ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Mungu ni mwema, hakika kazi inapendeza ni nzuri. Hakika Wito wa Ndoa umehamasishwa kwa wanakwaya wetu! 🎉🎉🎉
Big up sana kwenu ,Mr kasonso gud job
Mungu azidi kutia nguvu zaidi na kuwapa afya njema ya Roho na mwili kazi ni nzuri mnoo hamna shughuli mbovu wapendwa
Mungu aendelee kuwaimarisha kwa karama hii ya kumtukuza Mungu kwa nyimbo
Hongereni sana kwa Utume wa kumsifu na kumtangaza Mungu zaidi kwa watu wake kwa njia ya Uimbaji!! Nakuona Pianist Mr.Kasonso . Much congratulations 🙏
Asante na pongezi hizo nyingi tutazifikisha kwake
Kazi nzuri sana mumewezaa❤
Mambo ni moto hongereni sana wapendwa mzidi kumtuza Mungu kwa njia ya kuimba nawapenda karibuni Mwanza
🔥🔥🔥🔥 hamjawahi kuniangusha Wana KMCM family.....kazi nzuri mmechangamka kweli ...pongezi nyingi kwa maharusi wetu Mungu awaongoze katika wito wa ndoa Takatifu .. Mbarikiwe ❤
Asante tunamshukuru Mungu
Woho kazi nzuri na mlioendeza mnoo
Kazi nzur yapendeza sana hongera sana kwa waimbaji na maharusi wote ❤❤
Mungu awaongoze sana
Hongeren caaana kwauimbaji mzr, Mungu awabariki
Mungu awabariki
Hongereni sana jamani hakika mmenibarikiHongereni walimu wote Mliojitahidi kutengeneza kazi hiyo nzuriMwalimu Msigwa Mungu akuzidishie kipaji
Amina ....tubarikiwe sote
Hongereni
Mblikiwe Mungu azidi kuw nuru kwenu
hongera sana wanakwaya wa Mt Cesilia Jimbo la Mpanda parokia ya kanisa kuu
Hongereni sana wow ❤
Asante na karibu sana
Safi
❤
🎉🎉🎉
Kwaya yangu mko vzr nawakubali mno, nikija Mpanda mwezi wa 11 mwanzoni tutakunywa soda ya pamoja jmn, mnikamate kwa hilo msije mkasahau
Tutajitaidi kukumbuka na tukumbukane tu
kashusha na huko upo! hongera🤣
Kijana wetu huyu karibu sana na ww
MUNGU awatie nguvu katika utendaj wakaz zake
Amina
Jaman hakuna mengine anayeoa au kuolewa tumtakie baraka Kwa wimbo maana hyo Haina mfano Cecilia tuko juu
Watakuja kutoa taarifa tuu soon 🎉
Mungu ni mwema, hakika kazi inapendeza ni nzuri.
Hakika Wito wa Ndoa umehamasishwa kwa wanakwaya wetu! 🎉🎉🎉
Big up sana kwenu ,Mr kasonso gud job
Mungu azidi kutia nguvu zaidi na kuwapa afya njema ya Roho na mwili kazi ni nzuri mnoo hamna shughuli mbovu wapendwa
Mungu aendelee kuwaimarisha kwa karama hii ya kumtukuza Mungu kwa nyimbo
Hongereni sana kwa Utume wa kumsifu na kumtangaza Mungu zaidi kwa watu wake kwa njia ya Uimbaji!! Nakuona Pianist Mr.Kasonso . Much congratulations 🙏
Asante na pongezi hizo nyingi tutazifikisha kwake
Kazi nzuri sana mumewezaa❤
Mambo ni moto hongereni sana wapendwa mzidi kumtuza Mungu kwa njia ya kuimba nawapenda karibuni Mwanza
🔥🔥🔥🔥 hamjawahi kuniangusha Wana KMCM family.....kazi nzuri mmechangamka kweli ...pongezi nyingi kwa maharusi wetu Mungu awaongoze katika wito wa ndoa Takatifu .. Mbarikiwe ❤
Asante tunamshukuru Mungu
Woho kazi nzuri na mlioendeza mnoo
Kazi nzur yapendeza sana hongera sana kwa waimbaji na maharusi wote ❤❤
Mungu awaongoze sana
Hongeren caaana kwauimbaji mzr, Mungu awabariki
Mungu awabariki
Hongereni sana jamani hakika mmenibariki
Hongereni walimu wote Mliojitahidi kutengeneza kazi hiyo nzuri
Mwalimu Msigwa Mungu akuzidishie kipaji
Amina ....tubarikiwe sote
Hongereni
Mblikiwe Mungu azidi kuw nuru kwenu
hongera sana wanakwaya wa Mt Cesilia Jimbo la Mpanda parokia ya kanisa kuu
Hongereni sana wow ❤
Asante na karibu sana
Safi
❤
🎉🎉🎉
Kwaya yangu mko vzr nawakubali mno, nikija Mpanda mwezi wa 11 mwanzoni tutakunywa soda ya pamoja jmn, mnikamate kwa hilo msije mkasahau
Tutajitaidi kukumbuka na tukumbukane tu
kashusha na huko upo! hongera🤣
Kijana wetu huyu karibu sana na ww
MUNGU awatie nguvu katika utendaj wakaz zake
Amina
Jaman hakuna mengine anayeoa au kuolewa tumtakie baraka Kwa wimbo maana hyo Haina mfano Cecilia tuko juu
Watakuja kutoa taarifa tuu soon 🎉