YANGA HATUKO SAWA DABI ISOGEZWE MBELE/SIMBA WATATUZALILISHA/WACHEZAJI WETU WAZEE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
- "Is a life's and sports channel our vision is to develop and deliver world class Broadcast-based on local and international market"
#sports #footballclub #zuchu #azamfc #harmonize #harmonize #singidafountaingate #simbanation #footballclub #sports #soccerclub #footballclub #zuchu #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate #zuchu #simbanation #footballclub #sports #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate
Mashabiki WA yanga nyinyi malaya
Ww jamaa mara zote huwaga unaongea kishabiki lkn leo umeongea mpira,unatakiwa uongee km ivo
Uko sahihi kabisa timu imecheza hovyo sana pia kikosi kilichoanza cha hovyo sana
Hivi kwani Yanga anamkataba wa kushinda kila mechi, ...
Ukweli yanga tumecheza sloo sana Yani timu imepoa kabisaa kama tutacheza hivi na Simba atutoboi yaani tunashambulia taratibu uwezi kushinda kama mpinzani akipaki bus. Wachezaji wabadilike sana kama wanautaka ubingwa
Huyu anajtambua
Kuna vilaza wengine wanaongea ujinga jingaa
anahojiwa kuhusu Yanga au simba?
Kama umelogwa utachezaje au utafungaje magoli yanga tumekamiwa tunalogwa
Waandishi wa bongo bhana yaani YANGA kutoa sare wanataka wanataka kuwatafutia vichaka mara Ball boys,wamerogwa,marefa timu kama mbovu c mseme tu
Nenda karejee mechi ya tarehe 8/3/2015 simba alikufanyaje
Kunywa peps broo
Nipeni maua yanguu
Mwandishi mpumbavu
Ameongea ukwel kwamba yanga hawakufunga 😂😂
Tena Kweri kabisa,,, kikosi kikowapi chakucheza na simba!, Mpira upi uwo, uwu nilio uona hapa DU,, mutakuja kujuta kucheza nawo . hamna team wara kocha...
Kujiweka ya nyoko
Hiyo fala bango aache
Hiki kiswahili au???
Jamaaa anajielewa huu ndio mchezo nakupa pongezi kaka