ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Napenda unavyopika kwa kutumia vifaa rahisi kwa mtu yeyote kuvipata.. asante na hongera kwa upishi mzuri
Napenda sana unavyotuongoza step by step katika upishi wako ni kama tunapika wote Mummy.
I had watched this video some years back nikasema nitakuja kuitafuta tena. Nataka kujaribu recipe yako huu msimu wa Krismasi. Kazi njema Sana ❤️
Iyo samaki nimeitamani
Watanzania nawapa kongole kwa upishi, nakula tu kwa macho. Jah bless
Wali wa maua was my favorite. I tried it and my daughter loved it! Shukran
Wow unapika vzur sana ....😋😋
Nimependa kweli ulivyoelezea 🥰🥰😋😋😋😋
Wow this is yummy. Thank you for receipt siz
Ika thank you wa nyumbani. You inspire me to cook and do it well. Maana umefanya simple sana. Mungu Akubariki zaidi 🙏🏾
🥰🥰
😋 mmmmhhh yamii,I love wali wa maboga
Uko vizuri dear kwenye mapishi, tunajifunza vingi shukrani.
Wali w Maua unavutia kweli nmeupenda 👌😋. By loner
Wah!Mapishi yako ni noma Sana.Yaani natamani ningekuwa karibu na hicho chakula cha maua.Kimekaa kitamu Sana.But napenda pilau.Labda pilau na Biriani itakuwa noma zaidi.Ngoja nisubiri niangalie.
Waw!!!!! I lyk it 👍👍👍👍👍👍
Asante
Waaa Inshalaa imenasa c unitumie
Mmmh thank you so much for the recipe i love kenyan and tanzanian food am going to cook this in my hotel in america
Gracefully 55555
wow amazing
Mashaallah Mashaallah 😙Dada ukovizuriii+254👊👏👏👏💕
You explain so well I love your cooking
Asantee dada kwa kutufundisha mapish
Unapika vizuri sana❤❤❤
😋😋 masha'Allah ntajaribu hyo fish pilau
Great dear l love pilau
Dada kweli wajua kupika hongera 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wow nimeupenda sana nilijaribu hii recipe.
Dida
Vegetable rice looks good
Nimependa wali wa mboga mboga mzur sana hongera
Nimekipenda unavyopika🥰🥰🌹🌹🍲🍲🍲
Wali wa mboga mboga naupenda mtamu na unanukia sana samahan pilipili za rangi umenunua wapii.. ♥
Masokoni unazipata
Ningeitaji namba zako ili unifundishe kupitia WhatsApp
Waoooo my very nice
Yummy yummy😋 asante dada ika love you so much ❤ ♥ 💖
Vegetable rice 👌👌
Watching and love the recipes. I will try . Very good delicious and appetizing. Am new in your channel just ❤❤
Njaaa enaluma Mimi saa yii,Asante ku kupiiga chakula nzuuli
MashaAllah, nimejifunza
Waoooo unajuakupika mnoo namimi natamn kujua kupika kama wewe jman
pilau nimeipenda kwakweli😊
Vegetable rice is my favorite. 😍😋😋
Aaawww so amazing
Iko nzuri
WOW ESPECIALLY THE BIRIYANI
Wow so Nice nime kipenda
Safi sana nimependa❤
Wao nitampikia mke Wang asante
Leo napika pilau na Mimi 😘😘😘
Hizo chakula ni tamu ni tamu jooooooh yuuuuummy
Asante dear kwa mafunzo yako:
MashaAllah🥰🥰🥰Ika u are the best❤️
Wao u r a fast cook. Thank you!!! Yummy 😋
Asante sana dadà kwa maelezo yako,
Mashaawh pilau pambee
Wow so delicious 😋
Mashalaah nimeipenda
Waoooo...asante mumy....mate yananidondoka kwa pilau 😋😋😋
Nice process
Ma Sha Allah Siz n thank u for sharing will try wali wa vegetable
Nimekuelewa kwauzuli sana hongera
Hongera Sana Ika.. ninapenda Sana mafunzo yako✨👏👏👏
Asante sana Big up kwako
Wali mtamu sana goodluck
Nimependa hizi recipe asante kipenzi 🥰
Karibu dear
Uko vzurii we mchaga mwenzangu.mwenyez MUNGU azd kukutunza.Pls naomb utusaidi video ya viungo va jikon 🙏🙏🙏
Simple m nice.. thx
Asante kwa hiyo Elimu, nimependa sana birian na wali wa mboga mboga
Keep it up dia... yummy 😋
Asante dear
Nakupenda mnoooooooo
Kwa njegere za huku kwetu mmmh zinaweza kutoka mbichi
Upo vizuri dada
Am delighted umenifunza mengi haswa wali WA mboga mboga na Biriani sikuwa na ujuzi lakini naona hivi karibuni nitakuwa mpishi kama wewe 😘
🥰🥰 Karibu dear
Mashallah my nmpnda vyte vzr
Very interesting
Asante,kwa mapishi yako,asante Ika,upo vizuri mamii...nimepokea somo,nami nitapikia familia yangu nyimbani.
Napenda biriani
Napenda ipishi wako i have learned something mami
Hongera mamy nimenda msosi mmy
Mashaallah Asante dd
Kwa kwel huo wali umenikosha moyo wangu.kesho solo kuu kununua vifaa.hongera
Asante kwa mapishi mazuri. Njegere kene wali, ulizichemsha kwanza ama ni mbichi kbs kutoka sokoni
Sikuzichemsha njegere
MashaaAllah mimi nataka hiyo pilau ya samaki😍
that's good Ika
. Biriani napilao mashaalaah
Hongera DDA endelea kutufundusha mapsh aina mblimbli
ilike mooo pilau😘
Haya mama tukomesheee... Kama kawaida Good Job💪🏾
😂😂😂😂
Nimependa mapishi ni mazuri yote
Napenda kujifunza mapishi
Nimejua kupika Michele kwa njia mbalimbali kupitia kwako,,, heko Sana na hongera
Barikiwa nitapika
Hilo pilau la samaki limenoga mashallah 😋😋❤❤
Kazi nzuri
My fav is biriani and pilau mwaaah gracious
Umetisha
Xnkz❣️
Unajua unajua sana
Uko vzuri. Mungu akubariki
Nimeipenda sana birian
Uko vizuri
Asante sana ni vizuri sana
Pilau la nyanya tam sana.
Nice one thank you.
Very nic
Wow m.a
Biryan fire😋😘
Uko vizuri mama sshani mamy viungo vinapatikana wapi
Asante Sana Kwa somo
wali wa mboga mboga ni the best
Napenda unavyopika kwa kutumia vifaa rahisi kwa mtu yeyote kuvipata.. asante na hongera kwa upishi mzuri
Napenda sana unavyotuongoza step by step katika upishi wako ni kama tunapika wote Mummy.
I had watched this video some years back nikasema nitakuja kuitafuta tena. Nataka kujaribu recipe yako huu msimu wa Krismasi. Kazi njema Sana ❤️
Iyo samaki nimeitamani
Watanzania nawapa kongole kwa upishi, nakula tu kwa macho. Jah bless
Wali wa maua was my favorite. I tried it and my daughter loved it! Shukran
Wow unapika vzur sana ....😋😋
Nimependa kweli ulivyoelezea 🥰🥰😋😋😋😋
Wow this is yummy. Thank you for receipt siz
Ika thank you wa nyumbani. You inspire me to cook and do it well. Maana umefanya simple sana. Mungu Akubariki zaidi 🙏🏾
🥰🥰
😋 mmmmhhh yamii,I love wali wa maboga
Uko vizuri dear kwenye mapishi, tunajifunza vingi shukrani.
Wali w Maua unavutia kweli nmeupenda 👌😋. By loner
Wah!Mapishi yako ni noma Sana.Yaani natamani ningekuwa karibu na hicho chakula cha maua.Kimekaa kitamu Sana.But napenda pilau.Labda pilau na Biriani itakuwa noma zaidi.Ngoja nisubiri niangalie.
Waw!!!!! I lyk it 👍👍👍👍👍👍
Asante
Waaa Inshalaa imenasa c unitumie
Mmmh thank you so much for the recipe i love kenyan and tanzanian food am going to cook this in my hotel in america
Gracefully 55555
wow amazing
Mashaallah Mashaallah 😙Dada ukovizuriii+254👊👏👏👏💕
You explain so well I love your cooking
Asantee dada kwa kutufundisha mapish
Unapika vizuri sana❤❤❤
😋😋 masha'Allah ntajaribu hyo fish pilau
Great dear l love pilau
Dada kweli wajua kupika hongera 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wow nimeupenda sana nilijaribu hii recipe.
Dida
Vegetable rice looks good
Nimependa wali wa mboga mboga mzur sana hongera
Nimekipenda unavyopika🥰🥰🌹🌹🍲🍲🍲
Wali wa mboga mboga naupenda mtamu na unanukia sana samahan pilipili za rangi umenunua wapii.. ♥
Masokoni unazipata
Ningeitaji namba zako ili unifundishe kupitia WhatsApp
Waoooo my very nice
Yummy yummy😋 asante dada ika love you so much ❤ ♥ 💖
Vegetable rice 👌👌
Watching and love the recipes. I will try . Very good delicious and appetizing. Am new in your channel just ❤❤
Njaaa enaluma Mimi saa yii,Asante ku kupiiga chakula nzuuli
MashaAllah, nimejifunza
Waoooo unajuakupika mnoo namimi natamn kujua kupika kama wewe jman
pilau nimeipenda kwakweli😊
Vegetable rice is my favorite. 😍😋😋
Aaawww so amazing
Iko nzuri
WOW ESPECIALLY THE BIRIYANI
Wow so Nice nime kipenda
Safi sana nimependa❤
Wao nitampikia mke Wang asante
Leo napika pilau na Mimi 😘😘😘
Hizo chakula ni tamu ni tamu jooooooh yuuuuummy
Asante dear kwa mafunzo yako:
MashaAllah🥰🥰🥰Ika u are the best❤️
Wao u r a fast cook. Thank you!!! Yummy 😋
Asante sana dadà kwa maelezo yako,
Mashaawh pilau pambee
Wow so delicious 😋
Mashalaah nimeipenda
Waoooo...asante mumy....mate yananidondoka kwa pilau 😋😋😋
Nice process
Ma Sha Allah Siz n thank u for sharing will try wali wa vegetable
Nimekuelewa kwauzuli sana hongera
Hongera Sana Ika.. ninapenda Sana mafunzo yako✨👏👏👏
Asante sana Big up kwako
Wali mtamu sana goodluck
Nimependa hizi recipe asante kipenzi 🥰
Karibu dear
Uko vzurii we mchaga mwenzangu.mwenyez MUNGU azd kukutunza.
Pls naomb utusaidi video ya viungo va jikon 🙏🙏🙏
Simple m nice.. thx
Asante kwa hiyo Elimu, nimependa sana birian na wali wa mboga mboga
Keep it up dia... yummy 😋
Asante dear
Nakupenda mnoooooooo
Kwa njegere za huku kwetu mmmh zinaweza kutoka mbichi
Upo vizuri dada
Am delighted umenifunza mengi haswa wali WA mboga mboga na Biriani sikuwa na ujuzi lakini naona hivi karibuni nitakuwa mpishi kama wewe 😘
🥰🥰 Karibu dear
Mashallah my nmpnda vyte vzr
Very interesting
Asante,kwa mapishi yako,asante Ika,upo vizuri mamii...nimepokea somo,nami nitapikia familia yangu nyimbani.
Napenda biriani
Napenda ipishi wako i have learned something mami
Hongera mamy nimenda msosi mmy
Mashaallah Asante dd
Kwa kwel huo wali umenikosha moyo wangu.kesho solo kuu kununua vifaa.hongera
Asante kwa mapishi mazuri. Njegere kene wali, ulizichemsha kwanza ama ni mbichi kbs kutoka sokoni
Sikuzichemsha njegere
MashaaAllah mimi nataka hiyo pilau ya samaki😍
that's good Ika
. Biriani napilao mashaalaah
Hongera DDA endelea kutufundusha mapsh aina mblimbli
ilike mooo pilau😘
Haya mama tukomesheee... Kama kawaida Good Job💪🏾
😂😂😂😂
Nimependa mapishi ni mazuri yote
Napenda kujifunza mapishi
Nimejua kupika Michele kwa njia mbalimbali kupitia kwako,,, heko Sana na hongera
Barikiwa nitapika
Hilo pilau la samaki limenoga mashallah 😋😋❤❤
Kazi nzuri
My fav is biriani and pilau mwaaah gracious
Umetisha
Xnkz❣️
Unajua unajua sana
Uko vzuri. Mungu akubariki
Nimeipenda sana birian
Uko vizuri
Asante sana ni vizuri sana
Pilau la nyanya tam sana.
Nice one thank you.
Very nic
Wow m.a
Biryan fire😋😘
Uko vizuri mama sshani mamy viungo vinapatikana wapi
Asante Sana Kwa somo
wali wa mboga mboga ni the best