TAJRIBA ADHIMU YA SURAH AD-DHUHA (سورة الضحى) KATIKA KUREGESHA KILICHOPOTEA AU KUIBWA |

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • TAJRIBA ADHIMU YA SURAH AD-DHUHA (سورة الضحى) KATIKA KUREGESHA KILICHOPOTEA AU KUIBWA | SIRI ZA QURAN TUKUFU | Mohamed Alidini
    Katika video hii tunaelezea Kisa chauhakika kilichotokea Morocco kuhusu mtu aliyeibiwa mali yake na Allah (SWT) akamregeshea vitu vyake vyote. Hii ni Siri Adhimu na Mujarabu ya Surah Ad-Dhuha katika kuregesha kilichopotea au kuibiwa. Hii ni Siri kubwa kwa kuwa inafungamana na Quran ambayo ni kitabu cha Allah (SWT) kisichokuwa na shaka yoyote. Ni matumaini yangu kuwa utafwata maelezo yake ili uweze kupata vitu vyako au haki yako haraka.
    Maelezo yake:
    Surah: Ad-Dhuha (93)
    Ayah: 1-11
    -----------------------------------------------------------------------------------------
    Utaratibu wake:
     Kuwa na Yaqeen kuhusu siri na faida za Qur’an Tukufu
     Tawadha
     Tia Niya sahihi
     Elekea upande wa Qibla
     Soma Surah Ad-Dhuha kwa idadi maalumu na Insha Allah, Mola Tabaraka wa Taala atakutimizia haja zako zote.
    ------------------------------------------------------------------------------------------
    Shukran kwa kujisajili Channel yangu!
    **********************************************************************

ความคิดเห็น • 12

  • @halimaali5481
    @halimaali5481 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah allah akuzidishie kutupa faida nyingi za surah ndani ya quran

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  8 หลายเดือนก่อน +1

      Tabarakallahu. Ameen Ya Rabbal 'Alameen! 🤲🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏

  • @fsaad5116
    @fsaad5116 8 หลายเดือนก่อน +1

    MashaaAllah tabaraka Allah nakufatilia very beneficial MashaaAllah Allah akulipe kwa hilo

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  8 หลายเดือนก่อน +1

      Tabarakallah. Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Sote Insha Allah. Shukran. 🤲🤲🤲🤲🤲🙏

  • @FayeezAlbahassaney
    @FayeezAlbahassaney 9 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah TabarakaAllah my lecturer Allah akhfdh 🤲🏾

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  9 หลายเดือนก่อน

      Tabarakallahu. Shukran Al-Habeeb!

    • @FayeezAlbahassaney
      @FayeezAlbahassaney 9 หลายเดือนก่อน +1

      @@mohamedalidini Biidhnllah InshaaAllah my lecturer

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  9 หลายเดือนก่อน +1

      @@FayeezAlbahassaney Shukran ya Habiby.

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw 9 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran shekh

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  9 หลายเดือนก่อน +1

      Karibu Sana Dadangu mpendwa 🙏

    • @narutonaruto4303
      @narutonaruto4303 9 หลายเดือนก่อน +1

      mwenyezi mung atukubalie dua zet

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  9 หลายเดือนก่อน +1

      @@narutonaruto4303 Ameen. Sote Insha Allah.