FAIDA ZA URAIA PACHA (Dual Citizenship) KWA TANZANIA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- #uraiapacha #Tanzania #uraia
Hivi karibuni, Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania kazungumza jinsi wizara inavyoshughulia suala la uraia pacha au hadhi maalum kwa Watzanania waliochukua uraia wa nchi nyingine na kukoma kuwa Watanzania.
Nilikuwa nafanya TH-cam Livestream ambapo watu walikuwa wanataka kujua faida na changamoto za mtu kuwa na uraia wa nchi mbili au hadhi maalum kwa Watanzania hao.
Nipo Europe. Na ninaipenda nchi yangu Tanzania. Napanda Miti ya Matunda kwa Jamii bila malipo yeyote na inaumiza sana kuona kwamba hatuna Uraia Pacha kama Nchi nyinginezo Duniani. Nyumbani ni Nyumbani waliyasema Wahenga. Bless.
God bless you bro
Well said, great info. 👏🏿👍🏿 But siwezi kusubiri siku Tanzania itakapoanza uraia pacha! Nitafurahi sana😍
Kaka umeongea.sawa tiu. I00..100..endelea.kuelimisha..
Hiyo ya tax filing may be different, US is one of few countries that tax their citizens worldwide income regardless their location they are in.
Tatizo hawa viongozi watu wa tz wamejawa roho mbaya
Kweli kabisa roho mbaya ndio ina wasumbua
Kweli kabisa
Kwa kweli Tanzania tunapenda ku complecate mambo.
Imeniuma sana suala la kunyimwa Bendela tu bila kujali huyu mtu anakwenda kuisaidia na kuisapoti na kuitangaza nchi aisee ni aibu kweli yaani nchi kubwa kahii haina Uraia Pacha kweli? Mh. Mama Samia tusaidie hilo please🥰🥰🥰🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kwa nini Tanzania hairusu kuwa Raia kwa nchi zote mbili jamani?🥰🥰🥰🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Tulavukana mwenewachu.... pot muhadhara huu tuliusubiri kwa hamu sana.
Ubarikiwe milele.
Tupe vidonge yetu kaka Watanzania ubinafsi aisee moyo wako Kaka ni moyo wa Mungu unatusaidia na kutuambia ukweli lakini wengine blabla nyingi na matusi nyodo nakwambia huwezi muuliza swali mara mbili Mungu akutunze kwa ajili yetu mimi ni Mwalimu naamini siku moja nitakuwa Marekani najifunza sana kutoka kwako
Thanks alot for your kind help to the world
passport yangu imeisha muda wake nataka nilipie passport mpya niko hapa america nalipiaje?
Well said brother 👏, mpaka leo km bado tunawaambia the same thing basi swala si kutoewa bali ni utashi kwa manufaa ya wachache
Kweli ndugu mungu akumpuke tz ifunguke macho
Nina chagua Marekani ndio mpango mzima Anko
I believe hilo la kula huku na huku ni mlaghai kikwete mwenyewe alilitunga
With the tanzanian citizenship you need visa to go almost EVERYWHERE. you can't even go to the world's most popular tourism destination without visa.. not even to Dubai...
Tanzania is just useless and people's and there leaders full of jealous roho mbaya tuu
Yuko na nyingine ya kiingereza nenda huko huku unatuvuruga tu na comment
@@damariszuckschwert9489 go learn English.
@@sabri8714 English is an asset or achievement for you?🙄🙄
@@damariszuckschwert9489 there you go, now you speak English. Well done.
Mm nipo Athens .Nimewasikia wabongo wengi tuliopo Ughaibuni ila huyu bwana anaongea kwa hisia na uzalendo zaidi wa nchi mama TZ. Mungu azidi kumbariki
Asante sana
Tell them.
They don't seems to understand maana ya uraia pacha
Sheria ya Marekani inasemaje?
Nimesikiliza hii clips hadi nimelia
Nakukubali kamanda umeongea point
Ni ukweli mtupu uliongea
Nakubali sana kaka uko sawa
Hey muda not a problem. We needed it
Sema ukweli TZ wana poteza faida nyingi sanaa
Yaani Tz bado nyuma sana. Mpaka uraia ngumu. Duhhh ebu tuongee na Balozi huyooo
Kenya wapo vizuri.
Mimi nasema hamna uraia pacha Tanzania ni nchi peke duniani
@@abubakaral-harthy482 kwahio kama hakuna raia pacha wewe una faidika nini wakati wa Kenya wana uraia pacha wana kuja kufanya kazi Tanzania kama est African community sasa hutaki watanzania wenzenu toho mbaya ndio maana hamuendelea halafu serikali ina wauwa mnataka hao watu wanao ishi nje wawasemee😂😂
Sana , sana.
Mimi ni mtanzania ninahishi Kenya lakini tukipo mpoteza our the late former president John pombe Magufuli tulilia kama mtoto mdogo kwa nn tulikua na uzalendo na inchi yetu Tanzania 🇹🇿💪
👍👌👏 kweli kabisa roho mbaya sisi watz
Tuache uchawi watz
Kaka utofauti wa Tanzania na Kenya au nchi za East Africa ni kwamba sisi tumeungana na Zanzibar swala linalotuzuia kuwa na dual citizenship. Pia sababu ya msingi lazima muwaelimishe watanzania waishio nje kabla hawajachukua uraia
@@prorwega akili mbovu zanzibar wame shapitisha uraia pacha ila Tanzania bara ndio inafanya sheria hiyo isifanyike watanganyika ndio wana roho mbaya
Safi sana Bro. Kweli.
Hongera sana Sana good points Kaka yangu.
Yule wa msoga roho mbaya sana.
Umeongea point
Hahahaha eti ndanda, umegusa home
Uko sawa kaka
Great insight man
God bless the united states of america
Ameen
@@nadiabakari2589 mambo nadia