Katika nyimbo zote umeimba hii ya mikimenu endomononiai imeguza wengi na kubaki mahubiri tosha katika wana ndoa hata usipo hubiri tena hakika hii imetosha kuwafundisha wana ndoa
Am understand it most. This song is touches my soul. But i believe every successful person have a painful story, every painful story have a successful ending. Be blessed brother together we can in Jesus name.
Namtaka huyu muimbaji nimpe kazi nampataje?
Hata kama sielewi maneno lakini inaniguza tu moyo.God bless you so much my brother
Karibu nishindwe kueka comment ,,,hii song inafanya nalia cha kweli ,,,,, Ashe ndugu lai Siria kwa kuleta hii kwa jamii
Mwenye tafsiri ya huu wimbo please aiandike hapa. May Almighty God bless you all.
🥰❤️❤️❤️💯💯💯🙏🙏🙌🙌 nyimbo yetu imo kwenye trending Sasa tuendeleze ku share
Yani hii wimbo inagusa sana hadi unatokwa na mashozi 😭😭😭😭
Katika nyimbo zote umeimba hii ya mikimenu endomononiai imeguza wengi na kubaki mahubiri tosha katika wana ndoa hata usipo hubiri tena hakika hii imetosha kuwafundisha wana ndoa
Nipo Arusha Intel sichoki kuuskiliza huu wimbo wa ndugu yangu Paulo japo cjui kimasai Ila nimetafsiliwa hivyo najua anamaanisha nini
Hongera sana Paulo Mungu akuinuwe katika viwango vya juu zaid🙏🙏
Hiyo wimbo imenikusa aki
Ara siria...ero mikitaapo nkai nikilepunye...tesiai lenkai liasita....Ashe oleng ltung'ani lai
Aki paul mke wangu amenipenda tena zaidi kwa kuskia hii song mungu akubariki
Ubarikiweee sana ndg paul nice song with wonderful messsage
Am understand it most. This song is touches my soul. But i believe every successful person have a painful story, every painful story have a successful ending. Be blessed brother together we can in Jesus name.
Hongera sana muimbaji hakika hii nyimbo imegusa wengi sana na kuwafundisha wanawake katika ndoa zao
Inaniguza hadi nimelia God bleess you 🙏🙏🙏
Nice Song Paul Siria 👌 pongezi sana
Sidai taa ele singolio.kazi mzuri paul siria
Wah! Kidogo nilie 🥺🥺 nakunenea neema kuu ndugu yangu
God bless daddy I'll