daima kiba na mondi hawana bifu ila watu wanaotafuta mkate wawatoto kwanguvu ndio wagombanishi ilo mbona tunalijua# by the way kiba ni kakaake mondi kimziki na mond anamuheshim kama kakaake kimziki ndio maana unaona anaruhusu ngoma ya kiba kuchezwa kwenye wasafi tv,Hongera mondi kwa moyo mzuri wa sapport pia hongera kiba kwa ngoma tamu.... mwambie sina ohh,wakutamba nae. mwambie sina ohh,wakuringa nae. #Kizazi sana asee. #call me yuzo b mapesa from dsm tz.
Mziki hauendi kwa team ndio maana kunabaki watu wawili tuu siku zote na kuna vipaji Vingi sana bongo is time to wake up angalia Nigerian's wanavyo bebana na wanafanikisha suport good music to the world maswala ya team wa bongo acheni munaua industry yenu wenyewe kwakuto kuelewa gonga like kama ni fun wa mziki mzri team uwanjani.
WASAFI TV nikama tuu TV nyingine nawala sio kwa sababu ndo tv ya wcb basi warushi nyimbo zao tuu amna uwo ni mtazamo wawatu wanje jinsi wanavyo ona wenyewe ila mond wala hata roho mbaya ya ubaguzi ndio maana anafanikiwa sana coz roho yake aina konyongo wala bifu na mtu yeye anaangalia maisha yake na pesa na kuishi na watu vizuri basiii😍😍😍😍
Tz yetu. Na wote wanaipeperusha bendera hii ya Tz. Hivyo kama wamefanya ku shared muziki wa ndugu zetu Kutoka Kingmusicrecord wamefanya vyema. Mungu ndie muweza na anajua kwanini iwe hivyo.
Hapo zarau kaka amefanya kitendo cha unyama sana kwa mwwnzake akumbuke pia yeye ana roho kama yy mbona umuone mwenzake kama kiatu...walllahi Mungu ywamuona.
Ifike mahali tubadike watanzani kwani muziki watanzania ni wetu sote kwahiyo japo NASIBU ni msanii anaweza ipenda ngoma ya ALLIKIBA na akaisikiliza na Kiba vilevile anaweza kufanya hivyo kwenye ngoma za Nasibu. Tusiwe wachochezi kwani hakuna anayejitosheleza kila kitu hivyo wanatakiwa kushirikiana kwani wao ndiyo kioo cha Tanzania .
Mungu Awalipe Kwa Kipi Niwajibu Wao Kupiga Mziki Mzuri Hawawezi Leta Personal Ishu Kwenye Kazi So Kawaida Ongezeni Juhudi Kutuletea Habari Zenye Mashiko Sio Mambo Madogo Kama Haya
Waandishi wa habari ndio wachochezi wa migogoro. Ndiyo maana hata Serikali inavifungia vyombo vya habari visivyo na maadili kutorusha matangazo. Kiba na Chibu wote ni watafutaji so lazima kila mmoja apambane ili afanikiwe kuliko mwingine but haimaanishi kuwa ni maadui kiasi cha kutoshirikishana mambo yao. Kazi ya chomba cha habari ni kufukisha habari au ujumbe kwa wasikilizaji, watzamaji na wasomaji so wasafi tv wako kwenye majukumu yao. We mtangazaji acha roho mbaya ya uchochezi. Siku nikitoka na demu wako nadhani hata hatutasalimiana wakati yeye mwenyewe atakuwa karidhia.
@@RomanusTv wajua nn kaka kma wasafi tv wamepiga hii nyimbo y kibaa tatizo likowapi, umenixhangaza kwa kusema wasafi tv wamemfanyia kiba kitendo kp kma wamepiga wimbo ndio vzur waendele mbele kaka
kitendo kinaweza kuwa kizuri au kibaya, watu wanashindwa kuelewa kilicho zungumzwa kwenye video,ni hivi = wasafitv wamepiga wimbo wa alikiba bila hata mwenyewe kuupeleka ofisini kama wanavyofanya wasanii wengine, so huu ni upendo wa dhati na MUNGU ATAWALIPA KWA HILI
+Romanus Tv siyo upendo wa dhati ni kazi yao alafu ninachoona mm diamond hausiki na uoangaji wa vipindi wasafi wala hausiki na uendehsaji wa TV hiyo kazi inawatu wenye professional za uendashaji wa TV tena akae mbali na usimamizi wa hiyo media atabaki kuwa brand tu peke yake
Wily Msumary naomba nikuweke sawa hata Kiba hana tatzo na mtu kwasababu anayohaki ya kuwakataza Wasafi wasipige nyimbo zake uliwahi kumskia au kulalamika acheni kukuza vitu visivyo na maana wote wako poa tu.
Hata kiba ana tatizo na mtu toka ahanze mziki watu.wanamsema ila sijawai ona anajibu na maintavyuu ya.ajabu ajabu hana.kiki wala mpango na.mtu.anaemsema iwe.mwanamke.hata.mwanamme kumwanika mtu tu mitandaon hawez
Kwa wanaojuwa muziki huwezi linganisha nyimbo za matusi za wasafi na "Hela" ya kiba,ni nyimbo yenye message, haina mambo ya singida dodoma kitandani sodoma,sijui nipitishe boda la kule
Haji Mnubi waambie ,maana Nyimbo zao za rika Fulani Fulani, aibu kuimba watoto,wazee ,watu wazima wapo unakuwa huna Amani that's music Wa kuishi,bang bang tu kwa muda
Msimshindanishe Diamond na msanii yeyote East Africa ukweli unajulkana ,sasa washndani wa Diamond ni wizkid na davido ,tu kiba mshndanshe na akina aslay ,mbosso harmonize na wengne
Hosea Nobocka mziki n mashabiki asa ukisema ashindanishwe na kina mboso wamansha mashabiki wa alikiba mboso anseza washnda, that is not real my frinend truly kiba can only compete with diamond bt those small kinds ......think twice b4 u talk.
Mwisho wa siku kila mtu afanye muziki wake,lkn nyimbo za kiba zinaishi,tizama seduce mi na zilipendwa ambayo wasafi walijikusanya wote kuitengeneza ishindane na seduce me,Nani anajua sikiliza zilipendwa tena baada ya ule mwezi mmoja wa viewers,seduce hamna club inakosa kuupiga na ukipigwa mahali hata kama humpendi kiba utakugusa
Hatufanani Hayo ni mapenzi yako wewe kwa sababu kipimo kizuri angalia mpk sasa kati ya zilipendwa na seduce me ipi in views wengi seduce me imepata watazamaji wengi tena wengi sana kuliko hio seduce me yani nina maana hatufanani nikiwa na maana walioupenda wimbo wa seduce me ni watu milioni 10 na waliopenda wimbo wa zilipendwa wako milioni 25 kwa hiyo wewe upo kwenye ile list ya watu milioni 10
Athuman Bisudy kabisa kaka maana hata Kiba angekuwa na roho mbaya angekataza Wasafi wasipige lakin sijawahi kumskia wala kulala mika hivyo wote wako sawa hawana shida tatzo ni ushabiki wakijinga na media zinaongoza kwa kuchonganisha baada ya kubuni vitu vizur ili ziendelee wao wanaendekeza chuki ili wapate pesa.
mwasapili mwasa ni mtazamo wako watu tunafika hizo nchi Na hawamjui,Na Ali ajulikana,,kwa nguvu nyingi anatumia kiki skendo ,Lucifer's, music mzuri hauitaji nguvu nyingi bro,mbio za sakafuni tu tuombe uzima kwa mungu tuone
Jaman hatutaki kufananishwa diamond hashindan na kiba cz uwezo wa kiba bado mdogo mbosso tu anamtowa mafua na simba hana bifu na mtu jamaa anaroho nzurii sana
watu wanashindwa kuelewa kilicho zungumzwa kwenye video,ni hivi = wasafitv wamepiga wimbo wa alikiba bila hata mwenyewe kuupeleka ofisini kama wanavyofanya wasanii wengine, *so kitendo hiki ni upendo wa dhati na MUNGU ATAWALIPA KWA HILI, fikilia kabla ya kutoa comment yako*
Umeanguka rudi ucheze mpira.. Kechezwa kwa ngoma yako amna shida ju n TV inaonyesha kila msanii niaje uko na lalama.. Diamond ana noma na wwe acha mambo za watu
akili auna mziki nzur utapigwa kila sehemu kiba fundi wcb wote akuna asiyewahi kuimba mziki wa kiba pindi wanasoma hata ww umeimba sana hila unaleta ubishi tu
Kwani wasafi tv mnamjua mmiliki wake....au ndio mnaangalia vichwa vya habari na sio habari halisi....waandishi uchwara...diamond ni km balozi tu wa wasafi
Yani sisi watanzania bwana sijui tupoje umesikiliza kingine halafu una coment kingine kwani swali liliulizwa alikiba na monaizi nanizaidi huenda sijaskia vizur
Wasafi ndio maisha mzee baba
Rajab abdul wasaf tv ni chaneli kama nyengne haimaanish ya wcb wacheni ushamb
Isingepigwa bado mgelaumu lkn imepigwa bado mnaleta maneno mengi...big up wasafi kwa sapoti yenu kwa kiba.
daima kiba na mondi hawana bifu ila watu wanaotafuta mkate wawatoto kwanguvu ndio wagombanishi ilo mbona tunalijua#
by the way kiba ni kakaake mondi kimziki na mond anamuheshim kama kakaake kimziki ndio maana unaona anaruhusu ngoma ya kiba kuchezwa kwenye wasafi tv,Hongera mondi kwa moyo mzuri wa sapport pia hongera kiba kwa ngoma tamu....
mwambie sina ohh,wakutamba nae.
mwambie sina ohh,wakuringa nae.
#Kizazi sana asee.
#call me yuzo b mapesa from dsm tz.
Mziki hauendi kwa team ndio maana kunabaki watu wawili tuu siku zote na kuna vipaji Vingi sana bongo is time to wake up angalia Nigerian's wanavyo bebana na wanafanikisha suport good music to the world maswala ya team wa bongo acheni munaua industry yenu wenyewe kwakuto kuelewa gonga like kama ni fun wa mziki mzri team uwanjani.
Khamis Masaai wakina Mario wanakuja,Benson Na wengi watafikaje juu utim tu
Wasafitv isaidie sanaa yenu icho ndo chamuim kuliko kumfikilia kiba nyimbo moja miaka 7 na hii juzjuz katoa wmbowa2012 yani ajielewi
Watangazaji punguzeni njaa,,Wasafi ni homa ya Dunia
ngima kaliii sana mtuanapofanya kizul anasitahil pongez ngoma ya kings muzk ikopoa sanaaa king kiba sana.
Nyie waandishi wapumbavu sana acheni kuchonganisha watu waacheni wapige kazi apa kazi tu majungu kwenu waandishi """"""
WASAFI TV nikama tuu TV nyingine nawala sio kwa sababu ndo tv ya wcb basi warushi nyimbo zao tuu amna uwo ni mtazamo wawatu wanje jinsi wanavyo ona wenyewe ila mond wala hata roho mbaya ya ubaguzi ndio maana anafanikiwa sana coz roho yake aina konyongo wala bifu na mtu yeye anaangalia maisha yake na pesa na kuishi na watu vizuri basiii😍😍😍😍
Umeandika point tupu
Nikwelii kabisa magazeti na mitanandao uwatengenezea team Katie ya kiba na mond lakini wakosawa mbona
Amina Daudi poa sana
Romanus Tv pa1 sana 👏
Rither Fintan sawa kabisa hawa waandishi wa habari ndo huwa wanaanzisha hayo mambo ya team
kiba tatizo unachelewesha sana nyimbo.
Tz yetu. Na wote wanaipeperusha bendera hii ya Tz. Hivyo kama wamefanya ku shared muziki wa ndugu zetu Kutoka Kingmusicrecord wamefanya vyema. Mungu ndie muweza na anajua kwanini iwe hivyo.
Hapo zarau kaka amefanya kitendo cha unyama sana kwa mwwnzake akumbuke pia yeye ana roho kama yy mbona umuone mwenzake kama kiatu...walllahi Mungu ywamuona.
Ninachojuaga waandish ndiowachochez kumbe namashabikipia!acheni uteam mnafeli waswahiliwenzangu.( by wind the one)
Ngoma ya Kiba na watoto wake ni kubwa kuliko kangaroo,na nyimbo zote za wasafi 2018
unaota ndoto yamuchana wewe
Kama umesikia I don't sure like hapa
Ile ni media na wapo kibiashara so hawawez acha kupiga ngoma ya msanii mkubwa km Alikiba
Nimependa sana
Ifike mahali tubadike watanzani kwani muziki watanzania ni wetu sote kwahiyo japo NASIBU ni msanii anaweza ipenda ngoma ya ALLIKIBA na akaisikiliza na Kiba vilevile anaweza kufanya hivyo kwenye ngoma za Nasibu. Tusiwe wachochezi kwani hakuna anayejitosheleza kila kitu hivyo wanatakiwa kushirikiana kwani wao ndiyo kioo cha Tanzania .
Mungu Awalipe Kwa Kipi Niwajibu Wao Kupiga Mziki Mzuri Hawawezi Leta Personal Ishu Kwenye Kazi So Kawaida Ongezeni Juhudi Kutuletea Habari Zenye Mashiko Sio Mambo Madogo Kama Haya
Alie post hii habar mm namuona boya kwan haelew kaz media sasa hapo raajabu nn???
ngoma yetu nizur
production yako ya sound ni mbovu just fix it utastk stak
Mbona headline zenu zinapishana na video zenu unazingua
Kwazo ndio nimefurah sana simba king 🤴 mpo juu msisikize mambo ya watu fanya kazi pesa iingie
lakin kila sku wenyewe kati ya alikiba na mondi hawana bifu ila watu ndo tunawagombanisha kwann wasipige ngoma za kiba mondi hana bifu na ali kiba
Juu sana
Hata Iweje Kiba Ni King Him self Jesh La Mtu M1 Mungu Akucmamie zaidi
Leo ndo nimeamini kuwa mashabiki wa Kiba ni wapumbavu.
Jeshi la mtu mmoja hao wengineo akina abdu kiba, k2ga, cheed na Killy wao sio jeshi
Jeshi la watu 5
Kweli kaka wabongo shida kwnn tuweke ubaya wa watu sisi sote ni binadamu
Waandishi wa habari ndio wachochezi wa migogoro.
Ndiyo maana hata Serikali inavifungia vyombo vya habari visivyo na maadili kutorusha matangazo.
Kiba na Chibu wote ni watafutaji so lazima kila mmoja apambane ili afanikiwe kuliko mwingine but haimaanishi kuwa ni maadui kiasi cha kutoshirikishana mambo yao.
Kazi ya chomba cha habari ni kufukisha habari au ujumbe kwa wasikilizaji, watzamaji na wasomaji so wasafi tv wako kwenye majukumu yao.
We mtangazaji acha roho mbaya ya uchochezi.
Siku nikitoka na demu wako nadhani hata hatutasalimiana wakati yeye mwenyewe atakuwa karidhia.
Kwani kuna sehemu nimeongea vibaya ndugu? Ipi hiyo? Kama ipo nisamehe sana
Benedicto Hosea hahahahahaha
@@RomanusTv Labda amemanisha kichwa cha habari kama mtu hata watch mmh ataelewa makubwa
Benedicto Hosea Fact
What I know Kiba Na Diamond have no beef,, if you know you know,,,hit my comment,,,from Kenya 254
True bro
ngoma Kali n Kali tu waicheze wasicheze
Duuh 😀😀😀😀
Kiba alisema utaicheza hata ukiwa chooni
Unazngua mamaaaeeee zako Huna mpya
Hivi wasafiTv ni ya Diamond???
frexh 2 ni vizur
Mbona ni editing kila kimacho onekana
Wameongeza views wasafi TV na wanapata pesa zaidi wasafi ni waroho wa pesa sana
😀😀😀😀
WCB ni kama media zingine
Ni kweli ndugu
Acha uzushi nae ngoma nzuri n nzuri mwenye kupiga apige lkn ngoma wazimu
uzushi upi sasa ndugu?
@@RomanusTv wajua nn kaka kma wasafi tv wamepiga hii nyimbo y kibaa tatizo likowapi, umenixhangaza kwa kusema wasafi tv wamemfanyia kiba kitendo kp kma wamepiga wimbo ndio vzur waendele mbele kaka
kitendo kinaweza kuwa kizuri au kibaya, watu wanashindwa kuelewa kilicho zungumzwa kwenye video,ni hivi = wasafitv wamepiga wimbo wa alikiba bila hata mwenyewe kuupeleka ofisini kama wanavyofanya wasanii wengine, so huu ni upendo wa dhati na MUNGU ATAWALIPA KWA HILI
@@RomanusTv ok swa kaka nimekuelewa vzur ss
+Romanus Tv
siyo upendo wa dhati ni kazi yao
alafu ninachoona mm diamond hausiki na uoangaji wa vipindi wasafi
wala hausiki na uendehsaji wa TV
hiyo kazi inawatu wenye professional za uendashaji wa TV
tena akae mbali na usimamizi wa hiyo media atabaki kuwa brand tu peke yake
wamepiga mbona wamepost
Yeah bro
Diamond ni fear boy
I see
Ally kwan kafanya nn kwnye bongo fleva tuxm na ukwel king angepewa fully sky's or q chilla na wengn achen ugombnxh wa tz
Sikuipenda hiiyo maana wcb ni watu si wazur
noma sanaaaaaaaaaaaaaaa
pamoja sanaa
we unataka kukuza beef tuu kwan shida ipo wapi hapo
Wasafi na Diamond haina tatzo na m2 ila wao wengine ndo wanamatatzo
Ni kweli kabisa
Mzk mzur utaimbwa ata choon
DUUH
David Avda 👏👏👏
David Avda ndio maana yake vocalist
Daimod hanatatzo na mtu na sijaona tanzania hiii msanii wa kumlignisha na daimod simba ni habali nyingne simbaaaaaaaaaaa
KWELI
Wily Msumary naomba nikuweke sawa hata Kiba hana tatzo na mtu kwasababu anayohaki ya kuwakataza Wasafi wasipige nyimbo zake uliwahi kumskia au kulalamika acheni kukuza vitu visivyo na maana wote wako poa tu.
Hata kiba ana tatizo na mtu toka ahanze mziki watu.wanamsema ila sijawai ona anajibu na maintavyuu ya.ajabu ajabu hana.kiki wala mpango na.mtu.anaemsema iwe.mwanamke.hata.mwanamme kumwanika mtu tu mitandaon hawez
I dont sure😂
Wasaf akil kubwa sana zile
Jamani kiba na diamond hawana bifu ila sisi mashabiki ndio tunawatengenezea mabifu
lazima wapige coz wanamkubali wcb wote wansmueshimu king kiba na watz wote tunamkubali king kiba
kasoro mm
safi sana bifu za nn jaman
Hata wasipopiga bado itaendelea kuwa juu kiba ndiyo kiba
sawa
Mwehu
Mwehu
kawaida kwani clauds wamemempoteza diamond si bado yupo
Angalia akili za wabongo zilivyo jaa mavi
hiv we mtangazaji ulisomea hii kaz au ulipewa ada ukaitumia ktika mambo yako ... anyway sijaona ulichoongea zaid ya UCHOCHEZ af hujui kiswahili
mtesema sana kiba yuko poa tu saba
Kwa wanaojuwa muziki huwezi linganisha nyimbo za matusi za wasafi na "Hela" ya kiba,ni nyimbo yenye message, haina mambo ya singida dodoma kitandani sodoma,sijui nipitishe boda la kule
Haji Mnubi waambie ,maana Nyimbo zao za rika Fulani Fulani, aibu kuimba watoto,wazee ,watu wazima wapo unakuwa huna Amani that's music Wa kuishi,bang bang tu kwa muda
Haji Mnubi hamna kibaya hapo
Team Kiba 100%
biashara na bifu ni 2 tofauti.biashara itabaki biashara na bifu litabaki bifu.
Mwambie Sina
Kumbe wa2 hamuangalii mpaka mwisho
Kiba ana eshimika sio hao wavaa vikuku
hebwana heee king kiba yuko juu xana kwa vi2 vyake anavo towa
I don't sure....dayyyym
😀😀😀😀
Mmmh
Eti kiba juu kakimbia mziki kaende kwenye mpila wakati huko kuna kagere na okwi na kichuya
king kiba nakukuball
nyie mnawaza bifu wenyewe wanapiga mpunga hahahahaha twende kaz mziki mzur na mtamu king music mooko!!!!!!
Asha Nuru sanaa tyu yaan
Msimshindanishe Diamond na msanii yeyote East Africa ukweli unajulkana ,sasa washndani wa Diamond ni wizkid na davido ,tu kiba mshndanshe na akina aslay ,mbosso harmonize na wengne
Jayratu Maulid umeonaa eeee
Hosea Nobocka mziki n mashabiki asa ukisema ashindanishwe na kina mboso wamansha mashabiki wa alikiba mboso anseza washnda, that is not real my frinend truly kiba can only compete with diamond bt those small kinds ......think twice b4 u talk.
Achaga usenge wew kichwa cha habar na maudhui ya video havifanani unakua Kama sio mwandishi
Mwisho wa siku kila mtu afanye muziki wake,lkn nyimbo za kiba zinaishi,tizama seduce mi na zilipendwa ambayo wasafi walijikusanya wote kuitengeneza ishindane na seduce me,Nani anajua sikiliza zilipendwa tena baada ya ule mwezi mmoja wa viewers,seduce hamna club inakosa kuupiga na ukipigwa mahali hata kama humpendi kiba utakugusa
B
Ni kwel kbs
Hatufanani Hayo ni mapenzi yako wewe kwa sababu kipimo kizuri angalia mpk sasa kati ya zilipendwa na seduce me ipi in views wengi seduce me imepata watazamaji wengi tena wengi sana kuliko hio seduce me yani nina maana hatufanani nikiwa na maana walioupenda wimbo wa seduce me ni watu milioni 10 na waliopenda wimbo wa zilipendwa wako milioni 25 kwa hiyo wewe upo kwenye ile list ya watu milioni 10
Hayeni bwana kwa uchonganishi wenu
Wcb danger kiba na mbwa wenzie wajipange kuma aoh
Watanzania tuache ushamba iyo media inahaki ya kuonyesha chochote kile tuache maneno na tuache bifu zisizo tuhusu na tim zetu zisizo na maana
Kweli kabisa ndugu
Athuman Bisudy kabisa kaka maana hata Kiba angekuwa na roho mbaya angekataza Wasafi wasipige lakin sijawahi kumskia wala kulala mika hivyo wote wako sawa hawana shida tatzo ni ushabiki wakijinga na media zinaongoza kwa kuchonganisha baada ya kubuni vitu vizur ili ziendelee wao wanaendekeza chuki ili wapate pesa.
mkubwa hawez gombana na mdogo jamaniii ,mond msanii wa Dunia na kiba ni wa afrika Tuy , ugomvi wa nm
mwasapili mwasa ni mtazamo wako watu tunafika hizo nchi Na hawamjui,Na Ali ajulikana,,kwa nguvu nyingi anatumia kiki skendo ,Lucifer's, music mzuri hauitaji nguvu nyingi bro,mbio za sakafuni tu tuombe uzima kwa mungu tuone
Rose Maiko unauhakika anatumia mashetan
i don't sure😂😂stick to Swahili
HAHAHAHA!
😀😀😀😀
Hahaaaaa kabla cjaskia nlitaka nkuponde wewe ghafla nkaiskia..Lugha hiz jamn tunapata shda jah..
*Mills* 😀😀😀😀
I was so sure this post is from a kenyan.
Nyie ndio baadhi ya media ambazo unachochea matatzo ku...a zenu
Hatakama haunipendi utakimbia tu hata ukiwa chooni
Muda mwingine mnashindwa kuweka vitu vya maana
Daimond awezishindana na mtu mdogo kiasi iko
Nyimbo yenyewe mbaya
umewah kurekodi nyimbo au kushoot nyimbo ya harus to
Tatizo tumeshazoea majungu mond anatuonyesha upandemwingine wa shilingi kwani nyimbozote za nje zinaretwa na wasaniii
Jaman hatutaki kufananishwa diamond hashindan na kiba cz uwezo wa kiba bado mdogo mbosso tu anamtowa mafua na simba hana bifu na mtu jamaa anaroho nzurii sana
😀😀😀😀 saana
Mawazo finyu😏😏😏😏😏👌👌👌👌
Yn mm uwe nalia kbs diamond ana bef Na kiba Na kiba ana wivu Na Diamond Kila mtu anakazi Zak lkn media inapenda kuona beff
Wewe nifala hujielewi huezi mfananisha king na takataka kama mboso we hujielewi
acha ujinga wew kiba ana nyimbo ngap huyo mond anangap huwez mfananisha na moso
watu wanashindwa kuelewa kilicho zungumzwa kwenye video,ni hivi = wasafitv wamepiga wimbo wa alikiba bila hata mwenyewe kuupeleka ofisini kama wanavyofanya wasanii wengine, *so kitendo hiki ni upendo wa dhati na MUNGU ATAWALIPA KWA HILI, fikilia kabla ya kutoa comment yako*
tatizo wanakurupuka tu na stress zao
Romanus Tv sio mapenzi tyu bali ni mziki umekubalika jaman ndo maan akaitwa king
Wapendane &kusupportiana tu sioni km ni xhida saaana..One love
Diamond nia yake mxiki ufike mbali zaid
Status yako inafanya watu waplay tujue ulivyo andika ni kweli acha uchochezi ms3ng3 nn
Umeanguka rudi ucheze mpira..
Kechezwa kwa ngoma yako amna shida ju n TV inaonyesha kila msanii niaje uko na lalama..
Diamond ana noma na wwe acha mambo za watu
akili auna mziki nzur utapigwa kila sehemu kiba fundi wcb wote akuna asiyewahi kuimba mziki wa kiba pindi wanasoma hata ww umeimba sana hila unaleta ubishi tu
Sisi sote niwakupita hatuitaji bifu chamsingi nikazi wcb 4life
Kwelii kabisa
Ulikua unataka tu views huna jipya
Hata kama hawatapiga kitu kizuriii ni kizuriii tuu kiba juuuuu
😀😀😀😀
Uzuri gani wee kolo
Kizurii kipi wee kipukuna
Kwani wasafi tv mnamjua mmiliki wake....au ndio mnaangalia vichwa vya habari na sio habari halisi....waandishi uchwara...diamond ni km balozi tu wa wasafi
et balozi una uhakika gani au ww ndo mmiliki
Wasaf hawana roho ya korosho
Mi sion ajabu kwan wasaf ni media kama zngne tu
Yah ni kweli
Kusaga hana roho kubwa sioni tatizo tv yake kucheza nyimbo ya msanii yeyote.
Wasafi hawana mda wa kubifu na mtu ambaye hana hata muelekeo. Wanamsaidia tu.
Kiba hana jeuli ya kumfunika mond
tukio lakuzamakivuko
Cheki ngoma mpya ya Alikiba (Licked) th-cam.com/video/t_0T7GifPiY/w-d-xo.html
Ebwan wameon km umoja ni nguv
Na skuzot bif hazin maan wasaf ni watu wakari so km mnavyofkiria
Mafara ninyii
Mond simba ni m2 wa wa2 so so ana mambo ya kitoto kama ayafanyayo alikib
😀😀😀😀
Yani sisi watanzania bwana sijui tupoje umesikiliza kingine halafu una coment kingine kwani swali liliulizwa alikiba na monaizi nanizaidi huenda sijaskia vizur
HAHAHA ndiyo wabongo hao
yan saiv kiba kumfananisha hata na harmonize ni kosa la jinai
😀😀😀😀 kwanini?
Kweli
Romanus Tv hana kiwango
umewah kuingia studio ata mara moja kwa kuwazarau watu hivyo
Wewe ni boya usimfananishe kiba na natakataka zako hapo wasafi
anjikosha kwa kiba
😀😀😀😀 duuh