HOW TO CREATE AN INTERNATIONAL TIKTOK ACCOUNT IN TANZANIA/KENYA (IN AFRICA)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024
- A video tutorial that explain and shows how to open an international TikTok account (UK TikTok) which pays a lot to it's creators through features like, Creator rewards program, video gift, live gift, Creator marketplace, work with artists etc.
#tiktok #tiktokvideo #tiktokviral #creatorrewards #internationaltiktok
Asante sana kaka nimeweza😊🙏
Asante sana nime weza ku tengeneza Tiktok aconte kaka asante sana
Ubarikiwe my brother 🎉🎉🎉
Barikiwa ndugu ..ningerijua kitambo ningekua sawa
Me nime shindwa nisaidie
Hapo kwenye maneno madogo yapo ya by continue you agree terms and condition tu hivo nashishwa kuweka locatio
Naletewa Ujumbe wa verify kwenye email Lakini nikiweka code au nikiverify inajiandika hivi (Maximum number of attempts reached . try again later ) nisaidie hapo broo
Bro asante Sana nimefanikiwa ila bado kuvery fai najinsi ya kuja kuingiza Pisa usisahau somo linalofuata GOD BLESS YOU BROTHER 🙏
Video ipo tayari ingia kwenye channel ucheck
Bro account yangu haionyeahi tz
Nilijaribu maratatu hivi ikaniambia nimejaribu marakadha so nijaribu tena lakini process ilikuwa sawa
Naomba kuuliza pia brother ivi kwenye kufungua iyo Email mpya ntatumia tu namba ya apa Tanzania
Asante ndugu acha tufanye tukiganda sehemu nitakuja Kwa swali zaidi Asante na ubarikiwe mpendwa wetu
🙏
Big up bro nimeweza👊
Niaje mzee mm inambia niverify email inakuaje mzee
UNafundisha vizuri😂unyama sana
👍
Broo naomba kuuliza ukimaliza kufungua account je ukimaliza kufungua utaendelea kutumia vpn au kazi yake ni unaitumia kufungulia tu
Tumia ndani ya siku 3-5
Oky mkuu kwahy naweza fanya prosses nyingine kama kuweka picha na bio
bro kibox cha hapa juu upande wa kushoto me kwangu hakipo nimekosea labda wap
Kaka mimi piah ki box upande wa juu hakipo hila creator Rewards program hipo
Samahani hii vipi mbona siion kaka
Pia nimefungua Accounts tyari lkini inakuja iliotumiwa na mtu Mwengine nini shida halafu kile kibox hakiji naomba msaada hapo
Firstly i wanna give you a big cheers for your clues and get more years for life and get blessed to your fourth generation.
I think my time that i have been wasting you have saved it then!!!
Be blessed 😇
Nijinsi gani naweza ku draw pesa kutaka kwa tiktok bro
Angalia video yangu ya mwisho kupost inaelezea
Kwenye information account unaweza namba Gani ya Tz itakubali
Ahhh kweli ni shule kamili❤❤❤
Shukrani sana kaka
Endelea kujifunga bwana kimasi😆
Naombaa msaada zaid
Bro kwenye ulinzi ndio nafeli maana mfano wewe kule tiktok unapo elekeza ulinzi inaonekana pale kwenye phone umeweka namba hapo sielewi
Nimekuelewa vzr sana kaka lkn Naomba utusaidie na jinsi ya kupata pesa facebook 🎉
Sawa
asante sana bro mungu akubarik nimefanikiwa kufunguwa account ila kupata views na follow ni shida sana
Nmechokaaa mee ikifika kwenye code inasemaa maximum number of attempt siku nzimaa imegomaa😢😢😢
Maximum number of attempts reached. Try again later. Nikiwek code Kaka inakuja hivi naomba nisaidie nimechoka Kaka kujaribu 😢
Kweli inazingua
Asanteee nmeipataaaa🙏
Mbona ni kifika hapo kwa send code ina ni ambia to much attempt try again later kwani shida inaweza kuwa gani
Broe so it means kama nina account yang ambayo sio international account haitawezekna kuihamishia kweny international account. Coz me ninafollowers wang kadhaa kidog na naona uchungu ku create new account. Ntafanyaj apo kak
Mambo vipi bro me inapofikia kwenye verification ya kwenye email wananitumia code naingiza lakini inanigome wakati imevery kwenye email hebu nisaidie
Ahsante sana kaka
Boss nauliza wakati nawasha vpn ili niweze kufungua interational tik tok ninawasha data labda ya airtel,Voda au tigo au natumia wifi ndo niwashe vpn
Sorry kaka angu, sijaelewa vzuri maana kuna sehemu umesema inabidi ni uninstall my TikTok app alafu kuna sehemu tena ukasema naingiza my TikTok account, sasa hapo inabidi niwe nimefungua account nyingine?
ukisha uninstall ingiza VPN kisha install TikTok upya
Unamaanisha the current tiktok siwezi ibadili yenyewe instead of uninstalling
Naomba unisaidie baada ya kupakua nimeenda vizuri mwanzo kabisa hainipi Hilo neno inataka sign up/ sign in yaaini nikipanda pale juu kwenye mistari mitatau hainiletei Ile list ya chini ya kushoto
Jaman nimeweza ahsante
Naomba unieleweshe hapo kwenye passwed inaikataa
Sasa bro, hiyo VPN ,ukiwa na account ya youtube haitobadilisha location?
Thank you so much🎉🎉🎉 maua yako💐💐💐
Nimefungua international tiktok account lakin Kila nikimfollow mtu Ina unfollow automatic
Naomba Namba Yako Kaka Nashida
Nikupe yangu
Samahani lakini naomba kuuliza swali nimeona Kama mara mbili lakini kwenye balance azionekani bro naomba kujua kwanini bro
Kaka mimi tayari nimefungua lakini niki follow wanafutika na video zangu hazina vws
Asante kabisa,ila Mimi niko na swali nilitaka nijue wakati wakutengenezea account TikTok huko marikani nahiyo account itaomba uitumikishe na vpn ao uk?
But kama ulivyosema kaka kwamba ukishafungua utaona video ambazo zipo nje je kama ukipost kontent zitaonekana nchi uliyopo mfano mimi nipo Tanzania nikifungua international account watanzania wataweza kuziona content zang ?!..
Wataona
Mbona zangu unaziona au upo UK saivi?
Kama imel imefunguliwa na namba ya TZ ina kuanje
Je ikiwa ipo hiyo reward program alama yake hipo lkn kile kibox ulichosea hakun kwaiyo hiv itakuwa international tiktok au itakuwa bado
Atary San brother 🔥🔥
Nimesha Pima ku post ila bado sijuwi kama ni tatizo ya nini ?
Nimejaribu sana inakataa Yani
Upo vzur aiseee..tunasubir kipengere kinachofuata
Mbn tayari Kila kitu tazama video zinazofuta hapo
Gud sanaaa
Good job brother 👍❤💪
Bro nimefungua ila hicho kibox hakuna
Kwa mfon mimi sitaki kufungua mpya nataka hiii account je ninaweza kubadilisha to location na uthibitosha ikakubali au ni lazim mpka fungufie mpy
Mimi nimeweza kutengeneza International tiktok account lakini vpn ya thunder uwa siizimi lakini nikiamka asubuhi nakuta imejizima yenyewe iyo haina shida? Kwenye monetization au kila nikitaka kuingia tiktok natakiwa niwashe kwanza vpn?
Dokta nimefany lkn nimefika kwenye code nimetumia code kwenye email yangu lkn nikiziwek hazikubali naomba nisaidie tafadhali 😢
Baba nakuku bari sana❤❤
iv kwa mfano baatimbay ukafta file ya TikTok video nazo huw zinaftika
Izo tiktok live gift wakikuzawadia je unalipwa pesa ama inakuwaje
Kaka nmefanikiwa bt nmechagua location france shida kwenye kile kiboks cha kushoto cha zawad wanaandika kifaransa vipi siwez badil location au
Bro Mimi nimeona nimetumiwa Kama mara mbili lakini kwenye balance azionekani bro
bro, if you join the UK 🇬🇧 account, you need to turn on mobile data or wifi
Naomba Namba Yako
Ahsante, nimefanikiwa kuunga International tiktok account
👍
Kwenye imel kwngu inaznguka tu
@@Africadigitalcommunity samahani mbona kwangu inakataaa
Asante sana
Kwaiyo Maokoto Wakitaka kukulipa Watakuwekea Wapi Sasa?
Nikifika kwenye nickname inakataa naomba msaada
Nimefunguwa kweli kaka ila nilipost video Jana mpaka sasa aina hata mtazamaji nifanye kaka yangu?
Endelea kupost
Iv ukishatumia vpn mda wa kujisajiri je mda wa kupost na kuingia live utaitumia vpn?
Duh bro naomba majibu ninapofika kwenye upande upande wa kuweka email inakatiliwa na wananiandikia kubwa "maximum sijui nn nn reached" apo unanisaidiaje?
Brother mimi nikijalibu gu search everything hawanip matokeo na nikijalibu ku like au gu comment habiwezekani brother nambie nin shida ni kwa account mpya niliifungua nikijalibu hangalia video yako ko help me brother
Bro naomba kuuliza kuwa, naweza ku be banned na tiktok kama nikichukua video TH-cam nikai edit vizuri na then kui apload tiktok?????
Niaje mkuu nimejaribu kufungua lakini inaishia kwenye birthdy himalizii
shida ipo wapi apo?
Kaka wakati nmechagua inchi mfano nmeeka United State alaf nikieka email ikataa et Maximum number of attempt is reached. Shda ineza kua n nn
nimejaribu tena lakini nikifika kwenye email ina niandikia (maximum number of attempts reached. try again later.)
please help me.
Mwali nimejitahidi lakin hainiletei Kama inavyo leta kwako, inaniambia niingize namb zangu Kisha kunakode zinatakiwa kuingizwa ndo wananipa sekunde tu sioni kbisa nifanyeje
Kwan lazma kuunistall account yang ya tiktok??????
Kaka mbona mm niki fika pale kwa ku saini up , hapo chini haileti nchi yangu, bali ni terms of service na pia privacy?
VPN imegoma shida itakuwa nini?au ni sim inazingua
Kaka unisaidie mimi inaleta symbol kila nikizipanga sivo nifanyaje ini niweze kuzipanga ivo symbol ili niweze kufunguwa acaunt
Swali langu Sasa...hivi baada ya kuidanlod VPN ukiifuta itakuaje? jibu tafadhali
Broo nimefungua intentional TikTok account lakin sipati viewers nifanyeje 🙏🙏
Nime ona Dr TikTok
Nauliza pale ulipo sema that tuna futa TikTok . Tunafuta tu au tuna log out na account
tulio kuwa tuna tumia kabla ya kuifuta TikTok
Hapo ukisha uninstall TikTok ingiza VPN kisha install upya TikTok
@@Africadigitalcommunity okay Ina mana hamna haja ya ku log out
Offcoz lakini Kwa usalama tu zaidi unalogout
@@Africadigitalcommunity great thanks brother
On love bro
😎
Kaka mimi sijakuelewa ju tumeunstall iyo tiktok so imetokana na wapy tena bro.....ama mm ndo sielewi plz
Sasa broo mbona nilifanikiwa kufungua ila ni kipost inaelekea sehemu ya friend nifanyaje hapo
Samaani Kaka mimi Nina changamuto nilifunguwa lakini nili badilisha simu ika poteya sijuwi nifanye Nini ili nirudishe akahuti yangu
Ulisema niifute tiktok yangu nikishaifuta nikidownload vpn nitakuta fail la tktok au nitadownload nyengine!?
Sasa unaingia kwenye app ya TikTok na umesema ui install, ?
Kama kibox hakuna cretor reward program hipo je itakuwa ni international tik tok au bado
Bro mm kila nikieka code nilotumiwa inagoma shida ni nn maana ata kufungua tiktok bado inataka niverify msaada
Nimetengeneza ila kibox cha zawadi hakipo ila creator reward program ipo
Bro vipi hata Japan inahusika??? Maana kwa upande wangu imekubali japan
Mbona mm haina iyo credit tool
Lkn naona video za mambele ila shda n kiboks tyuu ndo hakijii
Sms zinavyo ingia utadhani tuko live 😂
nime shindwa kuna sehemu nikifika panataka code ili ni verify e mail
Nimekupata vyema
Na followers mpaka ngapi ndo ulipwe ukifungua hiyo account mpya
mimi nashindwa kuingiza inaandika verified 2 obeject
Kaka mimi inanidai code nakosea wap??
Nimefungua account but hakuna vile vimstari vitatu but ukiingia ndani zaidi unapata hizo feature zote kuonesha ni international account
Haina shida hiyo
Dah yaani mm bado sijaelewa niifute then ni danlod au
Bradha niki verify hainiletei cod broo
Samaan nielekez nimekosea wap
Mm nimeshaingiza imal lakini kwenye pasuedi inazingua
Naomba uni saidie mimi signup ipo ila apo kweny kuchagua county haipa