Kaka Emmanuel Mimi nakukubari sana kama mdogo wako wa pekee unayo yasikia yasikuvunje moyo kwa kuwa huduma uliyo nayo in kubwa na maadui ni wengi kwahiyo usiogope kwa ajili ya vitisho vyao kk mungu akuwezeshe kupita salama katka kipindi hiki.jifunze kunyamaza kwa sasa
Ubalikiwe sana kwa ujumbe mzuri Mtumishi wa BWANA
Amen mtumishi sema tupone
Mungu atusaidie kwa kweli kutoka kwenye izi carbeg na michicha
Ubarikiwe Pastor. Piga kazi ya Mungu. Nakuelewaga sana Masanja
Pst,,,,,,,umenisogeza hatua Moja mbele kwamba kusubiri na kuvumilia ni muhimu sana Mungu msaidie pst ktk huduma yake..
Nimenukuu kitu hapa Mtumishi Barikiwa sana
Ameen mungu akubarik
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Nakupenda yapo cmzidi Yesu wa Nazalet
Kaka Emmanuel Mimi nakukubari sana kama mdogo wako wa pekee unayo yasikia yasikuvunje moyo kwa kuwa huduma uliyo nayo in kubwa na maadui ni wengi kwahiyo usiogope kwa ajili ya vitisho vyao kk mungu akuwezeshe kupita salama katka kipindi hiki.jifunze kunyamaza kwa sasa
Amen pst barikiwa sana kwa huu ujumbe ❤️🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
uku sengerema tunabarikiwa mtumishi
Hapo nimekuelewa mchungaji.
pastor hakika Ujumbe huu Mungu alikutumia kunifikia mm.
Ubarikiwe sana.
Mungu mwema ninabarikiwa Sana
Amen
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, material za kahawa
Ameeen
Ameen
Amen and amen
Amen ameniiii
T
Ameni mjungaji afatilia mahubiri yako kutoka Nairobi Kenya
Sasa nini mnatafuna bigjii kanisani ninyi wadada hapo mbele
TUNAPONYWA KWA NENO ANALO TOA MASANJA KWA KUPEWA NA MUNGU EMEEE
Nice
Amen
Amen