NDOTO YA KAJALA WOLPER AIPINDUA MCHANA KWEUPE/ANIBABAISHI/NA SIRI ZANGU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
  • NDOTO YA KAJALA WOLPER AIPINDUA MCHANA KWEUPE/ANIBABAISHI/NA SIRI ZANGU

ความคิดเห็น • 45

  • @victoriaowen909
    @victoriaowen909 ปีที่แล้ว +1

    Matured wolper🏅 amnaa mchagaa mjinga ata mmoja 😂🤌

  • @bahatadof5543
    @bahatadof5543 ปีที่แล้ว +2

    Huyu Mama anauliza maswali ya ovyo Sana,wolper anasema anamsapoti kajala,yeye anasema ndogo ya kajala ni ndogo big up wolper

  • @user-pm9gs1xb1j
    @user-pm9gs1xb1j ปีที่แล้ว +2

    Huy mma p tang aolew amekuw na dharau ya kuwakashif wezak siy poa mma p

  • @user-uc8ei8kn3l
    @user-uc8ei8kn3l ปีที่แล้ว +1

    Tena huyu ndo usiseme bora kajala watoto wamekuwa watoto cjui nani ajaitwa mama

  • @rosacaren7762
    @rosacaren7762 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nacho fahamu ni kwamba hawa waigizaji miaka yao siku zote huaga haipandi inabaki pale tu au ishuke

  • @hemedyawadhi2935
    @hemedyawadhi2935 ปีที่แล้ว +16

    We ongelea yko tu ata ww umefanya machafu mengi sana na yapo pia

    • @hemedyawadhi2935
      @hemedyawadhi2935 ปีที่แล้ว

      @@Majer-wf6np hapo sasa mana ckuiz anajifanya yy hajawah kukosea nakujifanya alilelewa kimaadili sana

    • @wardakangezi6942
      @wardakangezi6942 ปีที่แล้ว +1

      Ana lolote anajua tumesaau machafu yake

    • @user-mw8tu8ob2z
      @user-mw8tu8ob2z ปีที่แล้ว

      Kwel aache kujiona ni mwema sana

    • @lovirinaa
      @lovirinaa ปีที่แล้ว

      @@hemedyawadhi2935kwenda uko I can’t put Wolper on list of them woman who blabla too much Wolper ni mtu anae jieshimu siku zote

  • @rahmamwenda4005
    @rahmamwenda4005 ปีที่แล้ว +2

    Yupo vzr huyu dada amekuwa kiukweli

  • @rahmanamani3422
    @rahmanamani3422 ปีที่แล้ว

    Acha kelele mbona majibu yako hayako sawz

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 ปีที่แล้ว +2

    Hakusema baya mbona ila waandishi tu wanaandika kiugombanishi

  • @SonitajoseDonita-tm5ex
    @SonitajoseDonita-tm5ex ปีที่แล้ว +1

    Loshoroo itakuwapo?

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 ปีที่แล้ว

    Acha uongo una uchafu mwingi na mitandao haifutiki jee itakuwaje kwako😊😊😊😊

  • @user-eh2hv2ib2n
    @user-eh2hv2ib2n ปีที่แล้ว

    Huyo ndo gambe

  • @user-it3zn6xv2h
    @user-it3zn6xv2h ปีที่แล้ว

    Eeeh jaman mstirini tena inatosha

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 ปีที่แล้ว +7

    Kichwa cha habari na maelezo yake tofaut......nyie ng'ombe muwe makini na taaarifa zenu na heshima ya mtu....pumbavu

  • @user-ec4zi3bt1q
    @user-ec4zi3bt1q ปีที่แล้ว

    Ni kweli

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 ปีที่แล้ว

    Weka mungu mbelw

  • @user-sn6dc9gh8k
    @user-sn6dc9gh8k ปีที่แล้ว

    Mbona kwenye ex kabaa😅😅😅😅na bado yupo nae wote wapo china😮😮😅😅

  • @asiamerey9081
    @asiamerey9081 ปีที่แล้ว

    Wolper mdogo sio mkubwa

  • @faithfaith-zr6gz
    @faithfaith-zr6gz ปีที่แล้ว

    Dharau zimezidi sasa, hahaaa haaaa mpk, Una usiri gani wewe! Kila ck unapost mambo ya familia yako,, mpk chumbani ndio umefundwa hivyo!? Jiangalie alf mkirogwa mnasumbua wachungaji.

  • @user-vt9tb7yl4l
    @user-vt9tb7yl4l ปีที่แล้ว

    Wee muandishi mchanganyishi

  • @fatumakiwera7145
    @fatumakiwera7145 ปีที่แล้ว +1

    Akili kubwa

  • @aishaz1
    @aishaz1 ปีที่แล้ว

    Fanya mazoez plz umenenepa sn

  • @yohanamichael2682
    @yohanamichael2682 ปีที่แล้ว +2

    Ww nae lione nyokoo tu pumbavu zako nahilo komwe lako mpuzi ww shezi zako😋😋

  • @user-gd5wz2wj6e
    @user-gd5wz2wj6e ปีที่แล้ว

    ❤❤❤❤

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 ปีที่แล้ว +4

    Miaka 40 wakati saizi una miaka zaidi 40 sema ukifikisha 50

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 ปีที่แล้ว +3

    Sasa ukifika 40 si ni una 38 wewe ndani ya miaka miwili utaweza yaan anavyosema nikifikisha 40 utadhani yupo early 30+😅😅😅😅

  • @umwanawimana
    @umwanawimana ปีที่แล้ว

    Wolper ni tapeli tena wa ulofa

    • @mamuumoses9547
      @mamuumoses9547 ปีที่แล้ว

      Sana yaan huyo dada sitomsahau mengine tunakaa kimya tu

  • @OfficialTeacherTz
    @OfficialTeacherTz ปีที่แล้ว +2

    Soma English BUREEEEEE utatoboa ingia Official Teacher kasome

    • @naomikyonike2359
      @naomikyonike2359 ปีที่แล้ว

      Ahahahaha yan awez kabisa bora aongee kiswahil

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 ปีที่แล้ว

    😝😝😝😝😝😝😝😝

  • @aishaz1
    @aishaz1 ปีที่แล้ว +2

    Unamiaka zaid bhana kama 47 hapo

    • @maryrobert9035
      @maryrobert9035 ปีที่แล้ว

      Angekua miaka 47 hangeweza kupata watoto pengine 38

    • @priscakwenga7057
      @priscakwenga7057 ปีที่แล้ว +1

      Watu wanazaa na 50 we wawapi

    • @mwanaishaabubakar5013
      @mwanaishaabubakar5013 ปีที่แล้ว

      Wanazaa zaidi ya hamsini inategemea afya yake uzazi. Nyie msiokula health food ndio mnakoma kuzaa mapema watu wanazaa hadi 60yrs old. Mnakula chips kuku wa sindano unadhani utazaa ukiwa na miaka 55.

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂

  • @jacquelinelukumay9535
    @jacquelinelukumay9535 ปีที่แล้ว

    Mchaga huyo

  • @user-gu7pb3ko7k
    @user-gu7pb3ko7k ปีที่แล้ว

    Kwendraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa