine asubiri siku yake.
Queen ni mzuri kuliko hao wengine.
Doctor hongera bro cc tuendelee kuoa tu wanawake ni wengi xana❤❤❤❤
Queen ni moto🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Dkt Mwaka ukiachwa kubali kuachika na ukiacha kubali umeacha! Muache queen aendelee na maisha yake! Ukisema Cha Nini wenzio wanasema watakipata lini! Unajivunjia heshima ujue
Queen ni mzuri. Usirudi nyuma. Umeachwa usidanganywe na mtu, maisha ya peke yako raha.
Quuen mzur weee 😅😅😅Huyo Dr atulize mshono😅😅 chefuuuuu
Kumbe bado anamwelewa qeen
Na hisi kuwa,huyo Dr.Mwaka hana hiyo pesa vile.Very soon,he will be living beyond his means.
Why huyu mke aliyebaki anavaa nguo Moja tu aina Moja matrack suit tu
Queen n mzuri buana huyo wa kwanza hakuna kitu🤸🤸🤣🤣nko paleeee
Hili janamke linakazi ya kuchekacheka tuuu cheeefuuu
Vitu vitamu viko wapi apo 😂 izo pancakes na mayai🙄
Acha nitafute hela bhana
mh sio atakwenda wapi yakimfika atapajua pa kwenda muhim subra na upendo wa zati ila kutesa kwa zamu
Haiumizi wala
Mke wa kwanza wa dk Tapelii Juma Mwaka anaitwa Batuli Mwakijo anaishi kwao palee Buguruni Hostel Malapa .Tuletee habari yake anaendeleaje Mamii???!
Batuli Athumani Mwakijo tumemmisi Tuletee Taarifa zake 🙏🙏🙏🙏
Mungu anamgonja kiama sio mbali
Huyo ni mume lakini sifa ya uume Hana .chefu dude kubwa ovyo Muislam kamilia anaejitambua Hana upuuzi kma wa huyo midevu kma dodoki la kuoshea vyombo
Huyo nae ajiandae wanasema mwenzako akinyolewa ww tiamaji
Mmmmmm wala vinamuda kabisa hatuuyo hakupendi ni rah na vitu vitamu
Ww mwenyewe unaonekana huna ndoa kwahiyo mambo ya ndoa waachie wanandoa usijifanye unajua sana kujaji mbambo usiokuwa na experience nayo
Chanzo cha mwaka kutotembelea Queen.....huyu Shime.....when in poly, don't own that man for yourself.........Akijakuoa akuwache aende kwa huyo mwenzio...ndipo utajua vile Queen alikuwa anahisi.... I blame shimi for denying Queen chance to be fucked na mume wenu....yeye ni binadamu kama wewe na hisia kama wewe.....acha ushenzi
Vishindo vya sakafuni hivyo
Na huyu mwanamke nae ni mjinga tu
Namuone huruma huyu dada waswahili walisema mwenzio akinyoa ww tia maji
Ukweli Mnachooeka Ujinga Tupu Kwanza Mnaopenda Ayo Machakula Amjui2 Wanaume Ukila Mivyakula Iyo Nguvu Za Kiume Utakosa2 Kwa Asilimia Kubwa Kwa Mwanamke Joto Lamwili Upungua Sana Igeni Vyakula Vya Mababu Acheni Utumwa Kutoka Kwa Wazungu Sasa Mtu Abaki Nawewe Kwasababu Ya Vyakula Feki We Vipi
Du mtihani kwakweli ngoja tu noendelee na dona langu na mihogo na magimbi kikubwa Afya njema tu😜
Mshamba kama washamba wengine2!
Mtume Muhammadi s.a.w anasema fanya utakayo kama Huna haya.Tumche Allah kwani kwake tutarejea tu.
Huyu mshenzi tuuuu Hana rorote mwenzako akinyorewa wewe Tia maji
Hivi mwaka ni kabila gani!!
Muha mtu wakigoma
We shimi acha kumfanyia mwenzako hivyo ipo siku na wewe yatakukuta
Huo ni utoto kbs akikua ataacha hovyooo
Maneno ya mkosaji
Kabisa
Huo ni ujinga wanamuumiza nini na shimi ajipange
Anaangaika
Ila uongo mbaya, Qeen Ni kisu Bwana,na ndio sababu Dr anashindwa kutoa talaka, haya mengine tunayo oneshwa Ni utoto tu.
Anajiangaisha tu...na ndo kaachwa ivo
Huyo nae asubili zamu yake
Kwani penkeki hajui kupika
😁😁😁😁 kwanza ata sio tamu kivileee
Mshamba wote na huyu mwanamke siku yake ipo
Ukiona mwenzio kajolewa wewe tia maji.Nani asietaka vizr.Mpka anatoka kwamwaka ujue kuna jambo kubwa
Ushamba ni mzigo,
Ujinga tu, na pia inaonekana roho inamuuma yeye mwaka sio queen. Ni ushamba tu. Mtu mzima hovyoooo
Ujinga mtupu
mh sio atakwenda wapi yakimfika atapajua pa kwenda muhim subra na upendo wa zati ila kutesa kwa zamu