KIPATO KIMEONGEZEKA BAADA YA KUPATA MTOTO| UJIO WA ALBUM YAKE | SINA BIFU NA ABIGAIL CHAMS.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- @marioo_tz anathibitisha ni baraka nyingi zimekuja upande wake baada ya kupata mtoto na moja kati ya baraka hizo ni kuongezeka kwa kipato katika maisha yake kwa ujumla.
Kama baba, @marioo_tz anadai jukumu lake pendwa katika malezi ya mtoto wake ni katika sekta ya kumbadilisha diapers pale anapojisaidia! 🤔• #XXLyaCloudsFM •
Jamaa yuko real sana
❤
Etyy album shida hakuna msanii anaweza kukuta daaah jay, ray, diam. Jamaaa anaseama hawawezi wote hata wakitoa yani kiufupi amesema hakuna atae ikuta album yake
Huyo dada mtangazaji jmn napenda sauti yake🎉🎉🎉🎉
Minna ally,😍
Mina ally sasa marioo aende shule asome nini?
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mtoto Wa Kike Ana Barka Sana