Je Sauti ya Tumboni inakuchanganya jifunze kitu hapa,,

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2019
  • Jinsi ya kutambua kama unaimba tumboni au la
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 56

  • @user-zl2bt1lm4h
    @user-zl2bt1lm4h 7 หลายเดือนก่อน +1

    Wish kusikiza mafunzo haya Kila siku.Mungu akubariki

  • @josepherick1570
    @josepherick1570 4 ปีที่แล้ว +4

    asante sana kaka unatusaidia sana ubarkiwe

  • @BONGO_FILAMU
    @BONGO_FILAMU 4 ปีที่แล้ว +2

    Leo umetisha kuliko siku zote ...keep it up ...somo limeeleweka

  • @stellahsanga8214
    @stellahsanga8214 4 ปีที่แล้ว +2

    Napenda kuimba san nitakutafuta nikutumie baadhi ya nyimbo ambazo naimba nikiwa chumbn au ninapopat hisia flan ya kuimba napenda san

  • @cecybby507
    @cecybby507 3 ปีที่แล้ว

    Nimependa somo lako jmn hadi nataman ungekuwa hapa krb uwe mwalimu wangu jmn👏👏👏

  • @oldboy3760
    @oldboy3760 4 ปีที่แล้ว +4

    nakubali sna brother

  • @queensharifu3910
    @queensharifu3910 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimeipenda san hiii jamn je nikitak kunat n bit nifany vip

  • @melesianageorge2012
    @melesianageorge2012 3 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa,

  • @harmoniky4000
    @harmoniky4000 4 ปีที่แล้ว +4

    Hili suala limenichanganya sana. Kuna jamaa alisema sauti ya tumboni inawezeshwa kwa kudhibiti misuli ile ambayo unaitumia wakati wa kutoa haja kubwa. Halafu akasema pointi ya msingi ni kufanya tumbo la chini(abdomen) kuwa taiti. Kwa sasa angalau naanza kuelewa. Ingawa kuhusu kutumia nguvu nyingi(constipated) au nguvu kidogo(vegan) inategemeana na mahali ulipo ikiwa ni studio, show ya ukumbini au uwanja wa mpira.

  • @youngbknzund2242
    @youngbknzund2242 4 ปีที่แล้ว +1

    Noma Sanaa kaka nimependa mafunzo hayaa

  • @fanny7565
    @fanny7565 4 ปีที่แล้ว +1

    Nakubali kaka we noma

  • @hastatz
    @hastatz 4 ปีที่แล้ว +3

    Unapatikana wapi

  • @swammylove62
    @swammylove62 3 ปีที่แล้ว +1

    Napenda kuimba

  • @joycekaniki3519
    @joycekaniki3519 3 ปีที่แล้ว +1

    Nafaidika Mungu akubariki

  • @tizzymusicfranciss2736
    @tizzymusicfranciss2736 ปีที่แล้ว +1

    Mnapatikana wap viongoz

  • @mycmeranyswai7957
    @mycmeranyswai7957 4 ปีที่แล้ว +1

    Napenda kuimba na dream yang asant najifunza kwako ili kufkia malengo yangu.. vile tuu siko Tanzania ningeomba nipate darasa refu kutko kwako

  • @travixclay8990
    @travixclay8990 4 ปีที่แล้ว +1

    Saw

  • @edinaisaya6229
    @edinaisaya6229 3 ปีที่แล้ว +2

    🥰🥰

  • @lizerlizz1166
    @lizerlizz1166 2 ปีที่แล้ว +1

    Kaka naomba nisaidie kuimba sauti ya tumboni

  • @georgejohn7283
    @georgejohn7283 4 ปีที่แล้ว +2

    Kaka kila nikikusikiliza lazima nipate kitu mungu aku baliki

  • @lukamolell3906
    @lukamolell3906 2 ปีที่แล้ว +1

    Kaka vp mnapatikan wap

  • @racheljacob4304
    @racheljacob4304 4 ปีที่แล้ว +2

    Jamani mimi napenda kuimba vizuri lakini sauti yangu nindogo ila sasa nikiimba napata maumivu

  • @stellaenock3170
    @stellaenock3170 4 ปีที่แล้ว +1

    Napenda sana kuimba naomba unitumie namba ya whtsap

  • @helenamsese8339
    @helenamsese8339 4 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana, napenda sana kuimba ila sauti yangu inakwaruza sana

  • @mcmbega728
    @mcmbega728 3 ปีที่แล้ว +2

    Bro samahan naomb namb yako

  • @lulejohn82
    @lulejohn82 3 ปีที่แล้ว +1

    nimependa maelekezo naeza kupata wapi kimfano

  • @sharifuhassan3241
    @sharifuhassan3241 4 ปีที่แล้ว +2

    Nkbl San blood mista kiki

  • @froramsigwa6107
    @froramsigwa6107 4 ปีที่แล้ว +1

    Kaka napenda ukifundisha ungekua songea mm nigekua mwanafunzi wa kwanza

    • @imbatokamoyoni2209
      @imbatokamoyoni2209  4 ปีที่แล้ว

      +255712061252 njoo tuchati pia hutabaki Kama ulivyo

  • @neemalkiswaga6126
    @neemalkiswaga6126 4 ปีที่แล้ว +2

    Nice

  • @naomikaaya4798
    @naomikaaya4798 3 ปีที่แล้ว +1

    Naomba niunge WhatsApp no 0620313314

  • @mvungigaming
    @mvungigaming 4 ปีที่แล้ว +2

    Naomba contact yako broh. Plz

  • @nathanaelnahson5375
    @nathanaelnahson5375 3 ปีที่แล้ว +1

    Nmekuelewa kaka lkn mi nmetokea kwenye kanisa aic shinyanga kwa sasa npo sngda npo katka kanisa la fpct nateseka kwel kuendana mawimbi ya sauti na kwaya ya huku wanaimba kisasa zaidi sjui unanisaidiaje kuhusu mawimbi ya saut