God is great 🙏🙏🙏🙏🙏,muwaha mulungu achile kukuluguta. Umutumamile kwe vilungo vyako vyosee! Hongera sana Dada, nimeskiliza simulizi yako , bado nazidi kuushaanga ukuu wa Mungu, hakika ni mwingi wa huruma mwenye upendo huyu yesuuu, barikiwa sana Dada! Muwaha yalumbweeee
Kila nikiusikilizaga huu wimbo huwa natokwa na machozi😭 mungu akubariki kwa wimbo mzuri naupenda sana ❤❤❤
Mmmh wimbo mzuri sana huu hongera sana mtumishi kwa kazi nzuri
Wimbo mzur niliona jina lako katika kanisa la roho mtakatifu kwa rev sadai dodoma nyerere square
Hale wagogo wayangu mulungu yawamulugutenyi waiko
Naenda jamani
Ubarikiwe
😭🙌🙌
Barikiwa Sana MTU wa MUNGU
Dada machozi yamenitoka badaa ya kusiliza huu wimbo mungu akutangulie dada kwa uibaji mzurii
Amen Amen Ubarikiwe Sana Sana 🙏🏼
God is great
🙏🙏🙏🙏🙏,muwaha mulungu achile kukuluguta. Umutumamile kwe vilungo vyako vyosee! Hongera sana Dada, nimeskiliza simulizi yako , bado nazidi kuushaanga ukuu wa Mungu, hakika ni mwingi wa huruma mwenye upendo huyu yesuuu, barikiwa sana Dada! Muwaha yalumbweeee
Asant Sana Kaka jamaniiiii
Nyimbo zako ni nzuri sana mama angu Mungu akuinue kwa kiwango cha juu sana
Songa mbele
Na BWANA akuinue kwa viwango vya juu
Amen Amen Ubarikiwe Sana
Wimbo mzuri sana, ubarikiwe🙏🏾
Mungu akutangulie katika huduma yako mtumishi
Mwaha yalumbwe
Yalumbwe mponyiiiii
Yalumbwe mponyiiiii 👏👏
Be blessed my sister
Amen Amen🙏🏼
nahelela kukaya hale chilumba yaya
Nyimbo zilimuzinzi aziii lece
Ww Ndio Ruth LAMECK tuliesikia story yako radioni?
Ndie mim mpendwa wangu
Hiyohiyo mdala!
Wimbo mzuri
Amen u ubarikiwe Sana
Safi
Ka langa mukumota bye!
Sande muno muno KOKO
Naenda jamani