Mashaallha !!!! nakuombea kila la kheri katika ukuwajii wako akukuze na kipaji chako akuepushe na kila mwenyee jicho la husda na kukuwazia mabaya 👏👏aminaaaa
mheshimiwa ndalichako, nadhani upo kumsaidia Magufuri watoto hawa tusiwaache wazazi wakitafuta wafadhili .mungu ameonyesha upendo kwa watanzania kutupatia kizazi cha aina hii
namuomba sana sana baba wa huyu mtt amtie na madrasa asome dini yake amjue mola wake na mtume wake ili apate kuinusuru nafsi yake pamoja na uislam km wao wt ni waislam allah atamjaalia ishallah awe mtt mwema mwenye kumcha mola wake akijua kua kuna adhabu kubwa siku ya kiama..
kuna vitu binadamu hatuwezi kuelezea ni mungu anajua .... serikali ni jukumu lao kuona ni namna gani kumsaidia maana naye anatakiwa kuwa ktk kundi la wenye mahitaji maalum...
yan anashusha ova kapitia hata chekechea kumbe hata ni uwezo wa mungu nimefurahi kusikia anapenda kua nan na kwa somo kma hili anavyofanya bila shaka hata hayo mengine atakua vzr na nimependa zaid kwa kua dini anaijua vizur mistar ya biblia anaijua na kukusome vyema mungu ni mwema azid kukujalia vyema afya dhabit
Huu ni mfano mzuri kudhihirisha kwa alichoikiumba Mungu hakifi, kinaacha mwili, huyu mtoto aliishasoma mpaka vyuo vikuu huko kwenye nchi zinazozungumza kingereza, akafa na kuzaliwa tena Afrika (incarnation)..
kuna maswali mengi ya kujiuliza. mother tongue yake ni swahili or english? wanao mzunguka wanaongea lugha gani? Nilimsikia akisema kuwa yeye alijifunza mwenyewe kiingereza sipati majibu!
🤔🤔🤔huyu mtoto amejulia wapi hizi hesabu kama mm nilikwenda kuzipata form one na anafundisha kabisa ni kama ashamaliza university teachers college huyo mtoto aandikwe kazi mara that that
Kweli wa zazi walimlea vizuri sana ndo mana anakipaji kama hicho, pia kulingana na mazingira anapoishi mtoto huyo, mara nyingi vibaji vya watoto vinaharibika bale tu ambapo mazingira hayatoshi mtoto kukua kielimu zaidi.
serikali iwajibike kuwasomesha watoto wa aina hii. nchi kama China ilipeleka watoto wenye kipaji America enzi ya rais mao tse tung hivi sasa America wamezidiwa kimaendeleo katika antenna zote touching.
huyu mtoto co WA dunia hii amekosea njia, yaani jr hayuko hvyo hyu tomuch mm hata celew cjui mwanafunz au mwalimu? hadi topic za form3 na 4 (yaani movement) duu amenishinda tabia cjui hata shule ya kumfaa kwa tz
Mtoto huyu ameishia wapi? Naona kwa umri wake ni extra ordinary zaidi ya Yule wa Morogoro lakini wote wakiwekwa kwa Pamoja Wataweza Badili Dunia juu chini*
MAINSHAALAH kama mjukuu wangu maskini Mungu wabariki
Mashaallha !!!! nakuombea kila la kheri katika ukuwajii wako akukuze na kipaji chako akuepushe na kila mwenyee jicho la husda na kukuwazia mabaya 👏👏aminaaaa
safi sana mtoto Mzuri Mungu akujarie ufike mbali zaidi
mheshimiwa ndalichako, nadhani upo kumsaidia Magufuri watoto hawa tusiwaache wazazi wakitafuta wafadhili .mungu ameonyesha upendo kwa watanzania kutupatia kizazi cha aina hii
GOD protect the boy with your blood blessed him halleluyia whatever he does.
Jamani mimi nauliza uyu Mtoto kwa Sasa yupo wapi!!!
It can be a national debate
this is a Qualifiied teacher according to my own Education System
Masha Allah dunia yaelekea,Maana huyu amezaliwa na kipaji chake hata ukasomee wapi humuwezi.
kwel kabxa
Maajabu kweli professor mtoto
Good job, finding the gradient/slope of a line.Good introduction to the very basic aspect of calculus. U r great my boy.I celebrate u little man.
May da Lord make my kids like this kanifurahisha kweli...daa Mungu azidi kumuinua kwakweli
Genius,praise God Amen.
namuomba sana sana baba wa huyu mtt amtie na madrasa asome dini yake amjue mola wake na mtume wake ili apate kuinusuru nafsi yake pamoja na uislam km wao wt ni waislam allah atamjaalia ishallah awe mtt mwema mwenye kumcha mola wake akijua kua kuna adhabu kubwa siku ya kiama..
mungu azid kumbariki mtoto huyu ninaiman hawa ndo akina newton wajao
We should have our own version of Guinness world of records. ..mere TH-cam clip is not enough a place to celebrate this genius
Mashallah mungu amlinde na husda za walimwengu
subhana Allah
masha Allah mola akuzidishie elimu insha Allah.penda ww son
Ati listen YOU children kwani wewe ni mzee..aki mungu njoo
Haja😂😂😂😂 mzee
Mashallah napenda anavyoshika chaki
huku mm najua tu magufuli Uhuru na mseveni! dah mashala
special group need much care .....yawezekana nabii maana cikuwahi kusikia kabla
Jamani wengine sijui tulipewa ubongo wa kuku ?
,😂🤣🤣🤣
GENIUS CHILD! GLORY TO GOD.
knoma sana
Anatakiwa apelekwe kweny shirika la watt marekani genius children
Akafanye
Mtihan
Udsm
asichelewe nakwendelea badae 2020 agombeee urais
ataongoza inch anaonekana mzarend
Very good boy you are a genius
Mashallah mtt kasoma tumbon
mashallah mashallah mashallah wallah Allah ibariki fiki khabibi
duh, mungu ambariki daima
Huyo ni malaika
He is an immimickable boy. Excellent!
Gifted kid, Mashaa Allah.
itham...hpnaa baby boy u ar clever aiseeee.....maintain ur cleverness.... congrats parents...
Vipaji kweli ipo...... Asante maulana
kuna vitu binadamu hatuwezi kuelezea ni mungu anajua .... serikali ni jukumu lao kuona ni namna gani kumsaidia maana naye anatakiwa kuwa ktk kundi la wenye mahitaji maalum...
very nice teacher I like
woow intelligent boy,,, keep it up
Wah! Qiyama kweli tutaona mambo mapya kila uchao
Kabisa
Jesus is around the corner for those with spiritual eyesight, wake up guys
Ust Hamza Issa Tanzania sure
Idiot
Ust Hamza Issa Tanzania true Jesus is coming
Ust Hamza Issa Tanzania your right
MORE THAN GINIUS CUTE LITTLE BOY, GIFT FROM GOD.
this is incredible...the next archimedes
Nice chidren
masha,Allah masha,Allah.he is a genius boy
He's a great man of God as well
you forgot.. that is not y1.... thats very nice thanks God...
Tanzania we should use this child for development !!!!!!
which kind of development?
God's grace is sufficient,,, walalala
jaman jaman jaman huyu mtoto ameniacha hoi kabisa mungu ambariki nahic atakuja kuwa Rais was nchi hii
mmm mwenyezmungu aendelee kukuongoza
he is intutor! ni wampeleke akasomee tarent yake kuwa mtaalam zaid
nimeshangaa sana Allah Akbar Maashallah.
Mashalaa mungu mkubwa
huyu ni gifted mzee baba kama hamja elewa hawa wanatakiwa kupewa kipaumbele na serekali
mtoto huyu anakipaji mashaallah
Dogo yuko vizuli ataliiiii hiiiiiiii apewee tengo ha kwaa wenzieee watoto
Wah....nimetii
ah huyu mtoto balaaa hish nomaaa aisee amizng!
daaah dogo hama bongo wanga wengi nenda mamtoni Daah Mungu ni mwema kwa watu wake
yan anashusha ova kapitia hata chekechea kumbe hata ni uwezo wa mungu nimefurahi kusikia anapenda kua nan na kwa somo kma hili anavyofanya bila shaka hata hayo mengine atakua vzr na nimependa zaid kwa kua dini anaijua vizur mistar ya biblia anaijua na kukusome vyema mungu ni mwema azid kukujalia vyema afya dhabit
Yuko vizur sana,akufundishe university
Understood children?yes teacher like it!!!
Huu ni mfano mzuri kudhihirisha kwa alichoikiumba Mungu hakifi, kinaacha mwili, huyu mtoto aliishasoma mpaka vyuo vikuu huko kwenye nchi zinazozungumza kingereza, akafa na kuzaliwa tena Afrika (incarnation)..
Thank you lord for giving upcoming professors,
Mimi naona apelekwe apitie vyeti vya wakuu wa mikoa wote uwenda akatusaidia
Ooh my god mamayake cjuw ni kias gan anaona raha had unaweza kulia dah mungu amkuze maskin
MTOTO HUYU NI AZI NA YA TAIFA INAWE ZA AKASAIDIA SERI KARI YETU YA TANZ ANIA TUMUTUMIE
Hawa ndio time traveller wenyewe
ngojea wabongo tukafanye ye2 nyue mtangazeni2.....mamae
hi hi Kali huyumtoto katumwa namungu
amazing...
This kid is just amazing
genius 🙌 Kid
mashallah tabarakallah
Wenye F za hesabu tuko pamoja na wanaokimbia walimu
he is very serious
Duh jaman hivi ni kweli
Ana pepo LA utambuzi akaombewe
Isn't geometry? and what is his level? ,, talentive
yap actually he has tried his level best...congratulations to u my child....go on doing practices u will be more than ever
kuna maswali mengi ya kujiuliza. mother tongue yake ni swahili or english? wanao mzunguka wanaongea lugha gani? Nilimsikia akisema kuwa yeye alijifunza mwenyewe kiingereza sipati majibu!
mtoto katisha
🤔🤔🤔huyu mtoto amejulia wapi hizi hesabu kama mm nilikwenda kuzipata form one na anafundisha kabisa ni kama ashamaliza university teachers college huyo mtoto aandikwe kazi mara that that
Mh chapa kazi dogo
Hii ya huyu mtoto imekua too much,inaashiria kwamba ni nyakati za mwisho,
Naam kwel KABISA maana ndipo n miujiza
Well done
Angekuwa mwanangu ningemuogopa duu mtoto balaa huyu
mashallah
Wapi hapo?
Kweli wa zazi walimlea vizuri sana ndo mana anakipaji kama hicho, pia kulingana na mazingira anapoishi mtoto huyo, mara nyingi vibaji vya watoto vinaharibika bale tu ambapo mazingira hayatoshi mtoto kukua kielimu zaidi.
Wewe usitufanye tuwaumize watoto wetu,,tukaisi awaelew kwa kuiga majini ya watu ayaa mi wakwangu ataelewa akikua jaman
fantastic
SALHA KIDUNDA uko vzr
vpaj kama hv vsiishie mitandaon tu... wapelekwe mbele huko wakasome waje kutengeneza mikataba aliyoiacha hayat baba wa taifa
MashaAllah
Jamani Baba yake yuko wapi aje anitilie mimba mke wangu
yussuf rashid hahahahaaaaa hahahahaaaaa hahahahaaaaa umetishaaaa
hahaaa labda ameridhi kutoka kwa mamake...
yussuf rashid mh ww noma umemchok mkeo nn
sio make wako tu had I mdada wako
baiyuu 4real hahahah
Ni kipaji kikubwa sana kupata kutokea yafaa aendelezwe
HAMZA BAKARI aendelezwe wapi au shule ya kata
huyu mtoto Mungu alichoka wakati anaumbwa ubongo ikabid apewe ubongo wa mtu mzima aliye kuwa fufu kisha akapewa tena 😃 sio kwa y na english iyo
Nimecheka Hadi mbavu zinauma Kuna watu wazima wengine sisi Ni vilaza sijui tulipewa ubongo wa kuku
Acha kufuru ww mungu awezi kuchoka kuumba binadamu
serikali iwajibike kuwasomesha watoto wa aina hii. nchi kama China ilipeleka watoto wenye kipaji America enzi ya rais mao tse tung hivi sasa America wamezidiwa kimaendeleo katika antenna zote touching.
Mashallah
apelekwe akapitie mikataba yetu ya madin na gas huenda akatusaidia.
that is true
hahaha et apelekwe akapitie mikataba ya madin
hahahahahahahah wewe jamaa bana
Hahahahahahahaha
kijoli juma hahhaahahhahhaaahhahha
angalo nakuona
Glory to God
huyu mtoto co WA dunia hii amekosea njia, yaani jr hayuko hvyo hyu tomuch mm hata celew cjui mwanafunz au mwalimu? hadi topic za form3 na 4 (yaani movement) duu amenishinda tabia cjui hata shule ya kumfaa kwa tz
daa huyu mtoto hatari sana
Good boy
Mimi naona bora sasa Ajiriwe jumla, kama ni kusoma kwake awe ana Upgrade tu!
Edson Kahwa tena ofis ya MKUU wa mkowa wa ......... kilaza
MUNGU ATUSAMEHE, NA NDIYO MAANA NYOKA ALIMDANGANYA EVA AKILA TUNDA ATAJUA MEMA NA MABAYA HAKIKA MUNGU NDIYO MAANA ALIFICHAMA
Mtoto huyu ameishia wapi? Naona kwa umri wake ni extra ordinary zaidi ya Yule wa Morogoro lakini wote wakiwekwa kwa Pamoja Wataweza Badili Dunia juu chini*