Jux Afunguka Picha za Utupu kwa Mange, Kuachana na Mpenzi wake Karen, Ommy Dimpoz ndo chanzo? Part 2
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- Jux afunguka kuachana na Mpenzi wake Karen Bujulu na Tetesi za Ommy Dimpoz kuhusika kuvunja mahusiano yao!
Pia aongelea picha za utupu zilizodaiwa ni zake ambazo zilisambaa kwenye mitandao ya kijamii. Part 2
Subscribe, Like, Comment & Share!
Nakubali sana
Kampa mwanamke ustaa kat**bewa na wajanja😂😂😂😂😂 kuna la kujifunza hapa
Nakubali sana African boy❤🎉
Jux ni mtu poa sema kuna wanafiki kazaaa tu wana mdomo😂😂
apo side ya Lilommy naona picha ya mzee mmoja toka kenya charles njonjo 104 year lived
Jux ni mgeni kwenye interview au ni ushamba wa media bado?
Jux Burundi Bg fizzo💪💪💪🖒🖒🖒🎧
Jux tongoxa msichana wa kiislam na oa muislam braza 😂😂😂 utateswa sana na wakristo deile you man
Kwahiyo hao siyo watu ama ?mapokeo yamewaharibu sanaaa
Waislamu mnajionaga ni kama mlifika mbinguni mkarudi... Nyinyi ni wanafiki sana n roho chafu mungu awasaidie
Wao ndio wanaongoza kuwaumiza wapenzi kikubwa ampate mty sahihii kwakee na hata akiwa mkristo akiwa tayar kubdli hapana pingamiz ww unatuletea udinii
Kila kizuri kweli hakikosi kasoro jux kila k2 anacho lakini madem wanamkimbia sijui kwa hata sielewi kwa nn?!🚣
Juma bro acha kuzunguka weh mtoto mislamu owa binti islamu 😂😂😂😂Umechoka
Sio waislam Hawa wote,sio diamond sio hamronise sio yeyejux juma,na wengine wengi acha waabudi shetani watajua hawajui siku ya mwisho
Acha udini ww kweny mamb ya social media😏 unachukulia social media ndio maisha au mbona don’t take too serious🚮 kwan uyo muislam akitaka kuoa mkristu wanashindwa kubadili dini au🙄 embu kwenda
@@omarchaijefwa729stupid _
Omy huyo bana
@@omarchaijefwa729fact
Omy huyo
Jamaa ana shida gani huyu?
Bwabwa
Siyo lazima kuoa😅
Tafuta muislamu wenzako uoe acha kuzunguruka zunguruka
Shoga jux
Mbona wewe jux Mauri kwann usioe? Wwni mtt wa kiislam
Diamond pia hajaoa😂😂alikiba pia hana mke harmonize pia 😂
Sio hivo, valentine ni siku imewekwa na wapagani, kwanza wewe kama mtoto wa kislamu hiyo haikuhusu.Tusiige ige manbo ya wazungu.
acha ushamba na wewe
Ni kwl kabisa