DARSA ZA KITABU CHA LUGHA KIARAATU ARRASHIIDAH; SOMO LA 7 & 10 (Juzuu Ya Pili)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ส.ค. 2023
  • NJOO NIKUPE SIRI ZA KUWEZA KUONGEA KIARABU HARAKA.
    Najua umepoteza fursa nyingi sana eti kisa ujui kuongea kiarabu.
    Hakuna kitu kinaumiza kama kutaka kuzungumza lugha ya Kiarabu alafu usijue maneno ya kutumia. Yaani unapenda sana kuongea Kiarabu lakini tatizo ni maneno ya kutumia. Unatamani sana kuongea kiarabu na rafiki yako (Pengine Mwarabu) kwenye simu lakini unashindwa. HAKIKA INAUMIZA SANA.!
    Labda unapigiwa simu na Mwarabu au mtu yoyote yule anayezungumza kiarabu, alafu unashindwa kumuelewa anamaanisha nini anapokuwa akitumia maneno rasmi kwaajili ya mazungumzo kwenye simu. HAKIKA NAAMI UTAKUWA UMEPATA TABU SANA.
    HILE TABU ULIYOKUWA UKIPATA YA KUTAKA KUJUA KUONGEA KIARABU FASAHA IMEKWISHA TENA... ....NJOO NIKUFUNDISHE TUONGEE KIARABU PAMOJA KWA MUDA WA MWAKA MMOJA TU NA ADA NAFUU. CHANGAMKIA FURSA EWE MTANZANIA MWALIMU WAKO MWENYE UZOEFU NIPO
    HAPA INSHALLAH.
    Isisahau Ku'sabcribe TH-cam tuendelee kupata faida zaidi Insha'ALLAH
    WOTE MNAKARIBISHWA.
    TUNAPATIKANA: MARKAZ ABI IBRAHIIM,
    MAJOHE, DAR ES SALAAM.
    TUPIGIE:
    📱📞: +255 621 552262
    @jifunze_kuongea_kiarabu
    Instagram: Jifunze_kuongea_kiarabu

ความคิดเห็น •