Waoh, amazingly! True talent! Wimbo mzuri saaaaanaaaaa huu yani! Mi huwa ninauskiliza Kila siku, naupenda Sana Sana Sana yani! NYWELE huwa zinanisisimka nikiuskiliza# Grace Matata uko juu! Hii ni aina ya muziki ninayoipenda!
A very good song, the problem is, many Tanzanians are lack of knowledge in understanding the good music especially from the artists who are not in scandals...congrats grace matata since free soul
You actually deserve more. Najua kwamba namba zina maana yake katika tasnia na kazi ya sanaa, ila binafsi nafurahishwa na "qualitative analysis" kwani hata ukizingatia maoni ya mandugu humu utaona kuna namna kazi yako ina wasiliana na nafsi zetu. Hivyo, kwa kiasi chake (si kwa kujifariji) ni mara mia watu 10,000 wenye tija kuliko Mil. 25+ isio na tija.
Kabando kinyewe kakuunga unga sikuwa na plan ya kustream nilikua napita tu BT once I saw its grace matata I knew u will never disappoint me...what a wonderfully song
Nasikitika na naumia sana kuona mtu mwenye kipaji kikubwa kama Grace Matata. Kuona mziki wake mzuri haupewi Airtime yakutosha kama wasanii wakutengenezwa na producers tena wengine wamekuwa wasanii kwa kukaa karibu na wasanii na hawana vipaji halisi Media imetosha sasa tuupe kipaombele mziki mzuri unaoishi na sio wasanii wa kiki na show off za instagram then wanaimba matusi #SupportGraceMatatamusic
Am wondering why good artists like Grace Matata dnt get good and quality airtime that they deserve?? And these other junk artists with their junk music they are getting quality airtime that they dnt deserve. This world is not fair at-all.. But brand yo self, have good plan for publicity, do more engagements with latest social media platforms and the like. Also keep doing good music. I have this request, kindly consider doing a collabo with a Nigerian artist called @johnny Drille. You two singing together itapendeza sana.
How I wish Tanzanians to wake up and know the true meaning of good music and support fully, thanks for the good song namesake. You’re the truest ICON ❤️
I love you grace i love your music sjui kwann hupati airtime the world needs to hear your music😭damn this kinda music hits you so hard you in heart and thrills
I fell in love with you and I have been singing your songs for years now and I always wish to hear you singing many songs....Listening to you naweza lala nisiamke milele!! you are amazing!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! THIS I DON'T KNOW WHAT TO CALL THIS!!! but it is my lulaby
To be honesty Grace Matata Nilkuwa namskia skia tuu sikuwa najua kama Ni moto kiasi hik kuanzia saiv me ni fan wako..Ni ngoma naiskilza Daily..Good music sister🔥🎸🎹
Nimesoma comments zote 230 kwa wakt wng huu,,nmegundua Dada ana love ya kutosha, people are trully trust her every move she take.. This is a great weapon she should use.. Nice work honestly..
Waoh, amazingly! True talent! Wimbo mzuri saaaaanaaaaa huu yani! Mi huwa ninauskiliza Kila siku, naupenda Sana Sana Sana yani! NYWELE huwa zinanisisimka nikiuskiliza# Grace Matata uko juu! Hii ni aina ya muziki ninayoipenda!
A very good song, the problem is, many Tanzanians are lack of knowledge in understanding the good music especially from the artists who are not in scandals...congrats grace matata since free soul
ifikie hatua watanzania watambue mziki mzuri kama huu na kuupa support.. cha ajabu tuna support nyimbo za ajabu hazina maadili.. go grace, go matata
Wow mpaka vinyweleo vinasimama jamani watu wanaimba ivo hongera binti Grace
Mmh
🔥🔥🔥🔥🤗
Go girl, I love it.
Am always proud of you baby sis this is a soothing song lovely vocal as always u nailed it
🔥🔥🔥🔥
make sure umesub kwa hii channel nakulike video yake
Kwan grace matata ni mtanzania?
Ndiyo
10,000 views in one week! Asanteni sana!
Nitafute tuongee grace kazi nzuri I like it
You actually deserve more. Najua kwamba namba zina maana yake katika tasnia na kazi ya sanaa, ila binafsi nafurahishwa na "qualitative analysis" kwani hata ukizingatia maoni ya mandugu humu utaona kuna namna kazi yako ina wasiliana na nafsi zetu. Hivyo, kwa kiasi chake (si kwa kujifariji) ni mara mia watu 10,000 wenye tija kuliko Mil. 25+ isio na tija.
Nice song.....dada grace
Mungu akubark saana grace,,, Nashukuru kwa mzik mzuur...... Sijutii kukufaham since free soul
naipenda hii nyimbo sana , grace ubarikiwe sana kwa kutunga nyimbo nzuri kama hii
Dunia inapaswa kujua kwamba tz Kuna vipaji vya ajabu ....
Kabando kinyewe kakuunga unga sikuwa na plan ya kustream nilikua napita tu BT once I saw its grace matata I knew u will never disappoint me...what a wonderfully song
Nice work!! Grace
All legends are born in a moment's of Talent & truth. Mm namkubali tangu enzi za Free soul
Nasikitika na naumia sana kuona mtu mwenye kipaji kikubwa kama Grace Matata. Kuona mziki wake mzuri haupewi Airtime yakutosha kama wasanii wakutengenezwa na producers tena wengine wamekuwa wasanii kwa kukaa karibu na wasanii na hawana vipaji halisi Media imetosha sasa tuupe kipaombele mziki mzuri unaoishi na sio wasanii wa kiki na show off za instagram then wanaimba matusi #SupportGraceMatatamusic
One of the iconic female vocalist to ever happen in East ..rich melody ...I love her music in its totality
Ni 2024 hii ila bado ni nyimbo naipenda saaana aisee
Aisee ngoma kama hizi sijui kwanini zinakosa publicity, I am in love with this song
🇰🇪✔
Jamani. How does a person sing this fine? Sister hongera Sana.
Kwanini huwa nachelewa kuzifumania nyimbo kali kama hizi? Julius subscribe faster huyu matata 🔥🔥
When your cousin is a SUPERSTAR!!!
Una makubwa sana ndani yako, keep peeling off those layers because I see MORE!!!
Such a Nice music, Grace! I'm a Big fan of your work. Greetings from Brazil! xo
Glad to hear dat
Nais Fonseca you know kiswahili in such deep?
Greetings from Houston, Texas
grace is more than a singer...more than Beyonce more than rihana more than anything called musician on this third planet.. you are hot talented!
Nakuelewaga saana grace mtata.. Niliinjoy saana show yako kwenye FNL. Mungu akubark saana,,, ki ufup unaujua mziki iseee
Nice song!!bongo tuu ni kwakuwa mziki bado haulipi kihivyooo!!lakin grace wewe ni mwanamziki mkali sana!!usikate tamaa,go ahead
Am wondering why good artists like Grace Matata dnt get good and quality airtime that they deserve?? And these other junk artists with their junk music they are getting quality airtime that they dnt deserve. This world is not fair at-all.. But brand yo self, have good plan for publicity, do more engagements with latest social media platforms and the like. Also keep doing good music.
I have this request, kindly consider doing a collabo with a Nigerian artist called @johnny Drille. You two singing together itapendeza sana.
sweet of the sweetest
There are Musicians, and there's Grace Matata.
Absolutely outstanding
akitoa wimbo na linex itakuwa bomba
Huu wimbo umenikonga moyo kabx😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
I played this for my daughter when i was pregnant... now i play it for her to fall asleep! It does magic for all my children. Merci beaucoup Grace!!
Mama la mama usipo toboa mwaka huu kuna namna
Thats my favour rhyme "umeniamsha Tule!! G we ni mkali aiseee😂😂 #keichogo
safi sana grace nakupenda sana
Her dress code.
Her hair style.
Her singing..
MUNGU hutoa vipaji, nawe amekupa.
Dada naomba ufanye mhunganiko wako na msani mmoja katika ya hawa ninao wakubali kama wewe kwenye music wa kudumu muda wote. Banana zoro au ali kiba
How I wish Tanzanians to wake up and know the true meaning of good music and support fully, thanks for the good song namesake. You’re the truest ICON ❤️
An miongioni mwa wasichana wa nchi hii nao wakubari upo kwa list...jaman we mdada rudi...nilianza kukufuatilia enzi za free soul....
Noma sana.
Beautifuuuul voice, the song soo soothing thy soul... Keep up Grace!!
One of the most beautiful thing I have ever heard in my life.
Does anyone know the guitar chords for this song?
I loooove this song! U have a beautiful voice Grace, very soothing and relaxing. Thank you for the gift of you
Jamani huu wimbo naupenda mpaka naumwa, asante dear grace. God bless you more and more.
Nakukubali Sana toka kipindi icho hujaniangusha safi sana
Matata utabaki kuwa juu kileleni ✈️
Good Music Grace, One of the Best Female Vocalist from Tz 🇹🇿
Namuona Innocent Mujwahuki kwenye mashine
Grace Matata akiimba.. We Listen!
Kazi nzuri sana
Huyo ni Grace wetu :), amazing!
Wonderful....respect. Wimbo mzuri sana nimeuelewa Grace. “BABY”
Nitapost kuanzia Leo huu wimbo ktk status zangu. will make sure views zinapanda. One love!!
Folk musician wa Bongo. Reminds you of Lokua Kanza.
Big up Innocent Mujwahuki for good music
You are underrated, media think you are a niche artist. You are so bigger, keep dropping em' jams
Grace's Music is a referral to African Music Universities :)
Kiukweli Tz wanaojua kuimba niakina dada tokeazama za kina Jide, Rc, Stara atc Mabro hamnakitu😋😋😋😋❤️❤️🙏💥💥🔥🔥
Saa si ndo hao wakitoka wanaliwa kiboga wanapotea kwenye game
Tatizo wanawake hawapendani
Grace anajua sana Jamani...😍
Thanks again Grace Matata!
Naheshimu uwezo wako, ulicho kifanya kwenye #nyakatizamashaka Kwa #NickasMachuche #nikkimbishi,,, Godmade
This will never get old
We love you Grace 😘😘
I love you grace i love your music sjui kwann hupati airtime the world needs to hear your music😭damn this kinda music hits you so hard you in heart and thrills
Siku inakuja tutatambua vipaji vya kweli .Mungu akubariki dada.
Hakika bado hatujawapa support waimbaji wazuri
let's not end up commenting in here, let's share the link of this dope music to the world
Roger Orio i agree. She is a treasure and people are busy promoting trash
song of year🍐😻
Unajua sana grace! Sijui kwaninj haupo pale na kina Ruby na Vanessa! But your super talent yaani!
from your nice video i learn how to record comfortably with nice melody
Maana ya mziki mzuri
I dont understand this language, but the song hits the spot!
It's Swahili language.. originated from Tanzania 🇹🇿
She is talking to her unborn child .... wondering if it's a girl or a boy ...and what life has planned for the baby...
@@princemasu9680 wow Thank you. Listening all over again 🥰
Tanzanian social medias are injustice.. she's too way underrated!!!
much apracciation kwako
I fell in love with you and I have been singing your songs for years now and I always wish to hear you singing many songs....Listening to you naweza lala nisiamke milele!! you are amazing!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! THIS I DON'T KNOW WHAT TO CALL THIS!!! but it is my lulaby
Graceeee🤗🤗🤗🥂
Halafu eti anahiti gigy money.... Vipaji vya kweli vinapoteaaaa
Inamake sense
The piano, guitar, voice and wateva dats added in the song dat i don’t know z just out of this world.... Good hit..
To be honesty Grace Matata Nilkuwa namskia skia tuu sikuwa najua kama Ni moto kiasi hik kuanzia saiv me ni fan wako..Ni ngoma naiskilza Daily..Good music sister🔥🎸🎹
One Love Grace. #GoODMusicAlive
Grace Matata 🔥 🔥 hujawahi kufeli sista
Naomba kufany kaz na wew
Nimesoma comments zote 230 kwa wakt wng huu,,nmegundua Dada ana love ya kutosha, people are trully trust her every move she take.. This is a great weapon she should use.. Nice work honestly..
Good music nakupenda sana Grace Matata
Grace ...where good music belongs
I'm downloading this so sweet
Msanii wangu ninae kupenda siku zote.
She always has "triple C character".. Cool Come and Collected.. Nilikumiss So well come back to game
Niseme tu Thank you Grace!
Ukiacha melody Sijawahi juta kusikiliza mashairi ya huyu bidada,mungu akuzidishie
Your my fvt artist 🙌😍nakupenda
This song 🤗
Ebana eeeh!!
Wimbo una ujumbe positive, impresive, huu ndio wimbo unaoshika ★no #1 ktk chati yangu ya muziki mzuri TZ★
This song jamani....the melody, the voice and the lyrics....weeee....🔥🔥🔥🔥
Silky voice 💚
My baby Grace matata great song ever 2019 jah bless u this year Ufanye Maajabu na upate mafanikio zaid
Loved everything about this song... I will forever be your fan...❤❤❤
Ndo maana hua nakupenda we grace
Aisee grace wewe ni mwanamuziki kwelikweli. Mziki mzuri sana
Hujawahi bahatisha ni uwezo na nimeukubali sana sana. Big up csta Grace.
You so sweet ❤️
Huu wimbo nimependa baada ya kutazama zinazokiki TBC
Emmanuel Darema
MI mwenyewe 😁
@@lizzielala5973 hahahah pamoja sana
Grace MABrrr