sio uchawi huo ni utamaduni ambao tulipuuza fikiri watu wanaenda kutafuta mvua kipindi cha jua na inanyesha huoni jambo zuri hilo swala la uchawi lipo hata kwenye maandiko matakatifu lipo hilo
Furgeson alex Ww uelewi ebu iangalie Moro ilivyo blue, hewa sf na udongo mzr ukilima utavuna ulicho kipanda, maendeleo gn mengine unataka, vt vya kisasa Tumieni wenyewe jipotezeni wenyewe babaaaaaa.................. Moro itabk kuwa moro bc
soma the book of the African child by camara raye kuna paragraph "I always suprise whem ma'father make somethin from gold" unatasoma habari kuhusu nyoka na magic liquid ...
sasa hii story ya kolelo yatisha sana. tanzania nchi nzuri na yakutamanika. watu wake wana upendo wa kindugu lakini hali ya kiuchawi na mazinga umbwe yatisha kabisa
Napenda sana ngoma za kiruguru
Home sweet home 😍😍😍
nakupenda sana MOROGORO
Napenda sana kabila langu la walugulu
Moro Oyeeeeeeeeee penda sana mimi Moro.
Oyeeeeeeeeeeee
Moro town
Daaaaaa!!!!! Nataman niolewe moro jaman mimi mtu wa pemba nimependa maji jaman daa
Shadia Jumaa Karibu kwetu mpendwaa
Shadia Jumaa karibu Sana Moro ... Mji wenye Hali ya hewa nzuri na mandhari ya kuvutia hata ndoa pia Usjali waume tupo
Shadia Jumaa njoo nikuoe tuishi moro uje ujionee maji yatililika huku
Shadia Jumaa nitafte Shadia
Karibu Sana mo twn
sio uchawi huo ni utamaduni ambao tulipuuza fikiri watu wanaenda kutafuta mvua kipindi cha jua na inanyesha huoni jambo zuri hilo swala la uchawi lipo hata kwenye maandiko matakatifu lipo hilo
huo ni ulimwengu wa roho na nguvu asilia super natural power na mabara yote yapo haya maendeleo tumekosa kwa hizi tamaduni kuharibiwa
mluguru big 10
Mzimu wa kolelo umewapa umaarufu sanaa viongozi wetu wakubwa
sweat home am proud kuwa.mluguru
Kweri iyo ipo kidatu inatokea akipita maranyingine anaacha mawe au mchanga na kuna kipindi warimuona darajan mangar yaris8mama kwa muda badae kapotea
mgeta kwetu uhuuuuuuuu.ipo juu ila barabara mbaya
Yaani uruguruni kwetu nikuzuli Sana najivunia kuzaliwa uruguruni
Kolero kwetuuuuuuuuuu
Kuusu mvua mpaka sasa radi ikipiga miriman na ikijibu bondeni akikisha reo mvua itakua kubwa
daaaah!!! nmependa
HORAS
Lazma upende karibu moromoro, ndugu yangu
Morogoro Nyumbani
Part 2 iko wapi?
Moro pazuri sana Ila maendeleo hamna viongozi wamelala
Furgeson alex
Ww uelewi ebu iangalie
Moro ilivyo blue, hewa sf na udongo mzr ukilima utavuna ulicho kipanda, maendeleo gn mengine unataka, vt vya kisasa
Tumieni wenyewe jipotezeni wenyewe babaaaaaa..................
Moro itabk kuwa moro bc
Hapo nyandira mgeta sokoni mm kwetu kitiba vinyemba mahanga kibuko mtoto wa bazili
lolo, nyandira kekio hoyeeee
Vhidegheta wo kaye
Morogoro siyo Waruguru tu kuna Wakaguru na Wapogoro...mkoa hauna kabila moja.
Hao wote wamehamia Moro iko na wenyewe ndo hao waluguru
soma the book of the African child by camara raye kuna paragraph "I always suprise whem ma'father make somethin from gold" unatasoma habari kuhusu nyoka na magic liquid ...
Stanslaus Mteme nitakipata wapi
Boka kapita hapa..! Ha haa haa..! Mpaka laha yaani..!
Hahahaaa boka noma akipita mtoni keso take tunakula miwa ndizi
Kwetu jamn uwiiii,nyandiraa 😍
Wewe kweli wa kule mimi wa mng'ongo
moroooo
Wka namba tuwasilianee
Mizimu!!!
Moro town beiiiibiiii tupo juuuu
Wap waruguru jamaniiii
Tupo
Tupo ndani ya nyumba mkuu tuipende na kuitunda moro yetu
Moro twn stand up
ramadhani magomba makala kibatula naipenda moro
Rugulu girl
Weeeh nyau wewe! Ok uliingizwa guest house Leo jioni! Daaah umezini umbwa weweee!!!
sasa hii story ya kolelo yatisha sana. tanzania nchi nzuri na yakutamanika. watu wake wana upendo wa kindugu lakini hali ya kiuchawi na mazinga umbwe yatisha kabisa