Hongera dada ang natamani sana kuwa kiongozi ktk nafasi yoyote ili nilitumikie taifa langu.
Pole Dada umeongea kwa uchungu mnooo simuwakatae Hao mawaziri kila siku wanatajwa wapo tu mi sielewi Nani yupo nyuma yao mmmmmmh😢😢😢 R I P Magu.
Dada uko vizuri Sana sana magari yenyewe baada ya muda wanauziana kwa bei nafuu nimesikiliza hadi roho inauma
Hongera sana upo vizuri matumizi ya fedha za maskini
Mimi ningekuwa rais mkuu wa wilaya angetumia RV4,
Hapana,Mkuu wa Wilaya anatakiwa kumpa Double -Cabin Pickup,na hiyo RAV4 atumie RC
Daaah aisee kweli masikini ana umizwa na masikini mwezie 😢😢😢😢😢😢
Safi sana hii nchi ina uonevu mkubwa sana, nchi ilio piganiwa na Babu zetu hii, leo ukiwa mpakani basi si mtanzania... Kipindi wanyarwanda walio jipachika usukumani leo ni makamu waziri mkuu, na wengineo wengi walikupo wakimbizi wakinyarwanda ngara wakaamia Doroma wengi wao leo nima waziri Bungeni vipi hii Tanzania? kila mweshimiwa ageuka kuwa mpambe wa msanii asie soma, wasomi wamegeuka kuwa washabi ya walala hoyi... Huruma sana na pole kwa wote walio mwaga damu yao kwa future ya TZ...
Mwigulu nchemba ni mchumi wa tumbo lake
Nimekupenda sijasikia kuunga mkonohoja ubarikiwe
Hongera mbunge kijana,hawa watu wanaendesha nchi kama ni nchi tajiri 2:14 wamesahau walikotoka wako wako kwenye upigaji hawajui masikini wengi nchini hawawezi kujitibu,watoto wanasoma ktk mazingira magumu,walimu hakuna,madaktari hakuna,ila kuna mwisho
Ni upigajiii tuu hamna Chengine
Umeongea Madini makubwa dada
Dada yupo vizuri sana yeye ndo anastahili kuwa waziri wa fedha
Tunatamani sisi wana kyerwa uwe mbunge wetu
Magari vijana hatuna ajira hii serikali wameshidwa kufikiri
Wana karagwe tumsapoti sana muheshimiwa katuwakilisha vizuli hongerazake jaman
Jaman jaman jamaniiiiiiiiiiiii .........Kutoka bilion 4 kipindi cha Jpm mpaka billion 500 cha mama shamia duuuu ! makala ilitakiWa apewe aieshity inatosha
Mafisadi wapo humo humo na mnawalea Sasa unafikiri tutafika kweli mtoto jambazi baba na mama wa nampigia makofi kuna nini sasa
Safi sana,umetisha sista
Mh.ukweli ni huo na ndo tunaenda kuwachagua na wengine machawa hawarudi tena Bungeni kuwapeleka wenzao kwenye maadili.
Changa moto ipo sana kwa sababu hakuna anajali wanainchi wataka kutumaliza kabisa, wanata viwanda vife wanainchi wakose ajira kwa kuwa wao wanamashangingi hawana shida na pili sukari wafanyabiashara wameisha mpa rushwa Bashe. Ana shangingi ana marupurupu ya ubunge, na marushwa zinazotoka kwa waagiza sukari ili mashamba ya miwa ife na watoto wetu wakose kazi itakuwa furaha ya wabunge wa CCM ili umasikini ywafanye wawachague kwa rushwa ta elfu kumi. Ninyi kwa mfano Bashe atakuwa amepewa rushwa na waigaza sukari. Na yeye Bashe ataweza kuwaonga vijana watakaokuwa wamepunguzwa kazi kwa sababu ya mashamba ya sukari yatakapo kuwa yanachechemea kufa.
Kudos
Safi mama umeongea fact
Mungu mpe maisha mema
Akili zimelala kwenye matumizi tuu, bila kufikira kuwekeza kwa vijana!
Well say mhe mbunge
Kwa hotuba hiyo hamia chadema kama unaweza kash kash hongera sanaaa
Now wanajaribu kuongea cz wamesense uchaguzi waonekane. Jiandaeni kutoka bungeni
Uko vzr na ni hoja nzuri sana. Ni ukweli mtupu
Unaongea point za maana lakini Mwisho unaishia kuunga mkono hoja. Hapo ndo mnatuchanganya sisi walipa Kodi
Samahani jamani mhe spika shida ya Sukari nionavyo ni usimamizi hafifu wa Wizara inayohusika.
Kwakuwa utashangaa watu wameficha Sukari na ushahidi ni kupewa vibali na kutokuingiza Sukari ambapo maana yake ni huo ni uharibifu na uhalifu mkubwa kiasi kwamba walitakiwa kufunguliwa kesi japo hata za uongo na kweli tu.
Lakini hakunaga anaeguswa na kila miaka na ajabu ni upofu wa wabunge kumsifu Waziri Bashe badala ya hapo kumsema tu juu ya makosa anayofanyaga kuja kuagiza Sukari Late kama vile kukumbuka shuka kumekucha kabisa.
Huyo Dada ni kichwa wanatakiwa wabunge kama hawa nchi Tanzania wa kusema ukweli hao mawaziri wanataka kuchangisha dola kuzitolosha nchini na kufungua Acount zao nje tu
Dada angu anaongea pointi sana ila kwa bahati mbaya hana wanaomuunga mkono,mbwa n mbwa tu hata akifa mama yake atamla nyama.
Kwa kweli wanyinge tunanyingwa wenzetu wanagawanya au kuoeana pesa kama njungu ila mungu aliyeko juu atanyiosha mkono waķe. Dada umesema point lakini wenzako wanaona unapoteza muda wapanda shangingi.
Yaani serikali hii kila mwaka unaanza uwendeshaji wa nchi hii upya kila mwaka. Ni sawa na kuweka garama ya ujenzi wa nyumba mpya kila mwaka. Ni ushenzi wa serikali hawana uchungu na fedha zetu.
Magari Magari Magari Magari
Huyu mama anajirambuwa sana apewe heshimayake
Pambana dada yetu unaweza
Mwigulu nchemba hamna kitu kichwani
Kweli uongozi huu wa Tz ni aibu, yani gari ya rasi milion 300???, ivi huwa wakitembelea magar ya kawaida inakuwaje jamani na wengine hata mlo mmoja kwa siku ni taabu.
MWIGULU SIJAWAI ONA 😢HATARIII TZ
Gari ya Rasi milioni 300, bado apewe dereva, , mlinzi, mafuta, posho, mshahara, yani kiumbe mmoja atatumie hela ambayo inaweza kulisha mkoa mzima ndani ya mwaka, viongozi mnatuumiza, alafu hata kazi hamfanyi ipasavyo. Inauma sama
Nimetumia Bundle langu Vizuri...Kanda ya Ziwa Kuna Vichwa Sana.
Kanda ya ziwa mpaka tukupeleke bungeni tumekipima uwezo wako sio kwende kusizia bungeni na kuunga mkono kwa kila jambo
Kichwa hiki, hiki ndicho chakuwezeshwa sasa
Wanunue Rav4, Suzuki vitara na Prado kwa wakuu wote
Shida ni kwamba tumerithi ukoloni kujisheheneza wakati sisi siyo wapita njia .ni nchi yetu .Sisi siyo wanyonyaji😢.Kwanini magari kwa wabunge.Wazungu hawafanyi hivyo .Unasema kweli ndugu😮
2025 mast gooooo
Dada nimeamini hakunakiongozi ngaziyawaziri ambae anauchungu nataifahiri naamini upinzani ukichukuwa taifahiri tunaweza kupigahatuwa
Hayo magari yananunuliwa kutoka nchi gani? Na nchi hiyo ina mkataba gani na tanzania? Hapa utapata jibu kuwa nini kinaendelea.
Hata chadema ni wachumia tumbo hawatufikishi mahali
Nikweri mtoto anafanya vibaya shureni unampa zawadi kubwa sinikumtia jeuriafanye ujingazaidi una changa 100 unatakiwa upewe 20
We mama kwanungu una kitichako
Matumizi mabaya fedha
elimu ilipo inajionyesha dada umesoma
Kubalini tuu kaeni pembeni ili msaidiwe na wengine kunusuru nchi
hongera dada. nchi imeozaa fuck
Ninyi wabunge punguzeni mishahara yenu ni pesa nyingi mnalipwa
Mjapani mmoja aliwahi kuniambia kwamba hayo magari hayapo kwenye barabara zao. Kuna mataifa kukuta mtu kavaa dhahabu lakini analala barazani
Hawa ccm hawasikii
Na ww ndio mbunge pekee umechangia bilz kuingiza uchawa wa kumsifia samia
Dada hapo ulipo sipo nawe utatengwa hayo majizi ni sugu
Sisi ni shida
Watu kama nyie ndiyo mnaitajika poa sna aa
Huyu mama anastahili kuwa Rais
JAman mlikuaga wap watu wenye akili hv
CCM wamechoka Kwa mawanzo
Uwaziri iwe ajira tu..kazi itangazwe wataalam waombe kazi...othws hamna hatua tutapiga, bla bla
Mbuzi anapigiwa gitaa
Ubovu uko kwenye kichwa.
Dadahongerasana
Chadema ndio suluhisho 2025
😜😜😜ATAUNGA MKONO HOYA
Upewe maua yako
Tunataka wabunge kama wewe na mpina
Wakupe mama yako mhe
Dada yupo vizuri sana yeye ndo anastahili kuwa waziri wa fedha
Hawa viongozi wangekuwa wanafanya kama ulivyoongea haya Madini tungekuwa mbali sana leo
Hao mawaziri sio wazalendo kwa taifa lao ndio maana waleta mawazo na mipango isio saidia
Mwigulu ataua taifa hili wenzake wanajifanya hawamwoni .
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7