ความคิดเห็น •

  • @globaltv_online
    @globaltv_online 12 วันที่ผ่านมา +2

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @amosmachibya1800
    @amosmachibya1800 9 วันที่ผ่านมา +3

    Hongera dada ang natamani sana kuwa kiongozi ktk nafasi yoyote ili nilitumikie taifa langu.

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 12 วันที่ผ่านมา +3

    Pole Dada umeongea kwa uchungu mnooo simuwakatae Hao mawaziri kila siku wanatajwa wapo tu mi sielewi Nani yupo nyuma yao mmmmmmh😢😢😢 R I P Magu.

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 6 วันที่ผ่านมา +1

    Dada uko vizuri Sana sana magari yenyewe baada ya muda wanauziana kwa bei nafuu nimesikiliza hadi roho inauma

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 12 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera sana upo vizuri matumizi ya fedha za maskini

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 12 วันที่ผ่านมา +7

    Mimi ningekuwa rais mkuu wa wilaya angetumia RV4,

    • @Worldunite
      @Worldunite 6 วันที่ผ่านมา

      Mi ningempa land-rover 109

    • @alexmatt9504
      @alexmatt9504 5 วันที่ผ่านมา

      Hapana,Mkuu wa Wilaya anatakiwa kumpa Double -Cabin Pickup,na hiyo RAV4 atumie RC

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 6 วันที่ผ่านมา +1

    Daaah aisee kweli masikini ana umizwa na masikini mwezie 😢😢😢😢😢😢

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 7 วันที่ผ่านมา +1

    Safi sana hii nchi ina uonevu mkubwa sana, nchi ilio piganiwa na Babu zetu hii, leo ukiwa mpakani basi si mtanzania... Kipindi wanyarwanda walio jipachika usukumani leo ni makamu waziri mkuu, na wengineo wengi walikupo wakimbizi wakinyarwanda ngara wakaamia Doroma wengi wao leo nima waziri Bungeni vipi hii Tanzania? kila mweshimiwa ageuka kuwa mpambe wa msanii asie soma, wasomi wamegeuka kuwa washabi ya walala hoyi... Huruma sana na pole kwa wote walio mwaga damu yao kwa future ya TZ...

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 9 วันที่ผ่านมา +4

    Mwigulu nchemba ni mchumi wa tumbo lake

  • @user-ry3zq8vp5c
    @user-ry3zq8vp5c 3 วันที่ผ่านมา

    Nimekupenda sijasikia kuunga mkonohoja ubarikiwe

  • @ErastoMaridadi
    @ErastoMaridadi 8 วันที่ผ่านมา

    Hongera mbunge kijana,hawa watu wanaendesha nchi kama ni nchi tajiri 2:14 wamesahau walikotoka wako wako kwenye upigaji hawajui masikini wengi nchini hawawezi kujitibu,watoto wanasoma ktk mazingira magumu,walimu hakuna,madaktari hakuna,ila kuna mwisho

  • @axmedcumar6196
    @axmedcumar6196 9 วันที่ผ่านมา +2

    Ni upigajiii tuu hamna Chengine
    Umeongea Madini makubwa dada

  • @user-fl8jf5zn9j
    @user-fl8jf5zn9j 6 วันที่ผ่านมา

    Dada yupo vizuri sana yeye ndo anastahili kuwa waziri wa fedha

  • @user-di8dt1ih4w
    @user-di8dt1ih4w 5 วันที่ผ่านมา

    Tunatamani sisi wana kyerwa uwe mbunge wetu

  • @NicIbrahim
    @NicIbrahim 11 วันที่ผ่านมา

    Magari vijana hatuna ajira hii serikali wameshidwa kufikiri

  • @PaschalGerad-xq4lw
    @PaschalGerad-xq4lw 7 วันที่ผ่านมา

    Wana karagwe tumsapoti sana muheshimiwa katuwakilisha vizuli hongerazake jaman

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj 4 วันที่ผ่านมา

    Jaman jaman jamaniiiiiiiiiiiii .........Kutoka bilion 4 kipindi cha Jpm mpaka billion 500 cha mama shamia duuuu ! makala ilitakiWa apewe aieshity inatosha

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 12 วันที่ผ่านมา +2

    Mafisadi wapo humo humo na mnawalea Sasa unafikiri tutafika kweli mtoto jambazi baba na mama wa nampigia makofi kuna nini sasa

  • @Worldunite
    @Worldunite 6 วันที่ผ่านมา

    Safi sana,umetisha sista

  • @user-no2ut7yd3e
    @user-no2ut7yd3e 12 วันที่ผ่านมา +1

    Mh.ukweli ni huo na ndo tunaenda kuwachagua na wengine machawa hawarudi tena Bungeni kuwapeleka wenzao kwenye maadili.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 12 วันที่ผ่านมา +1

    Changa moto ipo sana kwa sababu hakuna anajali wanainchi wataka kutumaliza kabisa, wanata viwanda vife wanainchi wakose ajira kwa kuwa wao wanamashangingi hawana shida na pili sukari wafanyabiashara wameisha mpa rushwa Bashe. Ana shangingi ana marupurupu ya ubunge, na marushwa zinazotoka kwa waagiza sukari ili mashamba ya miwa ife na watoto wetu wakose kazi itakuwa furaha ya wabunge wa CCM ili umasikini ywafanye wawachague kwa rushwa ta elfu kumi. Ninyi kwa mfano Bashe atakuwa amepewa rushwa na waigaza sukari. Na yeye Bashe ataweza kuwaonga vijana watakaokuwa wamepunguzwa kazi kwa sababu ya mashamba ya sukari yatakapo kuwa yanachechemea kufa.

  • @lusungumkolla6672
    @lusungumkolla6672 4 วันที่ผ่านมา

    Kudos

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 6 วันที่ผ่านมา

    Safi mama umeongea fact

  • @farajapeasonmagota8226
    @farajapeasonmagota8226 12 วันที่ผ่านมา

    Mungu mpe maisha mema

  • @user-hj4sy9fy4g
    @user-hj4sy9fy4g 12 วันที่ผ่านมา +1

    Akili zimelala kwenye matumizi tuu, bila kufikira kuwekeza kwa vijana!

  • @gasperswai6963
    @gasperswai6963 9 วันที่ผ่านมา

    Well say mhe mbunge

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c 9 วันที่ผ่านมา

    Kwa hotuba hiyo hamia chadema kama unaweza kash kash hongera sanaaa

  • @user-eb2el9kw6m
    @user-eb2el9kw6m 9 วันที่ผ่านมา +1

    Now wanajaribu kuongea cz wamesense uchaguzi waonekane. Jiandaeni kutoka bungeni

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc 11 วันที่ผ่านมา

    Uko vzr na ni hoja nzuri sana. Ni ukweli mtupu

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 5 วันที่ผ่านมา

    Unaongea point za maana lakini Mwisho unaishia kuunga mkono hoja. Hapo ndo mnatuchanganya sisi walipa Kodi

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 7 วันที่ผ่านมา

    Samahani jamani mhe spika shida ya Sukari nionavyo ni usimamizi hafifu wa Wizara inayohusika.
    Kwakuwa utashangaa watu wameficha Sukari na ushahidi ni kupewa vibali na kutokuingiza Sukari ambapo maana yake ni huo ni uharibifu na uhalifu mkubwa kiasi kwamba walitakiwa kufunguliwa kesi japo hata za uongo na kweli tu.
    Lakini hakunaga anaeguswa na kila miaka na ajabu ni upofu wa wabunge kumsifu Waziri Bashe badala ya hapo kumsema tu juu ya makosa anayofanyaga kuja kuagiza Sukari Late kama vile kukumbuka shuka kumekucha kabisa.

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro 5 วันที่ผ่านมา

    Huyo Dada ni kichwa wanatakiwa wabunge kama hawa nchi Tanzania wa kusema ukweli hao mawaziri wanataka kuchangisha dola kuzitolosha nchini na kufungua Acount zao nje tu

  • @boscomakala.3923
    @boscomakala.3923 6 วันที่ผ่านมา

    Dada angu anaongea pointi sana ila kwa bahati mbaya hana wanaomuunga mkono,mbwa n mbwa tu hata akifa mama yake atamla nyama.

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 9 วันที่ผ่านมา

    Kwa kweli wanyinge tunanyingwa wenzetu wanagawanya au kuoeana pesa kama njungu ila mungu aliyeko juu atanyiosha mkono waķe. Dada umesema point lakini wenzako wanaona unapoteza muda wapanda shangingi.

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s 9 วันที่ผ่านมา

    Yaani serikali hii kila mwaka unaanza uwendeshaji wa nchi hii upya kila mwaka. Ni sawa na kuweka garama ya ujenzi wa nyumba mpya kila mwaka. Ni ushenzi wa serikali hawana uchungu na fedha zetu.

  • @shabanponera2895
    @shabanponera2895 12 วันที่ผ่านมา +1

    Magari Magari Magari Magari

  • @PaschalGerad-xq4lw
    @PaschalGerad-xq4lw 7 วันที่ผ่านมา

    Huyu mama anajirambuwa sana apewe heshimayake

  • @user-di8dt1ih4w
    @user-di8dt1ih4w 5 วันที่ผ่านมา

    Pambana dada yetu unaweza

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 9 วันที่ผ่านมา +2

    Mwigulu nchemba hamna kitu kichwani

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 8 วันที่ผ่านมา

    Kweli uongozi huu wa Tz ni aibu, yani gari ya rasi milion 300???, ivi huwa wakitembelea magar ya kawaida inakuwaje jamani na wengine hata mlo mmoja kwa siku ni taabu.

  • @elianyigu5500
    @elianyigu5500 12 วันที่ผ่านมา

    MWIGULU SIJAWAI ONA 😢HATARIII TZ

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 8 วันที่ผ่านมา

    Gari ya Rasi milioni 300, bado apewe dereva, , mlinzi, mafuta, posho, mshahara, yani kiumbe mmoja atatumie hela ambayo inaweza kulisha mkoa mzima ndani ya mwaka, viongozi mnatuumiza, alafu hata kazi hamfanyi ipasavyo. Inauma sama

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 12 วันที่ผ่านมา +2

    Nimetumia Bundle langu Vizuri...Kanda ya Ziwa Kuna Vichwa Sana.

    • @simonmagige8991
      @simonmagige8991 12 วันที่ผ่านมา +1

      Kanda ya ziwa mpaka tukupeleke bungeni tumekipima uwezo wako sio kwende kusizia bungeni na kuunga mkono kwa kila jambo

  • @BabuGga-td3mg
    @BabuGga-td3mg 5 วันที่ผ่านมา

    Kichwa hiki, hiki ndicho chakuwezeshwa sasa

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 12 วันที่ผ่านมา

    Wanunue Rav4, Suzuki vitara na Prado kwa wakuu wote

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 12 วันที่ผ่านมา

    Shida ni kwamba tumerithi ukoloni kujisheheneza wakati sisi siyo wapita njia .ni nchi yetu .Sisi siyo wanyonyaji😢.Kwanini magari kwa wabunge.Wazungu hawafanyi hivyo .Unasema kweli ndugu😮

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd 7 วันที่ผ่านมา

    2025 mast gooooo

  • @user-ry3zq8vp5c
    @user-ry3zq8vp5c 3 วันที่ผ่านมา

    Dada nimeamini hakunakiongozi ngaziyawaziri ambae anauchungu nataifahiri naamini upinzani ukichukuwa taifahiri tunaweza kupigahatuwa

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie 9 วันที่ผ่านมา

    Hayo magari yananunuliwa kutoka nchi gani? Na nchi hiyo ina mkataba gani na tanzania? Hapa utapata jibu kuwa nini kinaendelea.

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 8 วันที่ผ่านมา

    Hata chadema ni wachumia tumbo hawatufikishi mahali

  • @Shemahonge-ku7xx
    @Shemahonge-ku7xx 12 วันที่ผ่านมา

    Nikweri mtoto anafanya vibaya shureni unampa zawadi kubwa sinikumtia jeuriafanye ujingazaidi una changa 100 unatakiwa upewe 20

  • @PaschalGerad-xq4lw
    @PaschalGerad-xq4lw 7 วันที่ผ่านมา

    We mama kwanungu una kitichako

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 12 วันที่ผ่านมา

    Matumizi mabaya fedha

  • @user-mo3pp2tu2r
    @user-mo3pp2tu2r 8 วันที่ผ่านมา

    elimu ilipo inajionyesha dada umesoma

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s 9 วันที่ผ่านมา

    Kubalini tuu kaeni pembeni ili msaidiwe na wengine kunusuru nchi

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 5 วันที่ผ่านมา

    hongera dada. nchi imeozaa fuck

  • @elibarikilaizer
    @elibarikilaizer 6 วันที่ผ่านมา

    Ninyi wabunge punguzeni mishahara yenu ni pesa nyingi mnalipwa

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward 12 วันที่ผ่านมา

    Mjapani mmoja aliwahi kuniambia kwamba hayo magari hayapo kwenye barabara zao. Kuna mataifa kukuta mtu kavaa dhahabu lakini analala barazani

  • @zidatv1122
    @zidatv1122 12 วันที่ผ่านมา +1

    Hawa ccm hawasikii

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c 9 วันที่ผ่านมา

    Na ww ndio mbunge pekee umechangia bilz kuingiza uchawa wa kumsifia samia

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 6 วันที่ผ่านมา

    Dada hapo ulipo sipo nawe utatengwa hayo majizi ni sugu

  • @user-jc8vt7ct9t
    @user-jc8vt7ct9t 9 วันที่ผ่านมา

    Sisi ni shida

  • @Focusm-se2sd
    @Focusm-se2sd 10 วันที่ผ่านมา

    Watu kama nyie ndiyo mnaitajika poa sna aa

  • @user-jc8vt7ct9t
    @user-jc8vt7ct9t 9 วันที่ผ่านมา

    Huyu mama anastahili kuwa Rais

  • @d.family.choir1799
    @d.family.choir1799 7 วันที่ผ่านมา

    JAman mlikuaga wap watu wenye akili hv

  • @NicIbrahim
    @NicIbrahim 11 วันที่ผ่านมา

    CCM wamechoka Kwa mawanzo

  • @HellenMacha
    @HellenMacha 9 วันที่ผ่านมา

    Uwaziri iwe ajira tu..kazi itangazwe wataalam waombe kazi...othws hamna hatua tutapiga, bla bla

  • @noahmadali7150
    @noahmadali7150 9 วันที่ผ่านมา

    Mbuzi anapigiwa gitaa

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 9 วันที่ผ่านมา

    Ubovu uko kwenye kichwa.

  • @user-ry3zq8vp5c
    @user-ry3zq8vp5c 3 วันที่ผ่านมา

    Dadahongerasana

  • @NicIbrahim
    @NicIbrahim 11 วันที่ผ่านมา +1

    Chadema ndio suluhisho 2025

  • @maombikonga
    @maombikonga 9 วันที่ผ่านมา

    😜😜😜ATAUNGA MKONO HOYA

  • @davidjohn9535
    @davidjohn9535 9 วันที่ผ่านมา

    Upewe maua yako

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow 9 วันที่ผ่านมา

    Tunataka wabunge kama wewe na mpina

  • @sallyshakusally3592
    @sallyshakusally3592 10 วันที่ผ่านมา

    Wakupe mama yako mhe

  • @user-fl8jf5zn9j
    @user-fl8jf5zn9j 6 วันที่ผ่านมา

    Dada yupo vizuri sana yeye ndo anastahili kuwa waziri wa fedha

  • @axmedcumar6196
    @axmedcumar6196 9 วันที่ผ่านมา

    Hawa viongozi wangekuwa wanafanya kama ulivyoongea haya Madini tungekuwa mbali sana leo

  • @nurdinkassim
    @nurdinkassim 11 วันที่ผ่านมา

    Hao mawaziri sio wazalendo kwa taifa lao ndio maana waleta mawazo na mipango isio saidia

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s 9 วันที่ผ่านมา

    Mwigulu ataua taifa hili wenzake wanajifanya hawamwoni .