Kwanini mnafanya vzr zaidi kwenye nyimbo za siasa kuliko za kumsifu MUNGU mtunzi wa huyu wimbl na ule karibu MH:Magufuli NI tofauti na Yule nyimbo zenu za injili?.Maana hii kwaya mi nimeifahamu kupitia wimbo wa karibu Magufuli,nilipotafuta nyimbo nyingine sikupata wimbo mkali km huo,Leo tena huu ndio habari nyingine kabisa
Amen
barikiwa
Kwanini mnafanya vzr zaidi kwenye nyimbo za siasa kuliko za kumsifu MUNGU mtunzi wa huyu wimbl na ule karibu MH:Magufuli NI tofauti na Yule nyimbo zenu za injili?.Maana hii kwaya mi nimeifahamu kupitia wimbo wa karibu Magufuli,nilipotafuta nyimbo nyingine sikupata wimbo mkali km huo,Leo tena huu ndio habari nyingine kabisa