Sina shaka na namna Rais huyu wa TLS anavyoenenda na kuwapelekea mambo mbalimbali wahusika (hasa viongozi) kama jaji mkuu na wengine ktk maeneo yao. Bila shaka yoyote udumavu wa mahakama yetu ni miongoni mwa sababu kuu za kukosekana kwa utawala bora nchini, ambapo EXECUTIVE (ikulu na serikali kwa jumla) imekuwa ndiyo kila kitu na inafanya ipendavyo bila kujali.
Mwambukusi hakuwa na njaa,na hana njaa,yeye ni miongoni mwale wasiopenda uonevu,anapenda haki kwa wote.ni mchapa kazi kweli kweli.sio mtu wa majungu.umuelewe hivyo,pia ni mcha mungu kwa familiya yao.
Nadhani unafanya kazi nzuri sana. Chama cha wanasheria cha Uingereza na Wales ndicho huandika sheria za nchi hiyo . Itapasa hiyo section four iongezewe hoja hii ili kuipa TLS ushirikishwaji wa wansnchi zaidi .
Acha ujinga, hadi sasa ni lipi alilolifanya tofauti na msimamo wake wa siku zote mpaka umzodoe namna hiyo? Usiwe mvurugaji, jenga hoja na weka ushahidi wa tuhuma yako tafadhali.
Kupanga mipango ya TLS kuzingatia mpango wa maendeleo wa taifa ( National Development Vision) busara kubwa hongereni
😂ATAKAA SAWA TU
Nakupata sana mwamba.. kuna kitu unatengeneza nakuelewa vizur 👏 👏
Kila la kheeri...!
Sina shaka na namna Rais huyu wa TLS anavyoenenda na kuwapelekea mambo mbalimbali wahusika (hasa viongozi) kama jaji mkuu na wengine ktk maeneo yao. Bila shaka yoyote udumavu wa mahakama yetu ni miongoni mwa sababu kuu za kukosekana kwa utawala bora nchini, ambapo EXECUTIVE (ikulu na serikali kwa jumla) imekuwa ndiyo kila kitu na inafanya ipendavyo bila kujali.
Mwambukusi hakuwa na njaa,na hana njaa,yeye ni miongoni mwale wasiopenda uonevu,anapenda haki kwa wote.ni mchapa kazi kweli kweli.sio mtu wa majungu.umuelewe hivyo,pia ni mcha mungu kwa familiya yao.
Nadhani unafanya kazi nzuri sana. Chama cha wanasheria cha Uingereza na Wales ndicho huandika sheria za nchi hiyo . Itapasa hiyo section four iongezewe hoja hii ili kuipa TLS ushirikishwaji wa wansnchi zaidi .
Napenda kilakitu kutoka kwa huyu mwamba ,,,,, na hilo jinalake duuuh linanikosha sana ,,,,viva mwabukusi
Sawa,mwamba kusikilizwa na kutenda ni jambo lingine.
Yangu masikio na macho kwisha habari.
Mwabukuzi ni njaa ilikuwa inamsumbua Sasa kichaa kimepoa heshima debe😂😂😂
Wewe ni mkundu mwabu hanagq njaaa labda wew na mqma abdul
Acha ujinga, hadi sasa ni lipi alilolifanya tofauti na msimamo wake wa siku zote mpaka umzodoe namna hiyo? Usiwe mvurugaji, jenga hoja na weka ushahidi wa tuhuma yako tafadhali.
Kifupi jamaa alishakataa zaidi ya MILIONI 100 kisa bandari ili awe kimyaaa kabisa @@StevenSanga-n3n
🙏
Genius, be blessed all.
✌️👊👍.
Mdgmdg utakaa kwenye mfumo tuuuu
Dua yako haitafanikiwa bali taifa litajengwa na wenye moyo