1_ASTON MBAYA AMEJIBU YOTE KHS KUJIREMBA,CHRISTMAS,NDOTO,WATOTO KUZIMU,TB JOSHUA KUZIMU,MAKANISA...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
    1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
    3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

ความคิดเห็น • 221

  • @user-lv5wh9cs7q
    @user-lv5wh9cs7q 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asante yesu niwezeshe kushinda mambo ya duniani asante watumishi wa MUNGU mubarikiwe na bwana

  • @MMASAANDBERNADETTEBAHELANYACHA
    @MMASAANDBERNADETTEBAHELANYACHA 4 หลายเดือนก่อน +1

    Amina utukuzwe Mungu na Yesu mwokoziwetu kwakutufunulia haya.

  • @RedentaMahessa
    @RedentaMahessa 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asante Mungu kwaneema hii japo nmechelewa kuyajua haya

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 2 ปีที่แล้ว +8

    Prophet Aston Umejaa Roho wa Mungu Aliye hai. Unayajibu kwa ustadi mkubwa sana. Barikiwa sana

  • @dokasa9176
    @dokasa9176 2 ปีที่แล้ว +4

    Asante mbarikiwe, Mungu awatie nguvu kenyan, nafuatilia kutoka Saudi Arabia

  • @josephinemsekwahalidkijang5183
    @josephinemsekwahalidkijang5183 2 ปีที่แล้ว +5

    34:38 - 36:48
    Aisee I can feel the presence of the Holy Spirit this is a SERIOUS ISSUE.
    Women let's walk in the right path of God though it's narrow and not easy alot of persecution but God in Jesus name will comfort us and change those into JOY, PEACE, HAPPINESS.

  • @julianawanjala6495
    @julianawanjala6495 2 ปีที่แล้ว +2

    Mubarikiwe sana watumishi wa Mungu..Asanteni sanaa kwa kujibu maswali yetu

  • @johnmkama8074
    @johnmkama8074 2 ปีที่แล้ว +7

    Asante kwa kupangiria vuzuri aina ya vifo na jinsi ya maraika anavo wachukua watu wengine anawaacha hapo kwani hawajafa asante umetuongezea ufunuo (maramu penza Adamu mbaya kwa kutembea kiroho Amen.

  • @maureenmgeni
    @maureenmgeni 5 หลายเดือนก่อน +1

    Bwana yesu, nahitaji msaada wako. Nirehemu mtumwa wako. Amina.

  • @sarifusteven4634
    @sarifusteven4634 4 หลายเดือนก่อน +1

    Good job

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 2 ปีที่แล้ว +5

    Mimi namkubali sana huyu jamaa,ushuhuda wake ni kweli,tena kweli tupu

  • @marianachriss2444
    @marianachriss2444 2 ปีที่แล้ว +6

    Nisamehe Sana BWANA YESU KRISTO,nimejua kwako Kuna rehema nyingi ,uniongoze ktk njia zako za kweli na haki

  • @thomasjohn7176
    @thomasjohn7176 2 ปีที่แล้ว +4

    Mungu awabariki kwa kujibu maswali vizuri. Roho wa Mungu amewatumia vizuri kwa kutumia Neno la Mungu.

  • @tabithakawira7844
    @tabithakawira7844 ปีที่แล้ว +1

    Asant Sana mtumizi wangu kwa ktueleza Mambo mengi hatunge fikiria nindhambi

  • @ridiajofrey8276
    @ridiajofrey8276 ปีที่แล้ว +1

    Asante mungu kwa kutufufunulia Hy Asante mtumishi kwa kutufafanulia

  • @leonardanzurunipombi2499
    @leonardanzurunipombi2499 2 ปีที่แล้ว +4

    Amen asante watumishi wa MUNGU barikiweni

  • @maggyirene110
    @maggyirene110 2 ปีที่แล้ว +3

    Ameen ameen, asanteni
    Kwa majibu hayo, nabarikiwa.
    Mungu awabariki.
    From ksa

  • @keziaranga6329
    @keziaranga6329 2 ปีที่แล้ว +3

    Mungu awabariki watumishi wa Mungu, mnatubariki sana,Jacktan Mungu akubariki san akuinue

  • @alodiajason9061
    @alodiajason9061 2 ปีที่แล้ว +5

    Hongera Jacktan kwa kazi nzuri nimechelewa kujiunga ila nilitaka umuulize Nabii Adam Mungu alivyomchukua siku zote hizo je hapa duniani alitoweka au huo mwili wake ulikuwa wapi siku zote hizo.

    • @gracelauzi9746
      @gracelauzi9746 2 ปีที่แล้ว +1

      Mwili wake ulikua kwa chumba chake kwenye nyumba yao hivyo ndio alisema Aston kama Sikuelewa promo TV ita nikosoa Asaniteni

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

      @@gracelauzi9746 kwa hiyo alikuwa kama amekufa??

    • @gracelauzi9746
      @gracelauzi9746 2 ปีที่แล้ว +1

      @@trophywilson7211 kibinadamu ndio tunge Sema amekufa lakini mchungaji wake alikua anajua hata mamake alijua ndio hawakushutuka hata alipo kua akilala siku Tatu walijua Ata rudi tuu maana yuko mikono salama

  • @tabithakawira7844
    @tabithakawira7844 ปีที่แล้ว +1

    Mm watumishi wa mungu ,mm ninaumia kapisa maana waubiri wengi ni wale wame potesa watoto wa Mungu ,kufanya ishara kubwa ,mungu tu ni we we unatuyua

  • @susankimani3697
    @susankimani3697 2 ปีที่แล้ว +2

    I thank God because am in the light way we're in the same gospel congratulations keep it up man of God

  • @glorytogod1793
    @glorytogod1793 2 ปีที่แล้ว +4

    Ameen Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu kwa ajili ya kazi njema

  • @veronicaonesmo899
    @veronicaonesmo899 2 ปีที่แล้ว +1

    Jamani mbarikiwe sana nimejifunza mambo mengii sana sana.MUNGU atuwezeshe tuishi maisha ya kumpendeza na kuyatenda mapenzi yake MUNGU.

  • @truth7796
    @truth7796 2 ปีที่แล้ว +11

    The best way to eliminate bad dreams is to remain prayerfully forever

    • @charlottechance675
      @charlottechance675 2 ปีที่แล้ว +2

      True!!!

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

      not all ad dreams comes from devil you need to know that

    • @carendeborah5687
      @carendeborah5687 2 ปีที่แล้ว

      You have to sacrifice to stop that spirit ,majini maimuna inatoka Kwa devil na hao ndo wanafanya mapenzi Kwa ndoto,kuleta fibroids na kutoa mimba za watu,kupoteza nguvu za kiume.

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 2 ปีที่แล้ว +5

    Wow hiyo ya Christmas. Imeniacha mdomo wazi. Barikiweni sana Watumishi wa Mungu wa Bwana Wetu Yesu Kristo

    • @valentinandukuvalentinandu4779
      @valentinandukuvalentinandu4779 2 ปีที่แล้ว +1

      hata pia kufanya makumbusho kwa ajili ya mtu aliekufa ni makosa

    • @truth7796
      @truth7796 2 ปีที่แล้ว

      @@valentinandukuvalentinandu4779 makosa kubwa kabisa pia kunyoa nyewele

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

      @@truth7796 mmmm nywele kwa wanaume au kwa wanawake?mafundisho y wapi hayo?

    • @lucykapinga369
      @lucykapinga369 ปีที่แล้ว

      ​@@trophywilson7211 kwenye kifoo kafa mtyu wakaribi alafu wengi wanatabia kunyoa nywelee

  • @happykajeli5453
    @happykajeli5453 2 ปีที่แล้ว +3

    Asante kwa ushuhuda wa majibu mazuri Christmas imetupoteza sana kwakuwa nimejua ukweli sitopotea tena

    • @elizalililove9193
      @elizalililove9193 2 ปีที่แล้ว

      Jastani mtumishi wa mungu nahomba munisaidiye naba za simu munazotumikisha kuhosapo, juninashida natakakuhogeya na mtumishi wa mungu

    • @Faraja2023
      @Faraja2023 2 ปีที่แล้ว

      @@elizalililove9193 mtumishi hajui kiingereza Wala kiswahili

  • @agnes7675
    @agnes7675 7 หลายเดือนก่อน +1

    AMEN

  • @vickiemerere4056
    @vickiemerere4056 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa maarifa,hakika kupitia ninyi watumishi tutapona

  • @maryamayitsa6181
    @maryamayitsa6181 2 ปีที่แล้ว +2

    Nimekuja kuchekelewa japo nimejifunza kitu,🙏🇰🇪.

  • @melaniendihokubwayo7389
    @melaniendihokubwayo7389 2 ปีที่แล้ว +4

    Jambo sana watumishi wa Mungu, asante sana kwa majibu yote, lakini kuhusu suluwali na mimi niko marekani tena kunabaridi nyingi tena nyingi, na ninatumika kazi na tena sivayi suluwali.

    • @melaniendihokubwayo7389
      @melaniendihokubwayo7389 2 ปีที่แล้ว +1

      Wana wake waache kusema eti wako marekani wako wapi eti kuna balidi nyingi eti ndio maana wanavaa masuluwa hapana waache uongo.asante sana.

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  2 ปีที่แล้ว

      Barikiwa sana

    • @mwigarleysaid5406
      @mwigarleysaid5406 2 ปีที่แล้ว +1

      Kwani marekani haikuwepo zamani marekani ilikuwepo kabla ya wanawake kuanza kuvaa suruali na baridi ilikuwepo kabla ya wanawake kuanza kuvaa suruali kwahiyo hakuna jipya Ni dhambi tubuni muache

    • @jesusreignsrestorationministry
      @jesusreignsrestorationministry 2 ปีที่แล้ว +3

      Uvae tu sketi na kazini hawana tatizo lolote.
      Zipo dini kanisa zao wanavaa sketi na wanafunika kitambaa kichwani na kazi inaendelea tu🙏🙏🙏

    • @chamwenyewecjembe7359
      @chamwenyewecjembe7359 2 ปีที่แล้ว

      @@PromovertvTz
      Naomba tuwasiliane

  • @annitahpraize1247
    @annitahpraize1247 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen, mungu awabariki saana, nimejifunza mengi.

  • @florafaustine4637
    @florafaustine4637 2 ปีที่แล้ว +2

    Mwenye masikio na asikie

  • @mawazobayndulwa1909
    @mawazobayndulwa1909 2 ปีที่แล้ว +2

    Asant sana jacktan Mungu hakubariki sana baba ila na mini nitahuliza mtumishi wa Mungu Aston inakuwaje pastor Wakanisa kama mchungaji hakiwa mmbaya inashika je wahumini? na biblia inasema mtoto hatabeba mzigo wa baba wala baba hatabeba mzigo wa mwana kwa nini zambi ya mchungaji inapoteza waumini?

  • @andremartins2447
    @andremartins2447 ปีที่แล้ว +1

    Paz de cristo eu peço alguém se levante para traduzir para o BRASIL amem e amem JESUS.

  • @evelyneedward373
    @evelyneedward373 2 ปีที่แล้ว +2

    Much love prophet 🙌🏼

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 ปีที่แล้ว

    MAMANGU ESTA MASANJA NA KATEKELA NA HUYU MWAMBA🙏🙌🙌🙌

  • @inviolatevedasto4230
    @inviolatevedasto4230 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen Amen Mungu awabariki,

  • @jmeliasshanelle4303
    @jmeliasshanelle4303 2 ปีที่แล้ว +1

    Mbarikiwe sana

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 2 ปีที่แล้ว +3

    Yani nikwa Neema kumuona Mungu Especially wanawake

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

      DUNIA INAMWANGALIA MWANAMKE.ILA WAAFRIKA TUMEZIDISHA.WAZUNGU WALIOOKOKA WAKO SIMPLE

  • @lilianachiengministries3386
    @lilianachiengministries3386 2 ปีที่แล้ว +2

    Choo Naam,heaven is real alisema heaven also celebrates Christmas' day,but it should be celebrated in helping pple.iread the book myself.

  • @abisairobert5098
    @abisairobert5098 2 ปีที่แล้ว +1

    Bwana asifiwe sana

  • @dawhiteschola8847
    @dawhiteschola8847 2 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa Sana mtumishi

  • @bentallynemayayo3631
    @bentallynemayayo3631 2 ปีที่แล้ว +1

    Thanks my questions are well answered

  • @edwinmbwilo6128
    @edwinmbwilo6128 2 ปีที่แล้ว +1

    Kanisa ni moja tu ni Yesu kristo, tatizo ni fundisho

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi5053 2 ปีที่แล้ว +3

    Ni jukumu lako kuamua kuvaa suruali ili kulidhisha mwili na dunia au kutovaa suruali ili uikomboe roho yako

  • @carendeborah5687
    @carendeborah5687 2 ปีที่แล้ว +1

    Breaking sacrifice,,divorce ,family curses,poverty, generational curses, rejection, kumbe ni ukweli ,,building God's altar.

  • @jacobwenga6943
    @jacobwenga6943 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina wapendwa

  • @florafaustine4637
    @florafaustine4637 2 ปีที่แล้ว +1

    Mafundisho mazuri sana mbarikiwe sana watumishi

  • @elizalililove9193
    @elizalililove9193 2 ปีที่แล้ว +1

    🙏🙏🙏🙏 Ameen ubarikiwe Asate Sana 🙏🙏

  • @babumrisha
    @babumrisha 2 ปีที่แล้ว +2

    Swali la kwanza naweza kubaliana nae. Mungu aliwahi kunisemesha hicho kitu miaka 30 iliopita nilipokua nikimuomba Mungu aniondoe duniani sababu ya changamoto nyingi. Nilijua hilo ila sikujua nimejuaje mana nilikua mchanga sana kiroho

    • @tabithakawira7844
      @tabithakawira7844 ปีที่แล้ว

      Kwa kunyenyekea,na hicho sk zote ulikuwa uko mbinguni mwili uliachwa wapi

  • @gracekinyaki2376
    @gracekinyaki2376 2 ปีที่แล้ว

    Mungu atusaidie sana . Wenyewe hatuwezi.

  • @pendomwawasi1770
    @pendomwawasi1770 2 ปีที่แล้ว +4

    Aina 27 ya sadaka? Sikuwahi kusikia somo hilo. Tafadhali naomba kiandikwe kitabu cha ushuhuda wake na mafundisho yake kwa kingereza. Nitapenda sana kukisoma.

    • @andremartins2447
      @andremartins2447 ปีที่แล้ว +1

      Vc pode escrever para mim para me saber eu moro no Brasil e não sei os idiomas.

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 2 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana Jacktan

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 2 ปีที่แล้ว +2

    jamani mngetoa hata cd yake ama kitabu kwa kuhusu sadaka ni muhimu sana kujua

  • @lilianachiengministries3386
    @lilianachiengministries3386 2 ปีที่แล้ว +2

    WanawKe wanafaa kumtumikia vipi mungu.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

      wakiwa wamejitimiza kuvaa nguo vema,,na kuwa na uCHARGE WA MUNGU

    • @winfridalazaro296
      @winfridalazaro296 ปีที่แล้ว

      1kor 11 soma ndg

  • @harimakidesu3680
    @harimakidesu3680 2 ปีที่แล้ว +2

    Adam wewe nimtumishi kwenye swali lasuluar kwasisi tunaefanya kazi kwenye taasisi Fulani umejibu vizur umeshaur vizur

    • @bedykedy3604
      @bedykedy3604 2 ปีที่แล้ว +1

      Saaaafii kwa kumuelewa

  • @christinaisanguisangu2974
    @christinaisanguisangu2974 ปีที่แล้ว

    Je kama mwanamke sio mchungaji ila kuna nafasi wanapewa kufundisha madhabahuni je hiyo ni sawa

  • @henryosoro7696
    @henryosoro7696 2 ปีที่แล้ว +1

    Praise the Lord

  • @koletajeanne8824
    @koletajeanne8824 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen akisati yesu

  • @mwlayubueliudimsyani7804
    @mwlayubueliudimsyani7804 2 ปีที่แล้ว +1

    WATANZANIA WATANZANIA HII NI NEEMA SISI KUTEMBELEWA NA HUYU MTUMISHI WA MUNGU. KILA MWENYE SIKIO NA ASIKIE PLZ HAKUNA MBADALA NI KUJITOA VILIVYO KUUTAFUTA UFALME WA MUNGU, HAPA DUNIANI TUNA MUDA MCHACHE SANA. JACTANI UTALIPWA USIPOZIMIA MOYO, ASTON NA MTUMISHI WA MUNGU LANGI, MUNGU AWAKUMBUKE.

  • @loice123faida8
    @loice123faida8 ปีที่แล้ว

    Mimi mwanamke nilieolewa bibi wapili na miminimezaa neno na watoto watatu msichana na vijana wawili na yule mukemwanza tunaishi boma moja pamoja na huyo mume na je mimi ni munaweza kutaka talaka

  • @loraumuhire4755
    @loraumuhire4755 2 ปีที่แล้ว +1

    Bwana Yesu kristo asifiwe, swari yangu ni ii, kira kanisa yenye mucungaji ni mwanamuke hairuhusie? je ire ushuhuda wa 999 year mbona anafundinda na nimwanuke? sierewe naomba muniereweshe asante Mungu awabariki.

    • @rehemaelastus4596
      @rehemaelastus4596 2 ปีที่แล้ว

      Bwana yesu asifiwe nauliza tunaosali makanisa wanaosherea krismasi inakuwaje je kuhusu unatizo maji mengi na machache ba ukibatizwa mkubwa au mtoto vipi hapo tunomba atueleze bila kuficha makanisa ya kweli na ya shetani ili tupone

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 ปีที่แล้ว

      Na kuna Yule mtumishi esta naye.alipelekwa mbinguni Ila anahubiri sasa sielewi kipi ni kipi

  • @reginanduku3746
    @reginanduku3746 2 ปีที่แล้ว +2

    Amen,,am following from Kenya,,,plz ask Aston about women in monthly prds should use pads,tumpons etc,,,2.should a woman shave hair?

    • @BerylSeer1
      @BerylSeer1 2 ปีที่แล้ว

      Waa Regina 🤣🤣

    • @everlinekemunto267
      @everlinekemunto267 2 ปีที่แล้ว

      Haki hapo kwa prds umenifinish,sasa tuaje hivyo surely.

  • @priskamsuya7453
    @priskamsuya7453 6 หลายเดือนก่อน

    Naitwa Priska wa Tanzania Arusha tunawasikiliza swali langu mwanamke anaetengeneza dred kichwani hiyo ni mbaya?

  • @zeitunitweve9356
    @zeitunitweve9356 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana nimefatilia shuhuda zenu zote, naomba kuuliza mtu akikopa deni lawatu nahakulipa akitubu dhambi bado atakuwa nahatia kwamungu?

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  2 ปีที่แล้ว +1

      Ndio,lazima pia ashughulikie hilo deni

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

      NDIYO,LABDA ANAYEKUDAI AKUSAMEHE

  • @macamezunguzungu5584
    @macamezunguzungu5584 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏

  • @linetmusee6500
    @linetmusee6500 2 ปีที่แล้ว +1

    Mimi ni wanamke, na huhisi msukumo kufundisha neno la Mungu au kuubiri , sijafundushwa jinsi ya kuhubiri lakini hupata tu ufahamu wa neno na kufunuliwa wakati nasoma biblia. Na punde tu ninapohubiri (sharing the word whether in church or elsewhere), nasikia kuwa mwepesi na kupata utulivu moyoni, he nezafanyaje . Kama wanawake hawaruhusiwi kuhubiri? Na naweza kuwa naongozwa na Mungu au na shetani?

    • @bahatirobart7380
      @bahatirobart7380 2 ปีที่แล้ว

      Mwanamke haruhusiwi kuhubiri madhabahuni Mimi nilivyoelewa ila KAZI ya uinjilisti tunaruhusiwa

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 2 ปีที่แล้ว

    Hivi kumbe kusherekea Kristmas ni dhambi!!! Ohhh Mungu wangu, nisamehe.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

      SIJAWAAMINI HAWA MAANA NA WAZUNGU WNGI HUKU NILIKO WANASALI SIKU MOJA KABLA YA CHRISMATS

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi5053 2 ปีที่แล้ว

    Na pia ukiwa tumboni Mungu alikujua kama ni wake au si wake, Kama ni wake ungali tumboni huwezi kukubali uchawi

  • @hindahnambela6628
    @hindahnambela6628 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @jmeliasshanelle4303
    @jmeliasshanelle4303 2 ปีที่แล้ว +1

    Kuhusu Roho zinazobaki duniani i think imeelezewa katika vitabu vya Apocrypha

  • @marianachriss2444
    @marianachriss2444 2 ปีที่แล้ว +1

    Natubu ktk Mwili, roho na nafsi BWANA YESU KRISTO nitakase dhambi zangu zote kwa damu yako.

  • @estherdamian4137
    @estherdamian4137 2 ปีที่แล้ว +1

    Biblia unaposema Mwanamke afunike kichwa akiwa anahutubia anahutubia wapi? Ikiwa haruhusiwi kuhutubu?

  • @florencendatila9183
    @florencendatila9183 2 ปีที่แล้ว

    Dah! 🙇

  • @linetmusee6500
    @linetmusee6500 2 ปีที่แล้ว

    Amina!

  • @anordlaurent8751
    @anordlaurent8751 8 หลายเดือนก่อน

    2024nairudia shuhuda

  • @bintalmasi2393
    @bintalmasi2393 2 ปีที่แล้ว +2

    Kwa sababu tumepata habari ya vyumba vichache, je kipo chumba cha wale wanaomwomba bikira Maria?

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  2 ปีที่แล้ว +2

      Ndio,na tayari tushakipita

  • @aminaally4163
    @aminaally4163 2 ปีที่แล้ว +1

    ASANTE BWANA YESU KRISTO UNATUFUNULIA TUSIYOYAJUA

  • @wililoatu989
    @wililoatu989 2 ปีที่แล้ว

    Mmhhhhh MUNGU tusaidie kubadilika

  • @msanginaza905
    @msanginaza905 ปีที่แล้ว +1

    Kama watu wanaobeba vitu vyake wako kuzimu yeye Yuko salama ? Mungu nisamehe coz mm nilikuwa namfuatilia TB Joshua mnooo mpk niliwahi kutaka kwenda jamani jamani...sasa mbona watu wengi wamebeba ma anointing water yake???? Dada yangu mpk Leo ana anointed sticker zake TB Joshua nyumbani kwake Mungu tusaidie

  • @reginaruta3249
    @reginaruta3249 2 ปีที่แล้ว +1

    Bwana Yesu asifiwe. Naulizia je kama nauza hizo suruari na vipodozi na sivitumii. Je sintaenda mbinguni?

    • @marianachriss2444
      @marianachriss2444 2 ปีที่แล้ว +1

      Hutakiwi kuuza,kuwa sababu chochote kinachomtia mtu dhambi ni dhambi maana wewe unajua ni dhambi halafu watu wengine wafanye dhambi,hata ukiuza vipodozi, halafu wewe hutumii ni dhambi, maana unasabaisha dhambip

    • @lovenesswalter6650
      @lovenesswalter6650 2 ปีที่แล้ว

      Usiviuze ni dhambi

    • @shuhudazakweli3406
      @shuhudazakweli3406 2 ปีที่แล้ว

      Wazazi na wanunuzi wako ndani ya makosa

    • @valentinandukuvalentinandu4779
      @valentinandukuvalentinandu4779 2 ปีที่แล้ว +2

      hata mbinguni utapasikia tu kwa sababu ni dhambi kwa nini uuzie wenzio mimi herini nilitoa zamani sitaki kukosa mbingu jamani

    • @jesusreignsrestorationministry
      @jesusreignsrestorationministry 2 ปีที่แล้ว

      Mtu wa Mungu ~ Kubali hasara. Ondosha hivyo vitu na anza kuuza sketi, gauni ndefu au bidhaa zingine

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 2 ปีที่แล้ว +1

    Kaka Jactan naomba umuulze kuhusu chanjo

  • @veilasam6597
    @veilasam6597 2 ปีที่แล้ว

    Ulaji wa Nguruwe ni sawa?

  • @salomejames5892
    @salomejames5892 2 ปีที่แล้ว +4

    Lakini hapo kwenye swali la mwanamke kumtumikia MUNGU itakuaje na kwa watumishi ambao MUNGU mwenyewealiwaita na kuwambia kumtumikia?

    • @kimsamespa8490
      @kimsamespa8490 2 ปีที่แล้ว +1

      Hapo Mimi naona sielewi kabisa

    • @everlinekemunto267
      @everlinekemunto267 2 ปีที่แล้ว

      Kama yule mcongo,domitila nabibone,si alienda mbinguni akaambia afundishe neno.

  • @reginaruta3249
    @reginaruta3249 2 ปีที่แล้ว

    Na je kama nimeota watu waliokufa. Sintaweza kuna ufalme wa Mungu. Naniomba lakini ndoto zimekuja tena.

    • @marianachriss2444
      @marianachriss2444 2 ปีที่แล้ว +2

      Amesema toa sadaka halafu ufanye maombi ya kufunga na kuomba

  • @sarahsarai8690
    @sarahsarai8690 2 ปีที่แล้ว +2

    Na je ukiota ukivua nguo au ukiota una mtoto,,, ina maana gani?

    • @gracelauzi9746
      @gracelauzi9746 2 ปีที่แล้ว

      Hilo nijini lina kutumia tafuta maombi

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

    Huyo kaka anatupoteza sasa kama huku hawasherehekei tena Christmas na wameacha hata kusali kabisaa

    • @flm1530
      @flm1530 2 ปีที่แล้ว

      Utaendelea kuisherekea had kuzimu

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 2 ปีที่แล้ว +1

    je na Pete ya ndoa nayo ni dhambi

  • @mariahyera3737
    @mariahyera3737 2 ปีที่แล้ว +3

    Kaka Jactani samahani, Muulize mgeni wetu kuhusu kusuka nywele za mkono bila kuweka wala viambata. Inakubaliwa?

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

      inakubaliwa asikupotoshe huyo mgeni ,ili mradi Roho yako iwe salama imufuate Mungu kikamirifu

    • @annamalingi7415
      @annamalingi7415 2 ปีที่แล้ว

      @@trophywilson7211 wasema hiyo wewe ndoulokuwa mbinguni?

    • @georgehiza4854
      @georgehiza4854 2 ปีที่แล้ว

      @@annamalingi7415 😂😂😂

    • @hellen9056
      @hellen9056 ปีที่แล้ว

      Samahani lakini iyo hata kama jactan hajajibu biblia yenyewe tu imekataza my barikiwa

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

    yaani mimi sasa nashindwa hata kuelewa hawa wanaokwenda kuzimu na mbinguni wanakja na mambo Lundo ndiyo maana Mwakipesile anajisemea mitumme wa siku hizi na manabii si wa kusikiliza wantupotosha saana,hapa naanza kupata akili nishike nilichonacho

  • @neemawanjiku8791
    @neemawanjiku8791 2 ปีที่แล้ว +1

    Nina swali kuhusiana na Ndoto , mbaya, je tutajikwamuaje na Ndoto hizi...

    • @marianachriss2444
      @marianachriss2444 2 ปีที่แล้ว

      Amesema toa sadaka ,na uiharibu hiyo ndoto kwa Jina la YESU KRISTO

  • @margaretmkangala7774
    @margaretmkangala7774 2 ปีที่แล้ว

    Jeshini zipo sketi

  • @sarahjacobs8814
    @sarahjacobs8814 2 ปีที่แล้ว +1

    Je unaota ya kwamba umepoteza mjukuu maana yake ni nini??,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @victorymvlog875
      @victorymvlog875 2 ปีที่แล้ว

      U had a great vision but it died before it was formed. Pray for your plans,dreams and visions

    • @aberymsovela8866
      @aberymsovela8866 2 ปีที่แล้ว

      Je kama unaota biblia yako imeungua

  • @harimakidesu3680
    @harimakidesu3680 2 ปีที่แล้ว +1

    Jactan nimechelewa

  • @witnesssamson2347
    @witnesssamson2347 2 ปีที่แล้ว +1

    Naomba kuuliza swali mtumishi mwanamke anaaruhusiwa kuongoza ibada kanisani ?

  • @mediatricenizeyimana7966
    @mediatricenizeyimana7966 2 ปีที่แล้ว

    Je mutu akifa cabla ya kueneza siku zake anaweza kwenda mbinguni?

  • @evelyneedward373
    @evelyneedward373 2 ปีที่แล้ว +1

    Lin anakuja tena huyu Mtu waMungu

  • @agathajonathan3433
    @agathajonathan3433 2 ปีที่แล้ว

    Kwanini MUSA hakufa Kama wanavyokufa wengine?

  • @eliabuelinafassam6127
    @eliabuelinafassam6127 2 ปีที่แล้ว

    Hakika MUNGU ni mwemaa

  • @lilianachiengministries3386
    @lilianachiengministries3386 2 ปีที่แล้ว

    Nadhani baya anafanya kuingia mbingu kua ngumu sana....tb joshua.

    • @makichachamchaumbi2024
      @makichachamchaumbi2024 2 ปีที่แล้ว

      Acheni kupotosha wanadamu. Mambo ya kuzimu siku zote no ushetani. Katika Amri kimi za Mungu no wapo iliandikwa kubwa no dhambi kusherekea Christmas. Mungu alitufunulia neno lake katika maandiko matakatifu vipi tena wewe imekuwa nadala ya biblia?

    • @msanginaza905
      @msanginaza905 ปีที่แล้ว

      Mbingu sio Lele mama tusijifariji huo ndo ukweli kabisa Aston Yuko sahihi mno anajibu kulingana na Bible kabisa