R. I. P our super hero magufuli kiukweli ulisema tutakukumbuka kwamazuri sio mabaya. Inauma sana mno but Mzee don't give up Mungu yuko pamoja nanyi naimani utashida kesi let's keep praying 4 u
Hiki ndicho huwa kinanifanya kutamani kusoma Law. Jamani wasomi wa sheria ni sahihi kweli kwa mzee alichotendewa? Ukizingatia kuwa anafanyiwa vurugu ihali jina linalolalamikiwa si hilo kwenye barua zake. Ila tumuogope Mungu kwa maana malipo ni hapahapa Duniani. Tukumbuke vyeo vinapita tu tusinyanyase watu kwakuwa tunadhamana ya vyeo. R.I.P Magufuli Mtetezi wa Wanyonge. #Mwenyekumpa msaada wa ushauri kisheria huyo mzee amsaidie.
mi huwa nikiona vitu Kama hivi , huwa naamaani hatuna viongozi completely , tunasaka tonge tu ..yani kweli mtu anazurumiwa nyumba kiasi hiki , na anafukuzwa Kama mwizi afu mnasema Kuna viongozi kwenye hili taifa!! ninawasiwasi saana ......pole saana mzee wangu , natamani nije nikusaidie lkn naona sina uwezo ....Ila pole sana
pole sana baba naamini kwa jinsi nilivyokusikiliza unakitu kinaukweli na inabidi upate msaada wa hata kujua undani wa hili. Serikali yetu ni sikivu utapata msaada insha allah
Huyu mwanajeshi kweli anafamilia kweli kwa kumfanyia binadamu mwenzake hivi dah mimi naiomba serikali yangu sikivu chini ya raisi wetu mama samia suluhu hasani iangalie hili suala la huyu mzee kwa uzito zaidi
Iyoo kesi imetokea toka 2017 hem msilikilize uyoo slopigiwa sim, kwa iyoo mwaka uwoo alikuwepo nani? Iyoo kesi si ya leo na mahakimu walokuwa wasaidiz wake uyoo unomtaja
Tanzania imekuwa kama Nigeria utu hakuna wala huruma dhuluma ni mchana kabisa alafu Watu wanadhamini pesa jamani. Pole sana Mzee wameingia Mlamgo wa muungwana.
Wanyonge tutakoma,tutaishi Kama digidigi,na hisi kuna watu wengi watakuwa wamedhulumiwa haki zao pasipokujua haki zao za msingi.tusomeshe watoto wetu Sheria.
Ukiachana na kusomesha watoto sheria pia kuna umuhimu wa mtu kama unamiliki Ardhi kialali bora kuweka mwanasheria ila yeyote akiingia ktk 18 kwa dhamira mbaya kama hii anadili nae uonevu umezidi mno yani mpk unaogopa kufanya vitu vya maana vp tutajikomboa kwa hali hii ?
Naomba swala Hilo lishulikiwe mala moja la sivyo nikiwa Kama mwanajeshi msitaafu nitalishulikia mala moja Tena kigaidi na kikatili pumbavuuuuuu nyingi mliofanya janjajanja nyoko kabisa
Ni vile sijui kuweka picha ningewawekea muione hata 7m sinunui. Tuliishi nae hapa nyumbani kwa tabu sana hakuwahi kuwa na rafiki. Hao aliokuwa anawaonesha kuwa watoto wake ni muongo tulikuwa wapangaji wake
R. I. P our super hero magufuli kiukweli ulisema tutakukumbuka kwamazuri sio mabaya. Inauma sana mno but Mzee don't give up Mungu yuko pamoja nanyi naimani utashida kesi let's keep praying 4 u
Pole baba mungu akutangulie,utashinda hili ,Mama yetu ,Ni mwenye hekima ,litapita hili ataliona na nyumba utapata.
R.I.P raisi wetu mpendwa tulikupenda Mungu amekupenda zaidi,we really mic u more bt haki yako itatendeka
Haki itendeke hapa, wakuu wa nchi hawataki mabango, watu wanadhulumiwa kila kona. Mungu yuko mzee, pole sana.
RIP MAGUFULI Angekuepo mara hio hio ageingilia nakurudiamshiwa nyumba yake
Inasikitisha sana sana roho inakosa nguvu uyu mzee mtamuuwa kwa presha maskini daaaah pole mzee mungu akutie nguvu
Dah pole Sana mzee wngu Mungu yupo
Haki hakuna siku hizi, mwenye pesa ndio mwenye haki, pole Baba yangu Mungu atakusimaia
nchi hii ukiwa na cheo af huna hofu ya Mungu unakuwa kama mnyama hatari
Nchi ya mama Samia jman wap tunaelekea rais tembelea wananchi wako sikiliza kero zao na vtu Kama hvi ukomeshe kabisaaaa😭😭😭😭
Hiki ndicho huwa kinanifanya kutamani kusoma Law. Jamani wasomi wa sheria ni sahihi kweli kwa mzee alichotendewa? Ukizingatia kuwa anafanyiwa vurugu ihali jina linalolalamikiwa si hilo kwenye barua zake. Ila tumuogope Mungu kwa maana malipo ni hapahapa Duniani. Tukumbuke vyeo vinapita tu tusinyanyase watu kwakuwa tunadhamana ya vyeo. R.I.P Magufuli Mtetezi wa Wanyonge. #Mwenyekumpa msaada wa ushauri kisheria huyo mzee amsaidie.
JPM😥😥😥
Kwa ufupi, hizi ndiyo Mahakama zetu. Mahakimu hawana Mungu. Wao ni pesa tu.
Naww ukisha soma ukimaliza roho itabadilika utakuwa kama haohao😔
But nahisi kunakitu kipo nyuma ya pazia mzee anajibu kinyume na anacho ulizwa kuna jambo lipo hapo.
Hamna cha kusoma Law kaka.... kuna vitu vingine ni akili ya kuzaliwa tu! RIP Magufuli :'(
Mungu atakutetea mzee
Na haki ya mtu haipotei hata siku moja mbele za Mungu
Huyo askari atajuta sana
Pole sana baba mungu yupo.
Amos Mbota mfanyakazi mstaafu mwenzangu Tanzania breweries ltd pole Sana kwa haya unayoyapitia
Inauma sana inasikitisha sana rushwa imetawala si hao wanasheria mahakimu hakuna haki 😭😭
Hapa ndiyo Magufuli atakumbukwa. Pole sana mzee.
Rest In Peace Maguful, mtihani kwakweli
Kabisaa mzee apo angemaliza kessi papo hapo
Kabisaa mzee apo angemaliza kessi papo hapo
Iyoo kesi ipo toka 2017 hem msikilizen uyoo alopogiwa sim kwa iyoo haki ata maovu yalifanyika kipindi hiko cha Peace Magufuli
@@murattywamuratty9778 yalikuwepo lakini muusika akuyaweka wazi mapema. Angeweka wazi mapema l
@@murattywamuratty9778 mbna uwa mna roho ngumu pindi mtu anapomtaja magu kinawauma nini na nyinyi si mtaje raisi mwingine
HUYU MUANDISHI MASHAALLAH NAMKUBALI SANA
Binadam waleo jamani sasa kama huu mze mna msumbuwa wanini!😭💔😔
Mtihani
Dah jamani sasa piki piki na nyumba wapi nawapi eeh Mungu wangu mtihani
R.I.P BABA MAGUFULI we real miss you jamani 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
😭😭😭😭😭😭😭 kabisa
Na askar Jessica ajue kuna maisha makali baada ya Jessica na mungu yupo
Pole mzee uwiii
Yaani inasikitisha sana kumtesa mzee wa watu namna hiyo 😥😥😥
Inasikitisha sana
Pole sana baba
Waandishi wa habari mnashindwa kumhoji nambar ya kiwanja na nakala ya hukumu na mnada ulikuwa kwasbb lipi?.umekaa unamsikiza kama radio
😂
Ee Mungu mpe subra mzee wetu katika kipindi hiki cha maonevu 😭😭😭😭😭😭😭
Media ni nzuri kwel zinaweka uozo wote bayana,ila watumishi wengi hawatendei haki taaruma zao,taaluma zao imekuwa kama tiketi ya kufanya maovu
jaman mungu anawaona hayo mnaoyatenda
Hamza we miss u
Dah pole Sana mzee
Daah!
Pole sana mzee wa kikurya nasikia mpaka. Unasema khanaaa.... Jamani
Aisee mungu simama nahuyu baba apate haki yake
Pore sasa baba mungu atakushindia yupo nawe
Maskini dahh kwa mungu kutakua na kazi sana
Dhuluma mbaya mno sana haswa inayofanywa na wenye pesa
Mbona ayo mambo yahakuwepo wakati wa magu
Mungu akusimamie baba yetu!
Nenda Kwa waziri Mzee usiogope tata.
Pole sana mzee haki itendekee
mi huwa nikiona vitu Kama hivi , huwa naamaani hatuna viongozi completely , tunasaka tonge tu ..yani kweli mtu anazurumiwa nyumba kiasi hiki , na anafukuzwa Kama mwizi afu mnasema Kuna viongozi kwenye hili taifa!! ninawasiwasi saana ......pole saana mzee wangu , natamani nije nikusaidie lkn naona sina uwezo ....Ila pole sana
pole sana baba naamini kwa jinsi nilivyokusikiliza unakitu kinaukweli na inabidi upate msaada wa hata kujua undani wa hili. Serikali yetu ni sikivu utapata msaada insha allah
Pole sana mzee wangu mungu atakusimamia
Daah😢 watu sio binadamu
Wawe makini sana serikali.... Watu watakuwa wanakataa kutoa ushahidi
Magu mwenye upendo na wanyonge ameumaliza mwendo😭😭😭😭. Waliobaki ni Wazanzibar, wazee wa Msoger na Midabwada tu
Mungu saidia dhuluma imevuka mpaka
Duuuu pole sana mzee
Dah
Huyu mwanajeshi kweli anafamilia kweli kwa kumfanyia binadamu mwenzake hivi dah mimi naiomba serikali yangu sikivu chini ya raisi wetu mama samia suluhu hasani iangalie hili suala la huyu mzee kwa uzito zaidi
Hakuna serikari sikivu hapa
Yaaaan mm sisemi sisi iloo tukio ndo wahanga
Magufuli hayupo Nani atamsaidia huyumzee
Iyoo kesi imetokea toka 2017 hem msilikilize uyoo slopigiwa sim, kwa iyoo mwaka uwoo alikuwepo nani? Iyoo kesi si ya leo na mahakimu walokuwa wasaidiz wake uyoo unomtaja
Raisi wetu mama yetu mpendwa wetu ni msikivu sana naamini hili likimfikia atafanya jambo mama mama mama tusaidie
Mh
RIP jpm,kwa sasa ni kuzulumiana kwenda mbele
Kesi ndogo Sana pole Sana.
Nmh mzee tuweke waz mbona kama kuna kitu unatuficha sema ukweli usaidiwe
Mzee kuna kitu anaficha atuweke wazi
Mi ata cjaelewa kuibiwa kwa pikipiki na kuuziwa nyumba vnausiana kwel? Mmh
Tanzania imekuwa kama Nigeria utu hakuna wala huruma dhuluma ni mchana kabisa alafu Watu wanadhamini pesa jamani. Pole sana Mzee wameingia Mlamgo wa muungwana.
Nigeria hatupo ivyo ukituzulumu tunaita boko harama waamue kesi
@@goodluckmsoka3660 umenichekesha kesi ya Tumbili anapewa Nyani
Pole Sana mzee kwakweli czani Kam Rais atakusaidia yamekupata kwa wakati mgumu sana
Wanyonge tutakoma,tutaishi Kama digidigi,na hisi kuna watu wengi watakuwa wamedhulumiwa haki zao pasipokujua haki zao za msingi.tusomeshe watoto wetu Sheria.
Ukiachana na kusomesha watoto sheria pia kuna umuhimu wa mtu kama unamiliki Ardhi kialali bora kuweka mwanasheria ila yeyote akiingia ktk 18 kwa dhamira mbaya kama hii anadili nae uonevu umezidi mno yani mpk unaogopa kufanya vitu vya maana vp tutajikomboa kwa hali hii ?
nadhani kwako mirald hii habari tunahitaji sana muendelezo wake mkuu.
Maelezo yako broo inaonesha wizi mtupu mzee Mungu atamsaida
Pikipik million mbili nanyumba million 120 duhh
Magu angekua Hai sidhani kama yangefikia huku😢😢😢😢😭😭😭too sad
Dah tanzania
Wan
Jamani wa Tanzania wanyonge tusaidiwe
Mungu wangu uyo niwizi laaa watanzania muache wizi kumuzulumu mze kama huyo laaa bisuma iyo ni laaana
Naomba swala Hilo lishulikiwe mala moja la sivyo nikiwa Kama mwanajeshi msitaafu nitalishulikia mala moja Tena kigaidi na kikatili pumbavuuuuuu nyingi mliofanya janjajanja nyoko kabisa
Kabisaa fanya ivo baba utalipwa na Allah
Ndo wale police wanapigwagwa na wanannchi,mzee apo angekua na watoto wakubwa wakiume siwangepigana na hao mapolis😒
Asante baba saidia hili swala kwaweli linaumizaaa
This time to remember magufuli is very sad for Tanzania 😭😭😭😭😭
Mmmh huo ni uonevu mtupu sasa mzee yote huyu jamani serikali ingilie kati imsaidie
Umenda toa ushahidi serikalini kuwa shahidi wa mahakama upande wa serikali ila serikali iyo iyoo inakusaliti upande uwo uwo wa mahakama dah
“Unajua mimi nani”?
Mtanikumbuka… dah!
RIP MAGUFULI"Huyo mwanajeshi ni mshenzi sana"anatumia cheo chake kunyanayasa watu" daaa
Unaujua ukweli wa jambo?
Kesi ipo toka 2017 kipindi yupo RIP Magufuli
Kasema anaishi kwa nguvu ya MUNGU😢😢😢MUNGU wa wote wenye mwili teta na wanao teta na huyu baba
Kwa nini nyumba ipigwe mnada mbona kama hili swali halikuulizwa
Millard ayo tupeni feedback ya hii kesi jamani
Hy mnunuzi mjinga tapeli
Magufuli 😭😭😭😭😭😭
Mimi sijaelewa kabisa pikipiki na nyumba vinaihusiano Gani
Huyo mzee huwenda ana haki zote lakini anashindwa kujielezea vizuri nadhani huyo mzee ni mkenya
Mzee nenda nje ya ikulu dar kwenye gate la ikulu na bango pamoja na watoto wako onyesha mabango lafikili uyo Mama Samia atawasaidia
Sisi ndiyo tunaishi hapa mtaani. Huyu mzee mstaafu wa jeshi ametunyanyasa sana. Njooni airport muone hicho kijumba alichowadanganya eti 100m
Hiv hii nch mbona siielewi
Hii habari tuifikishe Kwa mama Samia
Millard ayo naomba umsaidie huyu baba. Hata taarifa imfikie mama samia jamn inauma.
serkal ya samia bana khatar sana ila Mungu yupo insha allah
Sasa Samia kaingiaje hapa hii kesi tangu miaka ya nyuma 2017 alikua samia acheni ujinga
Daaaa Yani ukisikiliza maelezo ya wote inaonekana kwamba Kuna ubabaishaji kwa huyu aliyenunuwa hapa kunakamchezo tu kamefanyika
Kabisa pikipiki haina thamani ya nyumba?
😭😭😭😭😭😭😭 I’m from kenya but this issue shed up my tears 😭 that’s real broken my heart 😭😭
Story haielewekii ata kidogoo. Piki piki na nyumbaa wapi na wapi.
Uyu mzee pia ujuaji upo kibao na why wew Tuu
Kweri tutamkumbuka mh.makonda mkuu wa mkoa dar msitafu na hayati magufuri huu ujinga haukubariki enzi hizo
Mimi nimetapeliwa na hao hao askari sitosahau
Magufuri angekuwepo huu uwonev usingetokea daaaaah hat hurum hamn nyie watu au ni nyoka tena wenye sm Kari😭😭😭😭
R.I.P. magu
Wanajeshi wa TANZANIA niwezi wauwaji Yani nishida
Ila Mimi sielewi pkpk nyumba kvp ebu upande wa pili kaoji utapata ukweli
Rais wawanyonge amesha kufa aliekuwepo sahizi sizani kama atafatilia haya tumuombe tu munguombe tu mungu atupe rais kama magufuli
Sema Tanzania yetu anina utukabisa kwanni lakini mbna kipindi cha magufuli mambo ayo yalikua ayapo kabisa mama tunaomba kemea huovu huuuu
huyo mama wenu mbona haeleweki ama amewekwa tu mradi kiti kiwe na raisi
Mambo kama haya huleta mauaji yasipo wekwasawa utatuzi wahalaka unahitajika mwenyehaki apewe
MAHAKAMA NI SHIDA KWA HAKIKA
Ni vile sijui kuweka picha ningewawekea muione hata 7m sinunui. Tuliishi nae hapa nyumbani kwa tabu sana hakuwahi kuwa na rafiki. Hao aliokuwa anawaonesha kuwa watoto wake ni muongo tulikuwa wapangaji wake