Masha allah simulizi Asante sana kwa channel ya kuilimisha tuna Pata faida sana sisi waisilamu. Kupitiya sheik huyu nimefahamu sasa dini yangu . Asante sana simulizi. Naomba kila siku atupe elimu. nyege sana.
@@bitsanjEhata mtu akajitokeza mitandaoni kusema amejiamini kwa anachokisema.kwa hio unachotakiwa umtafute mfanye majadiliano ili na sisi tukipate ulichonacho tufahamu tusiyoyajua kutoka kwako,kinyume ya hapo ndo itakuwa porojo ipo kwako. Na pia maneno yanahitaji ufatiliaji kwa watu wenye kutaka kumjua Mungu wa kweli,na ili ujue unatakiwa uzingatie mambo manne 1)uwe msikilizaji mzuri. 2)uwe muulizaji. 3) usiwe mpingaji au kuleta ubishi usio na muelekeo. 4)uwe na hoja za msingi
Mboni unaatuwekea fupi yaani na penda mafundisho yake dahhh tuwekee ndefuuu jana kuna mama na wanawe wamesilimu kupitia mada hizi hizi za sheke matayo❤❤❤❤❤
Ameshasema wasabato watumishi w KWELI WA MUNGU wanaomfuata MUNGU Kwa unyenyekevu...waislamu wa kweli hata SABATO ya BWANA wananyenyekea . Ila waislamu wa Allah hawanyenyekei amri ya MWENYEZI MUNGU ya kupumzika. Huyo MATHAYO afanye mdahalo na Ndacha.
Hakuna muislam anayemkataa Issa bin Mariam😂. Ni mtume kama mitume wengine kama alivyojinasibisha yeye mwenyewe katika vitabu visivyo na shaka ndani yake
@@huseinshedrack6180hongera Hussein,kwa maamuzi mazuri.bali nataka uamini ukitoka kwenye uovu Kuna changamoto kwa waovu uliowaacha,kwa mfano,ukiacha unzinzi wanzinzi uliowaacha watakuona ukufanya jambo la mana,ni vile vile,kwenye ulevi,upigaji ngoma,uvutaji bangi na sigara nk
Kwahiyo kwa utumbo huu wa huyu shekhe ndiyo unaandika heading kuwa amemaliza ujanja wa Ndacha? Kila wakati nakukumbusha deading zako haziendani na ukweli halisi wa mada husika
Kwa nini Yesu hakuwa na mke kama mitume yote iliyopita wote walikuwa na wake tena zaidi ya mmoja lakini Yesu hakuwa na je hakuwa RIJALI kama mitume mingine naomba Mashekh mtujulishe kwa nini au hakuwa mwanamme aliyekamilika
🔯🕎🇮🇱❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️Shalom, Shalom Maranatha, hosana, YESU KRISTO MWANA WA MUNGU yu HAI, hallelujah hallelujah, JEHOVA JIRE!! I LOVE JESUS CHRISTIAN❤❤❤❤❤❤ I'M Proud to be a Christian ✝️✝️🛐🛐 GOD is Good😅 🙏🙏🖐️
@@Educatedmind-k9r🕎🇮🇱🔯 Hilo siyo ajabu hapa duniani Kuna baadhi ya watu wanakana Uwepo wa Mungu, je hiyo itamfanya Mwenyezi Mungu asiwepo kweli? 😅😅 I LOVE JESUS CHRISTIAN❤❤❤ I'm Proud to be a Christian hallelujah hallelujah ✝️🛐🙏🖐️😅
Huyu Jamaa kakaa Upumbavu sana hajui lolote. Eti anasema Mwanaume ndiye ana Uchungu w Mtoto na Mama hana Uchungu kwakuwa alibeba tuu Mimba. Jamaa sijui anavuta kitu gani maana hajielewi Kabisa.
Kwa hizi topic ambazo Simulizi una deal nazo naamini ipo cku Utasilimu2 km Mungu akipenda coz Uko very sensitive na unauliza maswali vizuri ukipata Wasaa wakutasmin hizi hoja lazima ubadiri muelekeo Hakilillah ☝️
Uyu jamaa sidhani kama mzima, eti yeye ndo mwenye uchungu wa kuzaa na sio mke wake anaebeba. Uyu jamaa nahisi katokea vingunguti. Ivi kwann waislam wanawabagua wanawake?
Mwamba namuelewa sana Mungu aendelee kumpa maujuzi zaidi ili awe 7bu ya kuwavua wengi gizani, Ukiona wanao comment Ujinga ndio wale wale wa Paulo lkn Wenye akili zao timam wanajifunza vingi na hatma yke wanachagua njia iliyo sahihi❤
Enhee nimeshtuka Sasa unitoe katika uislamu kwa hoja zenye mashiko,kwa hoja Kama hio uliotoa na mm hoja Kama hio yesu hawi Mungu kwa sababu alibebwa na ibilisi Hadi milimani akaonyeshwa vilivyo katika ulimwengu na akaambiwa amsujudie ili apewe vyote vile, jee Mungu gani abebwe na ibilisi halafu aambiwe atapewa vitu ambavyo ameviumba mwenyewe .
Tutakimbilia peponi, tunapinga Ukafiri na tunafunza watu waiendee njia iliyonyooka ya kumwendea Mwenyezi Mungu direct 👈 nyie simtakimbilia Mbinguni ambako hakutakua na makazi cku hyo Mbingu zote zitakunjwakunjwa na milima itapeperuka km Sufi angani👈
Nawewe ni katika wale munainamiwa kanisani sio bure maana shekhe anaongea na wakristo nawewe unamshambulia au asifundishe wewe ni shoga kama papa benedikt
DINI gani imekupa kushambulia MUISLAMU wakati wenzio wanakufuru nawanakashifu Kwa njia hiyo hiyo kama sio mnafiki Mungu akudhalilishe maana hata ungeambiwa Mtume Alikuwa mwendazimu au yukowapi tukamuuwe ungewaonyesha aliko ungetetea makafiri ACHA ukafiri we dhehebu gani fala wewe uoni vya kuongea au mama Yako ukiulizwa alitiwa na mlevi utasema ndio aliinamishwa khaaaa fala kweli
@@IMRANITV1 kama anataka kulinganiya bassi alinganiye kwa kutumiya kweli , tafsir na maelezo sahihi Kama shafii na yule mwamba wa kimataifa DR ZAKIR NAIK
Yesu si alipewa sifongo yenye siki (sumu kali) mathayo 4.5 iheshimu sumu imekupa ukombozi kama unavodai mana yesu aligoma kufa akapewa siki akafa kwa imani yako cha ajabu mnaiponda sumu wakati imekupa uzima😂😂
Jamani ee kwanini utumie matusi kama hupendezewi si unacha kuliko kutukana huo ni ushamba wengine tunajifunza humo tumechoka kudanganywa Sasa kama we we tayari unaelimu tokomea mbali mjinga we uskoment upumbavu
Masha allah simulizi Asante sana kwa channel ya kuilimisha tuna Pata faida sana sisi waisilamu. Kupitiya sheik huyu nimefahamu sasa dini yangu . Asante sana simulizi. Naomba kila siku atupe elimu. nyege sana.
Shalom Maranatha, I LOVE JESUS CHRISTIAN I'm Proud to be a Christian hallelujah hallelujah hallelujah!!😅
@@paulmushi2428we mlevi huwezi kuuacha ugalatia kwa sababu ukiwa muislam utakatazwa,pombe,nguruwe na wizi,mambo ambayo kwa mchaga ni desturi
Uko vizuri kwa porojo hongera sana,
Imekuingia hiyo
Kweli huyu jamaa kwa porojo apewe tuzo tu
Porojo ziko kwenu kwenye ukiristo mumezoea kudanganywa
@@bitsanjEhata mtu akajitokeza mitandaoni kusema amejiamini kwa anachokisema.kwa hio unachotakiwa umtafute mfanye majadiliano ili na sisi tukipate ulichonacho tufahamu tusiyoyajua kutoka kwako,kinyume ya hapo ndo itakuwa porojo ipo kwako. Na pia maneno yanahitaji ufatiliaji kwa watu wenye kutaka kumjua Mungu wa kweli,na ili ujue unatakiwa uzingatie mambo manne
1)uwe msikilizaji mzuri.
2)uwe muulizaji.
3) usiwe mpingaji au kuleta ubishi usio na muelekeo.
4)uwe na hoja za msingi
Mboni unaatuwekea fupi yaani na penda mafundisho yake dahhh tuwekee ndefuuu jana kuna mama na wanawe wamesilimu kupitia mada hizi hizi za sheke matayo❤❤❤❤❤
Mashallah tabarakallah Allah azidi kuwaongoza pamoja na sisi
@@qwerqasd8597aamina p¹
Ameshasema wasabato watumishi w KWELI WA MUNGU wanaomfuata MUNGU Kwa unyenyekevu...waislamu wa kweli hata SABATO ya BWANA wananyenyekea . Ila waislamu wa Allah hawanyenyekei amri ya MWENYEZI MUNGU ya kupumzika. Huyo MATHAYO afanye mdahalo na Ndacha.
Na nyinyi waislamu mmemkataa Yesu kama wayaudi mnatofauti gani na wayaudi
Hakuna muislam anayemkataa Issa bin Mariam😂. Ni mtume kama mitume wengine kama alivyojinasibisha yeye mwenyewe katika vitabu visivyo na shaka ndani yake
Hakuna muislam anaemkataa yesu kwa maana ya issa ila ni mtume wa mungu na c mung wala mwana wa mungu hata na wewe unatakiwa kuamini hivyo
😂😂😂😂hayo ndio mawazo nilio kuwa nayo kabla cjaslim,ila baada kuslim ndio nimejua hakuna watu wanampenda Yesu km Waislam
Yesu nimuislamu mwenzetu hatujawai kumtaa,nyinyi ndio mmemkataa koz hakuna ata kitendo kimoja nmachomuiga
@@huseinshedrack6180hongera Hussein,kwa maamuzi mazuri.bali nataka uamini ukitoka kwenye uovu Kuna changamoto kwa waovu uliowaacha,kwa mfano,ukiacha unzinzi wanzinzi uliowaacha watakuona ukufanya jambo la mana,ni vile vile,kwenye ulevi,upigaji ngoma,uvutaji bangi na sigara nk
ata mjifunze lugha ya binguni hamuendi ng-o
Kwahiyo kwa utumbo huu wa huyu shekhe ndiyo unaandika heading kuwa amemaliza ujanja wa Ndacha? Kila wakati nakukumbusha deading zako haziendani na ukweli halisi wa mada husika
Je simulizi ashakuwa anakera kwa sababu ya ukweli...simulizi jitayarishe madhali unahoji penye ukweli tegemea na wewe kuanza kupata maneno.
Daudi Michael huyo ndacha wako ni mweupe kweli kweli Hana ajualo kuhusu midahalo yeye ni mbishani na kutafuta umaarufu
Wewe Uko Na Hadithi Daifu😢
anaonekàna ni mission town muongo muongo
Waongo ni nyinyi mulopandikizwa matango pori kwenye vichwa vyenu bila kujijuwa
Hoja za ndacha hakuna hata mwisilamu umoja dunia muzima anaweza kuzijibu mpaka yesu arudi hakuna hizo ni pologo zako tuu humuwezi ndacha
Unajitekenya wewe..pasta wako ndaca Hana hoja ni ubishi. Na kuhusu ubishi Kila mtu anaweza kuwa mbishi.lakini mwalimu wahoja siyo ndacha ni mubishi tu
Msikie uyu pepo, Mtume MUHAMMAD eti na nuru kama YESU. Uyu mpinga kristo sio makosa yake, Makosa ni Muhamad nabii wa mchongo ndo anaempotosha.
Kwa nini Yesu hakuwa na mke kama mitume yote iliyopita wote walikuwa na wake tena zaidi ya mmoja lakini Yesu hakuwa na je hakuwa RIJALI kama mitume mingine naomba Mashekh mtujulishe kwa nini au hakuwa mwanamme aliyekamilika
🔯🕎🇮🇱❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️Shalom, Shalom Maranatha, hosana, YESU KRISTO MWANA WA MUNGU yu HAI, hallelujah hallelujah, JEHOVA JIRE!! I LOVE JESUS CHRISTIAN❤❤❤❤❤❤ I'M Proud to be a Christian ✝️✝️🛐🛐 GOD is Good😅 🙏🙏🖐️
Pole sana ndugu. Naona umeweka bendera ya Israel, nchi ambayo hata haitaki kusikia ukristo ni nini. Pole sionkosa lako bali aliyekumezeaha matango😅
@@Educatedmind-k9r🕎🇮🇱🔯 Hilo siyo ajabu hapa duniani Kuna baadhi ya watu wanakana Uwepo wa Mungu, je hiyo itamfanya Mwenyezi Mungu
asiwepo kweli? 😅😅 I LOVE JESUS CHRISTIAN❤❤❤ I'm Proud to be a Christian hallelujah hallelujah ✝️🛐🙏🖐️😅
😂muiisraili mweusi katika ubora wako
@@ZayyanaBamuni mwarabu mweusi katika ubora uliotukuka
Huyo jama nimuongo asema sivyo huo labda ni u islam ukristo unjulikana na kuheshimiwa sana
Huyu Jamaa kakaa Upumbavu sana hajui lolote. Eti anasema Mwanaume ndiye ana Uchungu w Mtoto na Mama hana Uchungu kwakuwa alibeba tuu Mimba. Jamaa sijui anavuta kitu gani maana hajielewi Kabisa.
Kwa hizi topic ambazo Simulizi una deal nazo naamini ipo cku Utasilimu2 km Mungu akipenda coz Uko very sensitive na unauliza maswali vizuri ukipata Wasaa wakutasmin hizi hoja lazima ubadiri muelekeo Hakilillah ☝️
Uyu jamaa sidhani kama mzima, eti yeye ndo mwenye uchungu wa kuzaa na sio mke wake anaebeba. Uyu jamaa nahisi katokea vingunguti. Ivi kwann waislam wanawabagua wanawake?
Mwamba namuelewa sana Mungu aendelee kumpa maujuzi zaidi ili awe 7bu ya kuwavua wengi gizani, Ukiona wanao comment Ujinga ndio wale wale wa Paulo lkn Wenye akili zao timam wanajifunza vingi na hatma yke wanachagua njia iliyo sahihi❤
Waisilamu tuna watu bhana fahari ya Uisilamu hii, na mm namuomba Mungu anijaalie niwe na Vidume Wenye Kubainisha Dini ya Allah na kuipeleka mbele🎉
Hiyo Yuda 1:4 makafiri ni waislamu!!
mnaosema Mungu kuwa na Mwana ni ufisadi!!
Izi vitu zote ni stori za jaba akuna alienda binguni akajua dini gani ya ukweli huenda hata binguni haipo
Huyu anahubiri mwenyewe, weka mkutano
DA aah kwl kuish kwng Kuona MENGI 😂😂😂
BAADA YA YESU HAKUNA NABII MWINGINE ALIETUMWA NA MUNGU, UYU MUHAMMAD KATOKEA WAPI?
Kama ni dhaifu kwa nini ikaandikwa?
Nabii wa kweli hawezi fanyiwa upasuaji ndugu, Mtume Muhamad ni wa mchongo ndugu shtuka.
Enhee nimeshtuka Sasa unitoe katika uislamu kwa hoja zenye mashiko,kwa hoja Kama hio uliotoa na mm hoja Kama hio yesu hawi Mungu kwa sababu alibebwa na ibilisi Hadi milimani akaonyeshwa vilivyo katika ulimwengu na akaambiwa amsujudie ili apewe vyote vile, jee Mungu gani abebwe na ibilisi halafu aambiwe atapewa vitu ambavyo ameviumba mwenyewe .
Kumbe Kuna hadithi dhaifu katika UISLAMU? Kulingana na heading
Hadith dhaifu ipi tueleze
Simulizi ikimuhoji huyo bwana mwambiye atoe ushahidi Kwa maandiko hatutaki porojo nyingi Na Maneno YA akili yake.
Nyie waislamu siku ya kiama mtakimbilia wapi?
Mnapinga nn?
Mnafunza nn?
Tutakimbilia peponi, tunapinga Ukafiri na tunafunza watu waiendee njia iliyonyooka ya kumwendea Mwenyezi Mungu direct 👈 nyie simtakimbilia Mbinguni ambako hakutakua na makazi cku hyo Mbingu zote zitakunjwakunjwa na milima itapeperuka km Sufi angani👈
Sisi waislamu tutakwenda peponi yaani paradiso nyie wakristo mutakwenda jahanamu kwa sababu yesu hawajui Wala hakutumwa ila kwa nyumba ya israel
Kwani unauhakika yesu atakuona kwenye umati wa watu wengi
Si wasome hio Aya anayosema kuhusu shetani kuliko kusema tu kuna ayah ,mwambie asome hio ayah sio tu kusema kuna ayah kuna ayah , iwapi na isomwe
Suni na shia ni ndini mbili tofauti…ahahah
Ni sawa na Katoliki na Sabato
Simulizi hapa sasa naona ni views unatafuta
Simulizi ikimuhoji huyo bwana mwambiye atoe ushahidi Kwa maandiko hatutaki porojo nyingi Na Maneno YA akili yake.
Inakuwa wapi au umelala maana ushahidi ametoa mwingi au unakusudia kusema hayo maandiko ya kwenye biblia ni porojo?
Hahaha uuuwihhh wananyolewa mavuzi live😂😂😂 na meno kung'olewa washenzi kabisha wakristo dahhhh
Toa mafundisho usitukane ndugu matusi hayafai kwenye uislamu
Mimi nibora uislamu kuliko ukristo kung'olewa meno akuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Shaloom Maranatha, I LOVE JESUS CHRISTIAN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ I'm Proud to be a Christian hallelujah hallelujah 😅🙏🖐️
Tatizo ya hawa ma sheikh hawajuwi dini ya uislamu , wanajuwa bibilia sana lakini corani na hadith hawajuwi .
Sheikh shafii tou ndiye anajuwa machallah
Naona wewe kafiri mwenye jina la kiislam ukweli huu unakuuma.
@@walidmgonja3644 hadith ya mtume kourogwa ni ya kweli kabissa ila yeye yakujuwa kweleza
Alafu ayat nyingi anazikoseya kuzisoma na tafsiri yake
Nawewe ni katika wale munainamiwa kanisani sio bure maana shekhe anaongea na wakristo nawewe unamshambulia au asifundishe wewe ni shoga kama papa benedikt
DINI gani imekupa kushambulia MUISLAMU wakati wenzio wanakufuru nawanakashifu Kwa njia hiyo hiyo kama sio mnafiki Mungu akudhalilishe maana hata ungeambiwa Mtume Alikuwa mwendazimu au yukowapi tukamuuwe ungewaonyesha aliko ungetetea makafiri ACHA ukafiri we dhehebu gani fala wewe uoni vya kuongea au mama Yako ukiulizwa alitiwa na mlevi utasema ndio aliinamishwa khaaaa fala kweli
@@IMRANITV1 kama anataka kulinganiya bassi alinganiye kwa kutumiya kweli , tafsir na maelezo sahihi
Kama shafii na yule mwamba wa kimataifa DR ZAKIR NAIK
Baba ndio anajua uchungu wa kuzaa 😂😂😂
@@richardkonzo5717 kwahio unatumia ubini wa mama yako
Uyu jamaa anakuja vizuri sana mungu amlinde
I LOVE JESUS CHRISTIAN❤❤❤❤❤❤❤❤ I'M CHRISTIAN ALLELUJAH
Mohammandi alipasuliwa akatolewa shetani….na akawekwa akili kwa bakuli…ahahaha
IPO SHIDA ASEE,SIAMINI KAMA WEWE NI UPO UPANDE WETU WAKIUME,HIZO NI FIKRA ZA KIANGLIKANA ZA KISHOGA😢
@@Smart_jarmusipate tabu na hawa watu wanaohitaji mchango wa dawa katika akili zao
Mohammandi alikufa baada ya kula sumu huko khaiba…
Ili ujue kuwa wewe ni mpumbavu hebu thibitisha hilo kwa hadithi sahihi?
Walio laaniwa wanatukana mitume wa Allah Allah akuongoze
Yesu si alipewa sifongo yenye siki (sumu kali) mathayo 4.5 iheshimu sumu
imekupa ukombozi kama unavodai mana yesu aligoma kufa akapewa siki akafa kwa imani yako cha ajabu mnaiponda sumu wakati imekupa uzima😂😂
hawa waislam nimekuja gundua wanakula jaba aise story zao za jaba
…huyu ananjielewa kweli? Kwanini zipo hadithi dhaifu?…Quran pia ni hadithi dhaifu….huyu sayatin Matahkho
Kuna muda mnaongea kama mnakula mavi,kwaio unajua matumizi ya hizo hadithi????
Jamani ee kwanini utumie matusi kama hupendezewi si unacha kuliko kutukana huo ni ushamba wengine tunajifunza humo tumechoka kudanganywa Sasa kama we we tayari unaelimu tokomea mbali mjinga we uskoment upumbavu
Nahisi vyema kama hujaelewa uulize kuliko kuongea ujinga usioulewa hakuna aliyekuambia kuwa kuna qur ani dhaifu