SHEKHE KIPOZEO: MIZIGO YA KICHINA/ KUONGEZA MKE/MZEE YUSUPH KUIMBA/WANAOMPONDA AKIZUNGUMZIA MIZIGO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 79

  • @leilamehbub948
    @leilamehbub948 4 ปีที่แล้ว

    Asc my favourite sheikh anapenda ukweli na Wala haogopi yeyote isipokuwa Allah mashAllah

  • @sideboy2739
    @sideboy2739 4 ปีที่แล้ว +2

    We carry mwambie mfanya kazi wako aulize maswali ya msingi anamuuliza shekhe et VP kuhusu wanaume wanaovaa ereni sasa unategemea shekhe aseme wavae au

  • @omanoma5446
    @omanoma5446 3 ปีที่แล้ว

    Shekhe, kipozeo, nakupenda, sana, lakini, nipo, mbali, Tena, nakupenda

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu 4 ปีที่แล้ว +5

    kwa kweli mimi swala la nyimbo katika uislam haijalishi unaimba nini kwa kweli bado linanipa ukakasi kwa sababu uislam umeharamisha ala za mziki...
    aya tumuachie Allah ndiye mjizi zaidi

    • @abubakarmzee3374
      @abubakarmzee3374 4 ปีที่แล้ว +3

      Kwani we unaona huyu nae shekhe kwa mujibu wa dini ya kiisilam nyimbo zote zete haramu Mungu hakuleta watu duniani kuja kuimba lego la kuubwa mwanadamu ni kumuabudu molla wale na so kuinga apo hapana kupata ukakasi wala nini nyimbo ni haramu hawa wengine wapo duniani kwa masillahi na so kupeleka din mbele

    • @nurdin.mndeme3447
      @nurdin.mndeme3447 4 ปีที่แล้ว

      @@abubakarmzee3374 kaka usiwaseme vibaya viogozi wa Dini !

    • @shaloboy3861
      @shaloboy3861 4 ปีที่แล้ว

      Kabisa

    • @mwalimudzuya6695
      @mwalimudzuya6695 4 ปีที่แล้ว

      @@abubakarmzee3374 taratibu Kaka n dini hii hataki hasira wala jazba,

    • @rayasaid4099
      @rayasaid4099 4 ปีที่แล้ว +1

      Hakuna kosa alilo changia nyimbo haramuuuuuuu

  • @gojvon116
    @gojvon116 4 ปีที่แล้ว

    Sheikh huyu kwa kweli inaonesha kuwa ni mtu mzima na mwenye busara na hikma sana na ni mtu anaempenda Allah na kumuogopa na mtu mtaratibu na mwenye kufahamu na kuelewa .
    Allah ambariki sana

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 ปีที่แล้ว +3

    Sheikh uko vizuri!

  • @kadulathumani7517
    @kadulathumani7517 4 ปีที่แล้ว

    Nakupenda interviewer. Maswali yako yametulia kwa Skh Kipozeo ingawa majibu yake Skh mengine anayabana bana Tunafaidika sana na Ma story TV. Like it.

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 4 ปีที่แล้ว +1

    yaaa
    akili zina gredi
    safi kabsaaaaaaa
    nakupata sana shekh wanguu!
    ndıoo shekh cc tunakueleqaa sanaaa wala ucwe na khofuu

  • @sanuranassoro7660
    @sanuranassoro7660 4 ปีที่แล้ว +3

    Shekh wa maana hafanyiwi interview na wahuni

  • @ashaally6662
    @ashaally6662 4 ปีที่แล้ว +5

    Napenda shekhe kipozeo anavyoongea😁😁😁😁

  • @leilamehbub948
    @leilamehbub948 4 ปีที่แล้ว +2

    Jamani mwacheni sheikh akisema mzigo hamanishi mambo mengi hiyo mnadhani la .

  • @Hongkongman2
    @Hongkongman2 4 ปีที่แล้ว +2

    Yeye mwenyewe huko siku za nyuma alipinga nyimbo zote
    Na alikua akuwasema sana waimn maulid na kaswida
    Leo anasema ni ruhsa kuimba
    Ni shekhe ambae haeleweki tu

    • @omanoma5446
      @omanoma5446 3 ปีที่แล้ว

      Shekhe, kipozeo, nakupenda, Sanaa, lakini, nipo, mbali, jaman, Tena, nakupend

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 3 ปีที่แล้ว

    sheikh kipozeo acha kutupanga!!!!

  • @ibramtibila7029
    @ibramtibila7029 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashallaah

  • @drnathanstephen.3882
    @drnathanstephen.3882 4 ปีที่แล้ว +2

    Haha Sheikh Kipozeo yupo vzr sana.
    Pitia na Channel yangu upate kujua Mengi kuhusu afya yako. Mada mbalimbali za Afya zipo huko.

  • @husseinnkami7360
    @husseinnkami7360 4 ปีที่แล้ว

    Very gd

  • @mustaphambwana7944
    @mustaphambwana7944 4 ปีที่แล้ว +2

    Shehe mzigo ana penda mizigo yani misambwanda ndo yake ana penda wadada walio Nona viswaswadu kwake hapana yani uyu mzee noma kweli

  • @omariselemani3962
    @omariselemani3962 4 ปีที่แล้ว +1

    Yani
    nyinyi
    Mnayokomenti
    usenge
    kwaniakipenda
    Mizigo
    kunashidagani
    Kwaniyeye
    Sibinadamu
    Au
    Kweli
    hakilikunagred

    • @sidratybinkhamis2837
      @sidratybinkhamis2837 4 ปีที่แล้ว

      Chagua ukipendacho lkn dini ndio lakwanza kuangalia na sio mizigo maana mizigo inachoka . Ila elmu haichoki

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf1805 4 ปีที่แล้ว +2

    Shk wangu KIPOZEO wachaneni na huyo mwandawazimu. Msijishugullishe nae.Mwambieni a click TH-cam YA JENNIFER GROUT.AONE FROM MUZIC TO RECITE THE HOLLY QUR'AN.

  • @athumanmakale8221
    @athumanmakale8221 4 ปีที่แล้ว +1

    Kipozeo naye amerudi Mjini kazi kubwa ni kusifu wasanii wa Muziki. Kutoa fatwa ambazo hazina kichwa Wala miguu.

  • @daudi.gilago5846
    @daudi.gilago5846 4 ปีที่แล้ว +2

    Rojah bahna hyo salam umetoa kama we mwisalam kwel

  • @athumanmakale8221
    @athumanmakale8221 4 ปีที่แล้ว

    Shekh Kipozeo ushapoteza Dira. Huna jipya.

  • @abdulchakusaga1322
    @abdulchakusaga1322 4 ปีที่แล้ว

    Kwani mzee unataka uoe wangapi

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 4 ปีที่แล้ว

    Shekhe kipozeo hujambo

    • @shimoneycashtalk9176
      @shimoneycashtalk9176 4 ปีที่แล้ว

      Shekh kipozeo kachemka mziki ni mziki tu niharam ni haram

  • @sabrinasab2910
    @sabrinasab2910 4 ปีที่แล้ว +2

    Huyu shehe anapenda wadada walonona nyuma ndo zake uyo

    • @saidijuniorhan6790
      @saidijuniorhan6790 4 ปีที่แล้ว +1

      ww

    • @mahamedabdi1881
      @mahamedabdi1881 4 ปีที่แล้ว +1

      Kwani kunaobaya gani? Mtu kupenda mwanamke alio beba hata mei napenda

    • @josephnjoroge5649
      @josephnjoroge5649 4 ปีที่แล้ว +1

      Kujaza nyuma ni neema ya Allah kwa wale wanawake waliojaza...mie pia nawapenda..

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@josephnjoroge5649ooooooyiii

  • @ambrosiamlinga8402
    @ambrosiamlinga8402 4 ปีที่แล้ว

    Basi una choyo kusema ‘hupendi thawabu ziende kwa watu wengine’
    Wewe ni shehe wa wapi mwenye choyo?

    • @ahmedyzo
      @ahmedyzo 4 ปีที่แล้ว

      Charity starts within your own family, na yeye ametaka basi mema waanze kupata familia yake, niuelewa tuu..

  • @ummialey6391
    @ummialey6391 4 ปีที่แล้ว

    Nyimbo za heri ndo nyimbo gani shehe tunapenda ufafanuzi

  • @shaloboy3861
    @shaloboy3861 4 ปีที่แล้ว +4

    Nyimbo zote haram sheikh ameteleza kias kama binadam inaeleweka mana akuna aliekamilika na elmu utofautiana

    • @queenslandemile2536
      @queenslandemile2536 4 ปีที่แล้ว

      Uyu cheikh nibala

    • @mwalimudzuya6695
      @mwalimudzuya6695 4 ปีที่แล้ว

      @@queenslandemile2536 kwa Baya gani alilolifanya mpaka umvue cheo chake,m n mkenya na najua n SHEIKH.

    • @rayasaid4099
      @rayasaid4099 4 ปีที่แล้ว

      Nyimbo yoyote haramu

    • @sidratybinkhamis2837
      @sidratybinkhamis2837 4 ปีที่แล้ว

      Haramu ndio jamani tuache ushabik

    • @queenslandemile2536
      @queenslandemile2536 4 ปีที่แล้ว

      @@mwalimudzuya6695 nyimmbo zote haramu

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 4 ปีที่แล้ว

    WAHARIBIFU NI WAIMBAJI NDIO WANAHARIBU WATU WANASIYASA NA MATIVII BOTAILIKUWA NYERERE ALIKUWA ANATIZAMA TV KWA KUANGALIYA NCHIGANI ZIMEPATA UHURU

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 4 ปีที่แล้ว

    Huyu ni shekh wa mizigo

    • @queenslandemile2536
      @queenslandemile2536 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂

    • @mwalimudzuya6695
      @mwalimudzuya6695 4 ปีที่แล้ว

      Ndugu katika imman tusipende kukejeli viongozi wetu Ka kdini,kama Sisi wenyewe tunafanya ivi na wasio kuwa waislamu je?tutumie kauli laaini N ushauri Tu kaka.

    • @mwanahamisiyusuph7562
      @mwanahamisiyusuph7562 4 ปีที่แล้ว

      @@mwalimudzuya6695 kwa hakika ninavyofahamu Mm mashekhe nao binadamu kukosea kupo

    • @salimmohamedsalim4448
      @salimmohamedsalim4448 4 ปีที่แล้ว

      Anasema mwenye yy apenda mizigo

  • @sudaissoud3670
    @sudaissoud3670 4 ปีที่แล้ว

    Nyote ndo walewale..nawe pia kipozeo ndo hao hao

  • @happylusinde9215
    @happylusinde9215 4 ปีที่แล้ว +1

    Hhh

  • @abubakarmzee3374
    @abubakarmzee3374 4 ปีที่แล้ว +2

    Shekhe ubwabwa

    • @mwalimudzuya6695
      @mwalimudzuya6695 4 ปีที่แล้ว +1

      ALLAH ndie mwenye ku hukumu kaka,Sisi kama binadamu hatuna uwezo huyo,tufanye kheri TU,ushauri Tu

    • @rayasaid4099
      @rayasaid4099 4 ปีที่แล้ว

      Shehe wali na mihogo na kunde

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 ปีที่แล้ว

      Sheikh ugali ni wewe!!

    • @abubakarmzee3374
      @abubakarmzee3374 4 ปีที่แล้ว

      @@mwalimudzuya6695 sisi hatuhukumu Ila ishara jema huonekana Mungu na sisi katupa akili mbona mtu akiwa mwizi au mla madawa hujawihi ata siku moja kuonana nae Ila ukimuona akili inakwambia huyu mwizi au huyu mla madawa

  • @saidmarley4049
    @saidmarley4049 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyu sheikh fake kama simu za kichina....vp unasema nyimbo inafaa ambapo ina mkaribisha shetani kupoteza watu kwenye maaswiya????

  • @messiomy8655
    @messiomy8655 4 ปีที่แล้ว

    Salaf ndo wenye dinii ...wootee hawa waigizajiii tuuu...huyo sheh na anaemuongelea ..wote ngma droo