Shukran sheikh tangu nimekufahamu na kukufatiliza kiukweli maisha yangu yanamabadiliko makubwa mno Alhamdullilah Allah akujahalie zaidi hayo ulionayo Kwajili yetu na akupe umri mrefu na Afya bora 🙏🏾
Àsalam alaikum sheikh...sheikh mm nipo nchi ya dubai sasahivi mwaka wa Tatu huu sijarudi nyumbani ..nimefanya kazi Ila sina lolote hadi sasa ..Kila nifanyalo halina mwangaza .. nafanyakazi wiki moja boss ananichukia Bila sababu ..wametaka kunirudisha nyumbani lazima nikakimbia ...sheikh mm nimeswali tahajud mpaka nikachoka kilasiku Bila mapumziko ..naskia nafsiyangu imechoka subra nnayo Ila mwanga siuoni sheikh ...Thafadhali naomba usaidizi wako ..InshaaAllah
assalam aleikuym sheikh...nakupata nikiwa saudia,,,mawaidha mazuri...mafunzo mazuri,,Mahsha Allah....naomba nami dua mimi mkenya,,nakufuatilia kila wakati
Aslam alykum warhmatu Allha wabarkatuh! Shekh nifanyeje ili niweze kuhifadh kila ninachokisoma na kukisikia? Na pia shekh ukifika mida ya swali ninajisikia.mchovu sana niombee dua shekh tafadhl niswali kwa waikati bila uchovu yaa Rabi
Kuhusu kuwa mchovu muda wa swala jilazimishe ukifanikiwa Tu kuanza nguvu zinakuja gafla Ila ukiusikilizia uchovu unampa ushindi shetani, Pili kuhusu kuhifadhi yanayosemwa binafsi nina daftari maalumu ambalo huwa nanakili maelekezo yote unaweza fanya hivyo pia InshaAllah 🙏
Subuhannallah mashaallah mashaallah🥰 shukrn kwa ushauri SHEIKH OTHUMANI nipo nje ya nchi kidogo dua zako kipenz chetu tunakutegemea sana ALLAH akuhifazi na akupe sikha nje 🤲🤲swali langu kwako je unaruhusu mtu kuchukua no yako huku ili nikuchek WhatsApp
Shukran sheikh tangu nimekufahamu na kukufatiliza kiukweli maisha yangu yanamabadiliko makubwa mno Alhamdullilah Allah akujahalie zaidi hayo ulionayo Kwajili yetu na akupe umri mrefu na Afya bora 🙏🏾
Usinisahau ustadh kwa duwa from uk 🇬🇧 tunakupenda kwa ajili ya Allah
ManshaAllah sheikh wetu ALLAH akuhifadh🤲😍😍😍. Tulikumiss.
masha Allah sheikh unasaidia umah kwa kiwango kikubwa sana.Allah akupe umri mrefu..na afya njema
Àsalam alaikum sheikh...sheikh mm nipo nchi ya dubai sasahivi mwaka wa Tatu huu sijarudi nyumbani ..nimefanya kazi Ila sina lolote hadi sasa ..Kila nifanyalo halina mwangaza .. nafanyakazi wiki moja boss ananichukia Bila sababu ..wametaka kunirudisha nyumbani lazima nikakimbia ...sheikh mm nimeswali tahajud mpaka nikachoka kilasiku Bila mapumziko ..naskia nafsiyangu imechoka subra nnayo Ila mwanga siuoni sheikh ...Thafadhali naomba usaidizi wako ..InshaaAllah
Mashaallah shukuran nakupend kukusikiliz sn nakupend kwaajl yaallah ❤❤❤❤
Sheikh MWEZI MUNGU Akubaliki Azidii kukulinda na kukupa afiya nzuli unatusaidiya Sana'a 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mashaallah tabarika allah sheikh uku saudi ni balaa allah atusaide wallah
Asalamualeykum warahmatullah wabarakatuh shukran Allah akulipe kila lililokuwa lakheri shukran tumesikiya
nakushairi sheikh andika kitabu maalum kuhusiana na hilo la uchumi na fedha
assalam aleikuym sheikh...nakupata nikiwa saudia,,,mawaidha mazuri...mafunzo mazuri,,Mahsha Allah....naomba nami dua mimi mkenya,,nakufuatilia kila wakati
My roll model ❤❤❤❤
Assalamu alaikum warahmatullah wabarakaatuh maashaa Allah nakupenda lillahi sheikh wangu ❤
Mashallah shekhe nimelipata somo vizur
somo zuri saana la kimaisha shkran sna sheikh
Aslam alykum warhmatu Allha wabarkatuh! Shekh nifanyeje ili niweze kuhifadh kila ninachokisoma na kukisikia? Na pia shekh ukifika mida ya swali ninajisikia.mchovu sana niombee dua shekh tafadhl niswali kwa waikati bila uchovu yaa Rabi
Kuhusu kuwa mchovu muda wa swala jilazimishe ukifanikiwa Tu kuanza nguvu zinakuja gafla Ila ukiusikilizia uchovu unampa ushindi shetani, Pili kuhusu kuhifadhi yanayosemwa binafsi nina daftari maalumu ambalo huwa nanakili maelekezo yote unaweza fanya hivyo pia InshaAllah 🙏
Shukran jazakallah kheri
Masha Allah 🙏🙏🙏
Sheikh mm napenda sana kusoma quruan ila kila nikisoma hazikai nasahau shida nin naomba msaada wako kwa ajili ya Allah 😢😢
Subuhannallah mashaallah mashaallah🥰 shukrn kwa ushauri SHEIKH OTHUMANI nipo nje ya nchi kidogo dua zako kipenz chetu tunakutegemea sana ALLAH akuhifazi na akupe sikha nje 🤲🤲swali langu kwako je unaruhusu mtu kuchukua no yako huku ili nikuchek WhatsApp
Anaruhusu mtafute tu hata kumpigia Anaruhusu kua na amani
Ndio karibu
Okey shukrn sana🤲 nitamcheki kesho inshaallah
Allahumma barik
Maashaa Allah shekh nakupenda we roll modell wangu umeniinua kiimani na mafanikio Allah atuongezee sote,nisalimie shekh haidar nampenda pia
mashallah mwalim wang nakupend kwa ajil ya allha
❤❤❤
Nini shida ya kulia wakat wa ibada
🙏🙏
❤❤❤❤