#live
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
- #2025mwakawakumilikinakutawala #arisendshinetanzania
#tanzania #daresalam #afrika #afrikamashariki #ariseandshine #AFRICA#tanzania #dar #tanganyika #ubaloziwambinguni
Don't Forget to Subscribe to get The Latest Videos
From Arise and Shine Tanzania.
WATCH ARISE AND SHINE TV
AZAM CHANNEL 469
STATIMES ANTENA CHANNEL 117 | STARTIMES DISH CHANNEL 198.
Napokea uponyaji kwa jina la yesu amen
Kibali kiwe juu yangu mm na family yangu Mungu nakuomba mchumba wangu Kevin awe na kibali mbele za Mungu kibali cha uchumba wetu 😢tunaomba Mungu utusaidie paka tutakapokuwa funga ndoa ❤
kupitia maombi aya naomba kibali cha kuomba kibali kwa maboss zangu wanipende kwa jina la yesu amen
Asante Yesu
Naomba Mungu unisaindie niwe mtu wa maombi
Mungu najiungnisha na maombi haya nikiamini mwaka huu napokea watoto mapacha wakike na wakiume ameeeni
Amen Amen
Najiungamanisha na Upako wa kumiliki na kutawala katika jina la Yesu. AMEN
Nakataa kubadiriaha biashara yangu kwa jina la YESU amen
Mungu maombi haya yamkatendekwa mume wangu na dada yangu wawe na baraka naamini watapokea tuu
Bwana mungu nifungulie njia zangu za maisha yangu na mtoto wangu apate kazi
Mungu najiungamanisha ña mfungo huu maalumu mungu nifung7e Kila mahali nlipofungwa na ndoa yangu ifungueee kupitia maombi hayaya mfungo siku 21 naomba ujibu maombi yàng mung
Mungu ninajiungamanishana mfungo huumaalumu muñgu nafunguliwa Kila vifungo vyote na familia yangu inaguñg7liwa
Mungu ni mwema 🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏
Mungu upako waleo mwanangu pamoja na mchumba wangu apate kazi
Najiungamanisha kwako mungu kuanzia leo ufahamu wangu urudi sawa
Mungu najiunganisha na madhabau hii nikiamini kwamba mwaka huu lazima nifaulu mitiani yngu yte na malengo yangu lazima yatimie
Naomba mungu usiku waleo ukijakunitembelea uniondoshee maumivukati mwili wangu
Najiungamanisha na upako wa kumiki na kutawala Katja jina la yesu
Mungu ni mwem ❤❤❤
Mungu fungus milango yangu ya maisha yangu
Nahiungananusha kwako familia yangu pamoja na mimi tuishi kwausalama na mafanikio tuwe nuru na siyo giza
Mungu upako waleo na pamoja na sadaka hii bwanangu aache mfango wa kando na arudie bibi yake mawia. Ni Mawia kutoka Kenya.
Baba naomba unifungue nipate kiwanja Kwa njia rahisi nijenge mwenyezi mungu nifunge
Ee Mungu nipe loho ya hekima na malifa .na loho ya kumcha bwana
Napokea hitaji langu ktk jina la yesu.
Mungu wangu ukitembelea wengine usiku wa leo unipitie
Mungu nakuomba uniponye kwenye mbavu zangu
Napokea baraka mimi mwanakombo from oman
Raha sana jesu ❤❤❤
Mungu naomba uniponye magonjwa yote yanayonisumba
ee mungu najiungamanisha namaombi aya mwanangu afunguliwe katika nguvu zake zakiume atamagojwa yote yaliyomo ndan ya mwil wake yatoke kwaiman naamin itakuwa ivyo
Mungu fungus upako kwenye biashara yangu
Ee mungu naomba unitendee na mm
Upako wa say hizi. Kama chiku anamapepo yatoke😊
Mungu ukitembelea wengine usiku wa leo unipite
Mimi nawaleta watoto wangu mikononi kwako bwana uwalinde uwafanye wawe kichwa na siyo mkia
Mimi na familia yangu tumeipokea mwangaza wa amani
Amen
Ameen
Naomba nipate KAZI kiuraisi
Ameeen
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mung najiunganish na maomb ay nkiamn mwaka huu napokea watot mapacha wawili wakik na wakium nkiwa na Micky. Najiunganish na maombi hay nkiamin kwamb Micky atansameh na tutaendlea na mausiano, napokea ndoa na Micky mwaka huu
saidia familia yang
😭🙏🙇♀️🙋♀️🧎♀️
Baba namleta mikononi mwako mwanangu shadrack maumbile yake ya sehem za Siri yakawe kama ya binadam wengine yanavyokuwa
Upako wa Leo mponye chiku na magonjwa yote yatoke
Ameñ
mung nisaidie jmn
Napokea uponyaji ktk jina la yesu kristo
Mungu ninajiungamanishana mfungo huumaalumu muñgu nafunguliwa Kila vifungo vyote na familia yangu inaguñg7liwa