Sasa je yani mkojani unawezana na samofi sana mashallah mungu awabariki sana muwe na upendo wa kudum daima kwenye kosha kusamehameana Vpenzi nimependa ujio wa samofi wallah 😂😂😂❤❤ona kazi urivyo kuwa moto 🔥🔥 zaidi vpenzi
Sina shida na mkojani gang ila nina shida mbona mtumie jina langu Hans😂😂...oyaa mchizi mzembe lakini cha mtu chaliwa na mtu....😂😂mkenye halisi ....wanangu wa kenya bwaga like
Safi mkojanibna swahiba wako samofi na mjombaenu kingwendu tunafatilia Sana kazi zenu , Ila tunaombi umbambamba pia muiweke TH-cam msiishie tu wasafi tv
jaman naomba nmpongeze mkojan
Mkojani Samofi kingwendu mnawenza kazi nzuri sana big up
M wakwanza jmn naomben like zenu tuache roho mbaya mwezi mutufu
Mtukufu
Za nini hizo like
Izo like unauzaa au 😶😶😶😶
😂😂😂😂😂
Mshamba wewe like za nn
Sasa je yani mkojani unawezana na samofi sana mashallah mungu awabariki sana muwe na upendo wa kudum daima kwenye kosha kusamehameana Vpenzi nimependa ujio wa samofi wallah 😂😂😂❤❤ona kazi urivyo kuwa moto 🔥🔥 zaidi vpenzi
Mkojani sauti yako ya sanaa na sauti ya kawaida zipo tofauti kabisa. Endeleeni kuchapa kazi na ndugiyako samofi.
Haha yan navopenda mambo yasharii🤣🤣🤸🤸
Una actor kwa mara ya kwanza 😂😂😂unaambiwa uwe chizi😂😂
Wa kwanza kuiwatch hii zaga jaman respect kwa kuludisha kwenye mstar gang yenu tunaitaji burudan
Hata sanaaa mkojanii amekazaa kichiziiii
Duuuuh yani mmetisha sana pigeni kazi mnatisha sana
Ilo n funzo kwa wanaopnda wake za watu Safi sana mkojan
MATATIZO NI FURXA, XAFI MKOJANI👏🏻👏🏻👏🏻
Sina shida na mkojani gang ila nina shida mbona mtumie jina langu Hans😂😂...oyaa mchizi mzembe lakini cha mtu chaliwa na mtu....😂😂mkenye halisi ....wanangu wa kenya bwaga like
Hatujamalizaaaaaaaa
Mletee samofii mlete samofi
Kwa Mungu kuna moto Mimi naend na mahindi mabichi....khaaaaaah mkojana jmn
🤣🤣🤣 mkojan anataka gar na ng'ombe
Mwendelezo msicheleweshe
Wabongo nyie walewale kiki ndio HIT
hongera mkojan nkukbl kichiz broomsanii wang no 1
Mkojn nakukubali kinyama mzee baba🙌🙌🔥
Naqubal san mkojan na swaiba wako samofi ✊🏿 🥂
Hamjawahi niangusha wazee mkojani Baba Yao nawanajua daaah ebhana eeeeh me nawakubar saaaaana kutoka moyon
Mkojan watupa raha san🎉🎉🎉 mungu akijalia san pamoja na somofi na timu yote ya mkojan 🎉🎉
Kwa mungu Kuna moto nitaenda na maendi ya kuchomaa
Hanifaa shingo imejaaa mpka rahaa😂😂😂
❤❤❤upendo daima gang yangu
Binadamu wote ulishawahi kwenda kwa bakhresa kudai urithi😂😂😂
Kazi mzri mkojani gang hakika tuna enjoy sana tunapoangalia series zenu
Mkojani umetukosea vibaya sana ya mpaka leo Ramadan ya tisa ujatuekea SWAUMU ZETU
Mkojani vijanawako awasomi script wanatoa bokosana 😅😅😅😅
Apo kwenye sounds effect mmeuwa kabisa, Big up kwa ilo
Hahahaha mkojani bwana kaubiwa mwanamke imekua fursa😂😂
Pigeni kazi mkojani na samofi maisha yaendelee ya ❤
ng'ombe wawili na kiji passo miguu inanipa shida jamani 🤪🤪🤪
Hi
We Ng'ombe mkojani mbona haiendelei sasa kenge we
Nawakubali samofi n mkojani ❤❤❤
Kaz nzr
Nimefurahi kumuona samofi humu ndani nilijua sound za mtandao
Nawapend hawawatu sna
Hiiii kaliiii saaana wazeee ina helimisha saana ila umbambamba kubwa kuliko
Mkojani umbambamba lin kaka
Soon tu wasaf media
Jehanamu tynaenda na mahindi mabichi😂😂😂
Eti nimekamilika nina masharubu safiiiiiii....🤣🤣🤣
Safi mkojanibna swahiba wako samofi na mjombaenu kingwendu tunafatilia Sana kazi zenu , Ila tunaombi umbambamba pia muiweke TH-cam msiishie tu wasafi tv
😂😂😂😂 Etii ninavyo penda Shar 😅mkojan 😂
Watanzania wote ni ndugu, hivi wewe unaweza kwenda kwa Bakhresa ukadai urithi
Tukiyacha yote samofi anajua sana yani kipaji cha kuigiza anacho tena kizuri sana namkubali sana huyu mshkaji
😂😂😂 Tank la maji
Kama Watanzania wote ni ndugu unaweza kwenda kwa bakhresa kudai urithi
Good good 👍
Mkojani 2naomba mpe nafasi chado kama muhusika mkuu unambana xn jamaa anawez sana
Mkojani atuambie atairudisha umbambamba lini kuanzia ep 21??
nice job👏👏
😁😁
Mbna Samofi haonekani kwny episode ya kwnz na pili
Samofi yko ap
Uko vizuli mojani
🤣🤣🤣🤣🤣
Leo ndo nimeamini watanza nia MNA maneno sana
😂😂kwann?
Nyie mukinunua bunduki sie tunanunua uchawi afu tunawqtuliza kwa uchawi
🤣🤣🤣👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Nyie washikajiii mko vizuriii sanaa ya uchekeshajiii mmeikamataaaa ndii ndiii ndiiiiiii mkojani utanitoa roho mimi🤣🤣🤣🤣
Naona samofi kaanza kunawiri baada ya kupata cheo Cha kuwa msemaji wa kundi la mkojani gang hahahah
MKOJANI + SAMOFI + KINGWENDU🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Huyu apa
Umbambamba itaendelea au ndo basi tena
Soon on wasaf media👍👍
Ndo imeisha au itaendelea
THE GREAT
Eee uwo umbambaba ukowapi sasa tunaitaji
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 daaah nimecheka kishenz
Woooh
Oyy
Mkojan kiboko
Tunataka u mbambamba irudi Sisi mashaniki zenu.
Sawa shaniki
Gang swahiba
TUNAIOMBA UMBAMBAMBA
umbambamba inatumwa wasafi TV
Mkojani+samofi❤❤❤
Babu jinga tuletee mwendelezo wa umbambamba huubujinga wako hatuelewi
Mligombana ili mje mtoe kazi. Kwa ufupi ilikuwa kiki ugomvi wako na samofi. Mana saiv movie zako haziendi chumvi nyingi anakupiga BAO now😂😂
Mkoani ni mkojani tu
😁
Uyu dadaake baruti Bado kidogo
huyu dada wa baruti anatabasamu sana kwenye huzunii
😂😂😂😂😂😂