SHAMBANI | Rais mstaafu Mwinyi na shamba la mfano la Korosho
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- Rais mstaafu , Ali Hassan Mwinyi ameendelea kuwa mfano wa kuigwa kwa wakulima wengi hapa nchini ni baada ya mafanikio yake katika mazao mengine, sasa amepiga hatua katika shamba lake jipya la korosho lililopo huko Mkuranga mkoani Pwani.
Uko sahihi mzee wengine tunalimia njaa wewe kwako ni burudani
Hongera Mhe. Ali Hassan Mwinyi kwa kuoneaha mfano kwa jamii licha ya kwamba angeweza kutulia nyumbani.
Kwa kwel
Mashallah Babu 97 na bado ana nguvu zake💕❤️mh mwiny Allah akufkishe adi 100 insha'Allah 🤲
mbon umewek kikoma jmn
Hapo utagundua wala nguruwe kwa wingi lazima wafe mapema kwa mfano tu marais wa kikristo wote walikwisha ila hao wasiokula nguruwe wako
Money can do anything in Africa leaders,huu labda uwe mfano kwa corrupt leaders..
Hapo ndipo alipozaliwa
Nampenda sana babu yangu huyu mwenyezi mungu amjaalie umri mrefu zaidi
Utafanya hivyo bila mtaji
Allah Amjalie umri mrefu afya njema amhifadhi
Maashallah Mzee RUKSA, ALLAH AKUPE AFYA NJEMA UENDELEE KUWA MFANO WA VIONGOZI WENGINE
Hongera mheshimiwa.pamoja na kuwa una kila kitu bado unalima.safi sana.unaonyesha njia
Baba miaka miwili iliyopita ulivuna? Au?
Hongera sana Mzee wetu! Ahsante sana!
Kaz nzur
Mungu akubariki amina.
Homgera sana baba yetu 😘😘😘
Nampenda sana
Manshallah
Mzee Ambaye Ni Mfano Wa Kuigwa Kwa Wazee Wengi Nchin Tanzania Na Ni Mfano Bora Sana Kwa Nchi Yetu Ya Tanzania Aswa Kwa Sisi Vijana Wa Taifa Ili Hongera Sana Mzee Ally Hassan Mwinyi🙏
Kabisa had nmetaman
Sawa lkn uyu ana pesa ilo zao gharama zake sio poa ekali 40 ziskie tu watu kuusu huduma weeeeeee
@@karimjuma4019 Ni Kujipanga Tu Sio Lazma Uwe Na Hekali40 Japo 5 Au 10