Kinacho niumiza Mimi juzi juzi tu katoka kumpoteza mama ake maskini ninauakika mwakinyo bado ana muwaza mama ake bado aja kaa sawa nampenda Sana mwakinyo naomba nimpe pole sisi waelewa na ambao tumefiwa na wazazi tunajua ana wakati gani...pole na hongera ww ni mshindi🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏🙏
Pole sana watanzania wazalendo mliopo wingereza kwakumtia moyo mwakinyo kiukweli tumehujumiwa sana,
Sana tumeangalia pambano zima bondia wetu Mwakinyo ni Bora sana alimchapa makonde hasa walituhujumu ilo halina ubishi!
I like how Tanzanians embrace their own...
HAUJUI UNACHO SEMA WEWE KAMA ANTONY JOSHUA JUZI ALIMWAGA MACHOZI KAMA MTOTO MBELE YA WAANDISHI MWAKINYO NNANI ASILIE KUPOTEZA WENYE ALIKUWA YUKO MBELE POINTS SIO KITU RAHISI.
Wazenji wezangu wanyumbani✌🏻✌🏻✌🏻
Mwakinyo wetu usikate tamaa.twakupenda.kinomanomaa
Liam Smith he will always remember you the fight was good really good don't lose hope Champez once a Champion always a champion keep it up Brother 💪🇹🇿
Asanyeni watanzania wenzetu kwa kumtia moyo mwakinyo
That was a good company my boys
I love the encouragement big up guys God bless you 💞
Inshallah tutashinda tu ilikua bahati mbaya tu
Usijal mwakinyo u are steel the best bt ndo kushindan tuko pamoja naww
Mandonga angekuwepo naye hapo amfariji,Amwambie usilie endorsement nyingi zinakuja.
I felt so bad for what happened but U still the best no matter the circumstance but be professional❤🙏🏼
Aongeze bidiii amepoa sana mwakinyoo pachi nyepesi na speed pia
not bad bro🤝
Mandonga yuko wapi?
Mzungu anabahati sana 🤣🤣🤣🤣
haihitaji kua expert kuelewa alicho kifanya Mwakinyo , am simply saying that Mwakinyo Kauza mechi atambue kaliaibitisha Taifa🇹🇿 sio yeye
Hiyo mechi aliyouza alitafutiwa na nani ama ulihusika vp kupatikana kwa mechi hiyo na ameuza bei gani? Acha husda na kutoa taarifa zisizo na ukweli unamchukia bure tu mtu ambae kwa juhudi zake anajipigania maisha yake kwanza ulimjulia wapi kama siyo bidii zake mpaka ukamfahamu
Hata kama kauza pambano nani alimchangia pesa kwenda kambi FROLIDA na kwenda LIVERPOOL kwa hio usimlaumu haujui anapitia changamoto kiasi gani ? Hao waingereza wanasupportiwa na matajiri wakubwa ulaya na huo mwakinyo anayemmpa pesa za mahitaji yake yote ni nan?
Na Mimi nimelia jamaniii
Me hata siamin kilichokea ila usife Moyo Power Punch tupo nyuma Yako
Tatizo letu watanzania hatuna uzalendo na vyakwetu mana mwakinyo hakuwa na kampani yakutoka Tanzania nandomana aliingia akiwa mnyonge na akatoka mnyonge
Acheni kumdanganyaaa jaman
Tunazikia hapa UINGEREZA au tunasafirisha
Mwakinyo hajapigwa amepoteza pambano lnaonekana kuna shida ilitokea
Unajua
Bado hajawa sawa mwakinyo kumpoteza mama sio kitu rahisi arudi atulize akili ajipange atafanikiwa
Leta mzungu huyooo mandonga mtu kazi ampige kama ngoma
Mwakinyo yuko vizuri...!!
Ni fitina tu wamefanya
zijue sheria za ngumi kwanza usilaumu bure pale Hakukuwa fitina yoyote mwakinyo ndio kajiangusha chini na kunyoosha mikono juu kujisalimisha. refa yoyote wa ngumi akiona ishara ile lazima avunje pambano na kumpa ushindi mpinzani
inaumiza ila m bado nakukubar mzee
liludiwe tena
Sijawaelewa
Duuuuh
Huyo yuaji dai lazima apigwe
Marekaki na uingereza wajomba ulitegemea nini acha ushamba wa marekani njoo umuone kidukutr24
kaka naamini vil viatu vina remote control
Hakujiandaa huyo, kiduku ndio huwa anajua anataka nini
Uwezo mdogo apige tizii sio kulia
Amesha shindwa ameshindwa aombe tena akipigwe tena
Watz mna roho mbaya Sana wazungu wanasema jamaa ameumia ankle nyie mnamponda acheni wivu
Huyu katutia aibu.... Mbona hachochei
Watz mna roho mbaya Sana wazungu wanasema jamaa ameumia ankle nyie mnamponda acheni wivu
Wachen kumpa moyo kapingwa huyo
Watz mna roho mbaya Sana wazungu wanasema jamaa ameumia ankle nyie mnamponda acheni wivu
U
Wamemwekea madawa ya kulegeza miguu ndio maana wameiba begi
Yawezekana uliishiriki kumwekea madawa, imekuwaje? Na kwa nini hukusema mapema? Acha uzushi hatujajua nini lilimpata Mwaakinyo kila mtu anatamani kujua
Safi wakati kapigwa?
Watz mna roho mbaya Sana wazungu wanasema jamaa ameumia ankle nyie mnamponda acheni wivu
Mazoezi yako ni yataili tu nakukimbia milimani marekani ulienda kutalii sio kufanya mazoezi
ka mandonga
tuone
kapigwaa kapigwaa hamna jinginee
Kapigwa nanani mwakinyo wakati mzungu kachezea ngumi Mpaka kaaona kizungungu mkuti jamujia tusubiri january mwakinyo Atapigana tena ndio mtajua kapigwa au kapiga na Akipiga hapo sasa ndio mtajua Kama alikua na shida gani huko alipo kuwepo tuwe wamoja mbona wazungu hawapondani wao kwa wao twapondana sisi kwa sisi tu tujifunze ili tuendelee kuijenga tanzania 🇹🇿
Ujinga mtupu hapa. Kipigo ni kipigo tu. Zarau zake zimemfikiaha hapo. Huwezi zarau nyumnani alafu unategemea ukabebwe ugenini hata siku moja. Huyu katika interview yake na Bonho 5 alifika hatua hata ya kujiona yeye ni bora kuliko bondia wote na hata kusema AJ hajui kupigana. Now he has learned the game. Na pia aache kuunga mkono jamii za hao watu na awe Hassan.
Joshua nikweli hamna kitu, jeuri anazo lkn kwenye hii gem kunamna tu imefanyika wanajua wenyewe
@@asmailishaka7200 safi sana nyie ndo vijana wenyewe mnaomuunga mkono huyu bondia hewa kwa sasa maana ameshuka kila kona. Na lijalo atafute mweuai mwenzie apigane nae lah sivyo nalo atapigwa tu. Kijana wa hovyo unamuunga bondia wa hovyo mkono wote ni wa hovyo.
@@allymwachipanga2486 siasa za mchezo ziko hivyo mzee. Mwakinyo awezi kumpiga champion wa wazungu na wao wamwaache. Alimpiga wa kwanza so huu ulikuwa kama mtego tu na kanasa mwenyewe. Sawa na kwa AJ sio rahissi wamwache aendelee kutawa la ngumu wakati weupe wapo. Tyson Furry lazime awe mtawala pale. Watu hawa si wazuri sana. Joshua alikasirika na kutupa mkanda pale kwa sababu aliona kulikuwa na kaubaguzi sana.
Tanzania hii mtu mwenye anatuwakilisha kupeperuzha bendera yetu ya Tanzania ni daimond platnamuz tu huyo ndio anatufanya tuongelewe na watu huko duniani lkn hakuna cha mpira wa miguu, liadha, wala ngumi
Uyo Diamond platnumz mbona na yeye alikosa tuzo ya BET.. KUFELI SIO KIGEZO CHA KUTOKUMUWEKA KWENYE LIST YA WATU WANAOWAKILISHA NCHI YETU
Acha kuongea pumba unajua kashinda mapambano mangapiiuyoo we unasema tyuu
@@ibrahimkhatib5666 kanikera bana... mtu utasahauje begi safarin sijui kwenye ndege ? kama siyo sababu ya kujitetea
Mwakinyo kakayako ndio kila kitu naulipo saiz unaitaji mapambano sio jimu yamazoezi eti marekani acha utumwa
HASSAN MWAKINYO alimkung'uta vibaya mno Yule bwege walitufanyia fitna zao ❤️❤️❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿