We bro ogopa sana watanzania wanacheza na akili yako hao, wanakusoma unavyokuja na wanakujibu ulivyokuja, ukitaka kuwajua hao wabongo nenda kwa dharau uone moto
Mie sielekezi mtu kwa majibu , anipe jibu lake nahifadhi alivonipa. Honesty , sote wa Afrika Mashariki. Naomba kama waeza , nipe like na uweze kusubscribe
@@mjm8490 Wewe umeanza kwa kujitambulisha kuwa ni mkenya tayari. You have already directed them how to respond after introducing yourself as a Kenyan. You can't get real answers. Wabongo wanatumia bongo, wakenya wanatumia tumbo kuwaza,🤣🤣🤣
Sio. Nizamu ila ni nidhamu matamshi yenu watz ni potovu na bado mwajisifu mwajua kiswahili👏👏👏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Same nyie mnaposema ZENYU badala ya ZENU ,Kiswahili fasaha ni ZENU,Karibu Tanzania
Tembo Hotel,wow! One if the best night clubs in the city if dar es salaam was located there in the early 90’s. It was called 7th floor
Dar es Salaam is steeped in lots of history , please like and subscribe as I have another video going through it's history.
We bro ogopa sana watanzania wanacheza na akili yako hao, wanakusoma unavyokuja na wanakujibu ulivyokuja, ukitaka kuwajua hao wabongo nenda kwa dharau uone moto
Mie sielekezi mtu kwa majibu , anipe jibu lake nahifadhi alivonipa. Honesty , sote wa Afrika Mashariki. Naomba kama waeza , nipe like na uweze kusubscribe
@@mjm8490 Wewe umeanza kwa kujitambulisha kuwa ni mkenya tayari. You have already directed them how to respond after introducing yourself as a Kenyan. You can't get real answers. Wabongo wanatumia bongo, wakenya wanatumia tumbo kuwaza,🤣🤣🤣
@@CosmicWorld2024 😄 ata kama singejitambulisha , Kiswahili changu bado kingeniuza
@@mjm8490make sure umefikishia Dwf salamu zake!
Sasa you think hao Tanzanians ni wafala sana? They know Kenyans vizuri whether you introduce yourself or not,rest bro.@@CosmicWorld2024
Hawa wanaogopa camera.....😅😅😅
😅 walikuwa watu wazuri sana. Naomba like na subscription
Good job bro
njoo nikufunze editing
Kazi safi bro
shukran , usisahau ku-like na subscribe
Tunawapenda watz,,
Tanzania hatu baguani kimakabila ndiyo maana tumefanikiwa kuchanganya damu vitoto vinazaliwa vikali sana
Hiyo mswada yako leta tiktok hapo utajibiwa vizuri na wakenya😂😂😂😂
hehehehe , naomba like na subscribe dada
Matusi sindiooo
Watakufokoa
kivipi braza?
WATZ WAMEJIBU VIZURI SO NENDA KENYA KWA WALAJI MIRAHA WAULIZE KUHUSU WA TZ
@@RonnieBertin 😅😅👍🏽
Kenya hamna miraha bali kuna bangi na mirungi, akili zao zimeoza.
😅😅😅