LOVE BITE 《10》
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
- SUBSCRIBE BONCENA GOT TALENT
FOLLOW US IN
+255659096471
FACEBOOK; / angess.nsyengula
INSTARGRAM;www.instagram....
TIKTOK ; / boncena_gottalent
YOUYUBE ; / @boncenagottalentfaceb...
OR BONCENA GOT TALENT
INSTAGRAM; BONCENA_TZ
IIKTOK ;BONCENA_TZ
namuelewa sana happy kwasababu mutu anaeza fanya kilakitu kwa sababu ya mapenzi kwetu DRC nakupenda sana
Huyo jamaa alomshika gumbwa mkono akitaka kumpiga happy ameupigaje apo 👏 😂😂😂 maneno yake matamu sana 👍... kama unaliona hili gonga like
❤❤❤
😂😂😂😂
sema mima anaupiga mwingi pia ...❤❤
Maisha nikama gwaride uki sema nyuma geuka basi wamwisho ata kuwa wa kwanza 🇨🇩🇨🇩
Unanikumbusha hilo neno kibenten final 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Happy,mkubali selemara achana na huyo mgumba asiependa watoto.
Big up Ruta,dada una roho mbaya
Aya sasa tunao yaona maisha ya Baisa yakibadilika kikimlamba tujuane kwa ku like hapa ila uyu baisa anajua❤❤❤❤
Wakwanza wallahi tokea kwetu DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩naomba vima likes zangu chez nous lubumbashi
Kuazia Leo akuna mambo ya likes,nmezima io kabsa,,
Safi sana mu kongomani mwenzanzu mi niko Haut uelé kwa sasa lakini nyumbani ni butembo.
Kweli akuna mambo na likes tena uko sai
@@Chris17-chaihe_uw27 sa kila mtu ni,Leo nmekua wakwaza nipeni likes,za kazi gani?
Congo mboka makasi tuko pamoja
Nahomba liké jamani Niko Bujumbura mais Niko congolaise 🇧🇮🇨🇩🙏
Merci beaucoup 😘😘
Huyo Mtoto wa Gumbwa lazma azaliwe akuwe na ajuwe ukweli wote wa Mr Gumbwa ! Big up sana kwa team yote kwa ujumla !❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Nachomkbali uyu lutaman kwanza clip zake ndefu pili hacheleweshi ambao wapo pamoja na mimi gonga like hapa
🙏🙏
Sahihi kabsa
Uwakikaaaaaaaa
Kweli
Ndefu lakini hazijashiba
Happy achana na huyo njoo nakusubir
B
1:53 1:55 1:56 1:56 1:56
Nitumienambayako
Ruta man big up fo the good job men Yani hucheleweshi kazi zako afu ni refu tunavyo tena nzuri
Uhusika wa Gumbwa angeucheza luta ningekua bomba sana, uyu Gumbwa anafaa kuingiza ukichaa tuu haendani na character mlompa japo mdada kafanya poa sana ❤
Happy apunguze kulia bana,,alf mima iz Avery good actress ananibamba feel loved watu wangu❤❤
Ruta nimei penda sana hi love bite jamani Mungu awa saidiye malize haraka lakini Mimi kila mda na angaliya hi movie jamani keep going sister and brother ok
Mimi wa kwanza kutoka kongo naomba like zangu 🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿
Watu wa Kong wanaongea Kiswahili
@@saddamalio9354 ndiyo watu wa congo tunaongea kiswahili na lingala pia na francis pia no na english
Jamani nimechelewa lakini nimefica naomba like japo 10 to
Wa kwanza leo naomben mauwa yangu
Wakawanza hapa kutoka Drc🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 nipeni likes
Love bite hampoiiii 🔥🔥❤
wakwanza Mimi. apa gonga like
Story ilianza vizuri sana ilaa mbelee unavurugaaa sasaa aielewekii
Yani maneno mengi lakin actio ndogooooo
ila hii tabia ya kumsaidia mwanamke alafu unataka mapenzi sio nzuri .yan mimi hapa nalala nje na chumba nimempa mdada aliyekosa pakulala ndio anaishi na pesa za matumizi kila cku nampa lakini sijawai kuwaza kama nitakuja kumwomba mapenz sasa nyie wezangu du mpka mpewe
Yani umenifanya nikuwaze uko wapi nakutaka
😂😂😂😂😂😂😂utamu
mwanangu umesh kosa point 3 ume tangaza wema bro
Namimi nisaidie sina pakulala
@@StanleyaStella nipo
Gumbwa gubwaaa acaha unyama we kenge hahhahaaaaaaa nisamehe mii ni acter mwezako gumbwa umecheza vizuli
Napenda uchambuzi wako bt wengi ni likes wanataka
Leo nmewahi nakupenda sana ruta man❤❤❤
Nimekuja na mm nimechelewa.sana ila sitaki chochote kikubwa move nzuri sana hongereni sana group la boccena
Napenda vile vyenye mko fast kuachia ep ingine
Mima kazi nzuri kwa kumtesa latifa ajifunze maisha
Nampenda Happy Anavoigiza❤❤
Move kali sana ruta man ongela
Naitaji jiina ya iyi nyimbo imwo ndani ya iyi cinema
Wa kwnza kutoka Kenya 😁 nipewe likes jameni
kazi nzuli sana punguzeni maneno bas mana darekta anasikika duu utafikili mpo lokeshen duu
Mimi ndo wa kwanza mimi😊
Yani wewe kaka gumbo ivi umejiona ulivyo kweli kuanza kumtes happy
🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂
Hilo li mima, li baunsa li gumbwa nimelichukia sana😢😢😢😢 japo ni igizo
Tumemmiss madam wa ruta na mima yaan boss afu napenda uchelew mv zako na n ndefu had raha
Leo niko wa101 musema ukweri ni mpenzi wangu Like 👍 zimwagike kama magopo jararani😂😂😂😂tujuane
Ruta man mwamba twende mberee usishukee mwamba aseeh mm nipo nawewe Dua zangu kwako Hawa uliocheza naoooo mko vizuli sana ila gumbo na happy aseeh so poa gumbo apunguze useraa amuonee huruma happy bc na vipi kuhusu. Mama ake na gumbo yupo hai au ilikuwaje alipo dondokaa timu nzima ya Ruta man gang nawakubali Sana
Kuna viwavijeshi humu ndani vinakela kwa kuomba like
Hahaha
Wanakela sana
Ndugu yangu kazi nzuri sana watching from Kenya 🎉🎉❤
Mimi wa kwanza tena
Wakwanza leo 🎉🎉🎉
Ya wemujamuzito ufananii kbisa naroo mbaya
Ruta Man ongera kwa kazi unayo, nawaza fwata kutokea Goma Drc
Wa kwanza from America, please naomba likes ata ngapi kwa uruma wenu
Gumbwa jameni, kuwa na roho ya tu basi. Dada punguza shali piya ume zinguwa na hupendwi ume juwa ?
Love bite ni noma sana
Mungu awape mawazo mazur katika mafanikio yako ruta pambana gemu gumu
Sii utoke kwanii huna kwenu unatogozwaa hutakiii pole 😭😭
Mima nawewe subiri yakukute kibao kitapogeuka utajuta
Nakubal sijachelewa sana
Heee mimah we punguz mpe jpo kul mwenzko nayy wako wawl km ww 😢
Hucheleweshangi kaka hongereni❤❤
Kazi safi jameni. Hili tamthilia lina funzo nzuri kwa kizazi cha 2000s. Piga like kama una kubali ana nami❤
Wa kwanza Leo from Kenya ❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Rutaman umeshirikishwa au ni movie Yako yaani umeshiriki kidogo sana
Wa 47 jameni naombeni Like zenu ata 2 zinatosha from Burundi
Leo wa kwaza am from Kenya
Wakwanza kutoka Burundi naomba like zangu ata zikiwa 5 ntashukulu
Likes za kazi gani aswa
kumbe burundi mna kiswahili kizuri ivi
Ruta man napenda show zako mno zinanibamba vibaya sana.
Kama kuna kijana mwenyo moyo kama wa gumbwa mungu anamuona, hii ni movie lakini nimebaki nalia kwa haya manyanyaso anayopitia happy 😢😢
Ep😭😭 unanikumbusha mbalisan
😢😢masikini happy pole Sana mwache aende tu huyo hakipendi
Mwenu nitandi nangu kwaloka kwetu ku MOZAMBIQUE
Uyu mima kaitu100 vzr nafac yake duh like kwake bc❤❤
Happy hongera kwa ufumilivu yote mabaya anayo kufanyia gumbwa ila hukati tamaa mimi siezi eti kitokee mwana ume anipende alafu alete tabia kama za gumbwa naeza muekelea makofo ajutie kunifahamu juu huusio mdawakulia kwenye mapenzi 😂😂
Nilijua ataishia ukimwi
Happy pokea mauwa yako 🎉🎉🎉 nimekupenda bule ❤❤❤❤
Mm kuna kitu nakiona mbna nkama gumbo na mke wake wanafana sana kaa mtu na dadake vile,,anwei kaz safi
Chuma fantastic❤ gonga like
Tifa muagizaji mzuli sana ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Masha Allah ruta man ww vitu tamu tamu
Director kua makini na sauti zako zinaskika
Umeskika ukimwambia huyo mdada aseme "kua na huruma basi"
Jutahidi
Arafu sio mara ya kwanza masauti yake uwa yanasikika tu
Tifa watia huluma kwer ila hapo na bado Kwan unamashauz San na kumnyanyasa gumbwa malipo ni hap hap dunian
Tz jameniii...pombe mnakunywa na plastic
Nakupenda kipepeo ❤❤❤
Tuko pamoja mpaka mwisho LOVE BITE❤️❤️❤️❤️❤️
Happy nakupenda sana 🎉🎉🎉
Mimi wakwanza kutoka kenya
Watoto wa 2000 nyie n washenzi kweli baada yakutoa maoni kuhusu kazi mnaomba like mafilauni ninyi. au izo like mnazila
Oyaaaaaa nani ameipenda move hi kamaumeipenda naomba likes hata 2 tu
Huyu mbwa sijui ni gumbwa ama gumbo anaroho mbaya hata sula yake inamuonyesha kwamba ana roho ya kikatili kwanini huna huluma mbwa wewe unanikela sana pumbavu zako nitakurowa mi muha kutoka mwandiga kigoma
Khaaa😂😂😂😂
Jamani! episode kumi na moja na kumi na mbili Iko wapi.love bite
Yaan tifa namuoona anakonda tuuu
Gumbo simuelewi kabxa kweny hii sirisi
Ki pepeo hatar sana 🤣🤣🤣
Leo nimekua wakwanza naomba ata likes 10 kwa ajili ya love bite😊😊
Nimekuwa wa 60 Leo
Wa Kwanzaa 60
Naomba subscribe ata 2
Mimaa kumbkaa ulikotokaa uwe na moyo wa fadhila na huruma kwa wengine, happy yanini kuishi maisha ya huzuni na masononekoo umependa usikopendwaa fahamu kuwa kuna maisha pasipo kuishi na Gumbwa
Hongeleni sanaa kwa kazi nzur sanaa pokea mauwa yako 🎉❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Kipepeo 😂😂😂😂😂
Kwahiyo Luther anajipakuli minyama 😅😅😅
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ nawakubali Sana
Big Boss
Apooo Sasa kumekucha hahahaha 😂😂
Jamani Tena top 20 likes jamani
Mimi leo nimekuwa wa mwisho naomba hata raiki hata 5 jaman
Gubwa unatoa macho sana😂😂😂😂
Hii sen nimeipenda jaman