Jinsi ya kutengeneza ice cream tamu sana bila machine na cream nyumbani | Choco bar ice cream recipe
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
- Easy chocolate bar Ice-Cream | No Cream and Condensed milk choco bar ice cream | Chocolate bar ice cream is the most refreshing thing you could eat during summer which is about to come. Step by step recipe is in the video.
©Mapishi Rahisi
Masha Allah very nice I will try mine
MashaAllah. They look delicious 😋. Thank you for sharing
Waoooh mzuri mno nitajaribu kufanya hivyo
Ahsant sana MUNGU AKUBARIKI nmekuelewa vzr
Mashallah Nitawatengezea wajukuu wangu Watafurahia Shukran sana habibty
In sha Allah dear💕
Hongera sana Cornstach umenunua wapi?
Maaaashaaaaaalaaah
❤
Napenda vipind vyako na huwa najarbu na mm kutengeneza nyumban
Masha Allah ❤❤
Mazwa y unga inkuwa n km kias gn hcho kkombe
Shukran dear 😘😘😘
Thank so much ubarikiwe you are innovative😀
Mashllah ❤❤
Masha allh vizurisana nakupenda
❤❤❤keep it up 😮😮
Nzuri sana🎉
Asante
Mashallah
Nami ntajaribu kwa biashara ♥️
MaashaaAllah ni nzuri 😋😋😋
Hii ni nzuri
Amazing. Lazima kuweka corn starch au naweza kutumia flavor thickening nyingine? Ice cream mold umenunua wapi?
nimeipenda
Kumbe hii ni rahisi hivi! Asante.
Jee hio chocolate bar ni lazima ama naweza kuchanganya cocoa na maziwa.kwasababu sina hio chocolate bar
Mashallah ❤️
ManshaaaAllahh,na nikitakaa kutengezeza za mkebe ?
Yummy uwo Unga wa ngano au na mafuta ya aina gani unaweka
Masha Allah
asante jamani nimepata kitu chakufanya hii Sun-Day
Asanye kwa kuangalia☺
Hii constar cjui nitaipataje au kweny maduka ya bidhaa gani plz nipo dar
@@salumtatu1766 zinapatikana wap
Mashaallah 😘
Naomba kuuliza mfano km huna sukari unawez kutumia asali?
Njoo nyumbani kwangu nitengeneze
Corn starch jina lengine ni unga wa icecream?
Mashaallah
Dada nilitaka kujua maziwa lita 60 niweke kiasigani cha corner flowers
Hii is the milk powder necessary
Walekumsalam
Instead of corn starch unaweza tumia nini kingine
kama sina corn starch naweza tumia nn mbadala
Je hii ice cream haitayeyuka?
asante
Made these leo...cant wait to try them😍
Ninaweza kutumis nutella ???
This chocolate normal we eating
Ni lazima kuweka corn starch
Kama sin cornflour naeza tumia nn ingne
Con stuch ndo nin
😘😘😘😘
😋😋😋😋😋😋😋
hivi vikopo vinapatikana wapi nahitaji my
hizi contena za ice cream ulinunua wapi
Ni mafuta gani unayosema kuweka kwa chocolate once melted? Salad oil ama gani?
Baby care
Naomba namba Yako mpenz
Ahsante sana. Please, hizi ice cream moulds.. nitazinunua wapi hapa Nairobi?
Utapata duka za vyombo
Kama sina conflower naweza kuweka nn
Naomba unijibu nataka kufanya
Concela ndio nini
Iyo corn starch naweza bata wapi niambie
Supermarket
Habibty mnapenda kufuata mapishi yako lakini mnakuomba uandika kwa mligram au gram. Ukiandika kama 1/2 cup mimi sijui nisawa sawa na ml ngapi au gram ngapi?.please andika kwa milligram
Mimi ninatumia vikombe maalum vya kupimia dear zinapatikana kirahisi kwenye duka za vyombo
@@Mapishirahisi shukran kwa kujibu kama 1/2 cup ni sawa sawa na 200ml au 250ml ? Mimi pia ninatumia deciliter kwa mfano 1 deciliter = 100ml .
Samahani madam sijaelewa nini maana ya con flow ninini
Unga wa mahindi
Amepata follower mpya nauliza kama mtu Hana corn starch anafanyaje sisi ambao tupo kijijini
Hizo ice cream moulds zapatikana wapi jamani
Kwenye maduka ya vyombo ndugu unaweza kupata
Ice cream mould naweza kupata wapi kwa Tanzania naomba kujua
Ila hio ice cream ukiinunua ni 1000 but ukitengeneza mwenyeo nadhani itafika 2500
Mafuta ya aina gani
Hi upo wp kipenzi
Kwanini uliongeza maziwa ya unga?
Shukran dear 😘😘😘