UshaniSoma Eeh?? Here is a Link to my Song..Kindly Watch and let me know of what you Feel/Think about it.Thanks .th-cam.com/video/89f7qjij8GU/w-d-xo.html
session ya mistaa blue jukwaani huwa ni tamu sana. Mr blue amekuwa ni msanii mwenye nyota yenye influence kwa vijana.na ndio maana anaweza kuwamudu mashabiki wake stageni kirahisi sana.. nakumbuka tangu mr blue anaanza safari yamuziki vijana wengi waliokuwa wanaamini wanaenda na wakati walikuwa wanatamani kuvaa kama mr blue, kuongea kama blue, na mikogo yao kama ya mr blue. hii kitu blue kajaaliwa na mwenyezi.. hatoacha kuagawasha mashabiki zake hata akiperfome huku kakaa kwenye kiti muda wote.
Kweli tupende tu wasan wetu ila kusema kuna bla hapo au isitoria niuongo ila mtt unaweza ukamwambia hivyo mana hajui nn mana ya historia au bara ila mtu mzimaa kama mm nakuona una mana heli hata omii kidg angalao kawapa watu mzuka
Nafkir we ndo mshamba zaid asee unataka ckiliza izi nyimbo zinazodum masaa 2...... ona raia walivokua wanaimba nae fresh kabisa japo nyimbo ni za long time
Mr Blue ni kipenzi cha watu... Hawa ni mashabiki wake sugu.. Namkubali from 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦
Nimeamini kutoa minyimbo miingi haina maana watu wakikuelewa wamekuelewa tu Mr. Blue ni mwanamuziki mzuri hana mbwe mbwe mjin hapa
UshaniSoma Eeh??
Here is a Link to my Song..Kindly Watch and let me know of what you Feel/Think about it.Thanks .th-cam.com/video/89f7qjij8GU/w-d-xo.html
Mr Blue n kawaida yake anakiwaxhaga popote uyu🙌🙌
Noma sanam.....fiesta kitu ingine wazee
Ajawahi kosea namkubali sana ni zaidi ya star # love sana bro
Miaka Yote blue... Ndivo inavokua coz fundi wa mziki
Akunaga mfano ndani ya tigo fiesta mzee baba kuna wakali kama mr.. blue noma sana tisha mzazi
Sehemu ya kiba haina aja ya kuimba daaah full maupendo 😅♥
Mr.blue
Umekaa ukiwa na viatu kunyenyuka huna viatu 😁😂😅🤔
Jamani hii ndio generation na original ya Bongo flava, wengne wajifue ni bado tuwe wakwel kwa sisi tunaoijua ilipoanzia Bongo flava!!!!!!!
Kipande cha kibaaaa watu kama wote wamezolewa aaaaaaahaaaaa hatar sana
Blue kawaida yake ata awe hana singo mpya Ila jukwaa lake
kweliiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Nyani mzee hatariii tangu zama zile ,Pamba za blue we noma
Mr bluuu hujawah niangusha noma saana
Byser mkali sana
Bizzy ni Mashiineee... Mtu mbaaayaa Mwana Dar es salaam... Bycer
Umetisha mr blue
fanya ngoma na diamond iwe shida zaidi
Mkali wa hizi kazi tangu na tangu hatri sana
Jamaa noma sana
Always u r the stage killer 💪💪💪💪salute
Blue ni moja ya wasanii ambao hata angepotea miaka kadhaaa hivi zen akarudi bado anamashabiki ambao hawafi leo wala kesho
Mkn Sana Mr Blue unajua
Big up Mr blue utabaki kuwa juuuuuuu....kileleeeeeeeeeni
Wameondoka na viatu nomaaa
ujawahi niangusha since day moco byser balaaaaaa
Motooo
Hakuna kama fiest
Kombo Rashid kabisa
session ya mistaa blue jukwaani huwa ni tamu sana. Mr blue amekuwa ni msanii mwenye nyota yenye influence kwa vijana.na ndio maana anaweza kuwamudu mashabiki wake stageni kirahisi sana.. nakumbuka tangu mr blue anaanza safari yamuziki vijana wengi waliokuwa wanaamini wanaenda na wakati walikuwa wanatamani kuvaa kama mr blue, kuongea kama blue, na mikogo yao kama ya mr blue. hii kitu blue kajaaliwa na mwenyezi.. hatoacha kuagawasha mashabiki zake hata akiperfome huku kakaa kwenye kiti muda wote.
Shikamoo mr #Blue amesepa na jiji la mwanza
Pacha blue baisa
Msanii wa wang bora wa siku zote
yaani blue alichokinya katika nyimbo zake ni kuwa ziendelee kuishi
fireeeeee
Wahenga wa Bongo flava, tuelewe wingi wa minyimbo kila wiki sio issue!!!!! Piga 3 ila wakuelewe hata miaka mia angalia hii Mr Blue noma
Kwa Bongo Hii Baada ya Mondi ..Hakuna Msanii Anayejua Kufanya Shoo kama Blue
Duuh wamechukua snickers 😂😂😂
Wana wamesepa na force haaaahaaa
Nakuaminia kamanda wangu blue
Mkaka mwenye fiesta yake
Kabaisa nakukbal sn kma unamkubal biz gonga like
blue noma gonga like kama unamkubali
Noma sn blue umeua
Simbaaaa n legend
Mnyama mkali kabisa hajawahi tokea duniani
Mr blue nakukubari san sana broo
Wanajipimia saizi zao tu babaake Fiesta
More life Mr blue
Nakubal
show qaliii yente yent
Wangp wameona viatu vya mr.Blue vilivyochuliwa kiaina?
Bee's Babylon 👊👊👊
umetish Mr blue
Herry Sameer haujawah kuwaanguxha watu kwenye fiesta
Mnyama . BOB BAYSER
Mambaaaaa
vijana wamepita na viatu vya blue
Hiyo suruali ivue kbx haina maan 😏😏😏😏
Pc&lv blue byser
Legend
Day atabakia kua juuu siku zote ana jua kukonga nyo za mashabik awapo sitejin
wahuni wamesepa na buti
Mamae blue kakaa chin kuamka wat washachkuw raba duu kwl raia wapo fasta hahahah
Hii ndo tofauti kati ya tamasha la kimataifa fiesta na lile tamasha la wilaya wasafi
Babiloni bizzy
Kitambi toa hcho!ishi kistaa
Walikua kmy kwa wasanii waliopita alivyopanda mwenye stej yake tu na kile kipande cha king masauti wenyewe wameimba bila kuimbishwa bluu nomaa
Blue nakuelewaga sana
Always baisa ni baisa
Kukaa tu kidogo mabahari washasepa na viatu vyao
Mmmg mmmh blue nyoko
Kawaida huyo jamaa kukimbiza
Kajitaidi aise
Brue namkubal san
Kabaisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Pa1 blue
Kweli tupende tu wasan wetu ila kusema kuna bla hapo au isitoria niuongo ila mtt unaweza ukamwambia hivyo mana hajui nn mana ya historia au bara ila mtu mzimaa kama mm nakuona una mana heli hata omii kidg angalao kawapa watu mzuka
Hizi ndo hazina za bongo sio simba simba! Simba uchafuuu
Keneth Msigwa ndo tatizo mnaoanza kusikiliza muziki kwny fiesta. hivi hujui blue pia ni simba! sasa unamsifia hapo hapo unamponda kweli we kinyesi
@@edwardsichilengwe2330 kwel diamond anatesa watu maana lazma watu wamuongelee duu noma xana
Kipande cha kiba kama wote walioimba
Amexhaixha mda wake awapixhe hamo
Kwani mikanda ilipigwa marufuku Tz mbona suruale zawa nguka ama nazo ni swaga
🔥🔥🔥🎤🎤🎤🎤
Hyo ndo ndo Byser
Naelew kaz yake huy jamaa
Babylon
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
💥
we imba sio mashaki waimbe wao
🔥🔥🔥
Ushubwada mtupu
Kambi Popote Byser Kubali Sn
Blue hahahah
Jins ina vuka chupi twaiona mmh
♨️♨️🇹🇿
dhaaaa mzuka mjomba yni hkna kama ww
daaa
nomaaa
Oyooooo noma sana
Viatu
Hamna kitu hapo ...nyimbo hizo hizo miaka yote ...anatumia tu experience ila hana maajab yoyote mapya
Acha majungu ww
Unaweza toa nyimbo kila cku ila bubblegum ila hzi ni timeless hata wajukuu watazikuta
We mshamba tu mziki mzuri ni ule unao ishi acha kujisahau toa nyimbo uone kama itaishi kama wafkiri rahisi
Nafkir we ndo mshamba zaid asee unataka ckiliza izi nyimbo zinazodum masaa 2...... ona raia walivokua wanaimba nae fresh kabisa japo nyimbo ni za long time
Kwan we n msanii.. nadhani pia hata umri wako utakuwa tatzo itakuwa wa miaka ya 2000 so hujui maana ya muziki
we imba sio mashaki waimbe wao
🔥🔥🔥