Ubarikiwe Sana kwa Kazi njema unayoifanya. Sasa, mbona kitabu chako Cha Hekima ya maombi unakiuza kwa bei Kubwa Sana? Tsh. 30,000 ni Fedha nyingi Sana kwa wengi. " Mmepewa Bure, toeni Bure" Punguza bei ya kitabu, usifanane na wauzao huduma.
Daah mtumishii apo ujue ametumia garama kuandaa kutype kuprit ndoman unatakiwa uchangie ili huduma izidi kwenda mbele na wengi wapate haya marifa unayoyapata wewe
Jmn hivi kweli neno la Mungu kwa ef 30ni kubwa???kwakwel hata kingekua laki nanunua tu kwn simu yako umenunua ef 20? Tena ni sm ya muda tu je kitabu Cha muda mrefu hadi wajuu zako wanakikuta ukitunza vyema .nahis utakua huna Nia tu ya kitabu 30 ni sawa na Bure kbs
Naomba Mungu aniinulie mtu wa kuniongoza kwenye maombi🙏🙏
Amen amen amen amen amen amen amen amen amen amen amen amen amen amen amen amen
amen
Naomba mungu anifungue na amlinde mume wangu popote aendako
Hallelujah 🙌🙌🙌
Amina
Mungu wangu nisaidie nipate neema ya kuwaombea ndugu zangu
Asante Yesu wangu 🙏🙏
Amen amen Mungu akubariki mtumishi wa bwana
Ubarikiwe sana mtumishi Nami mme wangu naomba msaada wa maombi Aokoke pia na kaka yangu anavuta bangi sana na kunywa pombe sana.
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Namuomba mungu akatuvushe Mimi nawatot wangu nafamilia yangu tukasafiri katika mwezi uyu kwajili yadose yetu
Naomba Mungu anisaidie nipate kazi ninaomba sana hili ni ombi langu kwa Mungu😢🙏
Asante yesu kirsto ulie hai 😭 anakuita mungu nepe baraka 🤲 zako nipe neema hekima na busara lehema zako mungu 😅
Hallelujah 🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Emeeen
Amen,hakika eee mwenyezi Mungu nakuomba nipe kibari cha kuikomboa family yangu na jamii inayonizunguka kwa jina Yesu 🙏🏿
Sylvia amen amen amen 🙏🙌♥️ mungu akubariki zaidi mtumishi kwa kazi nzuri ya mungu unavyoitenda aki mungu akutunze ❤
Asante Yesu kristo naomba kibali na neema ya kuwabadilisha wenzangu asa Baba mdogo Aache pombe niwakati wakujibu sasa Mungu wangu🙏🏽🤲🏽
Hili lina nguza kweli👏👏👏
Usinipite YESU u apo zuru wengine na Mimi usinipitee🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante mtumishi wa Mungu maana nimemjua Mungu zaidi kupitia mafundisho yako Mungu zaidi kukuweka tuzidi kumjua yesu
Amen mtumishi Mungu nisaidie ni kweli ndugu zangu wapo gizani, nipe nguvu ya kuwaombea wapate neema ya kukujua Mungu ulie hai
Ameeeeeeeen kubwa
Amen ahsante roho wa mungu 🙏🙏🙏🙏
Ameeen MUNGU akubariki mtumishi asante kwa mafundisho
Amen 😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
Amen amen 🙏🙏
Amen 🙏 ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa neno la wakati 🙏 🙌
Asante Mungu naomba roho wko aniongoze kuwaombea wangeni Mungu wangu,barikiwa sana paster kwa hili funzo 🙏🙏🙏🙏
ASANTE pasta wetu mungu anifunguliye kila lile linalo kuwa ligumu kwangu..
Amen Mungu nisaidie nilijue hili nisaidie nijue jinsi ya kuomba
Mafunzo Bora sana .Moyo wangu umefurahi sana.Ubarikiwe pastor
Amen 🙏
Ee mungu wangu nahomba neema yako
Kweli kabisa pastor nashukuru Roho mtakatifu kwa kutufunulia haya yote kama mm nilisikia niombee ndugu zangu saaaaaana
Amen
😭😭😭😭😭Mungu atujaalie tulijue hili
Ubarikiwe Sana kwa Kazi njema unayoifanya. Sasa, mbona kitabu chako Cha Hekima ya maombi unakiuza kwa bei Kubwa Sana? Tsh. 30,000 ni Fedha nyingi Sana kwa wengi. " Mmepewa Bure, toeni Bure" Punguza bei ya kitabu, usifanane na wauzao huduma.
Daah mtumishii apo ujue ametumia garama kuandaa kutype kuprit ndoman unatakiwa uchangie ili huduma izidi kwenda mbele na wengi wapate haya marifa unayoyapata wewe
@@Queensmile-gn1tm kweli kabisa ametumia gharam nyingi mno
Jmn hivi kweli neno la Mungu kwa ef 30ni kubwa???kwakwel hata kingekua laki nanunua tu kwn simu yako umenunua ef 20? Tena ni sm ya muda tu je kitabu Cha muda mrefu hadi wajuu zako wanakikuta ukitunza vyema .nahis utakua huna Nia tu ya kitabu 30 ni sawa na Bure kbs
0:51 0:52
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌
Amen 🙏🏽
Amen🙏
Amen
Amen 🙏🙏🙏
Amen
Amen