Yule Mtoto Mwenye Kipaji Cha Ajabu sasa Afundisha Darasani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 253

  • @sisifaty9183
    @sisifaty9183 2 ปีที่แล้ว +1

    MAINSHAALAH kama mjukuu wangu maskini Mungu wabariki

  • @rizkimantasha5
    @rizkimantasha5 7 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallha !!!! nakuombea kila la kheri katika ukuwajii wako akukuze na kipaji chako akuepushe na kila mwenyee jicho la husda na kukuwazia mabaya 👏👏aminaaaa

  • @mussamchena9595
    @mussamchena9595 7 ปีที่แล้ว +4

    safi sana mtoto Mzuri Mungu akujarie ufike mbali zaidi

  • @hamadyusuf2598
    @hamadyusuf2598 6 ปีที่แล้ว +2

    mheshimiwa ndalichako, nadhani upo kumsaidia Magufuri watoto hawa tusiwaache wazazi wakitafuta wafadhili .mungu ameonyesha upendo kwa watanzania kutupatia kizazi cha aina hii

  • @elenissaa181
    @elenissaa181 7 ปีที่แล้ว +3

    GOD protect the boy with your blood blessed him halleluyia whatever he does.

  • @simonmhanje8251
    @simonmhanje8251 4 ปีที่แล้ว +5

    Jamani mimi nauliza uyu Mtoto kwa Sasa yupo wapi!!!

  • @chomoezekiel964
    @chomoezekiel964 7 ปีที่แล้ว +6

    this is a Qualifiied teacher according to my own Education System

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 7 ปีที่แล้ว +10

    Masha Allah dunia yaelekea,Maana huyu amezaliwa na kipaji chake hata ukasomee wapi humuwezi.

  • @stephenmatambo2788
    @stephenmatambo2788 3 ปีที่แล้ว +1

    Maajabu kweli professor mtoto

  • @evansodhiambo2030
    @evansodhiambo2030 7 ปีที่แล้ว +2

    Good job, finding the gradient/slope of a line.Good introduction to the very basic aspect of calculus. U r great my boy.I celebrate u little man.

  • @lucyleopold3324
    @lucyleopold3324 7 ปีที่แล้ว

    May da Lord make my kids like this kanifurahisha kweli...daa Mungu azidi kumuinua kwakweli

  • @japhethmwangi9802
    @japhethmwangi9802 2 ปีที่แล้ว

    Genius,praise God Amen.

  • @salmafaraj9293
    @salmafaraj9293 7 ปีที่แล้ว +1

    namuomba sana sana baba wa huyu mtt amtie na madrasa asome dini yake amjue mola wake na mtume wake ili apate kuinusuru nafsi yake pamoja na uislam km wao wt ni waislam allah atamjaalia ishallah awe mtt mwema mwenye kumcha mola wake akijua kua kuna adhabu kubwa siku ya kiama..

  • @jamesassanga9220
    @jamesassanga9220 7 ปีที่แล้ว +4

    mungu azid kumbariki mtoto huyu ninaiman hawa ndo akina newton wajao

  • @davidmisako7896
    @davidmisako7896 6 ปีที่แล้ว

    We should have our own version of Guinness world of records. ..mere TH-cam clip is not enough a place to celebrate this genius

  • @mamaaomar6041
    @mamaaomar6041 6 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah mungu amlinde na husda za walimwengu

  • @fatmahali4105
    @fatmahali4105 7 ปีที่แล้ว

    subhana Allah
    masha Allah mola akuzidishie elimu insha Allah.penda ww son

  • @mkenyahalisi1047
    @mkenyahalisi1047 6 ปีที่แล้ว +1

    Ati listen YOU children kwani wewe ni mzee..aki mungu njoo

    • @sarahSavith
      @sarahSavith 11 วันที่ผ่านมา

      Haja😂😂😂😂 mzee

  • @ghanimaaghanimaa181
    @ghanimaaghanimaa181 4 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah napenda anavyoshika chaki

  • @myshylysh3554
    @myshylysh3554 7 ปีที่แล้ว +3

    huku mm najua tu magufuli Uhuru na mseveni! dah mashala

  • @methodneka2791
    @methodneka2791 7 ปีที่แล้ว

    special group need much care .....yawezekana nabii maana cikuwahi kusikia kabla

  • @tonyanthon1777
    @tonyanthon1777 4 ปีที่แล้ว +3

    Jamani wengine sijui tulipewa ubongo wa kuku ?

  • @michaeldaniel4633
    @michaeldaniel4633 7 ปีที่แล้ว +23

    GENIUS CHILD! GLORY TO GOD.

    • @charlesabraham1101
      @charlesabraham1101 7 ปีที่แล้ว

      knoma sana

    • @bonishani638
      @bonishani638 6 ปีที่แล้ว

      Anatakiwa apelekwe kweny shirika la watt marekani genius children

  • @adamzakaria2463
    @adamzakaria2463 6 ปีที่แล้ว

    Akafanye
    Mtihan
    Udsm
    asichelewe nakwendelea badae 2020 agombeee urais
    ataongoza inch anaonekana mzarend

  • @alexandrinadomaino1085
    @alexandrinadomaino1085 7 ปีที่แล้ว +2

    Very good boy you are a genius

  • @alialbusaidi9130
    @alialbusaidi9130 6 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah mtt kasoma tumbon

  • @jameilamm5370
    @jameilamm5370 7 ปีที่แล้ว +1

    mashallah mashallah mashallah wallah Allah ibariki fiki khabibi

  • @madatajoseph6826
    @madatajoseph6826 7 ปีที่แล้ว +2

    duh, mungu ambariki daima

  • @manbmanb.2549
    @manbmanb.2549 7 ปีที่แล้ว +5

    He is an immimickable boy. Excellent!

  • @hassanilaki6899
    @hassanilaki6899 6 ปีที่แล้ว

    Gifted kid, Mashaa Allah.

  • @magrethfundisha6125
    @magrethfundisha6125 7 ปีที่แล้ว

    itham...hpnaa baby boy u ar clever aiseeee.....maintain ur cleverness.... congrats parents...

  • @sarunijoel8281
    @sarunijoel8281 6 ปีที่แล้ว

    Vipaji kweli ipo...... Asante maulana

  • @edsonleonci5113
    @edsonleonci5113 7 ปีที่แล้ว +19

    kuna vitu binadamu hatuwezi kuelezea ni mungu anajua .... serikali ni jukumu lao kuona ni namna gani kumsaidia maana naye anatakiwa kuwa ktk kundi la wenye mahitaji maalum...

  • @juluussamwel993
    @juluussamwel993 7 ปีที่แล้ว

    very nice teacher I like

  • @jeniphamadegha8107
    @jeniphamadegha8107 7 ปีที่แล้ว +4

    woow intelligent boy,,, keep it up

  • @jinnabenta4788
    @jinnabenta4788 5 ปีที่แล้ว +2

    Wah! Qiyama kweli tutaona mambo mapya kila uchao

  • @nabiiilyaaseliya2551
    @nabiiilyaaseliya2551 7 ปีที่แล้ว +24

    Jesus is around the corner for those with spiritual eyesight, wake up guys

  • @nyanzalakaporo2504
    @nyanzalakaporo2504 7 ปีที่แล้ว +1

    MORE THAN GINIUS CUTE LITTLE BOY, GIFT FROM GOD.

  • @peternakusi6130
    @peternakusi6130 7 ปีที่แล้ว +3

    this is incredible...the next archimedes

  • @bernardnsengiyunva7013
    @bernardnsengiyunva7013 2 ปีที่แล้ว

    Nice chidren

  • @fatmaalfan1319
    @fatmaalfan1319 7 ปีที่แล้ว +3

    masha,Allah masha,Allah.he is a genius boy

  • @irenewavinya8364
    @irenewavinya8364 3 ปีที่แล้ว

    He's a great man of God as well

  • @omarinhomoudy
    @omarinhomoudy 7 ปีที่แล้ว

    you forgot.. that is not y1.... thats very nice thanks God...

  • @magembemahangila9499
    @magembemahangila9499 7 ปีที่แล้ว +1

    Tanzania we should use this child for development !!!!!!

  • @elizabethonkundi5622
    @elizabethonkundi5622 6 ปีที่แล้ว +1

    God's grace is sufficient,,, walalala

  • @juliaphilemon4347
    @juliaphilemon4347 7 ปีที่แล้ว

    jaman jaman jaman huyu mtoto ameniacha hoi kabisa mungu ambariki nahic atakuja kuwa Rais was nchi hii

  • @rahmamavura406
    @rahmamavura406 7 ปีที่แล้ว +1

    mmm mwenyezmungu aendelee kukuongoza

  • @johnmganga3166
    @johnmganga3166 6 ปีที่แล้ว

    he is intutor! ni wampeleke akasomee tarent yake kuwa mtaalam zaid

  • @maryamelyas9382
    @maryamelyas9382 7 ปีที่แล้ว

    nimeshangaa sana Allah Akbar Maashallah.

  • @mamitojuma7060
    @mamitojuma7060 6 ปีที่แล้ว +1

    Mashalaa mungu mkubwa

  • @othmanyunus9733
    @othmanyunus9733 6 ปีที่แล้ว

    huyu ni gifted mzee baba kama hamja elewa hawa wanatakiwa kupewa kipaumbele na serekali

  • @zuuniece6635
    @zuuniece6635 7 ปีที่แล้ว +3

    mtoto huyu anakipaji mashaallah

  • @abdulahtifmsafiri2496
    @abdulahtifmsafiri2496 7 ปีที่แล้ว

    Dogo yuko vizuli ataliiiii hiiiiiiii apewee tengo ha kwaa wenzieee watoto

  • @bkiraguri
    @bkiraguri 7 ปีที่แล้ว

    Wah....nimetii

  • @asmaaliy7980
    @asmaaliy7980 7 ปีที่แล้ว

    ah huyu mtoto balaaa hish nomaaa aisee amizng!

  • @bodejmichael2443
    @bodejmichael2443 7 ปีที่แล้ว

    daaah dogo hama bongo wanga wengi nenda mamtoni Daah Mungu ni mwema kwa watu wake

  • @عليعلي-ز6ح2ث
    @عليعلي-ز6ح2ث 7 ปีที่แล้ว

    yan anashusha ova kapitia hata chekechea kumbe hata ni uwezo wa mungu nimefurahi kusikia anapenda kua nan na kwa somo kma hili anavyofanya bila shaka hata hayo mengine atakua vzr na nimependa zaid kwa kua dini anaijua vizur mistar ya biblia anaijua na kukusome vyema mungu ni mwema azid kukujalia vyema afya dhabit

  • @samirysilver4607
    @samirysilver4607 6 ปีที่แล้ว +1

    Yuko vizur sana,akufundishe university

  • @benjamsongo911
    @benjamsongo911 7 ปีที่แล้ว +2

    Understood children?yes teacher like it!!!

  • @mpagazedenis8395
    @mpagazedenis8395 5 ปีที่แล้ว

    Huu ni mfano mzuri kudhihirisha kwa alichoikiumba Mungu hakifi, kinaacha mwili, huyu mtoto aliishasoma mpaka vyuo vikuu huko kwenye nchi zinazozungumza kingereza, akafa na kuzaliwa tena Afrika (incarnation)..

  • @henrykinga1484
    @henrykinga1484 6 ปีที่แล้ว

    Thank you lord for giving upcoming professors,

  • @bernadethaignass3045
    @bernadethaignass3045 7 ปีที่แล้ว +1

    Mimi naona apelekwe apitie vyeti vya wakuu wa mikoa wote uwenda akatusaidia

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 7 ปีที่แล้ว +1

    Ooh my god mamayake cjuw ni kias gan anaona raha had unaweza kulia dah mungu amkuze maskin

    • @jumannekigalila7644
      @jumannekigalila7644 7 ปีที่แล้ว +1

      MTOTO HUYU NI AZI NA YA TAIFA INAWE ZA AKASAIDIA SERI KARI YETU YA TANZ ANIA TUMUTUMIE

  • @deogratiusbosha6447
    @deogratiusbosha6447 4 ปีที่แล้ว +1

    Hawa ndio time traveller wenyewe

  • @hillymshuzah7379
    @hillymshuzah7379 7 ปีที่แล้ว

    ngojea wabongo tukafanye ye2 nyue mtangazeni2.....mamae

    • @nestnoely2351
      @nestnoely2351 7 ปีที่แล้ว

      hi hi Kali huyumtoto katumwa namungu

  • @moziidavchonchi3338
    @moziidavchonchi3338 7 ปีที่แล้ว +1

    amazing...

  • @tewsourcingsupplying6730
    @tewsourcingsupplying6730 7 ปีที่แล้ว +1

    This kid is just amazing

  • @bensonfrank9578
    @bensonfrank9578 7 ปีที่แล้ว +1

    genius 🙌 Kid

  • @aminatakhamis3390
    @aminatakhamis3390 4 ปีที่แล้ว +1

    mashallah tabarakallah

  • @ngombegeorge3577
    @ngombegeorge3577 ปีที่แล้ว

    Wenye F za hesabu tuko pamoja na wanaokimbia walimu

  • @yonajonas3219
    @yonajonas3219 7 ปีที่แล้ว +1

    he is very serious

  • @جميلهخميس-ط5ث
    @جميلهخميس-ط5ث 7 ปีที่แล้ว

    Duh jaman hivi ni kweli

  • @titonainai306
    @titonainai306 6 ปีที่แล้ว

    Ana pepo LA utambuzi akaombewe

  • @felicianmabepe3958
    @felicianmabepe3958 6 ปีที่แล้ว

    Isn't geometry? and what is his level? ,, talentive

  • @joramwerega4382
    @joramwerega4382 7 ปีที่แล้ว +1

    yap actually he has tried his level best...congratulations to u my child....go on doing practices u will be more than ever

    • @leonsmwenda8585
      @leonsmwenda8585 7 ปีที่แล้ว

      kuna maswali mengi ya kujiuliza. mother tongue yake ni swahili or english? wanao mzunguka wanaongea lugha gani? Nilimsikia akisema kuwa yeye alijifunza mwenyewe kiingereza sipati majibu!

    • @kinegamkongory3387
      @kinegamkongory3387 7 ปีที่แล้ว

      mtoto katisha

  • @mitchelljohnson5218
    @mitchelljohnson5218 3 ปีที่แล้ว

    🤔🤔🤔huyu mtoto amejulia wapi hizi hesabu kama mm nilikwenda kuzipata form one na anafundisha kabisa ni kama ashamaliza university teachers college huyo mtoto aandikwe kazi mara that that

  • @nassorosalehhazard2450
    @nassorosalehhazard2450 7 ปีที่แล้ว

    Mh chapa kazi dogo

  • @amoschacha1873
    @amoschacha1873 7 ปีที่แล้ว +3

    Hii ya huyu mtoto imekua too much,inaashiria kwamba ni nyakati za mwisho,

    • @galary8688
      @galary8688 3 ปีที่แล้ว

      Naam kwel KABISA maana ndipo n miujiza

  • @rumyxhaelkoka8329
    @rumyxhaelkoka8329 3 ปีที่แล้ว

    Well done

  • @gracewella7188
    @gracewella7188 6 ปีที่แล้ว

    Angekuwa mwanangu ningemuogopa duu mtoto balaa huyu

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 7 ปีที่แล้ว +2

    mashallah

  • @parisz
    @parisz 5 ปีที่แล้ว

    Wapi hapo?

  • @mshikanathembelecyrille9259
    @mshikanathembelecyrille9259 7 ปีที่แล้ว

    Kweli wa zazi walimlea vizuri sana ndo mana anakipaji kama hicho, pia kulingana na mazingira anapoishi mtoto huyo, mara nyingi vibaji vya watoto vinaharibika bale tu ambapo mazingira hayatoshi mtoto kukua kielimu zaidi.

    • @anithaponsianmugiz6492
      @anithaponsianmugiz6492 3 ปีที่แล้ว

      Wewe usitufanye tuwaumize watoto wetu,,tukaisi awaelew kwa kuiga majini ya watu ayaa mi wakwangu ataelewa akikua jaman

  • @salhakidunda2569
    @salhakidunda2569 7 ปีที่แล้ว +1

    fantastic

  • @chiefnorbertkangalu1403
    @chiefnorbertkangalu1403 7 ปีที่แล้ว

    vpaj kama hv vsiishie mitandaon tu... wapelekwe mbele huko wakasome waje kutengeneza mikataba aliyoiacha hayat baba wa taifa

  • @fatumaababy1281
    @fatumaababy1281 7 ปีที่แล้ว +2

    MashaAllah

  • @mpangampanga1609
    @mpangampanga1609 7 ปีที่แล้ว +9

    Jamani Baba yake yuko wapi aje anitilie mimba mke wangu

    • @fardhanamahmoud7313
      @fardhanamahmoud7313 6 ปีที่แล้ว +1

      yussuf rashid hahahahaaaaa hahahahaaaaa hahahahaaaaa umetishaaaa

    • @aingatv5389
      @aingatv5389 6 ปีที่แล้ว +1

      hahaaa labda ameridhi kutoka kwa mamake...

    • @ramadanmaulid8015
      @ramadanmaulid8015 6 ปีที่แล้ว +1

      yussuf rashid mh ww noma umemchok mkeo nn

    • @sondwasonda5071
      @sondwasonda5071 6 ปีที่แล้ว +1

      sio make wako tu had I mdada wako

    • @joanchesang3929
      @joanchesang3929 6 ปีที่แล้ว

      baiyuu 4real hahahah

  • @hamzabakari5224
    @hamzabakari5224 7 ปีที่แล้ว +2

    Ni kipaji kikubwa sana kupata kutokea yafaa aendelezwe

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha1687 7 ปีที่แล้ว +1

    huyu mtoto Mungu alichoka wakati anaumbwa ubongo ikabid apewe ubongo wa mtu mzima aliye kuwa fufu kisha akapewa tena 😃 sio kwa y na english iyo

    • @tonyanthon1777
      @tonyanthon1777 4 ปีที่แล้ว

      Nimecheka Hadi mbavu zinauma Kuna watu wazima wengine sisi Ni vilaza sijui tulipewa ubongo wa kuku

    • @nusurashaban955
      @nusurashaban955 4 ปีที่แล้ว

      Acha kufuru ww mungu awezi kuchoka kuumba binadamu

  • @hamadyusuf2598
    @hamadyusuf2598 6 ปีที่แล้ว

    serikali iwajibike kuwasomesha watoto wa aina hii. nchi kama China ilipeleka watoto wenye kipaji America enzi ya rais mao tse tung hivi sasa America wamezidiwa kimaendeleo katika antenna zote touching.

  • @mira-gq3qg
    @mira-gq3qg 5 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah

  • @kijolijuma6076
    @kijolijuma6076 7 ปีที่แล้ว +38

    apelekwe akapitie mikataba yetu ya madin na gas huenda akatusaidia.

  • @inesines2419
    @inesines2419 6 ปีที่แล้ว

    angalo nakuona

  • @humphreyoctoctaviani4382
    @humphreyoctoctaviani4382 7 ปีที่แล้ว

    Glory to God

  • @hkmayala414
    @hkmayala414 7 ปีที่แล้ว +3

    huyu mtoto co WA dunia hii amekosea njia, yaani jr hayuko hvyo hyu tomuch mm hata celew cjui mwanafunz au mwalimu? hadi topic za form3 na 4 (yaani movement) duu amenishinda tabia cjui hata shule ya kumfaa kwa tz

  • @peterfortunatus
    @peterfortunatus 7 ปีที่แล้ว

    daa huyu mtoto hatari sana

  • @saramkin4055
    @saramkin4055 6 ปีที่แล้ว +1

    Good boy

  • @edsonkahwa6812
    @edsonkahwa6812 7 ปีที่แล้ว +2

    Mimi naona bora sasa Ajiriwe jumla, kama ni kusoma kwake awe ana Upgrade tu!

    • @desmunduwandameno49
      @desmunduwandameno49 6 ปีที่แล้ว

      Edson Kahwa tena ofis ya MKUU wa mkowa wa ......... kilaza

  • @magepius7461
    @magepius7461 7 ปีที่แล้ว

    MUNGU ATUSAMEHE, NA NDIYO MAANA NYOKA ALIMDANGANYA EVA AKILA TUNDA ATAJUA MEMA NA MABAYA HAKIKA MUNGU NDIYO MAANA ALIFICHAMA

  • @obillaezra6205
    @obillaezra6205 3 ปีที่แล้ว

    Mtoto huyu ameishia wapi? Naona kwa umri wake ni extra ordinary zaidi ya Yule wa Morogoro lakini wote wakiwekwa kwa Pamoja Wataweza Badili Dunia juu chini*